Dakika 10 Za Maangamizi - Msamiati | Planet Bongo

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 сен 2024

Комментарии • 84

  • @mustaphayusuph52
    @mustaphayusuph52 5 лет назад

    Kawaida sanaaaa watu kama hao wanaharibu radha ya dakika 10 za maangamizi

  • @kingcharlz3325
    @kingcharlz3325 5 лет назад +3

    Kawaida sana.... Aje Izzo business amfundishe kuchana.

  • @juniorog5086
    @juniorog5086 5 лет назад +1

    Kwa muonekano anaweza lakini ngonja haanze sasa utacheka mwenyewe kamanda michano mbona yoyooo nyingi dadeqiiiii💪💪👈👈

  • @daniikirunda7113
    @daniikirunda7113 5 лет назад +3

    Daaah mnafeLi...Leteni hivi vichwa iLi kipindi kirudi kwenye chati......
    (1) Cado kitengo "nondo"
    (2) Toxic Fuvu
    (3) Mteganda "kibabu cha mjini"

  • @deogratiuskombe5789
    @deogratiuskombe5789 5 лет назад +1

    Unasauti Kali Ila Hujaitendea Haki Kaza Mzee Nafas Yak Ipo

  • @yonaalex159
    @yonaalex159 5 лет назад +1

    txha

  • @jumakimtanange8177
    @jumakimtanange8177 5 лет назад +3

    Bado breakdown nyingi mno yaani analazimisha dakika ziishe tu poorbar

  • @mbunahchannel2179
    @mbunahchannel2179 5 лет назад +1

    kama imevurugwa hivi

  • @josephkasainey7921
    @josephkasainey7921 5 лет назад +1

    Huyo mwenetu wa raper naye atafutiwe siku aje apo maana ako vzr mazeee

  • @rodgersgingila9367
    @rodgersgingila9367 5 лет назад +10

    kawaida mno... hakuna cha ajabu.. labda gym tu ndo kabobea... aendelee na vyuma awe mlinzi..... music bdo.. ajitafte

  • @shadrackkapami3481
    @shadrackkapami3481 5 лет назад

    None sense...hakuna msanii hapo ubishoo tuu..warudi mbeya wakalime mpunga na viazi.

  • @abdulmohd6880
    @abdulmohd6880 5 лет назад

    amejitahidi c mbaya saaaana, sema mda umeupoteza mwingi yan hjachana ata kw dkk 7 alafu n aibu sn wenzako wanablame dkk aziwatoshi ww dkk znakuzidi ah umebowa sn.....

  • @mndigaboy2534
    @mndigaboy2534 5 лет назад

    wakawaida saaana yan ata mm namgubika man panch hana yo yo nyiiing huku akatike mauno yan sjamuelewa kabisa mleteni toxic basi au mpaka mtu apige nondo ndo mumualike

  • @thomasnyakitagara5100
    @thomasnyakitagara5100 5 лет назад

    Hamna Kazi apoooo nipeni nafasiiiiii namba zangu 0688455787 beep tu mm napigaaa

  • @edwinlawi710
    @edwinlawi710 5 лет назад +6

    Huyo jamaa mjinga $ana hata kwangu hachomoi wakawaida sana

  • @maedsonmahonge122
    @maedsonmahonge122 5 лет назад

    kama tunaangalia mpiga kelele huyu jamaa anamakelele kishenzi.. hana mziki wala michano

  • @mvungigaming
    @mvungigaming 5 лет назад +8

    mnatulea hawa makuli mnamuacha MTU kama "Cado kitengo" acheni chuki hebu mleteni 'Cado kitengo' _freestyler genius_

  • @edwardcharles1066
    @edwardcharles1066 5 лет назад

    cha maana body 2 anazngua kelele kama nash mc akimckia lazma aseme zimaaaaaa

  • @issaomary7718
    @issaomary7718 5 лет назад +2

    usenge

  • @linkmedia9254
    @linkmedia9254 5 лет назад +1

    Da!! Huyu jamaa ananisikitisha sana, kwanini wengine wasikubali tu kuwa mashabiki kama wanapenda rap kuliko kufanya kitu usichokiweza hata theluthi? anaikosea sana hip hop kwa kiasi kikubwa, ni wengi huwa wanazingua kwenye dk 10 za maangamizi ila huyu jamaa binafsi mimi naona kazidi, sio kwa nia mbaya ya kumkatisha tamaa ila ndiyo uhalisia afanye kitu kingine huku si sehemu yake

  • @godfreykyando3345
    @godfreykyando3345 5 лет назад

    mwili mkubwa akili kindude sio lazima wote muwe wasanii

  • @N_kali
    @N_kali 5 лет назад +1

    Xxx

  • @manjalejuniorlg7024
    @manjalejuniorlg7024 5 лет назад

    Unanimalizia bando huyu sio mwana hiphop

  • @methodmateo8184
    @methodmateo8184 5 лет назад +1

    Ungasyatusyagaaa sana bro

  • @kisye
    @kisye 5 лет назад +4

    #wakiflow wanaflow rap katuni/
    #wanaflow wanashika tro
    wanavunja rap kanuni/
    na wengine n mabro sijua alafu kwanini..

  • @kingcharlz3325
    @kingcharlz3325 5 лет назад +1

    Kuna kaz nyingine za kufanya c kila mtu n msanii au emcee... Wengine wawe wadau tyuu....naomba aje Izzo aokoe wadgo zake.

  • @rapsigz5741
    @rapsigz5741 5 лет назад +2

    Watu kiwango cha kuleta hapa ni kina wakiafrika, bishoo ninja na chuma, kwanza chuma na boshoo ninja Ndo baba zao

  • @calvinmorgan66
    @calvinmorgan66 5 лет назад

    Weka bals acha yoyo nyingii

  • @generalmwegama3384
    @generalmwegama3384 5 лет назад +1

    Nimepitia comments bila kuckiliza daa sio sawa jaman

  • @wizzmkandawile1140
    @wizzmkandawile1140 5 лет назад +2

    naomba mniletee tena kinye
    !)kinye wamistari
    !!)chuma mbeya

  • @jusuboy3200
    @jusuboy3200 5 лет назад

    Mmmmh huyu jamaa hamna kitu

  • @rilldoserfromtrc2678
    @rilldoserfromtrc2678 5 лет назад

    mpen nafas Rill Doser From TRC

  • @twaibunyoni4020
    @twaibunyoni4020 5 лет назад +1

    Wap
    #kadoo kitengo
    #black_mc
    Lete waguM wa CRB

  • @wizzmkandawile1140
    @wizzmkandawile1140 5 лет назад +1

    naomba mniletee tena kinye
    !)kinye wamistari
    !!)chuma mbeya

  • @miltonemusumbah2544
    @miltonemusumbah2544 5 лет назад

    Non-sence

  • @innocentsilivester9783
    @innocentsilivester9783 5 лет назад +1

    tuendelee kushare earadio kwa RUclips pia iendelee kutamba

  • @samirnaty8774
    @samirnaty8774 5 лет назад +1

    Hajui mpaka anaomba dakika zimalize km uyo msimlete

  • @rapsigz5741
    @rapsigz5741 5 лет назад +1

    Apa akna msanii dullah mlete Kenya maghettoni(mukuru) nimfunze kisha mumualike tena,, anazingua

  • @bignationcoolboy.1500
    @bignationcoolboy.1500 5 лет назад +7

    Kazingua kinoma noma,
    #fanyeni mumletee cado kitengo,nondo

  • @barakalayzer6846
    @barakalayzer6846 5 лет назад +2

    Umejitahidi sana kijana ila bado

  • @kitinegraffixtutorialps8447
    @kitinegraffixtutorialps8447 5 лет назад

    Noma noma

  • @patrickkimaro7955
    @patrickkimaro7955 5 лет назад +2

    Fifi anaitagi mlinzi jamaa kazingua kinoma

  • @reaganmakallo6824
    @reaganmakallo6824 5 лет назад +2

    oya sema nini mnazingua mnachelewa sana kupakia

  • @reaganmakallo6824
    @reaganmakallo6824 5 лет назад +3

    hamna msanii hapo anapiga kelele tuuu

  • @fredmabeya
    @fredmabeya 5 лет назад +2

    No consistency in this flow. extremely boring, out of melody. Waste of beats totally.

    • @kingcharlz3325
      @kingcharlz3325 5 лет назад +1

      Kama ningekua na uwezo ningepeleka siku mbele ili j3 ifike haraka labda kuna emcee atakuja kusafisha upuuzi wa leo..

  • @fgao1071
    @fgao1071 5 лет назад +2

    Hv mnatumia vigezo gn kuleta hawa watu hapo kwel huyu mtu wakupewa dakika kumi za airtime kwel? Au kigezo ni kulipia dakika huyu hata mm uniamshe usiku hanishindi kurap huyu ni shabiki shabiki sio rapa msilete ukanda na umikoa mtafuteni mtu anaitwa toxic kwenye kipaza mleteni hapo muone really hop

  • @safisp
    @safisp 5 лет назад +3

    Uyo yupo kwenye tamasha au studio mala woyoo woyoo iko nini sasa

  • @yohansiwale811
    @yohansiwale811 5 лет назад +1

    hajui mleten kalinguna kutoka tunduma muone mistali

    • @isaacmapunda8179
      @isaacmapunda8179 5 лет назад

      Mwamba katuzingua bora asingekua anataja mkoa wetu

  • @abasmwika3432
    @abasmwika3432 5 лет назад +2

    Anaflow nzuri ila mistari bado michache yuko OK kiasi chake

    • @samirnaty8774
      @samirnaty8774 5 лет назад +1

      Abas Mwika kama hajui mchane tu cz hana alichofanya zaid ya kucheka

    • @daniikirunda7113
      @daniikirunda7113 5 лет назад +2

      @@samirnaty8774 hahahaa

    • @samirnaty8774
      @samirnaty8774 5 лет назад +1

      @@daniikirunda7113 au uongo chafu?

    • @daniikirunda7113
      @daniikirunda7113 5 лет назад +2

      @@samirnaty8774 sana boi...kelele tu utadhan yupo jukwaan anaperform

  • @charlzzesonconsciousness6685
    @charlzzesonconsciousness6685 5 лет назад +1

    Konkiii konkiiii

  • @gockoomzawa226
    @gockoomzawa226 5 лет назад +1

    Kiasi chake mkubwa

  • @thomasnyakitagara5100
    @thomasnyakitagara5100 5 лет назад

    naomba Nafasi nije kuangamizaaa hapooooo jaman...nimeomba sana huu mwaka sasa umepita

  • @omarmbaruk3605
    @omarmbaruk3605 5 лет назад +1

    Hamna kituuu

  • @dullytv1450
    @dullytv1450 5 лет назад +1

    Konki Master😊

  • @tripleddc8724
    @tripleddc8724 5 лет назад +1

    mbwembwe sipendi angamiza tu mengne waachie akina Jay mond

    • @gwantadibusta
      @gwantadibusta 5 лет назад

      Triple D Dc hahahahaaa

    • @tripleddc8724
      @tripleddc8724 5 лет назад

      +Gwanta ze buster gwanta ze buster Siunaona jamaa anavyoyumba

  • @dutchballaka3422
    @dutchballaka3422 5 лет назад +2

    Mleteni Nchama the best tena kwa mara nyingine, nimemic sana freestyle..

  • @desmonddavid1454
    @desmonddavid1454 5 лет назад +5

    Mleten Kado Nondo ..