DIWANI MALLEL "WANANCHI WA KATANGARA MRERE TUNAENDA NA DKT. SAMIA NA MKENDA 2025"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 27 июн 2024
  • NA WILLIUM PAUL, ROMBO.
    DIWANI wa Kata ya Katangara Mrere wilayani Rombo mkoani Kilimanjaro, Venance Mallel amesema kuwa, serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan imeweza kupeleka miradi mbalimbali katika kata hiyo.
    Diwani huyo alitoa kauli hiyo wakati wa mkutano wa hadhara wa wananchi wa kijiji cha Mrere ambapo alitumia nafasi hiyo kuishukuru serikali kwa kazi kubwa wanazozifanya katika kata hiyo.
    Alisema kuwa, wao kama wananchi wa Katangara Mrere wameshaazimia kwa kauli moja kwenda na Rais Dkt Samia Suluhu Hassan na Mbunge Prof. Adolf Mkenda katika uchaguzi mkuu wa 2025.

Комментарии •