INAUMA KARIAKOO UGOMVI MZITO MADUKA YAFUNGWA MGOGORO WA KIFAMILIA WAFANYASHARA WAFUNGUKA MAZITO
HTML-код
- Опубликовано: 19 апр 2024
- Bongo5 is a dedicated to creating the best content for you, our audience!
We hope you enjoyed this video, and ask you to please like & subscribe to our channel if you haven't yet. Have you had a great experience with our channel? Let us know in the comments below!
#entertainment #news #music #funny - Развлечения
Dada uwe makini watakumaliza hao ndugu zako
Mtihani mkubwa huu,haki ni Bora kutijenga nyumba ya familia
Huyo ndugu mkubwa ashikwe na achukuliwe hatuwa kali manake hapo anaumiza watu wengi wakiwemo ndugu zake na wafanya biashara anawatia hasara kubwa
Ccm itatumaliza Jamaani
Fisadi huyo ni papa kabisa amzarau waziri kweli
Hao kaka xako ni mbwakoko,jaw nn wactafute vya kwao?? Miji2 mixima inataka vya urithi tena kwa kumdhulumu ndugu we gine,yanawexa yakawa .......co bure.
Duuu aisee pole sana ila wazili atalimaliza atakuja kwa mala nyingine watamjua vizuli
Safari waziri akija hao kaka woye watupwe jela na huyo waliomuuzia maana wanadharau amri ya waziri wakati wote walikuwa hapo mbele ya waziri leo wanageuka!!???
Ninyi wafanyabiashara tafuteni wakili haraka mfungulieni huyo aliyefunga maduka kesi ya madai. Awalipe kodi na mapato mliyopoteza.
Mrudishieni pesa zake, kesi iishe, ndugu zenu wamepokea pesa.. rudisheni pesa zake
Wewe Acha ujinga hillo bango linasama kamwane nyamika
Wapangaji wa hayo maduka napenda kuwapa ushauri BURE kama ifuatavyo:
1. Kama mna mikataba ya upangaji, basi kisheria mwenye nyumba (bila kujali ni nani), HANA mamlaka ya kufungia duka bila kwanza kutoa notisi ya angalau siku 30. Kinyume na hapo ni kuvunja sheria na mnaweza kumshati Mahakamani.
2. Kama tayari mmelipa kodi ya pango basi mwenye nyumba HANA mamlaka ya kubugudhi mpangaji mpaka kodi yote iliyolipwa imalizike. Sheria zipo hivyo.
Hivyo mnaweza kwenda Mahakamani ili kumlazimisha huyo aliyefunga maduka yenu aweze kufungua kwa amri ya Mahakama.
Kunakitu nyuma ya nyamika mbona anajiamini sana? Waziri ikikupendeza kwa nyamika fanya kama ulivyofanya kwa yule mgonjwa wa miguu weka pingu peleka popote
Kumbe kuna watu wapo juu ya serikali
Dada anaglai nduguzako watakuua mana wanaona we ndo mwiba
hiyo sio mali ya serikali mzeee
😊😅😅
Ukiacha mali shida usipoacha mali ni shida😂😂😂 tufanyaje sasa tutafute mali au
Jibu tutafute mali na tuache ushahidi kama aliyouwacha baba yao na hawa itafikia dada atashinda kwa asilimia 100 dunia ina watu waaina nyingi
Warudishienimpesa zao wanunuzi
Simvunje tu
unacho kitafuta nyamika utakipata sio muda mlefu
Ko unataka apoteze bilioni kumi na moja aiache tu
Rais hayupo mkamfata
Ivi selekali nyamika anawasumbua jamani selekali gani mtu mmoja anasumbua watu wazili uko kimya jamani nyamika Nani mbona anazalau viongozi wetu wa selekali mtanzania kweli uyu