Dudu Baya na Mwanae Wagombaniwa Kariakoo

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 19 сен 2024
  • Subscribes: / kidanistars
    Dudu Baya ''KONKI"Atinga Kariakoo Na Mwanae Kusagula Mitumb
    Subscribes: / kidanistars
    Instagram: / kidanistars
    Facebook: / kidanistars
    Twitter: / kidanistars

Комментарии • 105

  • @thebrown_voicetz
    @thebrown_voicetz 5 лет назад +8

    Nime furahi Sanaaa baba kutimiza wajibu wake kwa mwanae mungu mkubwa 👏👏👏

  • @fredmankaingu4172
    @fredmankaingu4172 5 лет назад +17

    Diamond amemtoa tena Dudu konki mpaka mihela imeregesha pamoja familia mungu akuzidishie Nasibu

  • @rizbfighter8574
    @rizbfighter8574 5 лет назад +1

    Vzr sana dudu baya mtoto akikosea wew kama mzaz huna budi kumsamehe ukiendelea kumkazia unamzibia rehema zake Mungu

  • @newmelody4189
    @newmelody4189 5 лет назад +13

    Safi sana nimefurahi kukuona namwanao

  • @elieshistephen5548
    @elieshistephen5548 5 лет назад +7

    dahh salute. sana kwa dudu baya hahah dingi Na mwanao wao pendeza sana Mungu awalinde

  • @solomonkanene8489
    @solomonkanene8489 5 лет назад +3

    hongera sna konk konki konk master

  • @mabroukabeid148
    @mabroukabeid148 5 лет назад

    Umetisha konki we mambaaa.

  • @maxozone3762
    @maxozone3762 5 лет назад +2

    Konki konkiii ,,, hauna bifu na yyte ndio maanake uko peace popote unatembea bila wasi wsi wowte ,,,,,,, Big up konkiii nd his son

  • @douglasslema2837
    @douglasslema2837 5 лет назад +16

    Jamaa anapenda watoto wake hata kwa kidogo

  • @joharisimtowe5661
    @joharisimtowe5661 5 лет назад +2

    safi Kama umemsamehe willy maana mtt akinyea mkono haukatwi unaoshwa na maisha yanaendelea good dady

  • @sophicatesalim9757
    @sophicatesalim9757 5 лет назад +9

    Nafurahi kukuona na mwanao kama mume suluhisha ni sawa maisha ya endelee mtu ni wanawe nafurahi unapenda wanao

  • @kingswebe3251
    @kingswebe3251 5 лет назад +1

    Watu walisha mchoka, Apite harmonize hapo au rayvany utaona tofauti.

  • @chunafetty6737
    @chunafetty6737 5 лет назад +1

    Daaah hadi raha💪👌

  • @susanlazaro7492
    @susanlazaro7492 5 лет назад +45

    😂 😂 😂 😂 hao wamachinga wataibiwa Nguo bure joo wanatwanga photo na konki master,kumbe ukifatana na mondi hta mwezi tu Nyota inawakaa km unaamini Hilo like hapa tweeeendeeee

    • @deboraelias1862
      @deboraelias1862 5 лет назад

      waongo hakuna anayemgombania angepita d mmngeona au rei

    • @pascalbonny2457
      @pascalbonny2457 5 лет назад

      nimeamin wabongo walio wengi awana kaz na ndyo mana Wanashabikia ujinga huku wamewazba wenye shughuli zao kutoendelea! kisa et konk mazuzu nyie

  • @alihakizimana7206
    @alihakizimana7206 5 лет назад +2

    Safi sanaaa

  • @emmanuelgavile2737
    @emmanuelgavile2737 5 лет назад +1

    Kizazi sanaaaa

  • @johnjackson4363
    @johnjackson4363 5 лет назад +4

    Safi sana dudu mpende mwanao hapo ndio pepo yako ilipo

  • @fredmankaingu4172
    @fredmankaingu4172 5 лет назад +4

    Konki tatu na konki moja ngoma juu

  • @njeerysalum5862
    @njeerysalum5862 5 лет назад +1

    temaaa libigijiii hiloo

  • @radhiasalum7156
    @radhiasalum7156 5 лет назад

    konk mastaaaa💃

  • @mtetezihassani2285
    @mtetezihassani2285 5 лет назад +1

    Kizazi sana kaka.

  • @georgesamwelchacha7680
    @georgesamwelchacha7680 5 лет назад +8

    NJOO MUONE
    KARIAKOO KUMENOGAA
    KONK KONK KONK MASTER!!!

  • @dastonamichaels1854
    @dastonamichaels1854 5 лет назад +5

    Mmmh kama kenya gikosh

  • @jabirwalcott6530
    @jabirwalcott6530 5 лет назад +1

    Konk konk master mmependeza

  • @mosamossile9113
    @mosamossile9113 5 лет назад

    Jamaa Anajihamini Sanaa aisee kwer uyo mbabe Ataki hata Baunsa

  • @goodhelpnolland9637
    @goodhelpnolland9637 5 лет назад

    Konki konki konki master

  • @mbondokambi8053
    @mbondokambi8053 5 лет назад +1

    Duuuh tayar jina lisharidi tena...

  • @emmanueljohn6765
    @emmanueljohn6765 5 лет назад

    baba na mwana wanatafuna big g kikonk konk2 mwanzo mwisho huy ndo konk master

  • @harunimfaume6280
    @harunimfaume6280 5 лет назад +7

    kwa hili konk master uko pis sana na wana mtoto kwa mzanzi

  • @mariamlusana6250
    @mariamlusana6250 5 лет назад +2

    kuna uyo kaka hyo midevu ka fagio la chooniii.....mmh mnvoshngilia sas n uyo n dudu baya angekua wizkid apo tako zngepasuka😀😀😀

  • @richardphilipo312
    @richardphilipo312 5 лет назад +7

    willy naona jinojino ucje ukaenda vutia bangi ela ya sikukuu

  • @mariamlusana6250
    @mariamlusana6250 5 лет назад +3

    hao walochukua video uko status watu hawapumuii..hv uyo Dada alovaa njano juu mbn smuelew

  • @sikitu8957
    @sikitu8957 5 лет назад +4

    Kweli uyu Diamond ni noma saana nyota yake ina nga'a mpaka basi

  • @halimatanzani8587
    @halimatanzani8587 5 лет назад

    Adiraha

  • @abdulukwachu4447
    @abdulukwachu4447 5 лет назад +1

    Mtu mwenye Upendo na Watu hutembea Bila Baunsa WA Bunduki Respect #Dudubaya

    • @asiaseif7229
      @asiaseif7229 5 лет назад

      Abdul Twaha kwanza huyo hana haja na baunsa nenda kiboya akufurahishe😂😂

    • @abdulukwachu4447
      @abdulukwachu4447 5 лет назад

      Asia Seif Hapana Sina Ugomvi nae Usinichonganishe

    • @asiaseif7229
      @asiaseif7229 5 лет назад +1

      Abdul Twaha tamwambia😂😂😂

  • @ramadhankibwana6425
    @ramadhankibwana6425 5 лет назад +2

    Kweli konk konk konk master anaga makuu

    • @mwanajumaomahundumla6504
      @mwanajumaomahundumla6504 5 лет назад

      Sanaa sio mastar wengine wamefulia wanaona aibu kujichanga mwisho wa siku wanajifungia mpaka wanakula unga

  • @fediliaulomi4969
    @fediliaulomi4969 5 лет назад +1

    kweli nimeamini akuna nyota inayozimika moja kwa moja

  • @remyndaribike3964
    @remyndaribike3964 5 лет назад +1

    Konk oil chafu

  • @gggjjahhhh9419
    @gggjjahhhh9419 5 лет назад

    Hahahaha huyo ndo konk konk konk master Daah mmenitamanisha jamaan yaani nimepaona k/koo hadi nimetaman ningekuwa tz

  • @misalabacharles2728
    @misalabacharles2728 5 лет назад +1

    Konk master

  • @sophiamose1328
    @sophiamose1328 5 лет назад +1

    Nimefurahi 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @justinanicolous3822
    @justinanicolous3822 5 лет назад +2

    Hajagombaniwa wala nn mi naona katembe mwenyewe tuuu bila tabu yeyote

  • @petermwenda1186
    @petermwenda1186 5 лет назад +1

    ili jembe nimelielewa yuko powa sana

  • @manawaaporinary9635
    @manawaaporinary9635 5 лет назад +1

    Dudu baya

  • @tumakemmy9089
    @tumakemmy9089 5 лет назад

    nimependa sana ulichokifanya konk

  • @salumali7031
    @salumali7031 5 лет назад +1

    Apo nimekuelewa konk

  • @jamesngundateresia2600
    @jamesngundateresia2600 5 лет назад +7

    KARIAKOO KUMENOGA

  • @mjombamtukula9531
    @mjombamtukula9531 5 лет назад +1

    mwanangu. wille nimeondokaa

  • @alisiaaly5018
    @alisiaaly5018 5 лет назад

    Kuna dada kavaa nguo ya njano kaniacha hoiii

  • @mariamgodi6171
    @mariamgodi6171 5 лет назад +4

    unatisha km njaa

  • @mohamedsadiki1575
    @mohamedsadiki1575 5 лет назад

    vijana Wengi wa Dar es salaam wanamatatiz ya akil

  • @abdulmzee4046
    @abdulmzee4046 5 лет назад +3

    dudu kajipanga

  • @shabanbuchu2130
    @shabanbuchu2130 5 лет назад +1

    Ivi miaka yake inaruhusi tabia hii?

  • @saidasimba9979
    @saidasimba9979 5 лет назад +3

    Kweli kumbe dudu baya ni pesa tu alikua hana ila ni moja ya watumiaji wabaya wa pesa

  • @aminakawawa1935
    @aminakawawa1935 5 лет назад +3

    Mtoto ananiogopa baba yake

  • @sasherbaiby7277
    @sasherbaiby7277 5 лет назад

    majitu mashamba yanii

  • @ezekielraymond8749
    @ezekielraymond8749 5 лет назад

    Mapokezi yapo tofauti na kiki zako

  • @kelvinaudax8287
    @kelvinaudax8287 5 лет назад

    Mzee huyo Maria niandae sh. Ngapi

  • @chrisskumulaga5136
    @chrisskumulaga5136 5 лет назад

    huyo Dada labda bodigadi hhhhhhh

  • @gracenyanza432
    @gracenyanza432 5 лет назад

    hahahaha watajuta na self machinga

  • @daudidaudi7846
    @daudidaudi7846 5 лет назад +1

    Dondi ubalikiwe

  • @estermusha7945
    @estermusha7945 5 лет назад +4

    Machinga mtakuta nguo zimeibiwa sasa

  • @princessfettyrashidi2409
    @princessfettyrashidi2409 5 лет назад +1

    Nimecheka kama Fara 😂😂😂😂 namwangalia wile nacheka sana harafu hizo camera jmn huwa mnatembea nazo ?? Kwamba unajua kabisa watu watakushangilia au mnatufanya Sisi kondoo 🙄🙄🙄🙄

  • @gabrielisack7786
    @gabrielisack7786 5 лет назад

    Vijana wa kitanzani ni vichekesho

  • @happymahega2000
    @happymahega2000 5 лет назад

    Aache ubahili msanii hutakiw kuonekana ovyo. Inakushusha ilitakiwa a shop kwny maboutique km kwa kina chiddimapenz ,au angetuma MTU aende na mwanae

  • @emmanuelgavile2737
    @emmanuelgavile2737 5 лет назад +1

    Hana haja ya baunsa nenda kiboya

  • @FatmaFatma-kt1or
    @FatmaFatma-kt1or 5 лет назад +1

    Nyota imewaka

  • @hussenhussein8622
    @hussenhussein8622 5 лет назад +1

    Konk

  • @alenmatarigana9424
    @alenmatarigana9424 5 лет назад

    washamba wa k/koo

  • @salehsalhamselem3285
    @salehsalhamselem3285 5 лет назад

    Konki

  • @mariamaaa4949
    @mariamaaa4949 5 лет назад

    😂😂😂😂

  • @clemimison3271
    @clemimison3271 5 лет назад

    Konki acha kutukana mitandaoni mzee,
    Kua kiakili

  • @doyjack95jack39
    @doyjack95jack39 5 лет назад

    konk kaingiliwa

  • @mbarakapandu101
    @mbarakapandu101 5 лет назад

    huyu dogo mambo haya ndo anoyapenda kusoma hataki

  • @mustafamohammed3730
    @mustafamohammed3730 5 лет назад

    wacheeni upuuzi rais wetu hana time na vibaka

  • @saddamali-st2qg
    @saddamali-st2qg 5 лет назад

    Anatafuta kiki hana ishu

  • @georgeshija1276
    @georgeshija1276 5 лет назад +2

    hili jamaa fala kweli lilikuwa linamjataa mwanae

    • @sophiamose1328
      @sophiamose1328 5 лет назад

      Kawaida Ya mzazi kwani wewe mtoto uta jazwa maneno vipi utukane mzazi wako ukoje wewe Ata mimi hukosana na mzazi wangu ila huwez niona nikimtukana mbele za watu hiyo hubaki siri ya familia

    • @georgeshija1276
      @georgeshija1276 5 лет назад

      Sophia Mose we umeona dogo kamtukana wap km sio yeye alikuwa anakataa harakati zake hujielewi na wewe

  • @venancekavishe9823
    @venancekavishe9823 5 лет назад

    Kuna Dada mmjoja kavaa njano juu mbona kila Konki anapoenda nae yupo nyuma🤔

  • @ziakaitala2221
    @ziakaitala2221 5 лет назад +1

    Huyu jamaa umaarufu wa siku 5 unampa wenge

  • @rashidsaleh1828
    @rashidsaleh1828 5 лет назад

    dogo kaamua kurudi kwa baba ake ili apate nafasi wcb

  • @rizbfighter8574
    @rizbfighter8574 5 лет назад +3

    Vzr sana dudu baya mtoto akikosea wew kama mzaz huna budi kumsamehe ukiendelea kumkazia unamzibia rehema zake Mungu

  • @robertdaud9894
    @robertdaud9894 5 лет назад +1

    Konk