Ndugi zangu msiangarie bahari kua shwari tu ebutufanye tafakuri saana kunako ukubwa wa Allah s.w.t kwa haya tunayo yaona yakiendelea sio uguja tu leo tumeshudia hapa tz tetemeko la ardhi so turejeheni kwa Allah s.w.t good buy dunia welcome kaburi kiyama chaja hvyo tusidishe toba .
Tumemvuruga Allah s.w.t ktk fukwe za bahari nae kuvuruģa Bahari nzima .Maana yanayo fanyika ktk fukwe uchafu mwingi din tume weka kando sie na dunia nahapo baado kama aturejei tukajifanya jeuri yanayo kuja yatakua khatar zd
Acheni ushamba hivi kwann kila linalofanyika huku nyinyi linawagusa? mengine potezeeni mufanye yenu wazanzibari kwa lafdhi yao wanaweza kuzungumza lugha yyte dunia hii sio km wale wauza vyungu na dawa za mende, naona Zanzibar inawawasha kweli kwani kuna chi gani duniani zinazofanana kimatamshi? kingereza ni hicho hicho bt akiongea mnigria hafanani na mkongo, muingereza haanani na mjerumani, mchina hafanani na thailand..ila hatuwalaumu ustaarabu umechelewa kuwafikia nyinyi ndio maana mnaropoka sana
Ndugi zangu msiangarie bahari kua shwari tu ebutufanye tafakuri saana kunako ukubwa wa Allah s.w.t kwa haya tunayo yaona yakiendelea sio uguja tu leo tumeshudia hapa tz tetemeko la ardhi so turejeheni kwa Allah s.w.t good buy dunia welcome kaburi kiyama chaja hvyo tusidishe toba .
In shaa Allah
Tumemvuruga Allah s.w.t ktk fukwe za bahari nae kuvuruģa Bahari nzima .Maana yanayo fanyika ktk fukwe uchafu mwingi din tume weka kando sie na dunia nahapo baado kama aturejei tukajifanya jeuri yanayo kuja yatakua khatar zd
wanguja mkizungumza kazenishenimidomo
Acheni ushamba hivi kwann kila linalofanyika huku nyinyi linawagusa? mengine potezeeni mufanye yenu wazanzibari kwa lafdhi yao wanaweza kuzungumza lugha yyte dunia hii sio km wale wauza vyungu na dawa za mende, naona Zanzibar inawawasha kweli kwani kuna chi gani duniani zinazofanana kimatamshi? kingereza ni hicho hicho bt akiongea mnigria hafanani na mkongo, muingereza haanani na mjerumani, mchina hafanani na thailand..ila hatuwalaumu ustaarabu umechelewa kuwafikia nyinyi ndio maana mnaropoka sana
Nasra Juma