MAPYA YAIBUKA NGORONGORO: VIJANA wa KIMASAI WAZUNGUMZA na WANAHABARI - MAELFU ya MIFUGO IMEKAMATWA..
HTML-код
- Опубликовано: 5 фев 2025
- MAPYA YAIBUKA NGORONGORO: VIJANA wa KIMASAI WAZUNGUMZA na WANAHABARI - MAELFU ya MIFUGO IMEKAMATWA...
CHOTA MAPENE ndiyo mchongo mpya town! Kwa shilingi 1,000 tu, yaani BUKU unajichotea mapene kibao au kupata nafasi ya kujishindia ZAWADI MBALIMBALI KILA SIKU, KILA WIKI kupitia Global TV, Global Radio na mitandao ya kijamii!
========================
Ingia kwenye simu yako📲, sehemu ya kufanyia malipo, andika namba ya kampuni 553111, kumbukumbu namba 255 au andika neno GLOBAL. Weka kiasi cha shilingi 1,000, weka namba yako ya siri, thibitisha na tuma.👍 PEASA UTATUMIWA MOJA KWA MOJA KWENYE SIMU YAKO!🤝👍💰
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
JISHINDIE TECNO CAMON 20 kwa BUKU TU! Ingia kwenye simu yako📲, NAMBA YA KAMPUNI 553111, KUMBU NO. 255 au GLOBAL kisha Tuma 1,000! Utapaja ujumbe wa USHINDI!
Dah mnateseka Sana ndungu zetu
Hongereni Sana vijana wa kimaasai mko fasaha sana
mmeumiza watu jamii ya wamasai amkujua ya kwamba niukiukwaji wengine mnawauwa baada ya ayo mnasema wawe na subira yatawafika woote pamoja serekali. Pamoja na waarabu walioko ndani ya nchi yetu hawakuja tanzania ili kuwauwa wanyama. Pamoja watu wachunguzwe. Kama kibali ni kuuwa. wanyama na binaadamu Samia Wacha. Jimii. ya maaa wacha. sio. ombi ni. oda kutoka kwa. mungu na kimataifa
Kwa kweli ya Mungu inabidi muwaheshimu hawa Wafugaji sababu ni maeneo yao ya asili
Ndugu zetu wamasai ngorongoro tujifunge mika na kulivalia njuga swala hili. la kuporwa na. serekali ya Samia kuwa nyanyaswa na watanzania kwanini tuuziwe mifugo yetu unyanyasaji serekali irudishe mali yenu mtatapika kwa midomo na pua mali za wananchi ni yao mnauza ngombe zao yule Mzee mlimchenga mpaka mkauza mali zake nani wakulaumiwa
Wawekezaji watalimaliza taifa huo ni mlango wa kuingia wakoloni wapya.Tubadili kufikiri watu ni bora kuliko mbuga busara itawale
Kajibu kiubabaishaji inaonyesha kabisa wanaonea tu watu ,maana anajiumauma tu
Historian itakuwa Kama Palestine/Hamas na Israel 😮
Endeni msomera bhanaa msije mkauawa bure wabaya wameshika hatamu