Siri Za Upauaji Wa Bati Za Kuficha . (Contemporary Roofing Construction Tips and Tricks)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 окт 2024

Комментарии • 28

  • @Salumchiwili2023
    @Salumchiwili2023 4 месяца назад +1

    Hiyo ndio njia sahihi kabisa sijawahi ona fundi aliefanya hivi zaid yako brother big up hii njia tulitumia wakati wa upauwaji wa messeven school kule chato kwa magufuli tofauti tu sisi tulitumia bati za G 26 ndio tulizikunja mfumo wa zes Yani ni mkataba

  • @cosein
    @cosein 6 месяцев назад

    Tatzo liko hapo katika kuchumbia bati ndani ya ukuta bati baada ya muda linaoza next time usichimbie kuna jinsi yakufanya

    • @swahiliunits
      @swahiliunits  6 месяцев назад

      Wala sio tatizo, hapo tayar kumewekwa side flash( side sheeting) ili kulilinda bati

  • @noahayub5987
    @noahayub5987 11 месяцев назад

    Naweza kuwapataje?

  • @RenaldaZeramula
    @RenaldaZeramula 6 месяцев назад

    Kwa macho.yqngu.lazima itavuja

    • @swahiliunits
      @swahiliunits  6 месяцев назад

      Tumia kigezo cha kitalaamu, unahisi wapi hawajawekwa sawa na kwanini

  • @usercabal
    @usercabal 9 месяцев назад

    Me kujenga nyumba ukiona mvua unaishi kwa mashaka sitaki 😂😂😂

    • @swahiliunits
      @swahiliunits  6 месяцев назад

      Nyumba yeyote iki pauliwa vibaya itavuja tu

    • @jacksonlungu8340
      @jacksonlungu8340 2 месяца назад

      Wacha

    • @usercabal
      @usercabal 2 месяца назад

      @@swahiliunits hizi zimezidi bhana

  • @PeterNdembo
    @PeterNdembo Год назад

    Mko wapi wazeee

  • @erickmhanza7397
    @erickmhanza7397 Год назад

    Naomba mawasiloano nina nyumba ya aina hii ila Bado sijaipiga bati

  • @nasserm.nasser5087
    @nasserm.nasser5087 6 месяцев назад

    Naomba contact zako za simu

  • @noahayub5987
    @noahayub5987 11 месяцев назад

    Naweza kuwapataje?

    • @swahiliunits
      @swahiliunits  11 месяцев назад

      Via phone call +255762156762 or email info@swahiliunits.com

    • @jacksonlungu8340
      @jacksonlungu8340 2 месяца назад

      ​@swahiliunits njoo Kenya bro

  • @noahayub5987
    @noahayub5987 11 месяцев назад

    Naweza kuwapataje?

    • @swahiliunits
      @swahiliunits  6 месяцев назад

      wasiliana nasi kupitia +255762156762

    • @AlHamra-k4u
      @AlHamra-k4u 3 месяца назад

      Kupau bati ficha mnafanya kwa kwa bei gani

    • @AlHamra-k4u
      @AlHamra-k4u 3 месяца назад

      Kupau bati ficha mnafanya kwa kwa bei gani

    • @AlHamra-k4u
      @AlHamra-k4u 3 месяца назад

      Kupau bati ficha mnafanya kwa kwa bei gani

    • @AlHamra-k4u
      @AlHamra-k4u 3 месяца назад

      Kupau bati ficha mnafanya kwa kwa bei gani