021 2 MOHAMMED OMAR STAREHE KATIKA MAISHA YAKO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 24 ноя 2014
  • AkashaDaawah...

Комментарии • 500

  • @bleztv7011
    @bleztv7011 4 года назад +5

    Nilichokipenda na ukristo wangu wote amemuongelea YESU vizuri sana kuonyesha kwake amekomaa kidini mungu ampe zaidi na zaidi na tunahitaji sana viongozi wa kidini wa aina hii ambao hawatugawi kama TAIFA

  • @latifajanja2375
    @latifajanja2375 5 лет назад +19

    Wallah nampenda huyu shekhe sijui nisemeje napenda mawaidha yako allah azid kukuongoza inshallah

    • @tivelamc158
      @tivelamc158 3 года назад

      Mashallah allah akupe muongozo mwema uzidi kutupa elimu🤲🤲

  • @josphatingosi7066
    @josphatingosi7066 7 лет назад +10

    Mwenyez mungu akjalie kila lenye kheir hapa dunian na kesho akhera nakpenda kwaajil ya Allah leo yote nmeshinda kkckiza nmepita kila pahala penye lecture zako Allah barik.

  • @shuasaishuasai4108
    @shuasaishuasai4108 5 лет назад +35

    Sh muhammad wlaah mm napatwa na matatzo mengi nikiwa saivi nna umr wa 21 years but kila nnayopitia mawaidha yko haya yananipa strong 💪🏻 snaaa Shukrn snaa wlah allah akubarik

  • @ahmednasir7459
    @ahmednasir7459 6 лет назад +11

    Mashallah tabarakaallah sheikh Allah atakulipa kwa kulisha chakula roho zetu hatuna cha kulipa lakini malipo utakuta kwa mola wetu mlezi Subhanaallah na tunajivunia tunajisifia kwa watu kupata elimu ya bure ambayo hatuilipi Shukran Jazakaallahu kher

    • @aminaibrahim4148
      @aminaibrahim4148 3 года назад

      Mashaallah Allah na mpenda sana huyu shekh Mawaidha yake yana pandisha imani

  • @user-ie4wm9uk9n
    @user-ie4wm9uk9n 6 лет назад +24

    Yarab nijaalie mume mwenye dini mashaallah mawaidha mazur

  • @Arealdayinlife
    @Arealdayinlife 6 лет назад +14

    MashaAllah sheikhe Allah akujaalie kila la kheyr.. tumekumiss sna sisi wanafunzi wa Muthurwa

  • @marijanimohamed7619
    @marijanimohamed7619 5 лет назад +8

    Shehe muhammad. Omary mungu akuhifadh duniani akesho kiama akupe hifadhi njema akukinge na moto wa jahanam

  • @zaidishabani5745
    @zaidishabani5745 6 лет назад +13

    shekh mola akupe mwisho mwema nimeuzunika kwa miak mingi sn nikiwa kijana mdogo ila leo nimepata faraj kutokan naww shukran mola akuongoe kwenye haki

  • @kijonalusay
    @kijonalusay 4 года назад +4

    2020 am here alikua mwanafunzi mwenzangu huyu madrsa leo nanufaik na darsa zake Ma Shaa Allah

  • @wardarashid1570
    @wardarashid1570 5 лет назад +9

    Mashaallah ustadhi wetu kwa kweli Allah amekujalia kipaji namuomba Allah anijalie mtoto wangu wa kwanza anijalie mtoto mwema wa kiume nimuite jina la mtume wetu muhammadi Allah amjalie awe na mwenendo wote wa mtume wetu yaarabbi nitakabalie dua yangu...aamiin

  • @mwanaishambili241
    @mwanaishambili241 6 лет назад +10

    Mashaallah shukran jazzak Allah Allah akujaze kila la khery

  • @yussufomar7197
    @yussufomar7197 6 лет назад +8

    MaashaAllah yani sheikh umeniliza wallahi, Allah atukutanishe ndani ya firdaus Insha Allah.

  • @bakarimohamed4464
    @bakarimohamed4464 6 лет назад +10

    sheghe wangu kwamara ya kwanza nakusiliza hakika nimepata darasa basi inshalla mungu akupe maisha malefu ameen

  • @katundakiliza5894
    @katundakiliza5894 5 лет назад +6

    Mashaallah alhamdulillah Allah Akbar namuomba Allah anpe mwisho mwema na subra kwa Yale yanayonkuta mmh yaan mungu anatoa viumbe daah mawaidha ya huyu sheikh wangu daah yananlwaza kla nnapoyacklza naona km npo mji mwengne mzur daar Allah akulpe kla lakheri inshaallah

  • @abdallamohd1937
    @abdallamohd1937 6 лет назад +9

    Mashaallah ustadh we2 M'Mungu akulnde mahacd wackuone wanapokudhamiria kukufanyia uhacd nyny ndio wa2 muhmu zaid ktk dunia hii

    • @ashaabdul4876
      @ashaabdul4876 2 года назад

      Mashaallah allah akujaalie kila la kher uzidiku2pa mawaidhaa ili 2elimike n cc allah akubarik kwa,kipaji chako nayapend mno mawaidh yko

  • @majutomfaume7300
    @majutomfaume7300 6 лет назад +18

    Alhamdulillah, mawaidha mazuri, "Starehe katika maisha yako "

  • @wardarashid1570
    @wardarashid1570 5 лет назад +5

    Mashaallah kwa kweli maneno yako thabiti umenikumbusha mbalii ....inshaallah Allah atujalie subra kila kinachotakiwa ni Allah mwenye kupanga kwahiyo tuwe n.a. yakini nayo...allah atujalie furaha na atuondoshee huzunii ktk mioyo yetu.aamiiin

  • @shuwehaharunaomariikwena233
    @shuwehaharunaomariikwena233 7 лет назад +44

    Ya Allah nijalie Mimi,ndugu zangu pamoja na waislam wote wamchao mungu tuwe na mwisho mwema

  • @shufaakhamis4078
    @shufaakhamis4078 6 лет назад +6

    Mashallah mashallah mawaidha mazuri sana Allah akupe kila lenye kher na wew in shaa Allah

  • @hasnathassan1778
    @hasnathassan1778 6 лет назад +11

    Mashallah wallah Allah bless you all day and all the time to uu brother

  • @gitaudao
    @gitaudao 3 года назад +4

    From 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 nimetumwa hapa na rafiki yanguu kutoka mombasa shukran sana sheikh napenda kuskiza islamic teachings sana am christian
    thanks u guys hope i willl be welcomed

  • @nassormahrouk9778
    @nassormahrouk9778 4 года назад +1

    mungu akupe ujuzi zaidi pamoja nass pia

  • @rehmatnyampinga7980
    @rehmatnyampinga7980 7 лет назад +7

    mimi Tangiya nimusikilize huyu Mwalimu Imani ya Ngu ilipanda kuzidi wala siwezi tambusha Siku na sidjamuskiliza , nikiwa na wasiwasi nahangaliya Mawaidha yake ndo yananipa moto! Mwenyezimungu amupe Erimu mulefu kuzidi na Amuezeshe Inshallah ! tunamuomba basi atutiliye Videos zingine Djazakallah khailan

  • @safaasamih1625
    @safaasamih1625 8 лет назад +12

    mashallah mungu akulipe kher mawaidha mazur yanatupa moyo kuwa na subra na kuzid iman yetu mungu atusaidie

    • @aminasaleh6134
      @aminasaleh6134 4 года назад

      mashaallah mung akuzidishie ishaallah na atujaalie mwisho mema

  • @zaharanihassan9013
    @zaharanihassan9013 6 лет назад +28

    wapo viumbe wamepewa majina kama ya mtume, na wanayatendea haki, Allah ampe shufaa

  • @abdulrazak2698
    @abdulrazak2698 2 года назад +1

    Mashallah Allah akujalie heri shekh napenda sana mawaidhayako shekh.

  • @abousalmatvchannel4748
    @abousalmatvchannel4748 6 лет назад +6

    Masha Allah ya Mohammad Mila akujalie kher

  • @kasimkhamis1259
    @kasimkhamis1259 6 лет назад +4

    mashallha Mungu akulipe mema shekhe umenikosha sana mi kwa uwezo wa mungu inshaalla lazima nikutafute kwakweli

  • @zaidishabani5745
    @zaidishabani5745 6 лет назад +4

    naiman machoz yang niliyolia leo shekh kwaajil ya ukumbusho huu cntouzunika tena nimeuzunika miak10 leo nimeona rehma za allah nimefika makka nimeomba faraj mwez wa ramadhan mwak jn ila nimejibiwa leo nitalud kumshukul allah pia kumsabah tena mjumbe wake madina inshaallah nilikata tamaa nikiwa kijan leo naumli wa miak26 nimepewa faraj

  • @rajabuselemani3586
    @rajabuselemani3586 6 лет назад +6

    kiukweli ndgu yangu mohammad nakukubali sana Allah akujaze kila rakheri maneno yako yamenifanya nimche Allah ipasavyo

    • @jamilamunisi1480
      @jamilamunisi1480 5 лет назад

      Rajabu Selemani mashallah vizur zaid

    • @mbwanayussph307
      @mbwanayussph307 5 лет назад

      Allah atujalie Aladhina yastamiuna bikaul fayatabiuna Akhassan Allah atujalie wenyekusikiliza nakufanyia kazi

  • @abdulhalim5950
    @abdulhalim5950 7 лет назад +58

    nimefel chuo nkawa naskiliza nyimbo znazonitia moyo ila sheik umenifanya nijue quran inatufunza tuckate tamaaa ,,,,asant

    • @hamsikrasheedi1796
      @hamsikrasheedi1796 6 лет назад +3

      har lym mashaallah allah ata kufanyi wepesi inshaallah

    • @saidseif1479
      @saidseif1479 6 лет назад +2

      Allah akufanyie wepesi usikate tamaa

    • @jaliakamote5485
      @jaliakamote5485 5 лет назад +2

      Qurani imebeba mengi yalopita na yajayo yakila aina,ukitaka faraja basi ndo nyumbni.

    • @aishasalum3094
      @aishasalum3094 3 года назад +1

      Allah akufanyie wepesi

  • @saadachara943
    @saadachara943 5 лет назад +4

    shekh mashaallh umefanya moyo wangu umejawa nafraha wallah allh akukhifadhi

  • @fettamidu2503
    @fettamidu2503 5 лет назад +8

    Mashaaa Allah mungu tujalie mwisho mwema😍😍

  • @aishadaniel7147
    @aishadaniel7147 7 лет назад +6

    jazakallah khair sheikh muhamad

  • @aseelaaseela4913
    @aseelaaseela4913 5 лет назад +6

    Mashaa Allah mashaa Allah my ALLAH BLESS YOU

  • @adam5ramadhan154
    @adam5ramadhan154 4 года назад

    Ahsnte UST Muhammad Omar Allah akujaalie kila la kheir

  • @fatimasaidi5783
    @fatimasaidi5783 7 лет назад +13

    masha Allah Allah akujaalie umli mmrefu na yenye kher ili tufaidike namawaidha namwomba Allah anijaalie mume mwema km uyu kaka aliesoma mchamungu

  • @mukreemhassan7347
    @mukreemhassan7347 2 года назад

    MASHALLAH ust omariiy Allah akujalie barraqa UKO uliko na akupe afya njema. Na akupe kilala kher na ma
    Jukum yak INSHA ALLAH AMIIN RABBALA ALLAMIN

  • @aishasalimaishasalim1323
    @aishasalimaishasalim1323 5 лет назад +2

    Nanzidi kuomba munguakipenda anijalie mume mwrnyeimaniya dini yakislamu ..inshaallah3

    • @husseinyhassany5696
      @husseinyhassany5696 5 лет назад +1

      Inshallah Dada ,,,utampata

    • @jaliakamote5485
      @jaliakamote5485 5 лет назад +2

      Hakika zidisha ibada huwezi mpata mchamungu ikiwa wewe c mcha Mungu,Hakika nilikua nafunga,naswali kumuomba mungu anipe mume mwema na kwa hakika kanipa mwema,mcha mungu,mpole wakuniheshimu kwa ajili ya Allah!hakika namshukuru na nazidisha ibada Allah atuongoze katk ibada na kizazi chetu.Kwahyo mpnzi zidisha dua hutoamini mungu anajibu kwa wakati ukimuomba kwa thati.

    • @aishasalimaishasalim1323
      @aishasalimaishasalim1323 5 лет назад +1

      @@jaliakamote5485 shukuran...kwaushauriwako..ilanajitaidi...kufanyanaatakufungasuna😢😢😢😢..ilasijakatatamaanajuwaipo..sikunitapatatu......lnshaaallah...tupendane kwaajiliya...Allah

    • @jaliakamote5485
      @jaliakamote5485 5 лет назад

      @@aishasalimaishasalim1323 Insha Allah!Utapata hitaji la moyo wako mlilie Allah atakupa hakika hawezi kukuacha.

    • @aishasalimaishasalim1323
      @aishasalimaishasalim1323 5 лет назад

      @@jaliakamote5485 inshaallah.
      Mumgumkubwa

  • @jamilamunisi1480
    @jamilamunisi1480 5 лет назад +2

    Mashallah nafrai sana kusikiliza mawaidha mazur aswa Allah akujaalie kila lakheri inshallah

  • @tomemakwae9951
    @tomemakwae9951 5 лет назад +71

    Mafunzo ya huyu kaka yananifanya nifanye uamuzi nifuate Islam

    • @stevoovlogs8645
      @stevoovlogs8645 4 года назад +2

      Allah akbar

    • @samnas4real473
      @samnas4real473 4 года назад +1

      Tome Makwae karibu

    • @swabirali1276
      @swabirali1276 4 года назад

      Karibu katika dini ya kweli na yenye malipo kwa Allah ....ndugu ushamapa maelekezo ya kuingia katika dini yetu ?

    • @yussufsuleiman5843
      @yussufsuleiman5843 4 года назад

      Dini ya haki mbele ya Allah ni uislamu

    • @nasryseif3575
      @nasryseif3575 4 года назад

      Allah Akbar

  • @fatmarashim6353
    @fatmarashim6353 5 лет назад

    Mashaallah mashaallah Allah akuzidishie elimu na umri shukran sna ustadh mawaidha mazuri

  • @iptyhussein8892
    @iptyhussein8892 3 года назад +1

    Wallahy nakupenda kwa ajili ya Allah nimekutafuta mpka nimekupataa....wallahy ww ni mmoja kati ya mashekhe wanaoniathiri na mawaidha ...Allah akuzidishie...na uendelee kueneza kilma Laa Illaaha Illah Allah....Amiiin....na jamii islam na waso islam Allah awaongozee...Amiiin....shukran Sheikh....ningependaa unijuze kwa kila jmbo la uislam....

  • @othmanabdallah1948
    @othmanabdallah1948 7 лет назад +29

    hakika dini yetu haijacha kitu kuhusu mwanadamu na maisha yake , mwanzo nilikuwa na waamini wanasaikolojia ila Sasa sitofanya hivyo tena Qur'an haijacha kitu kabisa Alhamdulilah kuwa muislamu

    • @ahmadaltabbaa8255
      @ahmadaltabbaa8255 6 лет назад +2

      mashaalla alla akupe killa kheri shekhe umenifundisha kit mhim sana

    • @ahmadaltabbaa8255
      @ahmadaltabbaa8255 6 лет назад +1

      mashaalla alla akupe killa kheri shekhe umenifundisha kit mhim sana

    • @saadamamy4633
      @saadamamy4633 3 года назад

      Allah akuhifadhi nakupenda sana

  • @asinakassim1548
    @asinakassim1548 7 лет назад +4

    Allah akuzidishie uzidi kutuzindua awali nilijihisi mkosa vingi kwa nafsi ila kauli zako zimeniamsha nakunifahamisha katika maisha kinachokufika haikuwa kikukose na kinachokukosa haikuwa kikufike Alhamdhulilllah shukran jazilllahhh ....Alllahu jalllah jallllaluhu

  • @alhajiomary2294
    @alhajiomary2294 5 лет назад +4

    Muhimu ni kuchunga aliyo kuamrisha Allah s.w

  • @saumrajabo7287
    @saumrajabo7287 5 лет назад +4

    Wallai haya mawaidha c choki kusikiza na kuangalia Alhamdhulilah nimepata faida

  • @mudiabeid3531
    @mudiabeid3531 6 лет назад +2

    Mashaallah, mawaidha mazur niwajib wetu kuyafuata na kuyafanyia kazi

  • @bahsanyare6907
    @bahsanyare6907 7 лет назад +2

    Allah akupe kila la kheir unataka ktk hii dunia na akhera na masheikh wote in sha Allah lakini nawausia watu wengine msiwavunje mioyo binaadamu ukiona ww unaweza unakaribishwa kutoa mawaidha binaadamu anapenda sana kurudisha wenzao nyuma kwa maneno makali sana ni bora mtu akupige ngumi ya uso kuliko kukutolea maneno makali yanayo umiza moyo. Allah atupe khair wote na atupe mwisho mwema in shaa Allah

  • @hadijashabani2686
    @hadijashabani2686 6 лет назад +6

    😢😢SUBHAAN'ALLAH 💔
    🙏🙏ALHAMDULILLAH 💖🌹
    😢ALLAH AKBAR☝
    MASHA' ALLAH✋✋🌹

  • @husseinmfinanga4034
    @husseinmfinanga4034 8 лет назад +10

    mashaallah mola awalipe ujira ulio mkubwa

  • @zenahabdy54
    @zenahabdy54 6 лет назад +2

    Jazak Allah kheir,shukran ustadh

  • @ayshanani
    @ayshanani Год назад

    Mashallah sheikh Allah akuzidishie umri uzidi kutuelimisha yarab

  • @aishasalimaishasalim1323
    @aishasalimaishasalim1323 5 лет назад +2

    Yani sichoki kusikiliza mawaidhayako....mungu azidi kukupa moyowaurumanakuitendea akidini yakislamu ..inshaallah...

    • @husseinyhassany5696
      @husseinyhassany5696 5 лет назад

      Walahi Dada ,,pia Mimi nampenda huyu sheikh wetu mungu amweke jannah

  • @zuhuramwinyihija1190
    @zuhuramwinyihija1190 7 лет назад +15

    mashaallah Allah akujaalie kila lililo na kher

  • @sultansaid9157
    @sultansaid9157 6 лет назад +5

    Inshaallah mada nzuri sanaaaaa

  • @jokhanassor3507
    @jokhanassor3507 5 лет назад +1

    Maashaallah Alla atuongoze atupe mwisho mwema Inshaallah pamoja na watoto wetu wote

  • @samiyrahassani7842
    @samiyrahassani7842 7 лет назад +8

    jazzakallah kher sheikh ALLAH hakuongoze vema sheikh wetu

    • @najmaalzaabi8385
      @najmaalzaabi8385 5 лет назад

      mashanllah hakika kuwa muislam ni bahati kubwa anllah akupe kila la kheri akuepushe na mitihani ya dunia na akhera pia ili tuzidi kupata dawa yako ewe anllah nakuomba nijaalie mm mja wako kunipa mume kama huyu mashanllah

  • @mnyamwezionlinetv3998
    @mnyamwezionlinetv3998 7 лет назад +11

    Allah atuongoe katka kheri.Jazaaka llahu khayra Allah akujaalie mwisho mwema ewe Muhammad Umar.

  • @marijanimohamed7619
    @marijanimohamed7619 5 лет назад +3

    Mashaalla mungu akupe husnilhatima njema

  • @abouamaniofficial588
    @abouamaniofficial588 Год назад

    2023 nipo napata iyi one of my favorite videos on RUclips nikiwa niko mu hardship hua naskiliza haya mawaidha Allah atupe mwisho mwema 🙏🏾

  • @aminiyasini7271
    @aminiyasini7271 2 года назад +1

    Mashaallah allah atuongoze wallah!

  • @aishaabdion9802
    @aishaabdion9802 7 лет назад +71

    masha Allah nataman ningekuwa mkeo ninaiman ningefaidika zaidi na diin ya Allah in shaa Allah, Allah akufanyie wepes

  • @kassimkhamisi5254
    @kassimkhamisi5254 3 года назад

    Wallhahi shekhe nakupenda kwa ajili ya allha Mungu akuweke kwakweli akupe maisha mema hapa duniani na kesho akhera

  • @telaamtauta2227
    @telaamtauta2227 3 года назад

    Mashaallah mashaallah shukran ya sheikh mungu akulipe pepo kesho

  • @faridabakari8511
    @faridabakari8511 5 лет назад +4

    Mashallah mashallah mawaidha sahihi yasisimua ..Inshallah tuta twiih yarabi atuongoze na tutubie tuifanye toba natu ikinai dunia ...Ya RABI Tujalie mwisho mwema

  • @saidmughana
    @saidmughana 2 года назад

    MashaAllah Sheikh Mwenyezi Mungu akujalie maisha marefu ya dawa In sha Allah.

  • @ibrahimjeremy2175
    @ibrahimjeremy2175 7 лет назад +2

    Mansha Allah jazzakallahu khairan kwa ujumbe umefika ustadhi Allah akulipe kila lakheri

  • @tatuta6529
    @tatuta6529 5 лет назад +3

    Mashaallah mungu akupe umri mrefu sheik

  • @hamisjuma3620
    @hamisjuma3620 4 года назад +1

    🙏🙏🙏🙏 asante kwa aya mawaidha mazur

  • @abdulmajidothman8956
    @abdulmajidothman8956 4 года назад

    Yarabi tupe imani nyoyozetu tuzidi kushikamana katika dini yako na utujaalie mshikamano wa kweli SHEH MUHAMMAD MUNGU AKUPE AFYA NJEMA UZIDI KUTUELIMISHA INSHA-ALHAH

  • @jawadkilima97
    @jawadkilima97 5 лет назад

    Maa shaa Allah shukran sana shekh Allah akupe umri mrefu wenye manufaa dunani na akhera

  • @husseinyhassany5696
    @husseinyhassany5696 5 лет назад +2

    Mashallah sheikh wangu nakupenda kwa ajili ya allah aza wajal

  • @faizunmohd9839
    @faizunmohd9839 6 лет назад +9

    Mashaallah tabarakallah

  • @zabrinabituni4160
    @zabrinabituni4160 7 лет назад +2

    mashallwah shekel Mohammad Allah akuzidishie kilalakher katikamaisha yako

  • @omaryhussen923
    @omaryhussen923 3 года назад

    Mwalimu mungu akuzidishie umri mrefu uzidi kutufundisha nasis

  • @zahdainabubakar7262
    @zahdainabubakar7262 6 лет назад +3

    Subhana llah wabihamdihi subhana llal adhiym,Allah akzdshie ilm zai😘

  • @hazardharunihr8225
    @hazardharunihr8225 3 года назад +1

    Mm sio mwisilam Ila nawapenda sana 💞 pia napenda kujiunga na uwislam

  • @ukhtyaziza9890
    @ukhtyaziza9890 7 лет назад +4

    Ma shaa Allah Allah atujaalie tuwe miongon mwa waja wema ustadh mada nzur naipenda sana

  • @user-ep4si1so4o
    @user-ep4si1so4o 7 лет назад +8

    allah akbar mashaalla alla akujalie umri mrefu uzidi kutuelimisha in shaalla 👏👏wallahi nimesikiliza nimejifunza mengi

    • @Toll.Mnyama8
      @Toll.Mnyama8 6 лет назад

      مريم يسف mashaallah Allah akjalie uzidi kuendesha dini ya Allah

  • @ruqayabakari788
    @ruqayabakari788 3 года назад

    Mashallah mashaallah, Allah akujalie uzidi kutupa dawa,lnshaallah

  • @hajerafrica2009
    @hajerafrica2009 6 лет назад +4

    Mash'allah Allah akuraisishie Na akup ubri muref

  • @ondegesauda7028
    @ondegesauda7028 4 года назад

    Wallahi nimepata funzo,Allah akujaze kheri,akuzudishie umri tuzudi kupata ilmu toka kwako sisi ambao hatujafanikiwa kuipata ilmu,Allah anjalie mume mcha mungu kama huyu ama zaidi yake, Takabala Llah minda waminkum.

  • @zuwenaissa2569
    @zuwenaissa2569 8 лет назад +6

    asante Kwa ujumbe,mashallah

  • @shaficikhaliif5925
    @shaficikhaliif5925 5 лет назад +1

    Masha allah tabaraka allh shiikhuna allah yaxfidag akhuuna

  • @aishasalimaishasalim1323
    @aishasalimaishasalim1323 5 лет назад +1

    Maashaallah. Jamani uislamu mtamu..kweli

  • @rollerjr-de4uy
    @rollerjr-de4uy Год назад

    Mashallah Allah akuzidishie kheri kwa mawaidhwa mazuri

  • @youssoufnduwimana3437
    @youssoufnduwimana3437 5 лет назад

    Maashaa ALLAH, Mwenyezi Mungu akulipe kheri nyingi kulingana na juhudi zako za ku ufikisha ujumbe wa ALLAH kwetu waislamu wenzako. ALLAH akujaalie wewe ka sisi mwisho mwema, aamiin.

  • @mariamhizzamariamhizza4483
    @mariamhizzamariamhizza4483 6 лет назад

    Alhamdulillah nakushukur san shekh Mohamed omar umenifunza nisio yajua jazaqa Allah khar

  • @musaakim2853
    @musaakim2853 5 лет назад +1

    Kama vile nasikiliza othman maalim allh barikfiyk

  • @mwanaidisemdoe9459
    @mwanaidisemdoe9459 6 лет назад +2

    Maa shaa Allah
    barakallah feek shekh muhammad

  • @asyamuhammad2751
    @asyamuhammad2751 3 года назад

    Masha Allah mawaidha mazuri wallah asante kwa kutuongoza

  • @zakiazahran8649
    @zakiazahran8649 5 лет назад +1

    mashaallah m ntakuwa hata mke wa 3 ilimradi tu nipate mume mwenye kujua dini yake na kuutendea haki uislam

    • @Wezesha1
      @Wezesha1 3 года назад

      Baraka-Allah feek

  • @ummnadiaabubakar6515
    @ummnadiaabubakar6515 7 лет назад +6

    MashaAllah

  • @bintsaidi9600
    @bintsaidi9600 8 лет назад +3

    Mashaa ALLAH,JazakaALLAHU KHEIR

  • @mimayasri7818
    @mimayasri7818 6 лет назад +5

    Mashallah

  • @jamilamunisi1480
    @jamilamunisi1480 5 лет назад

    Wallah sichoki kumsikiliza na kila nikimsikiliza najisikia iman inazidi Alhamdulillah Allah ajuzidie kila lakheri shekhe wetu mashallah

  • @user-mt4ff5fi8s
    @user-mt4ff5fi8s 8 лет назад +1

    jazzakkallah herry shekh mohammad omar

  • @kebebjebeb3150
    @kebebjebeb3150 8 лет назад +2

    mashallah jazzakhallahu khery ya shekh