Dudu Baya na Mwanae Wagombaniwa Kariakoo
HTML-код
- Опубликовано: 19 сен 2024
- Subscribes: / kidanistars
Dudu Baya ''KONKI"Atinga Kariakoo Na Mwanae Kusagula Mitumb
Subscribes: / kidanistars
Instagram: / kidanistars
Facebook: / kidanistars
Twitter: / kidanistars
Nime furahi Sanaaa baba kutimiza wajibu wake kwa mwanae mungu mkubwa 👏👏👏
Diamond amemtoa tena Dudu konki mpaka mihela imeregesha pamoja familia mungu akuzidishie Nasibu
Vzr sana dudu baya mtoto akikosea wew kama mzaz huna budi kumsamehe ukiendelea kumkazia unamzibia rehema zake Mungu
Safi sana nimefurahi kukuona namwanao
dahh salute. sana kwa dudu baya hahah dingi Na mwanao wao pendeza sana Mungu awalinde
hongera sna konk konki konk master
Umetisha konki we mambaaa.
Konki konkiii ,,, hauna bifu na yyte ndio maanake uko peace popote unatembea bila wasi wsi wowte ,,,,,,, Big up konkiii nd his son
Jamaa anapenda watoto wake hata kwa kidogo
safi Kama umemsamehe willy maana mtt akinyea mkono haukatwi unaoshwa na maisha yanaendelea good dady
Nafurahi kukuona na mwanao kama mume suluhisha ni sawa maisha ya endelee mtu ni wanawe nafurahi unapenda wanao
Watu walisha mchoka, Apite harmonize hapo au rayvany utaona tofauti.
Daaah hadi raha💪👌
Diamond hatari mpska dudu kawa hivi
😂 😂 😂 😂 hao wamachinga wataibiwa Nguo bure joo wanatwanga photo na konki master,kumbe ukifatana na mondi hta mwezi tu Nyota inawakaa km unaamini Hilo like hapa tweeeendeeee
waongo hakuna anayemgombania angepita d mmngeona au rei
nimeamin wabongo walio wengi awana kaz na ndyo mana Wanashabikia ujinga huku wamewazba wenye shughuli zao kutoendelea! kisa et konk mazuzu nyie
Safi sanaaa
Kizazi sanaaaa
Safi sana dudu mpende mwanao hapo ndio pepo yako ilipo
Konki tatu na konki moja ngoma juu
temaaa libigijiii hiloo
konk mastaaaa💃
Kizazi sana kaka.
Nyota imewakaaaa
NJOO MUONE
KARIAKOO KUMENOGAA
KONK KONK KONK MASTER!!!
Mmmh kama kenya gikosh
Konk konk master mmependeza
Jamaa Anajihamini Sanaa aisee kwer uyo mbabe Ataki hata Baunsa
Konki konki konki master
Duuuh tayar jina lisharidi tena...
baba na mwana wanatafuna big g kikonk konk2 mwanzo mwisho huy ndo konk master
kwa hili konk master uko pis sana na wana mtoto kwa mzanzi
kuna uyo kaka hyo midevu ka fagio la chooniii.....mmh mnvoshngilia sas n uyo n dudu baya angekua wizkid apo tako zngepasuka😀😀😀
willy naona jinojino ucje ukaenda vutia bangi ela ya sikukuu
hao walochukua video uko status watu hawapumuii..hv uyo Dada alovaa njano juu mbn smuelew
Kweli uyu Diamond ni noma saana nyota yake ina nga'a mpaka basi
Sasa hapa mond kafanyaje
Adiraha
Mtu mwenye Upendo na Watu hutembea Bila Baunsa WA Bunduki Respect #Dudubaya
Abdul Twaha kwanza huyo hana haja na baunsa nenda kiboya akufurahishe😂😂
Asia Seif Hapana Sina Ugomvi nae Usinichonganishe
Abdul Twaha tamwambia😂😂😂
Kweli konk konk konk master anaga makuu
Sanaa sio mastar wengine wamefulia wanaona aibu kujichanga mwisho wa siku wanajifungia mpaka wanakula unga
kweli nimeamini akuna nyota inayozimika moja kwa moja
Konk oil chafu
Hahahaha huyo ndo konk konk konk master Daah mmenitamanisha jamaan yaani nimepaona k/koo hadi nimetaman ningekuwa tz
Konk master
Nimefurahi 🤣🤣🤣🤣🤣
Hajagombaniwa wala nn mi naona katembe mwenyewe tuuu bila tabu yeyote
ili jembe nimelielewa yuko powa sana
Dudu baya
nimependa sana ulichokifanya konk
Apo nimekuelewa konk
KARIAKOO KUMENOGA
ok
mwanangu. wille nimeondokaa
Kuna dada kavaa nguo ya njano kaniacha hoiii
unatisha km njaa
vijana Wengi wa Dar es salaam wanamatatiz ya akil
dudu kajipanga
Ivi miaka yake inaruhusi tabia hii?
Kweli kumbe dudu baya ni pesa tu alikua hana ila ni moja ya watumiaji wabaya wa pesa
Mtoto ananiogopa baba yake
majitu mashamba yanii
Mapokezi yapo tofauti na kiki zako
Mzee huyo Maria niandae sh. Ngapi
huyo Dada labda bodigadi hhhhhhh
hahahaha watajuta na self machinga
Dondi ubalikiwe
Machinga mtakuta nguo zimeibiwa sasa
hahahahaha
hahahahahaaa wamejisahay
Nimecheka kama Fara 😂😂😂😂 namwangalia wile nacheka sana harafu hizo camera jmn huwa mnatembea nazo ?? Kwamba unajua kabisa watu watakushangilia au mnatufanya Sisi kondoo 🙄🙄🙄🙄
Vijana wa kitanzani ni vichekesho
Aache ubahili msanii hutakiw kuonekana ovyo. Inakushusha ilitakiwa a shop kwny maboutique km kwa kina chiddimapenz ,au angetuma MTU aende na mwanae
Hana haja ya baunsa nenda kiboya
Emmanuel Gavile 😂😂😂
Nyota imewaka
Konk
washamba wa k/koo
Konki
😂😂😂😂
Konki acha kutukana mitandaoni mzee,
Kua kiakili
konk kaingiliwa
huyu dogo mambo haya ndo anoyapenda kusoma hataki
wacheeni upuuzi rais wetu hana time na vibaka
Anatafuta kiki hana ishu
hili jamaa fala kweli lilikuwa linamjataa mwanae
Kawaida Ya mzazi kwani wewe mtoto uta jazwa maneno vipi utukane mzazi wako ukoje wewe Ata mimi hukosana na mzazi wangu ila huwez niona nikimtukana mbele za watu hiyo hubaki siri ya familia
Sophia Mose we umeona dogo kamtukana wap km sio yeye alikuwa anakataa harakati zake hujielewi na wewe
Kuna Dada mmjoja kavaa njano juu mbona kila Konki anapoenda nae yupo nyuma🤔
Hata mm nashangaa
Ni mwanae Wa kike huyo anayeishi Mwanza
ni mwanae
Anamtaka
hahaha nkjua nmemuon peke angu anataka ashkwe shikwe
Huyu jamaa umaarufu wa siku 5 unampa wenge
dogo kaamua kurudi kwa baba ake ili apate nafasi wcb
Vzr sana dudu baya mtoto akikosea wew kama mzaz huna budi kumsamehe ukiendelea kumkazia unamzibia rehema zake Mungu
Konk