Waziri Mkuu kachukizwa na tatizo la maji Buchosa, kaagiza yafuatayo.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 20 сен 2024
  • Waziri Mkuu wa Tanzania Kassim Majaliwa January 15, ameanza ziara yake ya kikazi mkoa wa Mwanza na ameanza na Halmashauri ya Buchosa wilaya ya Sengerema kukagua kituo kipya ya Afya, Shule ya Sekondari ya Nyehunge iliyoanza kidato cha tano mwaka wa masomo 2018, Pamoja na kuongea na Wananchi, Waziri Mkuu ameonyeshwa kukerwa na tatizo la maji kwenye Halmashauri ya Buchosa kushindwa kukamilisha mradi wa maji kwa miaka 4 tangu kuanzishwa na haya ndio maagizo yake.

Комментарии • 30

  • @johnemmauel1471
    @johnemmauel1471 6 лет назад +7

    Huyu ndo waziri mkuu majaliwa oyeeeeeee magu oyeeeee lazma nchi itanyoooka tu na waliozoea kulakula wataizoma namba

  • @hashimumtamike3607
    @hashimumtamike3607 6 лет назад +1

    Wazili mkuu tume pata jamani mungu hakupe hafya njema baba una piga kazi

  • @williamkipondamali1936
    @williamkipondamali1936 6 лет назад +15

    Miaka yote sikuwahi kujuwa kazi ya Waziri Mkuu, sasa hakika naiyona mwenyewe

    • @mirajiibrahim51
      @mirajiibrahim51 5 лет назад

      Ata mimi mzee baba walikuwa wahuni tu wote waliopita

  • @allsoddaudi5178
    @allsoddaudi5178 6 лет назад +6

    Nomaa sana ndo rais ajae chadema imekula kwenu

  • @kwzjkwz3532
    @kwzjkwz3532 6 лет назад +7

    M.wa habar wa halmashauri ni mwehu sana unatafuna tafuna tu uko mbele ya kikao huo ni ukosefu wa nidhamu #atumbuliwe

  • @fokasiinnocent3448
    @fokasiinnocent3448 6 лет назад +6

    ohooo,kama hamjui nizaidi ya magu aliwacharaza viboko walimu atakagi orofa akiona umuelewi anakucharaza,nampenda sana.

  • @fokasiinnocent3448
    @fokasiinnocent3448 6 лет назад +4

    huyo ndo majariwa bwana kama hujui atakaga masyala no mchezo kwake aliwai kuwapiga fimbo walimu atakahi ujinga,nampenda sana.

  • @thecklamassesa5317
    @thecklamassesa5317 6 лет назад +2

    Mradi ukikamilika nitahamia Buchosa nikafundishe watoto wa kitanzania.Buchosa oyeeee!

  • @josephgomalo41
    @josephgomalo41 5 лет назад +1

    MY NEXT PRESIDENT.. HUREE MH. MAJALIWA..!

  • @giftomary3634
    @giftomary3634 6 лет назад +2

    huyu wazuri mkuu ni hatari yaan on the sport duuuuu

  • @peterngerera3993
    @peterngerera3993 4 года назад

    Safi sana majaliwa nyumban hapo

  • @augustinemakelele3187
    @augustinemakelele3187 6 лет назад +4

    Huu jamaa hana ubabaishaji anaenda kwa ushahidi

  • @radhiambwana8787
    @radhiambwana8787 4 года назад

    Ndomana aliyekuwa Rc wa Dodoma Jordani Rugimbana alikataa mradi mkubwa wa Maji wataa wa HAMVU usibadilishwe njia yake kwavile alijuwa thamani yake. Watalam wetu acheni ujanja ujanja.

  • @omarjumanne4471
    @omarjumanne4471 6 лет назад +2

    Mkuu wa mkoa hamna kitu mpaka aje waziri mkuu hafai mwige makonda aibu

  • @peterngerera3993
    @peterngerera3993 4 года назад

    Namuoma na baba yangu wa iman Charles mbongo

  • @lulyehomadale9009
    @lulyehomadale9009 6 лет назад +1

    Naive conscius mubunge alishasema tangu mradi unaanza hawakumsikikiza na alishawahi wekwa ndani

  • @lulyehomadale9009
    @lulyehomadale9009 6 лет назад +2

    Siasa zina tabia ya kuongelea matatizo sio kutatua , kuna mradi sengerema ulienda kuzinduliwa kukawa na shida kiongozi mmoja wa upinzan alitiwa ndani baada ya kuonekana atasema ukweli wakati wa ziara ya mkuu

    • @twalibuiddy1889
      @twalibuiddy1889 6 лет назад

      mueshimiwa siuende kulekwetu rushoto nako ni hivihivi sisi tuko kwenyevyanzo vya mito tunakunywa maji pamoja na mifugo kweli inaumasana

    • @twalibuiddy1889
      @twalibuiddy1889 6 лет назад

      mueshimiwa uje rushoto kata ya bondeni watu tunakunywa maji mtoni.tangunikiwa mdogo mmbunge alikua shelukindo miaka yote ametudanganya maji barabara sasahivi mueshimiwa januari makamba tusaidie kijiji cha kwendoghoi jamani tusaidie hataile barabara iunganishe na ya kihitu angalau miradi ya maendeleo iwe rahisi

  • @messiasulley3944
    @messiasulley3944 5 лет назад +1

    Usitafune tafune kama unaongea na mkuu wako

  • @emmanuelnyabahele3522
    @emmanuelnyabahele3522 6 лет назад +1

    Amekimbia mhandisi wa maji maana haitiki kabisa na wanainchi wameanza kumkataa ni shida sana

  • @omarjumanne4471
    @omarjumanne4471 6 лет назад +1

    Na tabora nenda kata ya ndala nzega mradi wa maji miaka 40 maji hatuna

  • @mariumchima8098
    @mariumchima8098 6 лет назад +2

    mh tunaomba uje kata ya IKUZA MULEBA ni majipu tuuuu baba njooo

  • @mwanaharakatiog3279
    @mwanaharakatiog3279 6 лет назад +1

    Siasa bana Rais alituahid maji kigoma mpk saiz maji hayatok miez3

    • @emmanuellawrence2434
      @emmanuellawrence2434 6 лет назад +1

      tulia ndugu...waziri mkuu anakuja kigoma wiki hii...n mwendo wa kukagua miradi tu mbaka wanyooke...

  • @jumaigoti8676
    @jumaigoti8676 5 лет назад

    Kwenye mladi huo hela imeliwa waziwazi .

  • @nestorymtirackmtirack8770
    @nestorymtirackmtirack8770 5 лет назад

    huyo kwan ni mbuz? anaongea huku anatafuna nn? hana adabu kabsa