Nilichokipenda na ukristo wangu wote amemuongelea YESU vizuri sana kuonyesha kwake amekomaa kidini mungu ampe zaidi na zaidi na tunahitaji sana viongozi wa kidini wa aina hii ambao hawatugawi kama TAIFA
Mwenyez mungu akjalie kila lenye kheir hapa dunian na kesho akhera nakpenda kwaajil ya Allah leo yote nmeshinda kkckiza nmepita kila pahala penye lecture zako Allah barik.
Sh muhammad wlaah mm napatwa na matatzo mengi nikiwa saivi nna umr wa 21 years but kila nnayopitia mawaidha yko haya yananipa strong 💪🏻 snaaa Shukrn snaa wlah allah akubarik
Mashallah tabarakaallah sheikh Allah atakulipa kwa kulisha chakula roho zetu hatuna cha kulipa lakini malipo utakuta kwa mola wetu mlezi Subhanaallah na tunajivunia tunajisifia kwa watu kupata elimu ya bure ambayo hatuilipi Shukran Jazakaallahu kher
Mashaallah ustadhi wetu kwa kweli Allah amekujalia kipaji namuomba Allah anijalie mtoto wangu wa kwanza anijalie mtoto mwema wa kiume nimuite jina la mtume wetu muhammadi Allah amjalie awe na mwenendo wote wa mtume wetu yaarabbi nitakabalie dua yangu...aamiin
Mashaallah alhamdulillah Allah Akbar namuomba Allah anpe mwisho mwema na subra kwa Yale yanayonkuta mmh yaan mungu anatoa viumbe daah mawaidha ya huyu sheikh wangu daah yananlwaza kla nnapoyacklza naona km npo mji mwengne mzur daar Allah akulpe kla lakheri inshaallah
Mashaallah kwa kweli maneno yako thabiti umenikumbusha mbalii ....inshaallah Allah atujalie subra kila kinachotakiwa ni Allah mwenye kupanga kwahiyo tuwe n.a. yakini nayo...allah atujalie furaha na atuondoshee huzunii ktk mioyo yetu.aamiiin
From 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 nimetumwa hapa na rafiki yanguu kutoka mombasa shukran sana sheikh napenda kuskiza islamic teachings sana am christian thanks u guys hope i willl be welcomed
siwezi kumwita binadamu bosi hata siku moja hajamiliki bingu na aridhi yy si bosi ni tajiri utajiri wenyewe kapewa na mungu ndio bosi shekhe hapo umekosea
naiman machoz yang niliyolia leo shekh kwaajil ya ukumbusho huu cntouzunika tena nimeuzunika miak10 leo nimeona rehma za allah nimefika makka nimeomba faraj mwez wa ramadhan mwak jn ila nimejibiwa leo nitalud kumshukul allah pia kumsabah tena mjumbe wake madina inshaallah nilikata tamaa nikiwa kijan leo naumli wa miak26 nimepewa faraj
Hakika zidisha ibada huwezi mpata mchamungu ikiwa wewe c mcha Mungu,Hakika nilikua nafunga,naswali kumuomba mungu anipe mume mwema na kwa hakika kanipa mwema,mcha mungu,mpole wakuniheshimu kwa ajili ya Allah!hakika namshukuru na nazidisha ibada Allah atuongoze katk ibada na kizazi chetu.Kwahyo mpnzi zidisha dua hutoamini mungu anajibu kwa wakati ukimuomba kwa thati.
Wallahy nakupenda kwa ajili ya Allah nimekutafuta mpka nimekupataa....wallahy ww ni mmoja kati ya mashekhe wanaoniathiri na mawaidha ...Allah akuzidishie...na uendelee kueneza kilma Laa Illaaha Illah Allah....Amiiin....na jamii islam na waso islam Allah awaongozee...Amiiin....shukran Sheikh....ningependaa unijuze kwa kila jmbo la uislam....
hakika dini yetu haijacha kitu kuhusu mwanadamu na maisha yake , mwanzo nilikuwa na waamini wanasaikolojia ila Sasa sitofanya hivyo tena Qur'an haijacha kitu kabisa Alhamdulilah kuwa muislamu
Allah akuzidishie uzidi kutuzindua awali nilijihisi mkosa vingi kwa nafsi ila kauli zako zimeniamsha nakunifahamisha katika maisha kinachokufika haikuwa kikukose na kinachokukosa haikuwa kikufike Alhamdhulilllah shukran jazilllahhh ....Alllahu jalllah jallllaluhu
Allah akupe kila la kheir unataka ktk hii dunia na akhera na masheikh wote in sha Allah lakini nawausia watu wengine msiwavunje mioyo binaadamu ukiona ww unaweza unakaribishwa kutoa mawaidha binaadamu anapenda sana kurudisha wenzao nyuma kwa maneno makali sana ni bora mtu akupige ngumi ya uso kuliko kukutolea maneno makali yanayo umiza moyo. Allah atupe khair wote na atupe mwisho mwema in shaa Allah
mashanllah hakika kuwa muislam ni bahati kubwa anllah akupe kila la kheri akuepushe na mitihani ya dunia na akhera pia ili tuzidi kupata dawa yako ewe anllah nakuomba nijaalie mm mja wako kunipa mume kama huyu mashanllah
Mashallah mashallah mawaidha sahihi yasisimua ..Inshallah tuta twiih yarabi atuongoze na tutubie tuifanye toba natu ikinai dunia ...Ya RABI Tujalie mwisho mwema
Yarabi tupe imani nyoyozetu tuzidi kushikamana katika dini yako na utujaalie mshikamano wa kweli SHEH MUHAMMAD MUNGU AKUPE AFYA NJEMA UZIDI KUTUELIMISHA INSHA-ALHAH
Wallahi nimepata funzo,Allah akujaze kheri,akuzudishie umri tuzudi kupata ilmu toka kwako sisi ambao hatujafanikiwa kuipata ilmu,Allah anjalie mume mcha mungu kama huyu ama zaidi yake, Takabala Llah minda waminkum.
Maashaa ALLAH, Mwenyezi Mungu akulipe kheri nyingi kulingana na juhudi zako za ku ufikisha ujumbe wa ALLAH kwetu waislamu wenzako. ALLAH akujaalie wewe ka sisi mwisho mwema, aamiin.
Nilichokipenda na ukristo wangu wote amemuongelea YESU vizuri sana kuonyesha kwake amekomaa kidini mungu ampe zaidi na zaidi na tunahitaji sana viongozi wa kidini wa aina hii ambao hawatugawi kama TAIFA
Wallah nampenda huyu shekhe sijui nisemeje napenda mawaidha yako allah azid kukuongoza inshallah
Mashallah allah akupe muongozo mwema uzidi kutupa elimu🤲🤲
Mwenyez mungu akjalie kila lenye kheir hapa dunian na kesho akhera nakpenda kwaajil ya Allah leo yote nmeshinda kkckiza nmepita kila pahala penye lecture zako Allah barik.
Sh muhammad wlaah mm napatwa na matatzo mengi nikiwa saivi nna umr wa 21 years but kila nnayopitia mawaidha yko haya yananipa strong 💪🏻 snaaa Shukrn snaa wlah allah akubarik
Asalm alkm
Mashallah tabarakaallah sheikh Allah atakulipa kwa kulisha chakula roho zetu hatuna cha kulipa lakini malipo utakuta kwa mola wetu mlezi Subhanaallah na tunajivunia tunajisifia kwa watu kupata elimu ya bure ambayo hatuilipi Shukran Jazakaallahu kher
Mashaallah Allah na mpenda sana huyu shekh Mawaidha yake yana pandisha imani
Yarab nijaalie mume mwenye dini mashaallah mawaidha mazur
Mashaallah
Amin yalambir utapatatu
Inshaallah, Allah yuko pamoja nawe
MashaAllah sheikhe Allah akujaalie kila la kheyr.. tumekumiss sna sisi wanafunzi wa Muthurwa
Shehe muhammad. Omary mungu akuhifadh duniani akesho kiama akupe hifadhi njema akukinge na moto wa jahanam
shekh mola akupe mwisho mwema nimeuzunika kwa miak mingi sn nikiwa kijana mdogo ila leo nimepata faraj kutokan naww shukran mola akuongoe kwenye haki
2020 am here alikua mwanafunzi mwenzangu huyu madrsa leo nanufaik na darsa zake Ma Shaa Allah
Mashaallah ustadhi wetu kwa kweli Allah amekujalia kipaji namuomba Allah anijalie mtoto wangu wa kwanza anijalie mtoto mwema wa kiume nimuite jina la mtume wetu muhammadi Allah amjalie awe na mwenendo wote wa mtume wetu yaarabbi nitakabalie dua yangu...aamiin
Mungu akupe mwisho mwema
Amiin 😊
Mashaallah shukran jazzak Allah Allah akujaze kila la khery
MaashaAllah yani sheikh umeniliza wallahi, Allah atukutanishe ndani ya firdaus Insha Allah.
sheghe wangu kwamara ya kwanza nakusiliza hakika nimepata darasa basi inshalla mungu akupe maisha malefu ameen
Mashaallah alhamdulillah Allah Akbar namuomba Allah anpe mwisho mwema na subra kwa Yale yanayonkuta mmh yaan mungu anatoa viumbe daah mawaidha ya huyu sheikh wangu daah yananlwaza kla nnapoyacklza naona km npo mji mwengne mzur daar Allah akulpe kla lakheri inshaallah
Mashaallah ustadh we2 M'Mungu akulnde mahacd wackuone wanapokudhamiria kukufanyia uhacd nyny ndio wa2 muhmu zaid ktk dunia hii
Mashaallah allah akujaalie kila la kher uzidiku2pa mawaidhaa ili 2elimike n cc allah akubarik kwa,kipaji chako nayapend mno mawaidh yko
Alhamdulillah, mawaidha mazuri, "Starehe katika maisha yako "
Mashaallah kwa kweli maneno yako thabiti umenikumbusha mbalii ....inshaallah Allah atujalie subra kila kinachotakiwa ni Allah mwenye kupanga kwahiyo tuwe n.a. yakini nayo...allah atujalie furaha na atuondoshee huzunii ktk mioyo yetu.aamiiin
Habar
Ya Allah nijalie Mimi,ndugu zangu pamoja na waislam wote wamchao mungu tuwe na mwisho mwema
Aamiin
Allahumma Amiiiin
Amiiin
Aaamin Insha Allah!
Amiin
Mashallah mashallah mawaidha mazuri sana Allah akupe kila lenye kher na wew in shaa Allah
Mashallah wallah Allah bless you all day and all the time to uu brother
From 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 nimetumwa hapa na rafiki yanguu kutoka mombasa shukran sana sheikh napenda kuskiza islamic teachings sana am christian
thanks u guys hope i willl be welcomed
Karbu sana
mungu akupe ujuzi zaidi pamoja nass pia
mimi Tangiya nimusikilize huyu Mwalimu Imani ya Ngu ilipanda kuzidi wala siwezi tambusha Siku na sidjamuskiliza , nikiwa na wasiwasi nahangaliya Mawaidha yake ndo yananipa moto! Mwenyezimungu amupe Erimu mulefu kuzidi na Amuezeshe Inshallah ! tunamuomba basi atutiliye Videos zingine Djazakallah khailan
mashallah mungu akulipe kher mawaidha mazur yanatupa moyo kuwa na subra na kuzid iman yetu mungu atusaidie
mashaallah mung akuzidishie ishaallah na atujaalie mwisho mema
wapo viumbe wamepewa majina kama ya mtume, na wanayatendea haki, Allah ampe shufaa
siwezi kumwita binadamu bosi hata siku moja hajamiliki bingu na aridhi yy si bosi ni tajiri utajiri wenyewe kapewa na mungu ndio bosi shekhe hapo umekosea
lakini mawaidha yako yanipa furaha
Mashallah Allah akujalie heri shekh napenda sana mawaidhayako shekh.
Masha Allah ya Mohammad Mila akujalie kher
mashallha Mungu akulipe mema shekhe umenikosha sana mi kwa uwezo wa mungu inshaalla lazima nikutafute kwakweli
naiman machoz yang niliyolia leo shekh kwaajil ya ukumbusho huu cntouzunika tena nimeuzunika miak10 leo nimeona rehma za allah nimefika makka nimeomba faraj mwez wa ramadhan mwak jn ila nimejibiwa leo nitalud kumshukul allah pia kumsabah tena mjumbe wake madina inshaallah nilikata tamaa nikiwa kijan leo naumli wa miak26 nimepewa faraj
kiukweli ndgu yangu mohammad nakukubali sana Allah akujaze kila rakheri maneno yako yamenifanya nimche Allah ipasavyo
Rajabu Selemani mashallah vizur zaid
Allah atujalie Aladhina yastamiuna bikaul fayatabiuna Akhassan Allah atujalie wenyekusikiliza nakufanyia kazi
nimefel chuo nkawa naskiliza nyimbo znazonitia moyo ila sheik umenifanya nijue quran inatufunza tuckate tamaaa ,,,,asant
har lym mashaallah allah ata kufanyi wepesi inshaallah
Allah akufanyie wepesi usikate tamaa
Qurani imebeba mengi yalopita na yajayo yakila aina,ukitaka faraja basi ndo nyumbni.
Allah akufanyie wepesi
shekh mashaallh umefanya moyo wangu umejawa nafraha wallah allh akukhifadhi
Mashaaa Allah mungu tujalie mwisho mwema😍😍
jazakallah khair sheikh muhamad
Mashaa Allah mashaa Allah my ALLAH BLESS YOU
Ahsnte UST Muhammad Omar Allah akujaalie kila la kheir
masha Allah Allah akujaalie umli mmrefu na yenye kher ili tufaidike namawaidha namwomba Allah anijaalie mume mwema km uyu kaka aliesoma mchamungu
Allah akujaalie insha Allah
Inshallah
@@zaharanihassan9013 ,,,inshallah atapata
MASHALLAH ust omariiy Allah akujalie barraqa UKO uliko na akupe afya njema. Na akupe kilala kher na ma
Jukum yak INSHA ALLAH AMIIN RABBALA ALLAMIN
Nanzidi kuomba munguakipenda anijalie mume mwrnyeimaniya dini yakislamu ..inshaallah3
Inshallah Dada ,,,utampata
Hakika zidisha ibada huwezi mpata mchamungu ikiwa wewe c mcha Mungu,Hakika nilikua nafunga,naswali kumuomba mungu anipe mume mwema na kwa hakika kanipa mwema,mcha mungu,mpole wakuniheshimu kwa ajili ya Allah!hakika namshukuru na nazidisha ibada Allah atuongoze katk ibada na kizazi chetu.Kwahyo mpnzi zidisha dua hutoamini mungu anajibu kwa wakati ukimuomba kwa thati.
@@jaliakamote5485 shukuran...kwaushauriwako..ilanajitaidi...kufanyanaatakufungasuna😢😢😢😢..ilasijakatatamaanajuwaipo..sikunitapatatu......lnshaaallah...tupendane kwaajiliya...Allah
@@aishasalimaishasalim1323 Insha Allah!Utapata hitaji la moyo wako mlilie Allah atakupa hakika hawezi kukuacha.
@@jaliakamote5485 inshaallah.
Mumgumkubwa
Mashallah nafrai sana kusikiliza mawaidha mazur aswa Allah akujaalie kila lakheri inshallah
ma Sha Allah ustadh yani nataman niwe mkeo hadi mahar ntakupa
Mafunzo ya huyu kaka yananifanya nifanye uamuzi nifuate Islam
Allah akbar
Tome Makwae karibu
Karibu katika dini ya kweli na yenye malipo kwa Allah ....ndugu ushamapa maelekezo ya kuingia katika dini yetu ?
Dini ya haki mbele ya Allah ni uislamu
Allah Akbar
Mashaallah mashaallah Allah akuzidishie elimu na umri shukran sna ustadh mawaidha mazuri
Wallahy nakupenda kwa ajili ya Allah nimekutafuta mpka nimekupataa....wallahy ww ni mmoja kati ya mashekhe wanaoniathiri na mawaidha ...Allah akuzidishie...na uendelee kueneza kilma Laa Illaaha Illah Allah....Amiiin....na jamii islam na waso islam Allah awaongozee...Amiiin....shukran Sheikh....ningependaa unijuze kwa kila jmbo la uislam....
hakika dini yetu haijacha kitu kuhusu mwanadamu na maisha yake , mwanzo nilikuwa na waamini wanasaikolojia ila Sasa sitofanya hivyo tena Qur'an haijacha kitu kabisa Alhamdulilah kuwa muislamu
mashaalla alla akupe killa kheri shekhe umenifundisha kit mhim sana
mashaalla alla akupe killa kheri shekhe umenifundisha kit mhim sana
Allah akuhifadhi nakupenda sana
Allah akuzidishie uzidi kutuzindua awali nilijihisi mkosa vingi kwa nafsi ila kauli zako zimeniamsha nakunifahamisha katika maisha kinachokufika haikuwa kikukose na kinachokukosa haikuwa kikufike Alhamdhulilllah shukran jazilllahhh ....Alllahu jalllah jallllaluhu
Masha'allah
Asina Kassim mambo'mlembo hujambo unaishi wap
Muhimu ni kuchunga aliyo kuamrisha Allah s.w
Wallai haya mawaidha c choki kusikiza na kuangalia Alhamdhulilah nimepata faida
Mashaallah, mawaidha mazur niwajib wetu kuyafuata na kuyafanyia kazi
Allah akupe kila la kheir unataka ktk hii dunia na akhera na masheikh wote in sha Allah lakini nawausia watu wengine msiwavunje mioyo binaadamu ukiona ww unaweza unakaribishwa kutoa mawaidha binaadamu anapenda sana kurudisha wenzao nyuma kwa maneno makali sana ni bora mtu akupige ngumi ya uso kuliko kukutolea maneno makali yanayo umiza moyo. Allah atupe khair wote na atupe mwisho mwema in shaa Allah
😢😢SUBHAAN'ALLAH 💔
🙏🙏ALHAMDULILLAH 💖🌹
😢ALLAH AKBAR☝
MASHA' ALLAH✋✋🌹
alihamdulillahi
mashaallah mola awalipe ujira ulio mkubwa
Jazak Allah kheir,shukran ustadh
Mashallah sheikh Allah akuzidishie umri uzidi kutuelimisha yarab
Yani sichoki kusikiliza mawaidhayako....mungu azidi kukupa moyowaurumanakuitendea akidini yakislamu ..inshaallah...
Walahi Dada ,,pia Mimi nampenda huyu sheikh wetu mungu amweke jannah
mashaallah Allah akujaalie kila lililo na kher
Ma- sha-Allah!
Inshaallah mada nzuri sanaaaaa
Maashaallah Alla atuongoze atupe mwisho mwema Inshaallah pamoja na watoto wetu wote
jazzakallah kher sheikh ALLAH hakuongoze vema sheikh wetu
mashanllah hakika kuwa muislam ni bahati kubwa anllah akupe kila la kheri akuepushe na mitihani ya dunia na akhera pia ili tuzidi kupata dawa yako ewe anllah nakuomba nijaalie mm mja wako kunipa mume kama huyu mashanllah
Allah atuongoe katka kheri.Jazaaka llahu khayra Allah akujaalie mwisho mwema ewe Muhammad Umar.
Mnyamwezi Msomali
طيب الله انفاسكم
Mashaalla mungu akupe husnilhatima njema
2023 nipo napata iyi one of my favorite videos on RUclips nikiwa niko mu hardship hua naskiliza haya mawaidha Allah atupe mwisho mwema 🙏🏾
Mashaallah allah atuongoze wallah!
masha Allah nataman ningekuwa mkeo ninaiman ningefaidika zaidi na diin ya Allah in shaa Allah, Allah akufanyie wepes
Aisha Abdion Hahahaaaaaaa
Aisha Abdion ...Allah akupe kama huyo.
Aisha Abdion lll,,,,l.
Allah akipa kama huyu au zaidi ya huyu
Abdu m salehe mawaiza mazuri sana mungu akulipe badala yake
Wallhahi shekhe nakupenda kwa ajili ya allha Mungu akuweke kwakweli akupe maisha mema hapa duniani na kesho akhera
Mashaallah
Mashaallah mashaallah shukran ya sheikh mungu akulipe pepo kesho
Mashallah mashallah mawaidha sahihi yasisimua ..Inshallah tuta twiih yarabi atuongoze na tutubie tuifanye toba natu ikinai dunia ...Ya RABI Tujalie mwisho mwema
Asc
MashaAllah Sheikh Mwenyezi Mungu akujalie maisha marefu ya dawa In sha Allah.
Mansha Allah jazzakallahu khairan kwa ujumbe umefika ustadhi Allah akulipe kila lakheri
Kwel
Mashaallah mungu akupe umri mrefu sheik
🙏🙏🙏🙏 asante kwa aya mawaidha mazur
Yarabi tupe imani nyoyozetu tuzidi kushikamana katika dini yako na utujaalie mshikamano wa kweli SHEH MUHAMMAD MUNGU AKUPE AFYA NJEMA UZIDI KUTUELIMISHA INSHA-ALHAH
Maa shaa Allah shukran sana shekh Allah akupe umri mrefu wenye manufaa dunani na akhera
Mashallah sheikh wangu nakupenda kwa ajili ya allah aza wajal
Mashaallah tabarakallah
mashallwah shekel Mohammad Allah akuzidishie kilalakher katikamaisha yako
Mwalimu mungu akuzidishie umri mrefu uzidi kutufundisha nasis
Subhana llah wabihamdihi subhana llal adhiym,Allah akzdshie ilm zai😘
Amiina yaa rabby
Mm sio mwisilam Ila nawapenda sana 💞 pia napenda kujiunga na uwislam
Ma shaa Allah Allah atujaalie tuwe miongon mwa waja wema ustadh mada nzur naipenda sana
allah akbar mashaalla alla akujalie umri mrefu uzidi kutuelimisha in shaalla 👏👏wallahi nimesikiliza nimejifunza mengi
مريم يسف mashaallah Allah akjalie uzidi kuendesha dini ya Allah
Mashallah mashaallah, Allah akujalie uzidi kutupa dawa,lnshaallah
Mash'allah Allah akuraisishie Na akup ubri muref
Wallahi nimepata funzo,Allah akujaze kheri,akuzudishie umri tuzudi kupata ilmu toka kwako sisi ambao hatujafanikiwa kuipata ilmu,Allah anjalie mume mcha mungu kama huyu ama zaidi yake, Takabala Llah minda waminkum.
asante Kwa ujumbe,mashallah
Masha allah tabaraka allh shiikhuna allah yaxfidag akhuuna
Maashaallah. Jamani uislamu mtamu..kweli
Mashallah Allah akuzidishie kheri kwa mawaidhwa mazuri
Maashaa ALLAH, Mwenyezi Mungu akulipe kheri nyingi kulingana na juhudi zako za ku ufikisha ujumbe wa ALLAH kwetu waislamu wenzako. ALLAH akujaalie wewe ka sisi mwisho mwema, aamiin.
Alhamdulillah nakushukur san shekh Mohamed omar umenifunza nisio yajua jazaqa Allah khar
Kama vile nasikiliza othman maalim allh barikfiyk
Maa shaa Allah
barakallah feek shekh muhammad
Masha Allah mawaidha mazuri wallah asante kwa kutuongoza
mashaallah m ntakuwa hata mke wa 3 ilimradi tu nipate mume mwenye kujua dini yake na kuutendea haki uislam
Baraka-Allah feek
MashaAllah
Mashaa ALLAH,JazakaALLAHU KHEIR
Masha allah
Mashallah
Wallah sichoki kumsikiliza na kila nikimsikiliza najisikia iman inazidi Alhamdulillah Allah ajuzidie kila lakheri shekhe wetu mashallah
jazzakkallah herry shekh mohammad omar
mashallah jazzakhallahu khery ya shekh