UTAPENDA MWANA F.A na HARMONIZE walivyoimba PAMOJA kwenye STAGE/TAZAMA walichokifanya PAMOJA...

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • _________________________________________________________________________________
    Kuwa wa kwanza kupata Habari zetu kwa ku-subscribe RUclips channel ya RICK MEDIA. Tufuatilie kupitia Instagram, Facebook na Twitter kwa jina la @rickmediatz
    _________________________________________________________________________________
    Contact Us Now +255 742 447 854 | Normal Calls & WhatsApp

Комментарии • 19

  • @002RYE
    @002RYE 4 месяца назад +4

    Hamna kitu hapo😂😂😂

  • @kelvinmwenda1013
    @kelvinmwenda1013 4 месяца назад +7

    Bongo inakimbia sanaaa aseeeh sisi tulio nje tunaitazama mnoo

  • @Vincentrakoldo
    @Vincentrakoldo 4 месяца назад +4

    Family moja 👏

  • @bakarihazard4357
    @bakarihazard4357 Месяц назад

    Thanks you 😮😮

  • @malkiakinyemi5282
    @malkiakinyemi5282 4 месяца назад +2

    Harmoniz uneweza ❤

  • @MathewBernard-j3p
    @MathewBernard-j3p 4 месяца назад

    Mwana fa ndo stage mastar kweli kweli.

  • @allykassim8478
    @allykassim8478 4 месяца назад +1

    Tunaiomba Serekali yetu tukufu pamoja na Wizara husika kuboresha swala zima la SHOW zetu ktk stejini. Tungependa tuskie laza ya vinanda pamoja na sauti ya MSANI km Redioni. Hatua ambayo wenzetu mbele wameshaifikia, unaenda ktk SHOW kubwa mnooo na kingilio chake pia kikubwa pia lkn unakuta laza ya SHOW haina tofauti na show za kampeni kwaupande wa siasa. Inaboaaaaa.....😮😮😮😮

  • @UzalendoNaUtu
    @UzalendoNaUtu 3 месяца назад

    Poor sound arrangement, nadhani ni kwa hii media! Wamechukua sound ya kwenye camera na sio kwenye mixer

  • @chongolee1426
    @chongolee1426 4 месяца назад

    Tembooooo

  • @Ali-gq3fb
    @Ali-gq3fb 4 месяца назад +5

    Huyu Mwana FA ana chuki na Diamond na WCB kiujumla hajawahi kusapot chochote na chuki yake ni kushindwa kimuziki na kimaendeleo na Simba

    • @NgacheMark
      @NgacheMark 4 месяца назад +1

      Kamzidi Nani mwana fa ....sipendi CCM lakini fa ni billionaire kitambo sana

    • @Ali-gq3fb
      @Ali-gq3fb 4 месяца назад

      @@NgacheMark kimuziki na kimaendeleo

    • @DottoLwambo
      @DottoLwambo 4 месяца назад +1

      Fikira zako ndzo zimeishia hapo ktk kufikiri😂😂😂😂

    • @PhillyAmbilikile
      @PhillyAmbilikile 4 месяца назад

      Huyo ni tajiri mda sana unafeli wewe matajili wanajuana ila siyo wanaotambiana kila kitu siyo lazima

    • @OfficialA83640
      @OfficialA83640 4 месяца назад

      Ktk wanamuziki waliokuwa na mkwanja kipindi hiko huyu yumo sasa sijui kamzidi kupanga maghorofa Mbezi 😂😂😂