wakawaida saaana yan ata mm namgubika man panch hana yo yo nyiiing huku akatike mauno yan sjamuelewa kabisa mleteni toxic basi au mpaka mtu apige nondo ndo mumualike
Da!! Huyu jamaa ananisikitisha sana, kwanini wengine wasikubali tu kuwa mashabiki kama wanapenda rap kuliko kufanya kitu usichokiweza hata theluthi? anaikosea sana hip hop kwa kiasi kikubwa, ni wengi huwa wanazingua kwenye dk 10 za maangamizi ila huyu jamaa binafsi mimi naona kazidi, sio kwa nia mbaya ya kumkatisha tamaa ila ndiyo uhalisia afanye kitu kingine huku si sehemu yake
Hv mnatumia vigezo gn kuleta hawa watu hapo kwel huyu mtu wakupewa dakika kumi za airtime kwel? Au kigezo ni kulipia dakika huyu hata mm uniamshe usiku hanishindi kurap huyu ni shabiki shabiki sio rapa msilete ukanda na umikoa mtafuteni mtu anaitwa toxic kwenye kipaza mleteni hapo muone really hop
Kawaida sanaaaa watu kama hao wanaharibu radha ya dakika 10 za maangamizi
Kawaida sana.... Aje Izzo business amfundishe kuchana.
Kwa muonekano anaweza lakini ngonja haanze sasa utacheka mwenyewe kamanda michano mbona yoyooo nyingi dadeqiiiii💪💪👈👈
Daaah mnafeLi...Leteni hivi vichwa iLi kipindi kirudi kwenye chati......
(1) Cado kitengo "nondo"
(2) Toxic Fuvu
(3) Mteganda "kibabu cha mjini"
Unasauti Kali Ila Hujaitendea Haki Kaza Mzee Nafas Yak Ipo
txha
Bado breakdown nyingi mno yaani analazimisha dakika ziishe tu poorbar
Juma Kimtanange umeshtuka hajui
kama imevurugwa hivi
Huyo mwenetu wa raper naye atafutiwe siku aje apo maana ako vzr mazeee
kawaida mno... hakuna cha ajabu.. labda gym tu ndo kabobea... aendelee na vyuma awe mlinzi..... music bdo.. ajitafte
Umejitahidi ila bado cjaridhika
None sense...hakuna msanii hapo ubishoo tuu..warudi mbeya wakalime mpunga na viazi.
amejitahidi c mbaya saaaana, sema mda umeupoteza mwingi yan hjachana ata kw dkk 7 alafu n aibu sn wenzako wanablame dkk aziwatoshi ww dkk znakuzidi ah umebowa sn.....
wakawaida saaana yan ata mm namgubika man panch hana yo yo nyiiing huku akatike mauno yan sjamuelewa kabisa mleteni toxic basi au mpaka mtu apige nondo ndo mumualike
Hamna Kazi apoooo nipeni nafasiiiiii namba zangu 0688455787 beep tu mm napigaaa
Huyo jamaa mjinga $ana hata kwangu hachomoi wakawaida sana
kama tunaangalia mpiga kelele huyu jamaa anamakelele kishenzi.. hana mziki wala michano
mnatulea hawa makuli mnamuacha MTU kama "Cado kitengo" acheni chuki hebu mleteni 'Cado kitengo' _freestyler genius_
Sure mwanangU...wamLete fundi Mzee wa midamu
Ayeeeeeh...Ayeeahhh.... wozA woZaaaah
Hahaa aayeee aayeaaaaaa
cha maana body 2 anazngua kelele kama nash mc akimckia lazma aseme zimaaaaaa
usenge
Da!! Huyu jamaa ananisikitisha sana, kwanini wengine wasikubali tu kuwa mashabiki kama wanapenda rap kuliko kufanya kitu usichokiweza hata theluthi? anaikosea sana hip hop kwa kiasi kikubwa, ni wengi huwa wanazingua kwenye dk 10 za maangamizi ila huyu jamaa binafsi mimi naona kazidi, sio kwa nia mbaya ya kumkatisha tamaa ila ndiyo uhalisia afanye kitu kingine huku si sehemu yake
mwili mkubwa akili kindude sio lazima wote muwe wasanii
Xxx
Unanimalizia bando huyu sio mwana hiphop
Ungasyatusyagaaa sana bro
#wakiflow wanaflow rap katuni/
#wanaflow wanashika tro
wanavunja rap kanuni/
na wengine n mabro sijua alafu kwanini..
Kuna kaz nyingine za kufanya c kila mtu n msanii au emcee... Wengine wawe wadau tyuu....naomba aje Izzo aokoe wadgo zake.
Watu kiwango cha kuleta hapa ni kina wakiafrika, bishoo ninja na chuma, kwanza chuma na boshoo ninja Ndo baba zao
Weka bals acha yoyo nyingii
Nimepitia comments bila kuckiliza daa sio sawa jaman
naomba mniletee tena kinye
!)kinye wamistari
!!)chuma mbeya
Mmmmh huyu jamaa hamna kitu
mpen nafas Rill Doser From TRC
Wap
#kadoo kitengo
#black_mc
Lete waguM wa CRB
naomba mniletee tena kinye
!)kinye wamistari
!!)chuma mbeya
Non-sence
tuendelee kushare earadio kwa RUclips pia iendelee kutamba
Hajui mpaka anaomba dakika zimalize km uyo msimlete
Apa akna msanii dullah mlete Kenya maghettoni(mukuru) nimfunze kisha mumualike tena,, anazingua
Kazingua kinoma noma,
#fanyeni mumletee cado kitengo,nondo
Yeah muhim sana,,,, Kado kitengo aletwe
Sijui kwann hawamtaki cado kitengo
Naona mb's zangu zimeenda bure tyuu
Daaah kweL Mzee KADO MTU MBAYA
Tena kinoma hajui mpaka anakera
Umejitahidi sana kijana ila bado
Noma noma
Fifi anaitagi mlinzi jamaa kazingua kinoma
oya sema nini mnazingua mnachelewa sana kupakia
hamna msanii hapo anapiga kelele tuuu
No consistency in this flow. extremely boring, out of melody. Waste of beats totally.
Kama ningekua na uwezo ningepeleka siku mbele ili j3 ifike haraka labda kuna emcee atakuja kusafisha upuuzi wa leo..
Hv mnatumia vigezo gn kuleta hawa watu hapo kwel huyu mtu wakupewa dakika kumi za airtime kwel? Au kigezo ni kulipia dakika huyu hata mm uniamshe usiku hanishindi kurap huyu ni shabiki shabiki sio rapa msilete ukanda na umikoa mtafuteni mtu anaitwa toxic kwenye kipaza mleteni hapo muone really hop
Sana
Ela yako tu
Uyo yupo kwenye tamasha au studio mala woyoo woyoo iko nini sasa
Hahahahah noma kweli bro
Ukiwa hujui dakika kumi unaziona kama saa kumi
hajui mleten kalinguna kutoka tunduma muone mistali
Mwamba katuzingua bora asingekua anataja mkoa wetu
Anaflow nzuri ila mistari bado michache yuko OK kiasi chake
Abas Mwika kama hajui mchane tu cz hana alichofanya zaid ya kucheka
@@samirnaty8774 hahahaa
@@daniikirunda7113 au uongo chafu?
@@samirnaty8774 sana boi...kelele tu utadhan yupo jukwaan anaperform
Konkiii konkiiii
Kiasi chake mkubwa
naomba Nafasi nije kuangamizaaa hapooooo jaman...nimeomba sana huu mwaka sasa umepita
Hamna kituuu
Konki Master😊
mbwembwe sipendi angamiza tu mengne waachie akina Jay mond
Triple D Dc hahahahaaa
+Gwanta ze buster gwanta ze buster Siunaona jamaa anavyoyumba
Mleteni Nchama the best tena kwa mara nyingine, nimemic sana freestyle..
Mleten Kado Nondo ..
Ayeeee
Mzee wa midamu