UBAO WA HANS RAFAEL NA ELIE MPANZU/ ANAKICHAFUA KWENYE MFUMO WOWOTE WA FADLU
HTML-код
- Опубликовано: 30 сен 2024
- Hii ni CROWN MEDIA, 92.1 CROWN FM & CROWN TV
Follow us on Social Media Platforms
Instagram:
Crown FM - / crownfmtz
Crown TV - / crowntvtz
Twitter (X):
CROWN MEDIA SWAHILI: / crownmediatz
CROWN MEDIA ENGLISH: / crownmediaen
Facebook:
CROWN MEDIA: www.facebook.c...
TIKTOK:
- www.tiktok.com...
SUBSCRIBE & WATCH OUR SHOWS: / @crownmediatz
MPANZU ALIIPENDA SANA SIMBA NDY MAANA AMEENDA SIMBA
We Hans nakuonaje roho inavyokuuma tunajua wewe chafuzi wa soka sio mchambuzi unaharibu taaluma zawatu unaushabiki mno
Asante sana uongozi wa Simba. MO ASANTE SANA
MO Asante sana wewe kweli ni mwekezaji, umetuletea Mpanzu ni mtu wa maana sana
Enhe wewe uko vizuri na Mungu akunyosheye njila
Nadhali kilio cha wanasimba kwa asilimia kubwa imetimia kwa usajili huu wa Kibisawala
Hakika ndugu
Ukiachana na malungufu ya kibun yake Hans Rafael ni mtu sana . Ana elimu nzuri mno ya uchambuzi
Kaka uwe una edit maana wengine tuna translate
Mpanzu ❤❤❤❤❤❤❤
Azokita azomata boyei malamu😂🎉
Hansi kwanini uliondoka wasafi mi nimdauu was wasafi nilikuwa sikuoni leo ndo nakuona hukuu 🙄 ,🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Wasafi wamejaa mikelele huoni hata Paul Mkae Mkali wa Dimba hawa ni mapacha🎉🎉
Kuna p-diddy huko
Upo dunia gani ndugu😂😂😂😂😂
Hakika leo kwakweli leo Hans Rafael umesema Ukweli na kuhusu Automic boom😂😂😂😂😂 litamfikia yeyote hasa hawa👉🐸🐸👈 tuna hamu nao vibaya mno ila ubaya ubwela utawakuta tuuuuu💯
Ubaya ubwela, malalamiko fc ongezeni milango ya faham
Wameshaanza kutukana marefa utopolo 😂😂😂
Amina
Hans Hans Hans nimekutaja mara tatu Brothe ukiacha uchawa na kutumika ww ni mchambuzi mzuri ssana
Hans ni kagera Sugar hana uchawa anatumia elimu yake vizuri
Moo.ww.nihatali
Mungu amlinde wasije wakamteka😂
Simba bingwa
Pole pole jaman😂
Mpanzu ni moto wa kuotea mbali
Umemuona
Hanc uchawa ndio unamualibia
Jamani Hans yuko kazini akichambuwa vibaya atakosa kitumbuwa hii radio haisikkikilizwi na wanasimba tu😂
Asante sana mo
Tutawapiga na mpanzu wao
Ndo mpra lakini itatuuma...