MAUAJI MORO: WAFUGAJI WAWILI WAUAWA KIKATILI na WAKULIMA, DC MSANDO ATOA MAAGIZO MAZITO...
HTML-код
- Опубликовано: 10 сен 2024
- MAUAJI MORO: WAFUGAJI WAWILI WAUAWA KIKATILI na WAKULIMA, DC MSANDO ATOA MAAGIZO MAZITO...
WATU wawili ambao ni wafugaji wa jamii ya kimasai katika Kata ya Kolero Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro wamefariki dunia na wengine watano kujeruhiwa katika vurugu zilizohusisha wakulima na wafugaji na kusababisha wakulima kukamata ng'ombe zaidi ya 800 wilayani humo.
Kwa mujibu wa mashuhuda wa tukio hilo la vurugu, wamasai walivamiwa na wakulima na kusababisha vifo vya watu hao wawili huku mwili wa marehemu mmoja hadi sasa ukiwa haujulikani ulipo.
Akitoa maelekezo ya Serikali baada ya kufikia eneo la tukio, Mkuu wa Wilaya ya Morogoro, DC Albert Msando amesema kutokana na vifo hivyo sasa ni lazima ng'ombe wote waondolewe katika kata hiyo ili kuwawezesha wakulima kuendekea na shughuli zao za kilimo bila hofu.
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 657 693 210), ( +255 713 750910)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...
SUBSCRIBE NOW NA BONYEZA ALAMA YA KENGELE🔔 UWE WA KWANZA KUONA👉 bit.ly/3MraYdQ
Jamanii,,haya mauaji Sasa bas mbona kila Mara ee mwenyezi mungu tusaidie 😢
Ila hawa wafugaji ni wakorof sana ,mjifunze kupitia wenzenu waliikufa innah lilah wainnah ilah rajiun
Inalillahi wainailahi rajuun poleni sana Hao ni wezi hao
Nyie wamasai mna shida sana mnathamani mifugo kuliko mazao ya kuliko wakulima
Hapo mkuu kaegemea upande mmoja kama vile hao wafugajj ni WA kutoka inche ya Tanzania. Wahalifu wote wapatikane lazivyo kitanuka
Na nyie wafugaji ndio tatizo punguzeni mifugo
Tatizo serikali inaleta siasa kulinda wafugaji na ndo wanaoleta jangwa
Tuwe makini migogoro hii iishe
Siyo wamasai tu hata wasukuma hivyo hivyo. Wafugaji ni shida tupu
Baba wafugaji ni shida hawaelewi kitu
Hili nitatizo kubwa
Hao ngo.mbe wanavyolia
Mifugo mingi malisho hakuna tubadilike
Wengi wetu comments mnalaumu wafugaji Ila embu tulia fikilia vizur alafu ulete pia maoni ya upande wa pili kiukweri
Saiv Tz kila siku watu wanachinjw why
Hii shida wanaitengeneza viongozinashindwa nini kutenga maeneo ya wafugaji na kuweka sheria Kali kuwa hakuna wa kuingia kwa mwenzake
Wamasai si wakorofi ni waelewa tatizo ni la Wamang'ati ndio shida,fukuzia mbali.
Wafugaji kimeumana,mkome.
Jamani wafugaji kwa Nini hawapewi maeneo yao ya kudumu?????????
Wafugaji munavibuli nyingi. Acheni tu
RAIS Samia hebu lingilie hili swala kila siku Hawa wanagombana na kuwana morogoro, wafugaji na wakulima
Yan amekaa kimya atakuliongelea yan toka afe magu tz ovyo222
Wamasai wabadilike na kufuga kisasa