JInsi yakupata chuo|Orodha ya vyuo vyote vya kati |gharama kwa Kila kozi|sifa za kusoma chuo 2023/24

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • sifa za kujiunga na chuo,sifa za kujiunga na chuo cha sheria,vyuo vya kilimo na ufugaji,sifa za kujiunga na chuo cha veta,sifa za kujiunga na chuo cha afya,kujiunga na vyuo,vyuo vya kati,vigezo vya kujiunga na chuo tanzania,vyuo vya kati 2023/24,orodha ya vyuo vya kati 2023/24,sifa za kujiunga na veta,sifa za kujiunga na chuo kikuu,vigezo vya kujiunga kidato cha tano,vyuo vya ngazi ya cheti tanzania,vyuo vikuu,jinsi ya kujiunga na chuo cha veta
    orodha ya vyuo vya kati 2023/24,orodha ya vyuo vya ngazi ya cheti tanzania 2023/2024,vyuo vya ngazi ya cheti tanzania,vigezo vya kujiunga kidato cha tano,vyuo vya afya tanzania,orodha ya vyuo vya afya 2023/2024,vyuo bora vya afya tanzania,vyuo vya serikali tanzania,vyuo vya biashara tanzania,vyuo vya sanaa tanzania,vyuo vya pharmacy tanzania,vyuo bora vya udaktari tanzania,vyuo vya afya tanzania 2023/2024,orodha ya majina waliochaguliwa vyuo vya afya

Комментарии • 74

  • @myleinntandallah4971
    @myleinntandallah4971 6 дней назад

    Naomba no zako kesho niwasiliana na wewe ana kwa ana

  • @MeshackFaustin-kt8vz
    @MeshackFaustin-kt8vz 11 месяцев назад +4

    Shkamoo teacher D, coz ya driving mwombaj awe na ufaulu gan

  • @FloraMwamlima
    @FloraMwamlima 5 месяцев назад +6

    Nimepata one form four lakin nataka kwenda chuo na nataka nisomee udoctor nifanyaje ili niweze kuchagulia na kusoma iyo couse ninayoitaka

    • @mycmeranyswai7957
      @mycmeranyswai7957 Месяц назад +1

      umepta one but it depend umesoma combination gan maana sio ulikua art then unataka usomee udaktar na kma ulipta one why hukwenda kidato cha tano?

    • @erickbarthazar9316
      @erickbarthazar9316 17 дней назад

      Nenda chuo Mdgo wangu

  • @SophiaMakanga-zj8ug
    @SophiaMakanga-zj8ug 3 месяца назад +2

    Mimi nimemaliza 4m nilipata IV ya 26 he naweza kusoma ICT

  • @glorialyimo-sb9gs
    @glorialyimo-sb9gs Год назад +6

    Nitapataje kitabu chenye orodha ya vyuo

  • @SaleheRamadhani-go1uw
    @SaleheRamadhani-go1uw 3 месяца назад +1

    Naomba mawasiliano ya wakuu wa chuo cha mwalimu nyelele dar kigamboni

  • @PaskaliCharles-pz8ds
    @PaskaliCharles-pz8ds 2 месяца назад

    Asante mwalimu kwa elimu nakufuatilia kwa makini

  • @BeatriceAcley
    @BeatriceAcley 2 месяца назад +1

    Me nimefaulu vzr lakn bd sielw

  • @HarunChande-bg1cn
    @HarunChande-bg1cn 11 дней назад

    Nmepata three form four cja chaguliwa chuo nfanyeje

  • @GeorgeKabogo
    @GeorgeKabogo 3 месяца назад +1

    Naomba mawasiliano chuo cha maabara ya mifugo Dodoma

  • @davotaasimwe5008
    @davotaasimwe5008 Месяц назад

    Naomba namba ya wakuu wa chuo Cha nik kinondoni

    • @teacherd
      @teacherd  Месяц назад

      Andika google chuo kitakuja na mawasliona Yao pia

  • @HonestKid-bf4kq
    @HonestKid-bf4kq 3 месяца назад +1

    Mwalim d ni vyuo vipi vizur vya masomo ya sayansi

  • @kennethmwajombe9215
    @kennethmwajombe9215 3 месяца назад +1

    Mwaka huu wanafungua lin

  • @evaamos1591
    @evaamos1591 7 месяцев назад

    Asante

  • @ernestnyoni474
    @ernestnyoni474 Год назад +1

    Mimi nahitaji chuo Cha ualimu lkini nmpngiwa chuo Cha tia na course co fani ynguu

  • @araphatAbeid
    @araphatAbeid 2 месяца назад

    brooo asa ukiwa na d moja na c mbili

  • @attujohn913
    @attujohn913 Год назад +2

    Naomba namba zenu

  • @AmmyKurunge
    @AmmyKurunge Год назад +1

    Naomba no zako

  • @MariamIssa-u8w
    @MariamIssa-u8w Месяц назад

    Nna mdogo wangu amepata division four ya 30 ana pass tatu una weza kumshaur asome nn amepata kiswahl c englsh c na biology d

  • @Hafidhbanga
    @Hafidhbanga 2 месяца назад

    Naomba mawasiliano yako

  • @user-wm8op9oo4m
    @user-wm8op9oo4m 6 месяцев назад

    Mm katika masomo yang ya arts nimefaulu Geog C,Bios,C,civics C, English D kiswahil C,Mathew F history C vp ni coz gan nzur ya kusoma na kuweza kujiajir au kuajiriwa

    • @teacherd
      @teacherd  6 месяцев назад

      Inategemea na wewe unataka kusoma kozi Gani..

  • @HonestKibaba
    @HonestKibaba Месяц назад

    Teacher samahan nilikuw nauliza nitapataje chuo kinachoendana na daraja lang.Mim nimepata three ya 14 Nina D moja ya history

    • @teacherd
      @teacherd  Месяц назад

      D pekeee?

    • @bakariMgonja
      @bakariMgonja 22 дня назад

      Teacher samahani mimi nilikua nauliza mimi nimepata divion four ya29 nataka niende nikasomee chuo cha tuorism unatakiwa ni chague kombi gani apo ya kwenda kusomea tuorism

    • @bakariMgonja
      @bakariMgonja 22 дня назад

      Na mwisho wa kufungwa dirisha la udhamini wa wanafunzi ni lini?

  • @Martha-u7w
    @Martha-u7w Месяц назад

    Nimesoma CBG nawezasoma kozi gani ya sayansi

  • @DanielyMtega
    @DanielyMtega 2 месяца назад

    Naomba namba ya mkuu wa kaliua Tabora

  • @user-um1sy8ss7k
    @user-um1sy8ss7k Год назад +1

    Naitwa Frank nmechaguliw kwenda advance but HKL japokuwa nilifaulu kwend kusoma PCB coz ndo malengo angu,je nifanyej maan siwez kwend private kkifedha.

    • @teacherd
      @teacherd  Год назад

      Kaliporti kwanza Kisha unaweza kuchange hapo hapo shuleni au kuhama shule

  • @araphatAbeid
    @araphatAbeid 2 месяца назад

    inakuwaje apo

  • @philminamargwe3642
    @philminamargwe3642 Месяц назад

    Je mfano una d tatu utakubaliwa au

  • @ImanihassanNyenyeleka
    @ImanihassanNyenyeleka 3 месяца назад

    Samahani nilikuwa natafuta chuo cha watu maalumu ila nimemaliza kidato cha nne ninawasani wa divesheni lll je ninaweza kupata
    Ninaitwa Farida

  • @ManuallyMunga
    @ManuallyMunga Месяц назад

    Nimepata four 27 natakakwenda chuo cha sheria inawezekana

  • @Jailos-vk2cv
    @Jailos-vk2cv Год назад +1

    Naitwa jemah nahitaji kupata form

  • @ernestnyoni474
    @ernestnyoni474 Год назад +1

    Naitwa Salma nhitji chuo ch ualimu

  • @AntonyAron-bu7ej
    @AntonyAron-bu7ej Год назад +1

    Pharmacy olevel anatakiwa ufaulu upi

  • @kelvin366
    @kelvin366 Месяц назад

    Teacher nina gpa 2.8 diploma ya ualimu nafnyaje kwa hilo

    • @kelvin366
      @kelvin366 Месяц назад

      Teacher gpa ya 2.8 nimepata nafnyje

    • @kelvin366
      @kelvin366 Месяц назад

      Natk kwenda degree nimemaliza kwa masomo ya phy na math

  • @GabbySultana-xu5pi
    @GabbySultana-xu5pi 5 месяцев назад

    Wa mwezi March vp

    • @teacherd
      @teacherd  5 месяцев назад

      Tayari imetoka . Ingia NACTVET

  • @Mishellymlugu
    @Mishellymlugu 3 месяца назад

    Nmepata two nahtaj kwend chuo cha afy nmefauru masom ya sayans

  • @user-xd8yr4xz9j
    @user-xd8yr4xz9j 7 месяцев назад

    Mimi nataka kusomea ualimu je hiyo kozi ipo

  • @habibarashid9527
    @habibarashid9527 6 месяцев назад +1

    nina d 5 naweza kupata chuo?

    • @teacherd
      @teacherd  6 месяцев назад

      Ndy unapata

  • @azizanzumbi9637
    @azizanzumbi9637 6 месяцев назад

    5:50 5:50 5:50

  • @Saunath-he2mt
    @Saunath-he2mt 5 месяцев назад

    Nitapaje kitabu Cha orodha ya vyuo

  • @SalumuZomba-xb5bz
    @SalumuZomba-xb5bz Месяц назад

    Mim natak nisomee u secretary nina c na d zimechangyk lkn zinafk 5

    • @teacherd
      @teacherd  Месяц назад

      Unaweza KUSOMA

    • @SalumuZomba-xb5bz
      @SalumuZomba-xb5bz Месяц назад

      @@teacherd samhn teacher d ukishaa apply chuo majib yanatok kwa mud gn

  • @EfraimuSaningo
    @EfraimuSaningo 2 месяца назад

    nataka chuo cha sungida

  • @ScholasticaDeengw
    @ScholasticaDeengw 2 месяца назад

    Nitapataje hicho kitabu?

  • @JoyceNgela
    @JoyceNgela 3 месяца назад

    Yaan F ya physics inamfanya mtu asiwe nursing wamebana kote

  • @Omaryissa-v2g
    @Omaryissa-v2g Месяц назад

    Nina mwanang amepat four 27 je anaweza kwend uhasibu?

    • @Omaryissa-v2g
      @Omaryissa-v2g Месяц назад

      Naomben mnisaidie

    • @teacherd
      @teacherd  Месяц назад

      Ufaulu wake uko? Credit ngp

    • @Omaryissa-v2g
      @Omaryissa-v2g Месяц назад

      @@teacherd 27

    • @teacherd
      @teacherd  Месяц назад

      @@Omaryissa-v2g sifa ni kua na D 4 Kuendelea.. kama anazo basi anaweza kusoma bila shida

  • @user-zx2yw3sj9h
    @user-zx2yw3sj9h 6 месяцев назад

    Natafuta shule Nina d ya history japo nimepata HKl

  • @user-ld8su5il9j
    @user-ld8su5il9j 7 месяцев назад

    Habar teacher certificate in law unatakiwa uwe na ufaulu gan

    • @teacherd
      @teacherd  7 месяцев назад

      Pass 4 ikwepo language, pass ni kuanzia D

  • @costantinomlingula3341
    @costantinomlingula3341 7 месяцев назад

    Me natka nijue nitajuaj Kama ni chuo Cha gavermnt au pravet 10:55

    • @teacherd
      @teacherd  7 месяцев назад

      Vimeandika hapo juu kabsaa ya jina la chuo

  • @AshirafuNangui
    @AshirafuNangui 3 месяца назад

    Nimechaguliw advanc natak kusom iy koz niasaidien ndug zang

  • @user-ji2cd3sx4z
    @user-ji2cd3sx4z 6 месяцев назад

    Mm Asnath Nina D tatu ninaweza kupata chuo at kama Nina D tatu

    • @teacherd
      @teacherd  6 месяцев назад

      Zinabidi ziwe 4

    • @SalumuZomba-xb5bz
      @SalumuZomba-xb5bz Месяц назад

      Ku apply chuo cha serikal utakiwa uwe na d ngapi

  • @leylam2121
    @leylam2121 9 месяцев назад

    Naomba namba zako.samahqni