Acha uongo ww embu niambie kabla ya wachezaji tulikuwa na ubora gani Afrika mashariki cc tulikuwa wa mwisho soka linapanda baada ya ujio wa wachezaji wa kigen alafu wachambuz wa kibongo punguzeni unafiki ndo mnaolivuruga soka bongo
Sasa wewe ulitaka wafanyeje Acheni ujinga kama tumezidiwa tumezidiwa tu lkn msijifariji kuwa team mbaya uwezi linganisha congo na Tanzania heshima mnayoitaka ni ipi hakuna vijana walijituma lkn bahati haikuwa kwetu mashabiki wa Tanzania ni hovyo lawama ndo ziko mbele sa a, utumiaji uwanja wa nyumbani kama quality ya wachezaji Huna hata kama ungekimbia kama sgr hamna kitu
coach alijamini saana ndugu zangu 😂😂😂😂😂😂. Congo ni chuma
Mimi ni mkongomani kutoka Lubumbashi nimekushukuru.
Coach njo chanzo cha kiburi mbele ya timu zingine
Acha uongo ww embu niambie kabla ya wachezaji tulikuwa na ubora gani Afrika mashariki cc tulikuwa wa mwisho soka linapanda baada ya ujio wa wachezaji wa kigen alafu wachambuz wa kibongo punguzeni unafiki ndo mnaolivuruga soka bongo
RDC ni chui bwana anararuwa🐯🐯🐯🐯🐯🐯🐆🐆🐆🐆💪🇨🇩🇨🇩
Kwa kuwa uko msemaji muzuri, njo kwa maana nimejunga kwako.
Nyumbani muna pression, munataka watazamaji wawasifu
Sikubaliane na maoni yako, tusijigambe DRCONGO ni mbingu na ardhi ki mpira na Tanzania
Wewe akili una cheza wewe kama ni rahic
Sasa wewe ulitaka wafanyeje Acheni ujinga kama tumezidiwa tumezidiwa tu lkn msijifariji kuwa team mbaya uwezi linganisha congo na Tanzania heshima mnayoitaka ni ipi hakuna vijana walijituma lkn bahati haikuwa kwetu mashabiki wa Tanzania ni hovyo lawama ndo ziko mbele sa a, utumiaji uwanja wa nyumbani kama quality ya wachezaji Huna hata kama ungekimbia kama sgr hamna kitu