KAMA UNA NDOTO ya KUFANYA KAZI OMAN - DUBAI na CANADA WASIKILIZE BRAVO JOBS - HAKUNA JANJAJANJA...!
HTML-код
- Опубликовано: 6 сен 2024
- KAMA UNA NDOTO ya KUFANYA KAZI OMANI - DUBAI na CANADA WASIKILIZE BRAVO JOBS - HAKUNA JANJAJANJA...!
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9z...
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Ndio tunachukuwa passport kwa sababu mnatoroka na ss ilitugharim pesa nyingi kuwaleta kama ukitaka kutoroka hakikisha umeondoka urudi kwenu ukatorokee huko huko lazima mufate Sheria za mchi mtulie kama mumekuja kufanya KAZI iwe KAZI zandani sio KAZI ndani na kudanga kwani msitulie mkaondoka kwa salama
Sasa mbona una hasira hivyo? Na ww ni shaghala tu wala sio boss 😂😂😂
Jaman mbina hata ktk mashirika na mawizara pia zinazuuliwa passport mpaka ukitaka kwenda leave ndio utachukua na ukirudi unairudisha hakuna la ajabu
Yes ni kweli kabisa. Ulivyosema.
@@shamzone388ni kweli kabisa sijui kwanini wanaona ajabu.
Safi
Pia Nawanaume zipo kazi kama ya ulizi
Aslamu alaikum samahani ofisi zenu ziko wapi nambazenu tafadhali
ManshaAllah Nadya mzuri
Kwaomani msije walabu. Wanaloho mbaya❤
Omani ndio nchi mzuri warehouse safi wachache wenye roho mbaya
Ila omani ukikuta mwarabu waswahili ndio utajuwa ujui
Nilienda katal na dubei wee kugumu bora omani
@@rayahamisi118 💯 Niko Oman 🇴🇲 warabu waswahili ndio balaa
@@mundhirsalum21 mm kwawaswahili nimefanya duu wanamaneno na masomango nilitoroka sasa nipo kwa wa shashi bora awafanani na warabu mafuwa
Msiende k u wa house girl au boys Uarabuni.😢😢
Jamani ntawatafuta nikimaliza mkataba
Nauliza, mnatafutia watanzania pekee, au na nchi zingine pia, kama kenya na zingine....
Wengine kwa sababu za usalama na mikataba ndo inasema passport inakaa kwa mwajiri❤❤😊
Asante Sanaa Sister👏🌹
Umri wa kazi mbali na udereva
Nahitaji kazi omani as house girl.
mungu awafanyie wepesi
Bravo mtu atapataje visa bila kukamilisha vitu unatakiwa ukamlishe barua zote
Hilo tangazo wamesema UAE yaan Qatar UAE sio Qatar ni United Arab Emarates. Watanzania mpaka useme Dubai Ndio wanajua
Kuhusu passport kwamba unakaanayo we huo ni uongo passport inakaa na boss
Acheni hiyo biashara ya housekeeping huko kwa waarabu .Hata Tz tunahitaji ili mradi serikali ifuatilie alipwe vizuri .
Jamani Housekeeping kwa waarabu no.
Hiyo ni ndoto waarabu wanachukua passiport.Utumwa tena unarudi.Hawa aki n a dada wawe waangarifu na serikali ifuatilie😮😮😮
Eeeh utumwa kwa mwarabu ndio tunajenga / kusomesha / kulisha familiya zetu ndg tz mtampa dada laki 6 mpk 8 ?
Poland wenyewe wanakwenda uk German kutafuta kazi Canada wakimbizi wamejaa mpaka wenyeji wanalia kazi hamna
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
Jamani sisi wa domestic kingereza kinapanda tunaweza kupata kazi canada maana tunamaliza mikataba
Wewe dada Acha Uongo passport unampa boos kabla Ujafika Ata nyumban kwake
Kweli tumepata Elimu👍
wautize hawo kina dada Mimi Nina ndugu zangu tangia mwaka wajana wamejaza fomu mpa Leo hatuwasomi
kwahiyo kama sisi turio jaza fomu tangia mwaka wajana mpaka rini hiyo safari
Mmmm!!!
Ngoja mwarabu wachache wanao angalia mkataba napiya paspot anashika bos 😂😂😂
Nendenitu mkajionee kwa machoyenu. Dunia imeisha kilamtu anavutia kwake nipesatu ubinaadam hakuna hao. Ukiwaona kama watu kumbe binaadam moyonikwao msaadashida ukipata matatizo
Naomba namba mimi nahitaj kaz
Assalamu Allaaeykumu
Tena ukifka tuu kabla hata ya salamu anakwambia naomba passport
Kila siku tukiwapigia cm mnasema bado
Hao ni waongo yani wakushakufkisha kazi tuu hawana mda na we wanataka pesa tuu
jamani natamani sana
Tunaomba namba zenu za cm
Tunaomba namba za simu
Kuna nchi mbili ngumu izo kuliko ugumu mwenyewe katar na dubei ndio awaangali kabisa mkataba na kugumu kuliko weee kiliniramba
Mwarabu lazima uchukue passport
nakuhusu Grama mnamfanyia ofisi au
Hata Tanzania wananyanyaswa
Hi kapuni zili kweli
Pumbavu
kaka hujambo hapo mjengoni
dada ramda kampuni yenu rakini nchi kama omani ukifika tu bosi anachukua pasptl
Ulitakiwa uwe live ndy uulize haya maswali lkn hapa hakuna atakae kujibu
Ulitakiwa uwe live ndy uulize haya maswali lkn hapa hakuna atakae kujibu
Soma coment utafaham
Oman ipo hivyo inakamata paspt
Duniya nzima boss anakaa na passport ikiwa kazi za ndani au company passport inakuwa na boss. Sio Oman tu.