TAIFA STARS ITATUUWA KABISA/MZIZE HAPANA/MAYELE ALITUHURUMIA KABISA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 16 окт 2024

Комментарии • 11

  • @kapafulemartin5164
    @kapafulemartin5164 20 часов назад

    coach alijamini saana ndugu zangu 😂😂😂😂😂😂. Congo ni chuma

  • @kapafulemartin5164
    @kapafulemartin5164 20 часов назад

    Mimi ni mkongomani kutoka Lubumbashi nimekushukuru.

  • @kapafulemartin5164
    @kapafulemartin5164 20 часов назад

    Coach njo chanzo cha kiburi mbele ya timu zingine

  • @HawangaMohamed
    @HawangaMohamed День назад +1

    Acha uongo ww embu niambie kabla ya wachezaji tulikuwa na ubora gani Afrika mashariki cc tulikuwa wa mwisho soka linapanda baada ya ujio wa wachezaji wa kigen alafu wachambuz wa kibongo punguzeni unafiki ndo mnaolivuruga soka bongo

  • @kapafulemartin5164
    @kapafulemartin5164 20 часов назад

    RDC ni chui bwana anararuwa🐯🐯🐯🐯🐯🐯🐆🐆🐆🐆💪🇨🇩🇨🇩

  • @kapafulemartin5164
    @kapafulemartin5164 20 часов назад

    Kwa kuwa uko msemaji muzuri, njo kwa maana nimejunga kwako.

  • @kapafulemartin5164
    @kapafulemartin5164 20 часов назад

    Nyumbani muna pression, munataka watazamaji wawasifu

  • @mitanakadorho2356
    @mitanakadorho2356 День назад

    Sikubaliane na maoni yako, tusijigambe DRCONGO ni mbingu na ardhi ki mpira na Tanzania

  • @innocenthaule6556
    @innocenthaule6556 День назад

    Wewe akili una cheza wewe kama ni rahic

  • @deomusyebi9930
    @deomusyebi9930 День назад

    Sasa wewe ulitaka wafanyeje Acheni ujinga kama tumezidiwa tumezidiwa tu lkn msijifariji kuwa team mbaya uwezi linganisha congo na Tanzania heshima mnayoitaka ni ipi hakuna vijana walijituma lkn bahati haikuwa kwetu mashabiki wa Tanzania ni hovyo lawama ndo ziko mbele sa a, utumiaji uwanja wa nyumbani kama quality ya wachezaji Huna hata kama ungekimbia kama sgr hamna kitu