Это видео недоступно.
Сожалеем об этом.

Mapazia ya Smart Huwezi Amini ,Unafunga na Kufungua kwa Sauti : SmartHome Tour

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 апр 2022
  • #snashtz #smarthome #smartgadgets
    Mapazia ya Smart Huwezi Amini ,Unafunga na Kufungua kwa Sauti : SmartHome Tour

Комментарии • 52

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 2 года назад

    Aisee hii ni noma 👍👍👍 we jamaa una fanya kazi muhimu sana

  • @mustrysallh6309
    @mustrysallh6309 2 года назад

    Amazing xan bro💥💥💥💥💥💥

  • @allenimosha6777
    @allenimosha6777 2 года назад +2

    snash naomba tufanye kazi pamoja

  • @shabanimatua4971
    @shabanimatua4971 2 года назад

    Nakubali sana bro snashtz ani back 2 back! Nice work bro!! Third 2 view😍

  • @elijahthadeus4419
    @elijahthadeus4419 2 года назад

    Kaka tunamshukuru kwa kutuletea mambo mazuri...💯💯💯

  • @MGB_movies
    @MGB_movies 2 года назад +1

    Duh bro umetisha sana biiig up

  • @jumasaid3228
    @jumasaid3228 2 года назад +3

    Mimi nimoja wapo ninae fanya hiyo kazi ila nafanya nikiwa Oman nizuri Sana ila mimi natumia orvibo campani

  • @abdiabdillah7595
    @abdiabdillah7595 2 года назад +1

    Mh kwa wavivu safi sana

  • @Joha_media
    @Joha_media 2 года назад +1

    Angalia mambo na vitu vya ajabu katika sehemu tano za kihistoria
    ruclips.net/video/jJ7Wb9RiD-A/видео.html

  • @roythekler8017
    @roythekler8017 2 года назад

    Review zako umetisha sana unatufanya tujue technology mpya zinazotumika sahivi

  • @Lecture_tz
    @Lecture_tz 2 года назад

    Safi san broo natamn san nije nifanye kazi na ww

  • @dianaalfredy3305
    @dianaalfredy3305 2 года назад

    Izo pazia zinafuliwa

  • @mrishoramadhan3898
    @mrishoramadhan3898 2 года назад

    💥💥

  • @templerfx4212
    @templerfx4212 2 года назад +2

    alexa nioneshe camera ya chumbani kwa watoto mbona hujaitaja kwa kingereza snash 😅 its a joke

  • @msengikelvin8565
    @msengikelvin8565 2 года назад +1

    Braza kwann usiende wasafi

    • @davisnitu890
      @davisnitu890 2 года назад

      Yeye pekee ni zaid ya wasafi

  • @benjaminmushi2780
    @benjaminmushi2780 2 года назад

    Snash ,apo umeniacha kwenye tv , mbona kuna shots mbili tofauti,moja umatoa command kwa alex, nyingine tv ishawaka

  • @shihume256
    @shihume256 2 года назад

    Kaka nifanyie Review ya Subaru regance

  • @jamesmaziku3570
    @jamesmaziku3570 2 года назад

    Oi niaje, review ya The Batman vp mzeya?

  • @shijaolomi6800
    @shijaolomi6800 2 года назад

    Maujanja ya smart home

  • @vicxonhyper2090
    @vicxonhyper2090 2 года назад

    Wana Bei ganii

  • @dawsongeorge5439
    @dawsongeorge5439 2 года назад

    Kweny kuafford xasa 🤔🤔

  • @amiryhamady5838
    @amiryhamady5838 2 года назад

    Kaka naomba fanya review ya oppo reno 3

  • @josephkimaro6270
    @josephkimaro6270 2 года назад

    #Techinswahili technology inazidi kukua hadi inafanya vitu vionekane rahisi

  • @user-ot2io4cy6w
    @user-ot2io4cy6w 2 года назад

    Technology inataka tuwe mabwanyenye sasa😁😁😁

  • @davidtz4595
    @davidtz4595 2 года назад

    Unyama

  • @Mkinga_og
    @Mkinga_og 2 года назад

    Apa tumepigwa eti alexer alafu inakuja sin nyingine dyh

  • @shabanimatua4971
    @shabanimatua4971 2 года назад

    Ila swali langu ni bro snashtz hata kama hutonijibu kwa wakat ila utakapojib itakuwa ni manufaa kwa wote! Kwa mfano kama mm ndo naanza nanunua hayo mapazia je yataoperate kwa mfumo wa smart bila ya kuwa na hiko kifaa unachokiita ALEXA???

  • @youngsimbeye7103
    @youngsimbeye7103 2 года назад

    Ila hap sio saut umetumia kwa hap Luna namna

  • @moneykillingbabiez9334
    @moneykillingbabiez9334 2 года назад

    Gharama zao zipoje?

  • @chiefben4861
    @chiefben4861 2 года назад

    Mwanangu Snash huo mchongo umekaa kama wako hivi😂😂

    • @globalextratv1839
      @globalextratv1839 2 года назад

      Huyu jamaa anaakili sana yani katuanzia mbali ili aanze kupiga pesa.

    • @chiefben4861
      @chiefben4861 2 года назад

      @@globalextratv1839 hahahaha mwenye akili halali njaa

  • @youngsimbeye7103
    @youngsimbeye7103 2 года назад

    Tun off kwer umefany oukay

  • @nellywizz9631
    @nellywizz9631 2 года назад +1

    Ko ata mwiz atasem alexa turn of camera ata turn off na utapgwa na kitu kizito

  • @Lecture_tz
    @Lecture_tz 2 года назад

    Broo utupe na review ya uncharted

  • @youngsimbeye7103
    @youngsimbeye7103 2 года назад

    Kweny TV kuwaka umetupiga bro

    • @kinemaster8608
      @kinemaster8608 2 года назад

      Ila kweli bro kumbe na wewe umeona hio kitu.

  • @chrisbayona411
    @chrisbayona411 2 года назад

    Kwani ni lazima iwe Alexa? Haiwez kua SIRI

    • @josephguerino7416
      @josephguerino7416 2 года назад

      Siri ni ya IPhone

    • @chrisbayona411
      @chrisbayona411 2 года назад

      @@josephguerino7416 najua ndo maan nimeuliza inaweza kua SIRI au ni ALEXA peke yake

    • @josephguerino7416
      @josephguerino7416 2 года назад

      @@chrisbayona411 oh okay! Hapo nimekuelewa. Labda Snash anaweza kutupa updates zaidi kuhusu hiyo

    • @chrisbayona411
      @chrisbayona411 2 года назад

      @@josephguerino7416 eeh kaka, ndo tunasubir reply yake naona kimya hua hajibu comment sijui?

  • @Yode897K
    @Yode897K 2 года назад

    Naomba Namba yako please

    • @snashtz
      @snashtz  2 года назад +1

      0756445759

  • @danielmkama24
    @danielmkama24 2 года назад +1

    Tatzo lake nimeona ni kuchelewa kutoa majbu

    • @josephguerino7416
      @josephguerino7416 2 года назад

      Sio kuchelewa kutoa majibu, nahisi Alexa anakuwa hajamuelewa, ulimi was mtangazaji ni mzito kidogo kwenye kuongea English

    • @nellywizz9631
      @nellywizz9631 2 года назад

      Na hilo ndo litakua tatizo coz recommend iko kwa luga ya wenzentu ile lafuz iko tofaut na yetu ata km tutaongea kingereza bora zaid ila lafuz yetu iko tofaut

  • @youngsimbeye7103
    @youngsimbeye7103 2 года назад

    Tun off kwer umefany oukay