Mh.Chalamila ujumbe uliopo kwenye huu Wimbo ni mnzuri sana na inafaa sana kwa kizazi cha leo wakaelewa maana ardhi imeisha kwa kuuza bila kujua wapi wauzaji wa ardhi hiyo tunakwenda zaidi tutakuwa watwana wa hao walionunua ardhi tuliyoachiwa na babu zetu
Ukiweza zunguka au tembea nchini kote, uelimishe jamii yako itakuinuwa tu, sauti yako bado ipo ndani ya jamii pia majambo na maono yako kwa watz yaendeleze, njia na nafasi bado unayo, wazo jepesi tu.
Yan nakulilia sana chalamila wangu hakika mweshimiwa Samia kwa kukutoa kwenye ukuu wa mkoa kafanya haraka sana utadhan alikiw na ugomvi na ww tafadhali rais umrudishe chalamila mkoa wowote Tanzania.
Chalamila kuna kitu kikubwa MUNGU amekupa kitu hiki unahitajika haraka sana umwamoni YESU yaani uokoke tubu dhambi zako haraka na kushsuri usipoteze Neema hiyo ili MUNGU aweze kukutumia katika makusudi yake ya kazi ya injili yaani kuwa leta watu kwa YESU
Kaka usivunjike moyo kwa hayo unayopitia yana sababu. Nahitaji namba yako ili tufanye kolabo moja hatarii ambayo itakuwa ya kumshukuru Mungu. Na kila atakaye isikia masikio yake yatawasha. Nadhani unaifahamu mundo band?mimi ndiye mwalimu wa hiyo band
chalamila nikiongozi Mzuri tatzo lake akilizake zinaingia nakutoka, zikitoka ndio pale huropoka upuuzi mbele zawatu.hongera mama kumteua tena atakua amejifunza sasa.
Hongera Sana mtani wangu mungu atakulipa mema nimeuelewa Sana ujumbe wako kupitia huu wimbo wako kumbuka ya kwamba mungu ndio anajua liziki za waja wake
Chalamila omba musamaha kwa Mama atakusamehe. Najua unapenda utani sanaa ambao unachangamusha ila angalia maneno yakutamuka kwa watu. I nguluvi yinya lusungu.
Yes kuteleza siyo kuanguka bado ni kiongozi mchapakazi.Mama kumpeleka mwanza jiji ilikuwa ni Imani kubwa sana kwake.Soon atakuwa bungeni mbunge wa kuteuliwa
Nazipenda nyimbo zako. Umenikumbusha Igowole na Malangali baba yangu Mwalimu Kambanyuma alikofundisha enzi hizo. Mungu azidi kukutunza 🙏🏿
Nice song zaidi ya mala 30 nasikilizi ujumbe huu tujitafafakaki Iringa
Kama umekuja kusikiliza njimbo baada ya kupata taarifa kuwa anajua pia kuimba tena vizuri.likes za kutosha
Shukran kwa Maoni yako Subscribe channel yetu kwa mengi zaidi
Nyengule we wihosa nimeipenda hiyo🤣🤣🤣😋
Mcheza kwao Hutunzwa Watu wa Mufindi Tuko juu
Kwe kwavi ngudi kuve wunyambe mstari pendwa huu
Yaani siku zote maisha ni kupambana ,Chalamila ametisha.
Hongera Chalamila
🎉ulonzile myawe.
myawe twisukuru kweli kwa ujumbe huu
Kukaye❤
And finally, umeteuliwa tena. Hongera.
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉brother chalamila
MH ALBART hongera sana kwa Uimbaji wako! Tunakukaribisha MBEYA SOKOINE tar 29/6/2024 Twende kwa Yesu! UBARIKIWE SANA!
Hongera sanaaaaa kamanda Chalamilaaa daaa wee ni mwamba
Mwalimu wangu Asante sana kwakunifundisha fom2nafom4 Tabata high School shkrani Sana Mungu AKUBARIKI SANA
Heee! Kumbe alikua Mwalimu
Chalamila umeachwa na mwanadam siyo mungu subiri mungu atakuinua kwenye viwango vingine
ruclips.net/video/t0c2fICi9bU/видео.html
Chalamila - Mola Mola (official audio)
Kamwene myawe ndipulikisa izimbo neke nofu be
,nyalukilo utuminiki numbula yangu meme ndimmyakumugagao nyongidze mtwa nutakuombea siku zote Askofu mkuu Ngoda
Mh.Chalamila ujumbe uliopo kwenye huu Wimbo ni mnzuri sana na inafaa sana kwa kizazi cha leo wakaelewa maana ardhi imeisha kwa kuuza bila kujua wapi wauzaji wa ardhi hiyo tunakwenda zaidi tutakuwa watwana wa hao walionunua ardhi tuliyoachiwa na babu zetu
Mkuuu hongera sana una kipaji , labda Mungu aliruhusu yatokee hayo yote kwa kuondolewa nafasi yako, kuna nafasi Mungu amekuandalia
Mungu aendelee kukutunza akuagizie Malaika zake wakulinde
Hongera sana Mh. Chalamila kwa kazi nzuri na elimu inayo komboa jamii yetu
Ndio uzuri wa kuwa na vipaji vingi! Hongera!
Mama hawataki wenye akir
Safi sn
iringaa oyeeeeeee
Hatariiiiiii sanaaaaaaaaa ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Sawa baba angu
Mh.Chalamila una akili sana huu wimbo una maana kubwa sana.. Big up Chalamila
ruclips.net/video/t0c2fICi9bU/видео.html
Chalamila - Mola Mola (official audio)
Kiukweli chalamila unatisha baba nyimbo zako nazikubari sana ne ndimwamalekela bwana
Mheshimiwa Chalamila Ndeeti.shukuru kila jambo.
Nyimbo nzuri sana' Hongera Chalamila
Duu jamaani kweli kamtowa uyu jaamaa mama machozi yamenitoka
Jitaidi utoe vidio huu ni mzuri sana mkuu
Hongera baba vidio
Safi😂😂😂
Wimbo una maudhui. Chalamila ni filosofa mwalimu na mwanasosolojia. Mwalimu mzuri. Wengi hawakumuelewa. Nilimuelewa mimi tu.
Mimi wa kilolo ila nafrahi wote ni iringa na mbekuli kuna mibiki na malunguru😂
Nimeipenda nyimbo mukwi Yu mukami de! 😂😂😂
Twishukuru kwa ujumbe wenye nguvu
It is very very in fortune,muda wote Niko na chalamil mbeya sikujua kama tunashea fani ya music.NIMEMPENDA GHAFLA.
Mkuu mungu akuinue sana huyo mama vipi??
Kamwene chalamila
Hongera Rc Mbeya kwa wimbo mzuri pia kwa kuisifia Mufindi yetu
Huyu jamaa ni kiraka wa vipaji vingi!!!
Hongera sana!!! Unogage baba!!
Msanii halali njaa....
Another magufuli...
Hongera Kwa uteuzi wa kuwa RC Kagera
Jembe langu big up🤝🤝
Hongeraaa saaaaaanaaaa
Hongera sana Mheshimiwa kumbe unaweza kuimba
Alikuwa kiongozi bora sana. Hasa mi binafsi namuombea asiachwe hivi hivi kuna mema aliyoyatenda
Shukran kwa Maoni yako Subscribe channel yetu kwa mengi zaidi
Kabisa sema mama anpenda kusikiliza miluzi
Ulimi mwanadamu nikawaida kuteleza.
Uuuuiiii!!! Samia🤣🤣
Hahaha hahahah chalamila bhana ana mambo
ruclips.net/video/t0c2fICi9bU/видео.html
Chalamila - Mola Mola (official audio)
Duh kumbe wa nyumbani kabisa.Mungu akubariki popote ulipo kiongozi Kamwe usipungukiwe na chochote.
Mkuuu wa mkoa mpyaaa wa dar-saalam
Ndi lumba ulwimbo lunofu hilo bele wimbite.
Huyu jamaa nampenda sana,hili ni jembe kweli kweli
ruclips.net/video/t0c2fICi9bU/видео.html
Chalamila - Mola Mola (official audio)
Mukwi se yudada mwanchalamila wimbite lunofu hilo.
Nakubali Sana mheshimiwa lkn naipataje ile nyimbo yako ya hodi?
Mtegemee Mungu mkuu utaxhinda cmxapoti kbxa mh Rais kukutumbua ww yani nakuelewa na cion koxa la ajabu kwako
Kamwene abahehe Bose?
Kipaji unacho kaza buti
Ukiweza zunguka au tembea nchini kote, uelimishe jamii yako itakuinuwa tu, sauti yako bado ipo ndani ya jamii pia majambo na maono yako kwa watz yaendeleze, njia na nafasi bado unayo, wazo jepesi tu.
ruclips.net/video/t0c2fICi9bU/видео.html
Chalamila - Mola Mola (official audio)
Hapo ndio watajua haukuwa na maana mbaya
Safi sanaa chalamila the great ..bonge LA nyimboo .humyeeeeee ifideo ya ulyimbo uluu tuduveee twiyangasule
AGOMBEE UBUNGE UNAMFAA . HUYU MZALENDO
Kiukweli anafaa mjengoni kuliko utendaji
Wiimba lunofu be myawe
Mungu hatokuacha lipo fungu lako mwamini Mungu ndiye mpango yote
ruclips.net/video/t0c2fICi9bU/видео.html
Chalamila - Mola Mola
Yesu awe pamoja nawe utakapo na uingiapo asikuache
Hogera sana Babangu Chalamila
Yan nakulilia sana chalamila wangu hakika mweshimiwa Samia kwa kukutoa kwenye ukuu wa mkoa kafanya haraka sana utadhan alikiw na ugomvi na ww tafadhali rais umrudishe chalamila mkoa wowote Tanzania.
mmeona gharama ya kifo cha magu,huzuni yote hii imeletwa na kifo cha magu
ruclips.net/video/t0c2fICi9bU/видео.html
Chalamila - Mola Mola (official audio)
Hongera broo,nakupongeza Sana,raha kuwa na vipaji vingi
Big up, imekaa vizuri na ujumbe umefika
ruclips.net/video/t0c2fICi9bU/видео.html
Chalamila - Mola Mola (official audio)
Ila wewe ndugu yangu endelea kuimba ndio kipaji chakop
Chalamila kuna kitu kikubwa MUNGU amekupa kitu hiki unahitajika haraka sana umwamoni YESU yaani uokoke tubu dhambi zako haraka na kushsuri usipoteze Neema hiyo ili MUNGU aweze kukutumia katika makusudi yake ya kazi ya injili yaani kuwa leta watu kwa YESU
Aliyeogelea hazami
Saf yidadade ndiduva swe siluwana
Wanaoangalia 2021 tujuane
Safiiiii xn.
Wimbo mrua. Tutaupiga tutakapochukua nchi chini ya Umoja Party
Ataimba safalii hii mpka tushangaee nakwambia
Shukran kwa Maoni yako Subscribe channel yetu kwa mengi zaidi
So sad kwakeli
ruclips.net/video/t0c2fICi9bU/видео.html
Chalamila - Mola Mola (official audio)
Mtani wangu weee upo vizuri sana mh chalamila mungu atakuinua katk kazi zako kama ipo. Ipo tu mtengemee mungu
ruclips.net/video/t0c2fICi9bU/видео.html
Chalamila - Mola Mola (official audio)
Kaka safii sana. Nimependa sana
Kaka usivunjike moyo kwa hayo unayopitia yana sababu. Nahitaji namba yako ili tufanye kolabo moja hatarii ambayo itakuwa ya kumshukuru Mungu. Na kila atakaye isikia masikio yake yatawasha. Nadhani unaifahamu mundo band?mimi ndiye mwalimu wa hiyo band
ruclips.net/video/t0c2fICi9bU/видео.html
Chalamila - Mola Mola (official audio)
ruclips.net/video/t0c2fICi9bU/видео.html
Chalamila - Mola Mola (official audio)
Pongenzi mhshmiw chalamila mungu akuongozw ilikuwa kiongozi Bora
Kumbe unaweza kuimba, Mungu akuinue uanze kumuimbia yeye
Kumbe alikuwa mtu mwenye talent ila aliharibiwa kwa kuiga sifa za mtawala
ruclips.net/video/t0c2fICi9bU/видео.html
Chalamila - Mola Mola (official audio)
Huyu jamaa yuko timamu kiakili
🦒🦒🦒🦒🦒
Nakukubali sana fanikiwa kaka
ruclips.net/video/t0c2fICi9bU/видео.html
Chalamila - Mola Mola (official audio)
Mh Munguakubari kazi yamikono yako Nakupenda sana baba
Hongera mh DC
ruclips.net/video/t0c2fICi9bU/видео.html
Chalamila - Mola Mola (official audio)
chalamila nikiongozi Mzuri tatzo lake akilizake zinaingia nakutoka, zikitoka ndio pale huropoka upuuzi mbele zawatu.hongera mama kumteua tena atakua amejifunza sasa.
Uko vizuri mwimbo
Mheshimiwa unaimba vizuri lakini twisuka mtwiwuke ibarabara ya kusadani kubita kumadibira mtwavañgu
Saut yako ni ya kuimba nyimbo za injili anza kumuimbia Mungu utafika mbali sana
ruclips.net/video/t0c2fICi9bU/видео.html
Chalamila - Mola Mola (official audio)
Daah na kumbuka 2013 ebon fm Edwinny bashili mtangazaj aliusifia sana wimbo
Mungu yupo upande wako kazi nzuri sana
Mama msamehe huyu kijana kwani anafaa bado kwenye serikali yako
Shukran kwa Maoni yako Subscribe channel yetu kwa mengi zaidi
Nakukubari
Kwelikabisa
Kumbe nakuimba upo? safi
Ili ing'ae dhahabu lazima ipite kwenye moto. Mlingane YESU atakuheshimisha mpaka washangae.
Hongera Sana mtani wangu mungu atakulipa mema nimeuelewa Sana ujumbe wako kupitia huu wimbo wako kumbuka ya kwamba mungu ndio anajua liziki za waja wake
Iko vzr ngoja tufanye Colabo
Mwenye kipaji halali njaa
Chalamila omba musamaha kwa Mama atakusamehe. Najua unapenda utani sanaa ambao unachangamusha ila angalia maneno yakutamuka kwa watu. I nguluvi yinya lusungu.
Chal amila umetisha hongera
Shukran kwa Maoni yako Subscribe channel yetu kwa mengi zaidi
Jamaa alilewa madaraka... Upumbavu mkubwa...
Yes kuteleza siyo kuanguka bado ni kiongozi mchapakazi.Mama kumpeleka mwanza jiji ilikuwa ni Imani kubwa sana kwake.Soon atakuwa bungeni mbunge wa kuteuliwa
Safiii sanaaa
Miss u
Hongera kwa ujumbe umefika hasa makabila ya mikoa ya kusini