Vijana wanataka mapinduzi - Pete | Maisha Magic East

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 7 сен 2024

Комментарии • 44

  • @mrliverpoolynwa7641
    @mrliverpoolynwa7641 4 года назад +13

    Maisha magic east kwa nn msirushe yote jamn,tunatumia mb pls so tuwekeeni full.tunaomba sana.YNWA

  • @mrsdeborahurio
    @mrsdeborahurio 4 года назад +7

    MUME hudekezwaaa! Asante Nyanya. TZ

  • @azzamahamdu7039
    @azzamahamdu7039 4 года назад +2

    Nuru karembo bana,et wamwafananisha na lulu.aah wapi.nuru mrembo zaidi ya lulu bana.kana kimo na macho yke🥰🤗

  • @mrliverpoolynwa7641
    @mrliverpoolynwa7641 4 года назад +6

    SOUDY BROWN mbea wa kisiwa cha FUNZI😂😂😂.YNWA

  • @fridahtarichia4186
    @fridahtarichia4186 4 года назад +8

    jamani mturushie part nzima pliz.

  • @sizmariah3436
    @sizmariah3436 4 года назад +6

    Wakwanza jamani Tupeni muendelezo 😍

  • @emmahKK2024
    @emmahKK2024 4 года назад

    Mwanzo hiyo kofia ya Sudi kama vile saani ya ugali wa muhogo.Sudi lakini wewe mcheshi😂😂😂

  • @user-mw6ij7px2v
    @user-mw6ij7px2v 4 года назад

    Waooo nilikuwa nimewamiss sana

  • @husseinlukman7330
    @husseinlukman7330 4 года назад +1

    Jamani huu mchezo twautaka kwa CD Zanzibar. Unapendwa sana ila haupatikani

  • @ALIMOHD-bk9lr
    @ALIMOHD-bk9lr 4 года назад

    Mbura nae mswahili maashallah

  • @jesskim3491
    @jesskim3491 4 года назад

    Kazi safi,,,

  • @samanthaali873
    @samanthaali873 4 года назад +1

    Safira😃Mapenzi yanawenywe si wengine tuache Shobo tutazikwa wazima wazima Sudi hoyeee

  • @mrliverpoolynwa7641
    @mrliverpoolynwa7641 4 года назад +2

    SAFIRA ci urudi kisiwani kwenu umuachie NURU JASIRI wake😂😂😂😂😂.YNWA

  • @user-ot8zy5lt7u
    @user-ot8zy5lt7u 3 года назад

    Saphira nenda kwenu buanaa mapenzi yamenoga sio kwa maji y vuguvugu hadi rahaaa

  • @ednamtulo9976
    @ednamtulo9976 4 года назад +4

    Mnakera siku hizi mnatubania hamrushi

  • @azizaosman6286
    @azizaosman6286 4 года назад +6

    Sikuizi ata mm sielewi

  • @azzamahamdu7039
    @azzamahamdu7039 4 года назад

    Nyanya unajua kama UNAJUA 🥰🤣🤣🤣

  • @issamohammed2458
    @issamohammed2458 4 года назад

    Jamani nitafunga safari nikamuone Nuru live nipatieni full addres

  • @sistertalks692
    @sistertalks692 4 года назад

    Nice

  • @zakyahya4645
    @zakyahya4645 4 года назад

    Nuru 😘😘👌

  • @bittybitty2712
    @bittybitty2712 4 года назад

    Nataka bibi awe soma yangu anifundshe kuchemusha maji 😂😂😂😂😂😂😂

  • @mikyfosikama8752
    @mikyfosikama8752 3 года назад

    Mume udekezwa hee mjukuu wangu 😃

  • @najmagudeh203
    @najmagudeh203 4 года назад

    Mwatunyima uhondo jaman

  • @evarlynekiilu2332
    @evarlynekiilu2332 4 года назад

    Kusema ukweli movie nzuri ila shida aina mwanzo na mwisho

  • @zeddydaqueensy4612
    @zeddydaqueensy4612 4 года назад +1

    Tamuuu xana

  • @tundaclassic2704
    @tundaclassic2704 4 года назад +1

    🔥🔥

  • @mariawawuda
    @mariawawuda Год назад

    Jasiri anafaaa kua kiongozi

  • @scholaedwin1951
    @scholaedwin1951 4 года назад

    Tena mahaba

  • @khadijaomar8427
    @khadijaomar8427 4 года назад +1

    Huyu bibi wararira🤣🤣

  • @sistertalks692
    @sistertalks692 4 года назад

    Love it

  • @mbogojaphet8713
    @mbogojaphet8713 4 года назад

    Jaman mbona munabooa

  • @habibakirungikirungihabiba9407
    @habibakirungikirungihabiba9407 4 года назад

    Mnakela sasa mnaleta vipande roho yani nashindwa kuelewa kabisa

  • @Mjingafaki
    @Mjingafaki 4 года назад +1

    Mnatunyanyasa jaman tusokua na uwezo wakumiliki king'amuzi mchezo twauona nusunusu

    • @upendoyuvenali2955
      @upendoyuvenali2955 4 года назад +1

      Mnatumalizia tu mb Bora mtengenez nzima tutawaelew zaidi.🤝🤝

  • @kilungodionizi1865
    @kilungodionizi1865 4 года назад +1

    Ckuhz ht. C. Waelew hd. Naisahau hy pete

  • @mwanatumusalim9470
    @mwanatumusalim9470 4 года назад

    😘😘😘😘😘😘

  • @cruizk8183
    @cruizk8183 4 года назад

    Iko sawa

  • @mamalaozphilemon.8800
    @mamalaozphilemon.8800 4 года назад

    😙😙😙

  • @khadijaa815
    @khadijaa815 4 года назад

    Hazina muendelezo hizi pete

  • @mozzaliuleiza9288
    @mozzaliuleiza9288 4 года назад

    Hapo mmezingua huyo nimimi na huyo kibonge hapo pembeni wamebadilisha nguo saa ngapi kwa sababu ni location hiyo hiyo na action ile ile producers kuweni makini na kazi zenu