Unamkumbuka MARK DACASCOS? Kumbe Jamaa Ni Mtu Hatari Sana. Yuko Wapi?

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 сен 2024

Комментарии • 84

  • @Ibrahjr_tv
    @Ibrahjr_tv 5 месяцев назад +39

    Mark Dagascos WAHENGA Tujuane

  • @malkiawafizi2394
    @malkiawafizi2394 5 месяцев назад +1

    Movie zake uwa nazipenda sana. Asante kwa simulizi nzuri 🎉🎉🎉

  • @geofreyanania1108
    @geofreyanania1108 5 месяцев назад +7

    Kuna chuma Inaitwa Drive weka mbali na watoto

    • @kdloon2030
      @kdloon2030 5 месяцев назад

      Hiyo movie hadi kesho sijawahi kuichoka.Jamaa kaonyesha fundi wa kweli,bila kusaidiwa na computer

    • @sospetermsalamo8354
      @sospetermsalamo8354 5 месяцев назад

      Yupo na yule rasta kmmk

    • @adamondokawwlusinde5237
      @adamondokawwlusinde5237 5 месяцев назад

      Naitafuta muvi yake ya Nyamaume inaitwaje

  • @guccij6236
    @guccij6236 5 месяцев назад +18

    Namkubali Sanaa Tony Jaa sema ndo ivo anatoa muv kivivu Sanaa mda mwingi anaonekana kwenye collabo😢au kaacha kuigiza?

    • @idontknowwhoami3066
      @idontknowwhoami3066 5 месяцев назад +2

      Hajaacha kuigiza

    • @sportstoall9394
      @sportstoall9394 5 месяцев назад

      Anaingiza low budget movie

    • @guccij6236
      @guccij6236 5 месяцев назад

      @@sportstoall9394 😣

    • @zedekiahjulius6
      @zedekiahjulius6 5 месяцев назад

      Yuko hollywood sema ajapata big role

    • @hatibuabdulla1039
      @hatibuabdulla1039 5 месяцев назад

      Ina semekana ali wakataa Hollywood km alivyo fanya bruslee ndio hapo alipo poromoka ki media kbs now anafanya maigizo ya kisonzinyo tuh

  • @saidadamu1991
    @saidadamu1991 5 месяцев назад +4

    Tusaidie kumjua SOLO

    • @angelmwaimu3676
      @angelmwaimu3676 5 месяцев назад

      Hizo movie zote nilipakuwa siku Moja kumbe solo ni mexicana aisee

  • @mwami_the_don_
    @mwami_the_don_ 5 месяцев назад +3

    Kaka tutafutie Solo bas

  • @simonjohn1865
    @simonjohn1865 5 месяцев назад +1

    The drive ile movie ni balaa jamaa anapiga ngumi kweli kweli

  • @bahatinassorali5222
    @bahatinassorali5222 5 месяцев назад +4

    Wa kwanza jamani😅

  • @JaphetMkasa
    @JaphetMkasa 5 месяцев назад +1

    Nolan avendo yupo wap?

  • @aminatanzanya7475
    @aminatanzanya7475 5 месяцев назад +1

    Nimependa story yamwamba

  • @RajabJuma-m2n
    @RajabJuma-m2n 5 месяцев назад +1

    Tuelezee kuhusu SOLO

  • @ZakhaMosh
    @ZakhaMosh 5 месяцев назад

    Story ya CONOR MCGREGOR wa MMA Tafadhali

  • @dallydominick1673
    @dallydominick1673 4 месяца назад +3

    MOVIE YA DRIVE NI MY BEST MOVIE DAIMA

  • @jumaaliy3961
    @jumaaliy3961 5 месяцев назад +5

    Jmaa yupo hai 2023 katoa movie knight of the zodiac katazame iyo movie utamuona amekua mzee tu kdg

  • @AkramIssa-nc9ro
    @AkramIssa-nc9ro 5 месяцев назад +9

    Uyo ndo mzee wa palanawe og

  • @nyunyaboy9523
    @nyunyaboy9523 5 месяцев назад +3

    Don yen anajua lakin tonn ja n dunia yngne😅

  • @Jonathanmakhubela-kb6lz
    @Jonathanmakhubela-kb6lz 5 месяцев назад +2

    ACHENI KUDANGANYA WATU WAZEE STORY INA UKWELI NDIO ILA KUHUSU ALIPO ACHENI UONGO HUYO MARK 1985 MPAKA 2023 ANA MOVIE.. ACHENI KUA WAONGO PUMBAVU

  • @angelmwaimu3676
    @angelmwaimu3676 5 месяцев назад +3

    Nilitaman sana umueelezee tangu juz mpk nikaamua kupakua movie zake kama drive na DNA

  • @sonnyr1899
    @sonnyr1899 5 месяцев назад +4

    Yupo kwenye Serie mpya Netflix inaitwa Warrior ni noma sana kuna vichapo mwanzo mwisho ila usitazame na watoto karibu.

  • @AbutwalibuMohamedy
    @AbutwalibuMohamedy 5 месяцев назад +1

    Namkumbuka rafiki yake alikuwa Kunguru

  • @adamondokawwlusinde5237
    @adamondokawwlusinde5237 5 месяцев назад

    Muvi ya Nyamaume inaitwaje huwa naitafuta sana

  • @npiperito19
    @npiperito19 5 месяцев назад +4

    Number 2 kutoka Mozambique 🇲🇿🇲🇿🇲🇿

  • @tiktokbongo8249
    @tiktokbongo8249 5 месяцев назад +2

    Tupe story ya chowchilla tragedy kutoka California mwaka 1976

  • @ramadhanurassa2410
    @ramadhanurassa2410 5 месяцев назад +1

    Kuna tambala linaitwa DRIVE ni hatari

  • @suleimanbuta3217
    @suleimanbuta3217 5 месяцев назад +2

    Mark Dacascos nilikuwa namkubali sana

  • @reckonemceea1721
    @reckonemceea1721 5 месяцев назад +1

    Situlikuwa tunamuita PARANAWE

  • @MatikoNyamuhanga199
    @MatikoNyamuhanga199 5 месяцев назад

    Namkumbuka uyo alikua atari

  • @nasibuahmedy2438
    @nasibuahmedy2438 5 месяцев назад +1

    SASA TWENDE KAZIIIIII

  • @TellaaxisTz
    @TellaaxisTz Месяц назад

    Noma sana

  • @melkizedekwiliam-hi7bz
    @melkizedekwiliam-hi7bz 5 месяцев назад +2

    Sas twende kaziiiiii. Napenda kweli

  • @EvarestAbraham
    @EvarestAbraham 5 месяцев назад +1

    Nataman uelezee mauwaji ya kamanda wa jeshi la iran Syria na Iran itatowa jib gan

  • @afrikanshayo5903
    @afrikanshayo5903 5 месяцев назад +1

    yupo hata kwenye John wick 3

  • @abeidhassan8656
    @abeidhassan8656 5 месяцев назад +1

    kwani mark paranawee si yupo mzee anacheza movie kama kawaida au wew unahisi yuko wapi

  • @hamisimashaka4899
    @hamisimashaka4899 5 месяцев назад +1

    Jina lake Halisi anaitwa YUJIH UKUMOTO

  • @jamespaul-ez7ee
    @jamespaul-ez7ee 5 месяцев назад

    Tutafutie solo

  • @ericaslucas6722
    @ericaslucas6722 5 месяцев назад +3

    AMERICAN NINJA

  • @MukangeAntoine
    @MukangeAntoine 5 месяцев назад +1

    Paranawe

  • @eliuskamwelwe1018
    @eliuskamwelwe1018 5 месяцев назад +1

    Mtoto wapili anaitwa "kapono"😅😅

  • @fasanitztiri5371
    @fasanitztiri5371 5 месяцев назад +1

    Dah palanawe

  • @MohamedHalake-cy8bh
    @MohamedHalake-cy8bh 3 месяца назад

    Paranawe

  • @benOfficial36
    @benOfficial36 5 месяцев назад +1

    Maisha ni safari, one day nami ntafanikiwaga tu❤

    • @Qqambaa
      @Qqambaa 5 месяцев назад +1

      Nimekupitia bro pia nawe nipitie subz

  • @tichaowdo_siba
    @tichaowdo_siba 5 месяцев назад

    Huyu mwamba ni hatari ukiangalia THE DRIVE zile action na stunt tena miaka ile ujue ni balaaa

  • @AbuodSeleman
    @AbuodSeleman 5 месяцев назад +1

    cryng freeman is my best movie all the time

  • @JaphetMkasa
    @JaphetMkasa 5 месяцев назад

    Yule aliyecheza no strike no sarrender yupo wapi?Nolan avendo

  • @nguvuyamaonomedia
    @nguvuyamaonomedia 5 месяцев назад +1

    Congratulations brother

  • @namanisound1990
    @namanisound1990 5 месяцев назад +1

    Namukumbuka

  • @AlmasRisasi
    @AlmasRisasi 5 месяцев назад

    Umfatli ana move 3 moja ya uchawi

  • @maulidSaid-ol1bl
    @maulidSaid-ol1bl 5 месяцев назад

    Ana movie mpya uyo mark ya mwaka wa jana ila kazeeka japo sio sana

  • @AbubakarKilapula
    @AbubakarKilapula 5 месяцев назад

    mm nilmfahamu kwenye drive

  • @messaabbas739
    @messaabbas739 5 месяцев назад +1

    ❤❤❤❤

  • @HamadaliBakar
    @HamadaliBakar 5 месяцев назад

    Kipaji kipo kwao

  • @cantiomedian7228
    @cantiomedian7228 5 месяцев назад

    Mr. Paranawe 😅😅😅

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 5 месяцев назад

    👊👍✌️.