MAUAJI MORO: WAFUGAJI WAWILI WAUAWA KIKATILI na WAKULIMA, DC MSANDO ATOA MAAGIZO MAZITO...

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 сен 2024
  • MAUAJI MORO: WAFUGAJI WAWILI WAUAWA KIKATILI na WAKULIMA, DC MSANDO ATOA MAAGIZO MAZITO...
    WATU wawili ambao ni wafugaji wa jamii ya kimasai katika Kata ya Kolero Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro wamefariki dunia na wengine watano kujeruhiwa katika vurugu zilizohusisha wakulima na wafugaji na kusababisha wakulima kukamata ng'ombe zaidi ya 800 wilayani humo.
    Kwa mujibu wa mashuhuda wa tukio hilo la vurugu, wamasai walivamiwa na wakulima na kusababisha vifo vya watu hao wawili huku mwili wa marehemu mmoja hadi sasa ukiwa haujulikani ulipo.
    Akitoa maelekezo ya Serikali baada ya kufikia eneo la tukio, Mkuu wa Wilaya ya Morogoro, DC Albert Msando amesema kutokana na vifo hivyo sasa ni lazima ng'ombe wote waondolewe katika kata hiyo ili kuwawezesha wakulima kuendekea na shughuli zao za kilimo bila hofu.
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 657 693 210), ( +255 713 750910)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...

Комментарии • 24

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  Год назад +1

    SUBSCRIBE NOW NA BONYEZA ALAMA YA KENGELE🔔 UWE WA KWANZA KUONA👉 bit.ly/3MraYdQ

  • @sofi_1940
    @sofi_1940 Год назад +2

    Jamanii,,haya mauaji Sasa bas mbona kila Mara ee mwenyezi mungu tusaidie 😢

  • @rukiauwonde7062
    @rukiauwonde7062 Год назад

    Ila hawa wafugaji ni wakorof sana ,mjifunze kupitia wenzenu waliikufa innah lilah wainnah ilah rajiun

  • @hanifatanzania7258
    @hanifatanzania7258 Год назад

    Inalillahi wainailahi rajuun poleni sana Hao ni wezi hao

  • @gaspermatee3970
    @gaspermatee3970 Год назад

    Nyie wamasai mna shida sana mnathamani mifugo kuliko mazao ya kuliko wakulima

  • @simonkipondo1453
    @simonkipondo1453 Год назад

    Hapo mkuu kaegemea upande mmoja kama vile hao wafugajj ni WA kutoka inche ya Tanzania. Wahalifu wote wapatikane lazivyo kitanuka

  • @kobelochande6669
    @kobelochande6669 Год назад +2

    Na nyie wafugaji ndio tatizo punguzeni mifugo

  • @papaadialoo
    @papaadialoo Год назад

    Tatizo serikali inaleta siasa kulinda wafugaji na ndo wanaoleta jangwa

  • @hassanabdillah3325
    @hassanabdillah3325 Год назад

    Tuwe makini migogoro hii iishe

  • @theresiakaruhanga364
    @theresiakaruhanga364 Год назад

    Siyo wamasai tu hata wasukuma hivyo hivyo. Wafugaji ni shida tupu

  • @gaspermatee3970
    @gaspermatee3970 Год назад

    Baba wafugaji ni shida hawaelewi kitu

  • @hassanabdillah3325
    @hassanabdillah3325 Год назад

    Hili nitatizo kubwa

  • @skjjsj1889
    @skjjsj1889 Год назад

    Hao ngo.mbe wanavyolia

  • @hassanabdillah3325
    @hassanabdillah3325 Год назад

    Mifugo mingi malisho hakuna tubadilike

  • @officialmaasai4602
    @officialmaasai4602 Год назад

    Wengi wetu comments mnalaumu wafugaji Ila embu tulia fikilia vizur alafu ulete pia maoni ya upande wa pili kiukweri

  • @officiallcoolest_khid3223
    @officiallcoolest_khid3223 Год назад

    Saiv Tz kila siku watu wanachinjw why

  • @pialashayo4519
    @pialashayo4519 Год назад

    Hii shida wanaitengeneza viongozinashindwa nini kutenga maeneo ya wafugaji na kuweka sheria Kali kuwa hakuna wa kuingia kwa mwenzake

  • @ramadhanimkude5744
    @ramadhanimkude5744 Год назад

    Wamasai si wakorofi ni waelewa tatizo ni la Wamang'ati ndio shida,fukuzia mbali.

  • @yukundapeter8200
    @yukundapeter8200 Год назад

    Wafugaji kimeumana,mkome.

  • @maswamills3161
    @maswamills3161 Год назад

    Jamani wafugaji kwa Nini hawapewi maeneo yao ya kudumu?????????

  • @OmanOman-bx5du
    @OmanOman-bx5du Год назад

    Wafugaji munavibuli nyingi. Acheni tu

  • @ziadasalimu1730
    @ziadasalimu1730 Год назад

    RAIS Samia hebu lingilie hili swala kila siku Hawa wanagombana na kuwana morogoro, wafugaji na wakulima

    • @afrahoman2844
      @afrahoman2844 Год назад

      Yan amekaa kimya atakuliongelea yan toka afe magu tz ovyo222

  • @simongwandu7392
    @simongwandu7392 Год назад

    Wamasai wabadilike na kufuga kisasa