KAMA UNA NDOTO ya KUFANYA KAZI OMAN - DUBAI na CANADA WASIKILIZE BRAVO JOBS - HAKUNA JANJAJANJA...!

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 6 сен 2024
  • KAMA UNA NDOTO ya KUFANYA KAZI OMANI - DUBAI na CANADA WASIKILIZE BRAVO JOBS - HAKUNA JANJAJANJA...!
    Jishindie Zawadi na Global TV
    Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
    👉🔥👉forms.gle/aU9z...
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Комментарии • 59

  • @umsulaiman7468
    @umsulaiman7468 3 месяца назад +2

    Ndio tunachukuwa passport kwa sababu mnatoroka na ss ilitugharim pesa nyingi kuwaleta kama ukitaka kutoroka hakikisha umeondoka urudi kwenu ukatorokee huko huko lazima mufate Sheria za mchi mtulie kama mumekuja kufanya KAZI iwe KAZI zandani sio KAZI ndani na kudanga kwani msitulie mkaondoka kwa salama

    • @ruqaiamohammed345
      @ruqaiamohammed345 3 месяца назад

      Sasa mbona una hasira hivyo? Na ww ni shaghala tu wala sio boss 😂😂😂

    • @shamzone388
      @shamzone388 3 месяца назад +1

      Jaman mbina hata ktk mashirika na mawizara pia zinazuuliwa passport mpaka ukitaka kwenda leave ndio utachukua na ukirudi unairudisha hakuna la ajabu

    • @zuweinaalhabsya8773
      @zuweinaalhabsya8773 3 месяца назад

      Yes ni kweli kabisa. Ulivyosema.

    • @zuweinaalhabsya8773
      @zuweinaalhabsya8773 3 месяца назад

      ​@@shamzone388ni kweli kabisa sijui kwanini wanaona ajabu.

  • @ChukuMrido
    @ChukuMrido Месяц назад +1

    Safi

  • @fatimawazeer701
    @fatimawazeer701 3 месяца назад +2

    Pia Nawanaume zipo kazi kama ya ulizi

  • @OmanOman-dd5qk
    @OmanOman-dd5qk 3 месяца назад +1

    Aslamu alaikum samahani ofisi zenu ziko wapi nambazenu tafadhali

  • @umsulaiman7468
    @umsulaiman7468 3 месяца назад +1

    ManshaAllah Nadya mzuri

  • @yussufmohamed5120
    @yussufmohamed5120 3 месяца назад +1

    Kwaomani msije walabu. Wanaloho mbaya❤

    • @rayahamisi118
      @rayahamisi118 3 месяца назад +1

      Omani ndio nchi mzuri warehouse safi wachache wenye roho mbaya

    • @rayahamisi118
      @rayahamisi118 3 месяца назад

      Ila omani ukikuta mwarabu waswahili ndio utajuwa ujui

    • @rayahamisi118
      @rayahamisi118 3 месяца назад

      Nilienda katal na dubei wee kugumu bora omani

    • @mundhirsalum21
      @mundhirsalum21 2 месяца назад

      @@rayahamisi118 💯 Niko Oman 🇴🇲 warabu waswahili ndio balaa

    • @rayahamisi118
      @rayahamisi118 2 месяца назад

      @@mundhirsalum21 mm kwawaswahili nimefanya duu wanamaneno na masomango nilitoroka sasa nipo kwa wa shashi bora awafanani na warabu mafuwa

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 3 месяца назад

    Msiende k u wa house girl au boys Uarabuni.😢😢

  • @user-jb3uq6jg5f
    @user-jb3uq6jg5f 3 месяца назад +1

    Jamani ntawatafuta nikimaliza mkataba

    • @user-ye1dt2eb8u
      @user-ye1dt2eb8u 3 месяца назад

      Nauliza, mnatafutia watanzania pekee, au na nchi zingine pia, kama kenya na zingine....

  • @user-jb3uq6jg5f
    @user-jb3uq6jg5f 3 месяца назад

    Wengine kwa sababu za usalama na mikataba ndo inasema passport inakaa kwa mwajiri❤❤😊

  • @meowzna
    @meowzna 3 месяца назад

    Asante Sanaa Sister👏🌹

  • @fatimakabuei179
    @fatimakabuei179 3 месяца назад

    Umri wa kazi mbali na udereva

  • @NeemaRamadhani-wm8vv
    @NeemaRamadhani-wm8vv 24 дня назад

    Nahitaji kazi omani as house girl.

  • @user-ok4qd7wg7c
    @user-ok4qd7wg7c 3 месяца назад

    mungu awafanyie wepesi

  • @lailafakhihaji
    @lailafakhihaji 3 месяца назад

    Bravo mtu atapataje visa bila kukamilisha vitu unatakiwa ukamlishe barua zote

  • @zuweinaalhabsya8773
    @zuweinaalhabsya8773 3 месяца назад

    Hilo tangazo wamesema UAE yaan Qatar UAE sio Qatar ni United Arab Emarates. Watanzania mpaka useme Dubai Ndio wanajua

  • @user-wc4dt2gy5h
    @user-wc4dt2gy5h 3 месяца назад

    Kuhusu passport kwamba unakaanayo we huo ni uongo passport inakaa na boss

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 3 месяца назад

    Acheni hiyo biashara ya housekeeping huko kwa waarabu .Hata Tz tunahitaji ili mradi serikali ifuatilie alipwe vizuri .
    Jamani Housekeeping kwa waarabu no.
    Hiyo ni ndoto waarabu wanachukua passiport.Utumwa tena unarudi.Hawa aki n a dada wawe waangarifu na serikali ifuatilie😮😮😮

    • @ruqaiamohammed345
      @ruqaiamohammed345 3 месяца назад +2

      Eeeh utumwa kwa mwarabu ndio tunajenga / kusomesha / kulisha familiya zetu ndg tz mtampa dada laki 6 mpk 8 ?

  • @lailafakhihaji
    @lailafakhihaji 3 месяца назад

    Poland wenyewe wanakwenda uk German kutafuta kazi Canada wakimbizi wamejaa mpaka wenyeji wanalia kazi hamna

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  3 месяца назад

    Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7

  • @user-jb3uq6jg5f
    @user-jb3uq6jg5f 3 месяца назад

    Jamani sisi wa domestic kingereza kinapanda tunaweza kupata kazi canada maana tunamaliza mikataba

  • @hafsasaif8004
    @hafsasaif8004 3 месяца назад

    Wewe dada Acha Uongo passport unampa boos kabla Ujafika Ata nyumban kwake

  • @meowzna
    @meowzna 3 месяца назад

    Kweli tumepata Elimu👍

  • @user-ok4qd7wg7c
    @user-ok4qd7wg7c 3 месяца назад

    wautize hawo kina dada Mimi Nina ndugu zangu tangia mwaka wajana wamejaza fomu mpa Leo hatuwasomi

  • @user-ok4qd7wg7c
    @user-ok4qd7wg7c 3 месяца назад

    kwahiyo kama sisi turio jaza fomu tangia mwaka wajana mpaka rini hiyo safari

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4pl 3 месяца назад

    Mmmm!!!

  • @rayahamisi118
    @rayahamisi118 3 месяца назад

    Ngoja mwarabu wachache wanao angalia mkataba napiya paspot anashika bos 😂😂😂

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4pl 3 месяца назад

    Nendenitu mkajionee kwa machoyenu. Dunia imeisha kilamtu anavutia kwake nipesatu ubinaadam hakuna hao. Ukiwaona kama watu kumbe binaadam moyonikwao msaadashida ukipata matatizo

  • @user-bd6if2vn8s
    @user-bd6if2vn8s 20 дней назад

    Naomba namba mimi nahitaj kaz

  • @user-ok4qd7wg7c
    @user-ok4qd7wg7c 3 месяца назад

    Assalamu Allaaeykumu

  • @user-wc4dt2gy5h
    @user-wc4dt2gy5h 3 месяца назад

    Tena ukifka tuu kabla hata ya salamu anakwambia naomba passport

  • @user-ok4qd7wg7c
    @user-ok4qd7wg7c 3 месяца назад

    Kila siku tukiwapigia cm mnasema bado

  • @user-wc4dt2gy5h
    @user-wc4dt2gy5h 3 месяца назад

    Hao ni waongo yani wakushakufkisha kazi tuu hawana mda na we wanataka pesa tuu

  • @aishatest4451
    @aishatest4451 3 месяца назад

    jamani natamani sana

  • @khadija5761
    @khadija5761 3 месяца назад

    Tunaomba namba zenu za cm

  • @abdallaahabdallaahibrahim6719
    @abdallaahabdallaahibrahim6719 3 месяца назад

    Tunaomba namba za simu

  • @rayahamisi118
    @rayahamisi118 3 месяца назад

    Kuna nchi mbili ngumu izo kuliko ugumu mwenyewe katar na dubei ndio awaangali kabisa mkataba na kugumu kuliko weee kiliniramba

  • @NuruBomba
    @NuruBomba 3 месяца назад

    Mwarabu lazima uchukue passport

  • @user-ok4qd7wg7c
    @user-ok4qd7wg7c 3 месяца назад

    nakuhusu Grama mnamfanyia ofisi au

  • @zuweinaalhabsya8773
    @zuweinaalhabsya8773 3 месяца назад

    Hata Tanzania wananyanyaswa

  • @MAURIDSHABANI
    @MAURIDSHABANI 3 месяца назад

    Hi kapuni zili kweli

  • @user-cw3qc5vg1t
    @user-cw3qc5vg1t Месяц назад

    Pumbavu

  • @user-ok4qd7wg7c
    @user-ok4qd7wg7c 3 месяца назад

    kaka hujambo hapo mjengoni

  • @user-ok4qd7wg7c
    @user-ok4qd7wg7c 3 месяца назад

    dada ramda kampuni yenu rakini nchi kama omani ukifika tu bosi anachukua pasptl

    • @Official83640
      @Official83640 3 месяца назад

      Ulitakiwa uwe live ndy uulize haya maswali lkn hapa hakuna atakae kujibu

    • @Official83640
      @Official83640 3 месяца назад

      Ulitakiwa uwe live ndy uulize haya maswali lkn hapa hakuna atakae kujibu

    • @shamzone388
      @shamzone388 3 месяца назад

      Soma coment utafaham

  • @ZenaZena-vx2ee
    @ZenaZena-vx2ee 3 месяца назад

    Oman ipo hivyo inakamata paspt

    • @zuweinaalhabsya8773
      @zuweinaalhabsya8773 3 месяца назад

      Duniya nzima boss anakaa na passport ikiwa kazi za ndani au company passport inakuwa na boss. Sio Oman tu.