UBAO WA HANS RAFAEL NA ELIE MPANZU/ ANAKICHAFUA KWENYE MFUMO WOWOTE WA FADLU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024
  • Hii ni CROWN MEDIA, 92.1 CROWN FM & CROWN TV
    Follow us on Social Media Platforms
    Instagram:
    Crown FM - / crownfmtz
    Crown TV - / crowntvtz
    Twitter (X):
    CROWN MEDIA SWAHILI: / crownmediatz
    CROWN MEDIA ENGLISH: / crownmediaen
    Facebook:
    CROWN MEDIA: www.facebook.c...
    TIKTOK:
    - www.tiktok.com...
    SUBSCRIBE & WATCH OUR SHOWS: / @crownmediatz

Комментарии • 32

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 2 часа назад +6

    MPANZU ALIIPENDA SANA SIMBA NDY MAANA AMEENDA SIMBA

  • @MwamvitaKizua
    @MwamvitaKizua 7 минут назад +2

    We Hans nakuonaje roho inavyokuuma tunajua wewe chafuzi wa soka sio mchambuzi unaharibu taaluma zawatu unaushabiki mno

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 2 часа назад +4

    Asante sana uongozi wa Simba. MO ASANTE SANA

    • @georgegregory8414
      @georgegregory8414 Час назад +2

      MO Asante sana wewe kweli ni mwekezaji, umetuletea Mpanzu ni mtu wa maana sana

    • @MfunjoWabaBoydays
      @MfunjoWabaBoydays 43 минуты назад

      Enhe wewe uko vizuri na Mungu akunyosheye njila

  • @GabrielAmma-jp1oo
    @GabrielAmma-jp1oo Час назад +3

    Nadhali kilio cha wanasimba kwa asilimia kubwa imetimia kwa usajili huu wa Kibisawala

  • @rwegoshoramichael3144
    @rwegoshoramichael3144 Час назад +2

    Ukiachana na malungufu ya kibun yake Hans Rafael ni mtu sana . Ana elimu nzuri mno ya uchambuzi

    • @MfunjoWabaBoydays
      @MfunjoWabaBoydays 46 минут назад

      Kaka uwe una edit maana wengine tuna translate

  • @BatuMsusi
    @BatuMsusi 2 часа назад +4

    Mpanzu ❤❤❤❤❤❤❤

  • @FeisalKingazi
    @FeisalKingazi Час назад +3

    Hansi kwanini uliondoka wasafi mi nimdauu was wasafi nilikuwa sikuoni leo ndo nakuona hukuu 🙄 ,🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @CHILUNGAMOTHOMASKALINGA
    @CHILUNGAMOTHOMASKALINGA 10 минут назад

    Hakika leo kwakweli leo Hans Rafael umesema Ukweli na kuhusu Automic boom😂😂😂😂😂 litamfikia yeyote hasa hawa👉🐸🐸👈 tuna hamu nao vibaya mno ila ubaya ubwela utawakuta tuuuuu💯

  • @EdwardEdson-m1x
    @EdwardEdson-m1x Час назад +2

    Ubaya ubwela, malalamiko fc ongezeni milango ya faham

  • @khaledalkhayyat8764
    @khaledalkhayyat8764 2 часа назад +1

    Hans Hans Hans nimekutaja mara tatu Brothe ukiacha uchawa na kutumika ww ni mchambuzi mzuri ssana

    • @MfunjoWabaBoydays
      @MfunjoWabaBoydays 44 минуты назад

      Hans ni kagera Sugar hana uchawa anatumia elimu yake vizuri

  • @BakariJuma-y8v
    @BakariJuma-y8v Час назад +2

    Moo.ww.nihatali

  • @achuziwest
    @achuziwest Час назад +2

    Simba bingwa

  • @GabrielAmma-jp1oo
    @GabrielAmma-jp1oo Час назад +1

    Mpanzu ni moto wa kuotea mbali

  • @allymtunge5530
    @allymtunge5530 Час назад +1

    Hanc uchawa ndio unamualibia

    • @MfunjoWabaBoydays
      @MfunjoWabaBoydays 45 минут назад

      Jamani Hans yuko kazini akichambuwa vibaya atakosa kitumbuwa hii radio haisikkikilizwi na wanasimba tu😂

  • @FranseEfram
    @FranseEfram 55 минут назад

    Asante sana mo

  • @MukrimVuaa
    @MukrimVuaa 25 минут назад

    Tutawapiga na mpanzu wao