Waziri Mkuu kachukizwa na tatizo la maji Buchosa, kaagiza yafuatayo.
HTML-код
- Опубликовано: 20 сен 2024
- Waziri Mkuu wa Tanzania Kassim Majaliwa January 15, ameanza ziara yake ya kikazi mkoa wa Mwanza na ameanza na Halmashauri ya Buchosa wilaya ya Sengerema kukagua kituo kipya ya Afya, Shule ya Sekondari ya Nyehunge iliyoanza kidato cha tano mwaka wa masomo 2018, Pamoja na kuongea na Wananchi, Waziri Mkuu ameonyeshwa kukerwa na tatizo la maji kwenye Halmashauri ya Buchosa kushindwa kukamilisha mradi wa maji kwa miaka 4 tangu kuanzishwa na haya ndio maagizo yake.
Huyu ndo waziri mkuu majaliwa oyeeeeeee magu oyeeeee lazma nchi itanyoooka tu na waliozoea kulakula wataizoma namba
Wazili mkuu tume pata jamani mungu hakupe hafya njema baba una piga kazi
Baba tunakuombea afya njema
Miaka yote sikuwahi kujuwa kazi ya Waziri Mkuu, sasa hakika naiyona mwenyewe
Ata mimi mzee baba walikuwa wahuni tu wote waliopita
Nomaa sana ndo rais ajae chadema imekula kwenu
M.wa habar wa halmashauri ni mwehu sana unatafuna tafuna tu uko mbele ya kikao huo ni ukosefu wa nidhamu #atumbuliwe
ohooo,kama hamjui nizaidi ya magu aliwacharaza viboko walimu atakagi orofa akiona umuelewi anakucharaza,nampenda sana.
huyo ndo majariwa bwana kama hujui atakaga masyala no mchezo kwake aliwai kuwapiga fimbo walimu atakahi ujinga,nampenda sana.
Mradi ukikamilika nitahamia Buchosa nikafundishe watoto wa kitanzania.Buchosa oyeeee!
MY NEXT PRESIDENT.. HUREE MH. MAJALIWA..!
huyu wazuri mkuu ni hatari yaan on the sport duuuuu
Safi sana majaliwa nyumban hapo
Huu jamaa hana ubabaishaji anaenda kwa ushahidi
Ndomana aliyekuwa Rc wa Dodoma Jordani Rugimbana alikataa mradi mkubwa wa Maji wataa wa HAMVU usibadilishwe njia yake kwavile alijuwa thamani yake. Watalam wetu acheni ujanja ujanja.
Mkuu wa mkoa hamna kitu mpaka aje waziri mkuu hafai mwige makonda aibu
Namuoma na baba yangu wa iman Charles mbongo
Naive conscius mubunge alishasema tangu mradi unaanza hawakumsikikiza na alishawahi wekwa ndani
Siasa zina tabia ya kuongelea matatizo sio kutatua , kuna mradi sengerema ulienda kuzinduliwa kukawa na shida kiongozi mmoja wa upinzan alitiwa ndani baada ya kuonekana atasema ukweli wakati wa ziara ya mkuu
mueshimiwa siuende kulekwetu rushoto nako ni hivihivi sisi tuko kwenyevyanzo vya mito tunakunywa maji pamoja na mifugo kweli inaumasana
mueshimiwa uje rushoto kata ya bondeni watu tunakunywa maji mtoni.tangunikiwa mdogo mmbunge alikua shelukindo miaka yote ametudanganya maji barabara sasahivi mueshimiwa januari makamba tusaidie kijiji cha kwendoghoi jamani tusaidie hataile barabara iunganishe na ya kihitu angalau miradi ya maendeleo iwe rahisi
Usitafune tafune kama unaongea na mkuu wako
uganga jamaa
Amekimbia mhandisi wa maji maana haitiki kabisa na wanainchi wameanza kumkataa ni shida sana
Na tabora nenda kata ya ndala nzega mradi wa maji miaka 40 maji hatuna
mh tunaomba uje kata ya IKUZA MULEBA ni majipu tuuuu baba njooo
Siasa bana Rais alituahid maji kigoma mpk saiz maji hayatok miez3
tulia ndugu...waziri mkuu anakuja kigoma wiki hii...n mwendo wa kukagua miradi tu mbaka wanyooke...
Kwenye mladi huo hela imeliwa waziwazi .
huyo kwan ni mbuz? anaongea huku anatafuna nn? hana adabu kabsa