Это видео недоступно.
Сожалеем об этом.
Mapazia ya Smart Huwezi Amini ,Unafunga na Kufungua kwa Sauti : SmartHome Tour
HTML-код
- Опубликовано: 26 апр 2022
- #snashtz #smarthome #smartgadgets
Mapazia ya Smart Huwezi Amini ,Unafunga na Kufungua kwa Sauti : SmartHome Tour
Aisee hii ni noma 👍👍👍 we jamaa una fanya kazi muhimu sana
Amazing xan bro💥💥💥💥💥💥
snash naomba tufanye kazi pamoja
Nakubali sana bro snashtz ani back 2 back! Nice work bro!! Third 2 view😍
Kaka tunamshukuru kwa kutuletea mambo mazuri...💯💯💯
Duh bro umetisha sana biiig up
Mimi nimoja wapo ninae fanya hiyo kazi ila nafanya nikiwa Oman nizuri Sana ila mimi natumia orvibo campani
Hii
Mh kwa wavivu safi sana
Angalia mambo na vitu vya ajabu katika sehemu tano za kihistoria
ruclips.net/video/jJ7Wb9RiD-A/видео.html
Review zako umetisha sana unatufanya tujue technology mpya zinazotumika sahivi
Safi san broo natamn san nije nifanye kazi na ww
Izo pazia zinafuliwa
💥💥
alexa nioneshe camera ya chumbani kwa watoto mbona hujaitaja kwa kingereza snash 😅 its a joke
Braza kwann usiende wasafi
Yeye pekee ni zaid ya wasafi
Snash ,apo umeniacha kwenye tv , mbona kuna shots mbili tofauti,moja umatoa command kwa alex, nyingine tv ishawaka
Kaka nifanyie Review ya Subaru regance
Oi niaje, review ya The Batman vp mzeya?
Maujanja ya smart home
Wana Bei ganii
Kweny kuafford xasa 🤔🤔
Kaka naomba fanya review ya oppo reno 3
#Techinswahili technology inazidi kukua hadi inafanya vitu vionekane rahisi
Technology inataka tuwe mabwanyenye sasa😁😁😁
Unyama
Apa tumepigwa eti alexer alafu inakuja sin nyingine dyh
Ila swali langu ni bro snashtz hata kama hutonijibu kwa wakat ila utakapojib itakuwa ni manufaa kwa wote! Kwa mfano kama mm ndo naanza nanunua hayo mapazia je yataoperate kwa mfumo wa smart bila ya kuwa na hiko kifaa unachokiita ALEXA???
Ila hap sio saut umetumia kwa hap Luna namna
Gharama zao zipoje?
Mwanangu Snash huo mchongo umekaa kama wako hivi😂😂
Huyu jamaa anaakili sana yani katuanzia mbali ili aanze kupiga pesa.
@@globalextratv1839 hahahaha mwenye akili halali njaa
Tun off kwer umefany oukay
Ko ata mwiz atasem alexa turn of camera ata turn off na utapgwa na kitu kizito
Dah nimecheka xana
Broo utupe na review ya uncharted
Nenda kwa Mr infoma au Mr lukindo
Kweny TV kuwaka umetupiga bro
Ila kweli bro kumbe na wewe umeona hio kitu.
Kwani ni lazima iwe Alexa? Haiwez kua SIRI
Siri ni ya IPhone
@@josephguerino7416 najua ndo maan nimeuliza inaweza kua SIRI au ni ALEXA peke yake
@@chrisbayona411 oh okay! Hapo nimekuelewa. Labda Snash anaweza kutupa updates zaidi kuhusu hiyo
@@josephguerino7416 eeh kaka, ndo tunasubir reply yake naona kimya hua hajibu comment sijui?
Naomba Namba yako please
0756445759
Tatzo lake nimeona ni kuchelewa kutoa majbu
Sio kuchelewa kutoa majibu, nahisi Alexa anakuwa hajamuelewa, ulimi was mtangazaji ni mzito kidogo kwenye kuongea English
Na hilo ndo litakua tatizo coz recommend iko kwa luga ya wenzentu ile lafuz iko tofaut na yetu ata km tutaongea kingereza bora zaid ila lafuz yetu iko tofaut
Tun off kwer umefany oukay