ALIKIBA ALIVYOMUINGIZA UKUMBINI MKEWE AMINA -via AzamTV

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 28 апр 2018
  • Leo April 29, 2018 ni Reception ya Alkiba na mdogo wake Abdukiba tazama Alikiba alivyoingia ukumbini

Комментарии • 132

  • @morhymataga3237
    @morhymataga3237 6 лет назад +12

    Any Kenyan wishing amina a happy marriage love life Kenyans we are hard-working ladies with no drama

  • @jacksonosward5064
    @jacksonosward5064 6 лет назад +45

    saw king,, ngong like kam we team kba

  • @josephajosephat8370
    @josephajosephat8370 6 лет назад +1

    Hongera sana Ally kiba & u'r young brother we love you so much, be blessed zaid na zaid

  • @hadijarama8152
    @hadijarama8152 6 лет назад +1

    Mashallah shemeji yetu kiba kenya twakupenda😘😘😘😘

  • @uberdar7258
    @uberdar7258 6 лет назад +4

    hakuna binadamu asiekua na mapungufu kiba na mkeo mmependeza na nikupe hongera kwa kukamilisha sherehe yako ya harusi safi sana big up

  • @shamilamct5442
    @shamilamct5442 6 лет назад

    Na harusi imependeza mashalla 😍 hongereni sana kiba family na biharusi zao family m.mungu awaongoze mema ktk ndoa zenu. Amin yarab 🌹 😘

  • @ilhamyusufbakari5619
    @ilhamyusufbakari5619 6 лет назад

    Amina ww mwanamke wa kiislam sihishima kuvaa nguo nusu uchi malaika wamekuulaani. Wa Mungu. Omba msamaha kwa mola wako. Ni mm kama dadaako kukuambia hivyo. Shukrani

  • @stainasmkoko604
    @stainasmkoko604 6 лет назад +2

    Hongera kaka alkiba na abdukiba

  • @louisewanjiru3167
    @louisewanjiru3167 6 лет назад

    Naskia nyimbo za karomaindo walevi WA mnazi.How sweet kiba kaolewa Kenya...woishee atalijua Jiji,karibu Kenya yetu,But usithani utazima lights za mtaani juu uko around.....😂😂😂Good job Amina, tipi top

  • @evarisaernest8048
    @evarisaernest8048 6 лет назад

    Hongera King Kiba

  • @mwanaishambili241
    @mwanaishambili241 6 лет назад +1

    Khery insha'Allah mkae muelewane

  • @galbyhayuuni5294
    @galbyhayuuni5294 6 лет назад

    Ma shaa Allah TabarakAllah

  • @omanOman-yk3oz
    @omanOman-yk3oz 6 лет назад

    hongera alikiba na abdukiba mlitisha sana na suti zenu

  • @tatujuma7285
    @tatujuma7285 6 лет назад

    Masha allah Allah awajalie maelewano daima Amiin👏

  • @katyadhiambo6179
    @katyadhiambo6179 6 лет назад

    Wow!Amina amependeza tu sana

  • @FatmaFatma-kt1or
    @FatmaFatma-kt1or 6 лет назад

    Mke wa Abdu kiba nimempenda buleeee mana si kwatabasam ilo 😙😙

  • @saumuhassan1365
    @saumuhassan1365 6 лет назад

    Mashallah, cute

  • @kenyanbae9971
    @kenyanbae9971 6 лет назад +1

    Congratulations

  • @zaharaaboubakar3656
    @zaharaaboubakar3656 6 лет назад

    maashaalahu!

  • @asminongai8017
    @asminongai8017 6 лет назад

    Ma sha Allah marrahellua

  • @boniphacejuma5465
    @boniphacejuma5465 6 лет назад

    hongera sana my kaka

  • @aminamrisho190
    @aminamrisho190 6 лет назад

    Mashaallah mmependeza mno

  • @aminaissah2693
    @aminaissah2693 6 лет назад

    Mashallah

  • @tatuasiah3791
    @tatuasiah3791 6 лет назад

    mashaallaah

  • @sarahmwakilasa7425
    @sarahmwakilasa7425 6 лет назад +1

    Safi sanaaaaaa

  • @sabrinaalhosni9196
    @sabrinaalhosni9196 6 лет назад

    Mashaallah

  • @zainabswaleh4907
    @zainabswaleh4907 6 лет назад

    Mashallah mabruk mashallah

  • @ramadhanmambo6215
    @ramadhanmambo6215 6 лет назад

    Good kijana kwa kulifanya la buxara

  • @khadijaomar3299
    @khadijaomar3299 6 лет назад

    Mashaa Allah

  • @bibijuma5804
    @bibijuma5804 6 лет назад

    Masha Allah so cute...+973

  • @halimamaggy8551
    @halimamaggy8551 6 лет назад

    umependa sana

  • @asiazuberi9722
    @asiazuberi9722 6 лет назад

    Hongera king kiba

  • @asiahmariam3942
    @asiahmariam3942 6 лет назад

    Masha'allah

  • @rdctv8074
    @rdctv8074 4 года назад

    King

  • @mohamed.hassani9917
    @mohamed.hassani9917 6 лет назад +6

    Kiba !!!!Mombasa ulivaa kanzu na kuimba bongoflava, leo umevaa suti na dufu,yaani du,hainuhusu lakini mpangilio sio poa

  • @yusraibrahim8218
    @yusraibrahim8218 5 лет назад

    🔥🔥✔

  • @starnewstvtv1126
    @starnewstvtv1126 6 лет назад +4

    Inapendez sana

  • @daudisharufu3473
    @daudisharufu3473 6 лет назад

    daaaaäh mambö nî..... 🔥🔥💫

  • @amaman_muntari
    @amaman_muntari 6 лет назад

    Mashallah💏💏💏💏

  • @fgjjgbnko4383
    @fgjjgbnko4383 6 лет назад +2

    Nampenda mke wa Abduu msheshi huyu amina Jeuri sipendi

    • @mariammbughi2702
      @mariammbughi2702 6 лет назад

      Fgjj Gbnko makubwa we umejuaje wabongo bwana😂😂😂

    • @jescajulius4954
      @jescajulius4954 6 лет назад

      Fgjj Gbnko uyo wako mchangamfu yuko wapi watu wengine midomo tu na yeye ndivyo alivyo umbwa hvyo kama uwez ku comenf acha kuliko kaundk stupid things

    • @mesalimmuna8327
      @mesalimmuna8327 6 лет назад

      Fgjj Gbnko hapo umesema kweli daa hata juzi mke w abdu kiba alikua anafurahz kwenye arusi ya zabibu wifi yakee

    • @mishisaidi8696
      @mishisaidi8696 5 лет назад

      Mesalim Muna jamani mbona hivyo we ushakaa nae ukamjua ama kumuona 2 ndio unamsimanga hivyo

  • @betishebaelias1664
    @betishebaelias1664 6 лет назад

    Kawaida sana

  • @manumchaga3102
    @manumchaga3102 6 лет назад +1

    Ahijapendeza ata kidogo

  • @ivinechemtaimasai83
    @ivinechemtaimasai83 6 лет назад

    Amazing God bless you guys

  • @rihanakiunguli7321
    @rihanakiunguli7321 6 лет назад +19

    Alivyo vaa biharusi na madufu tofauti mtanisamehe kama nimewakwaza lakini ukweli ndio huo, kama mmeamua kuweka madufu kwanini avae hivyo wakati kuna upambaji wake, hivyo alivyo vaa saws kapendeza lakini ni mwendo wa seduce me au natamba, naombeni munisamehe nimeona niseme ukweli

  • @shaibusule5196
    @shaibusule5196 6 лет назад

    nice

  • @maryammmakunduchmahammed9786
    @maryammmakunduchmahammed9786 6 лет назад +2

    Maulid ujistir

  • @raziajolie7774
    @raziajolie7774 6 лет назад

    Mnatisha kabisa

  • @hawakassanga9884
    @hawakassanga9884 6 лет назад

    Jamani hiyo ni sherehe

  • @aishaabdul1360
    @aishaabdul1360 6 лет назад

    Umependeza kiba

  • @marriammarango7532
    @marriammarango7532 6 лет назад +2

    Waoooow mumependeza walai maisha mema

    • @yanah6931
      @yanah6931 6 лет назад

      marriam marango mapungufu yakufanya kitu makusudi tutakuwa tunayilenga mipaka ya Allah kisha eti binadamu anamapungufu Allah Akbar

    • @yanah6931
      @yanah6931 6 лет назад

      marriam marango mapungufu yakufanya kitu makusudi tutakuwa tunayilenga mipaka ya Allah kisha eti binadamu anamapungufu Allah Akbar

  • @hamedalsaadi7350
    @hamedalsaadi7350 6 лет назад

    nic

  • @maryammmakunduchmahammed9786
    @maryammmakunduchmahammed9786 6 лет назад +1

    Tofaut mwenzie kidog afadhali

  • @samiramrabumrabu6378
    @samiramrabumrabu6378 6 лет назад

    da brozs

  • @maembamwita5874
    @maembamwita5874 6 лет назад

    Wapi diamond platnumZ

  • @faithklove9419
    @faithklove9419 6 лет назад

    Congratulations Guy's

    • @happystanley9268
      @happystanley9268 6 лет назад

      Mungu awasaidie muishi maisha mema ali na abdu kwenye ndoa yenu

  • @abubakarsaid9890
    @abubakarsaid9890 6 лет назад

    Ali kiba nyce walk to stage

  • @lizybabyjohn2430
    @lizybabyjohn2430 6 лет назад

    Imepoozaaa mbonaaa

  • @bongoflevamix8189
    @bongoflevamix8189 6 лет назад

    SUBSCRIBE & Turn on Post Notification
    Maana huwezi kujutia kujiunga na Channel hii kama wewe kweli ni mpenzi wa Music wa Bongo Flava ile orgianl kabisa.
    Pia ni ruksa kurequest kwenye comment nyimbo ya zamani unayoitafuta bila mafanikio na sisi tutakuwekea hapa ili tufurahie wote kwa pa1 enzi muziki ulipo kuwa MZIKI..

  • @khadijayusuph9316
    @khadijayusuph9316 6 лет назад

    Wamependeza

  • @bhokemasyaga6244
    @bhokemasyaga6244 6 лет назад

    she's so cute

  • @AK-ho2lb
    @AK-ho2lb 6 лет назад

    Haya jamani. Sisi yetu macho tu.

  • @afrarugakingira5862
    @afrarugakingira5862 6 лет назад

    Watu kwa kutoa kasorooo...mh...mmenogaaaaa

  • @shamilamct5442
    @shamilamct5442 6 лет назад

    Aah waimbaji masikio yanatuziba sauti zao bora dj uchangamfu ziada

  • @munnawwaryaqoob3414
    @munnawwaryaqoob3414 6 лет назад

    Ila Ayo mnaboa sana jifunze kuunganisha tukio zima,sio vipandex2

  • @athumantemba8992
    @athumantemba8992 6 лет назад

    Naona vijjana wamechukua vyombo

  • @mwanahamisimasoud4408
    @mwanahamisimasoud4408 6 лет назад

    haya tushaona

  • @rifathrashidy1439
    @rifathrashidy1439 6 лет назад

    Pesa inatupoteza b harus yko uchi na mashekhe wanamwaga sifa msiba hu

  • @jokhamabruk139
    @jokhamabruk139 6 лет назад

    yaani walivovaa ma bi harusi na maulidi ni vitu viwili tofauti,ila wamependeza

  • @ayubuhussein834
    @ayubuhussein834 4 года назад

    Mfalme

  • @kaimbeshamu8351
    @kaimbeshamu8351 6 лет назад

    Kutuima live mlitaka tuje kutoka marekani mpaka uko mgetuma kadi basi kwamimi mmeniboa sana ila powa kwakuwa nikipenzi cha watu ainashida

  • @khalilidris5154
    @khalilidris5154 6 лет назад +1

    Mke ni mzuri mashaallah lakini sio maadili ya kiislaslam mwanake Nywele kuwa wazi au nakosea jamani?

    • @mwanamisp0fu760
      @mwanamisp0fu760 6 лет назад

      Kweli haujakosea haifai kwa muonekano huo.

    • @safiakhamiss1528
      @safiakhamiss1528 6 лет назад

      Ww uko sawa na yy kukaa kichwa wazi yuko sawa kututambia mwaraa wa Muscat nywele hana 😆😆😆😆😆au mwara koko huyo

  • @aminarashid4474
    @aminarashid4474 6 лет назад +2

    jamani silalileo

  • @rehematawalani7472
    @rehematawalani7472 6 лет назад

    Mnakiuka maadili ya kiislam munaiga mambo hayapo kabisa ktk dini yetu harafu wengine wanapongeza

  • @rehematawalani7472
    @rehematawalani7472 6 лет назад

    Yaani watu wanapotea nyie mnasapoti ATI NINI mimi sijapenda kabisa

  • @rehematawalani7472
    @rehematawalani7472 6 лет назад

    Mbinu za wadada sasahivi picha kamili tazama mke wa kiba eti mwanadini pyuuuu dini mchezo nini

  • @safiakhamiss1528
    @safiakhamiss1528 6 лет назад

    Kujifanya anajua kumbe kumbe 0 kutusema vibaya wanawake wa tz yaani nimemaindi kinomanoma yaani alikuwa shabiki wangu lakini ss sitaki hata kumsikia kaswida na mavazi hayo wapi na wapi tena kapuyanga kweli uzalilishaji wa dini huu

  • @zulfazame6871
    @zulfazame6871 6 лет назад

    sio kwa tabasam hlo kiba hongera sana 👑

  • @princeesssalma9622
    @princeesssalma9622 6 лет назад

    Hahahaha

  • @rehematawalani7472
    @rehematawalani7472 6 лет назад

    Hapo hakuna harusi mwanamke wa kiislam hairuhusiwi kuwa kichwa wazi harusi hakuna hapo harafu eti mke wa kiba fulu uislam hivo hamjawajua

  • @rubbymassawe788
    @rubbymassawe788 6 лет назад

    kama n kutembea taratbu hv sjui mm sku ya ndoa yng itakuaje mana mm nko jesh nshazoea kutembea mara moja atua 3tyu mm nmefka

  • @jasminemajidy2384
    @jasminemajidy2384 6 лет назад +4

    mh ayanihusu but nimaonioni yangu tu bint mwenye madiri nakuijuwa dini asinge vyaa ivyo kunashera nzur zakustri mhhh🙈🙈🙈🙈🙈 upo uchi kwa bint ajuwa maadiri yadini

    • @jasminemajidy2384
      @jasminemajidy2384 6 лет назад

      but tukaetukijuwa kiama kipo

    • @yanah6931
      @yanah6931 6 лет назад

      Jasmine Majidy umesama ukweli

    • @abdallahhemed3527
      @abdallahhemed3527 6 лет назад +1

      Jasmine Majidy .angekuwa anajua Dini asingekubali kuolewa na msanii,hapo wamekutana mfuniko na chupa,hakuna hata wa kumuelekeza mwenzie Allah anantaka nini,Na Allah ataki nini?Allah awaongoze

    • @jasminemajidy2384
      @jasminemajidy2384 6 лет назад

      Allah atunusuru jamani maana mh sokwamba twamtusi bari ajafuata maadiri yadini kabisa msiba huu jamani

    • @abdallahhemed3527
      @abdallahhemed3527 6 лет назад

      Jasmine Majidy .ni msiba mkubwa SNA Sasa hapo ukumbini wapi hao wapiga dufu wanajiita masheikh huo mchanganyiko ni halam ,na wao wamealikwa wamekuja njaa mbaya SNA eaeiyoa njaa tumboni wamepeleka kichwani,Kiongozi wa Dini anaejitambua huwezi kumkita sehemu kama hiyo mfano Sheikh Ponda,Mselem Ally,Faridi.uwezi ukawakuta sehemu kma hizi.Hawa masheikh Ubwabwa waantualibia Dini,na ndio wanachangia huu upuuzibkuendelea kwa sababu hawasemi hakh

  • @shemsakiobya6146
    @shemsakiobya6146 6 лет назад

    mbona shera yake inavimba sana hana shepu nini ndio maana wanamshonea masindelela ile ya Mombasa hivyohivyo

  • @dovicochristopher5388
    @dovicochristopher5388 6 лет назад

    Wakosoaji kazi kwenu ila harusi tiali imefanyika 😁😁😁😁

  • @rehematawalani7472
    @rehematawalani7472 6 лет назад

    Ndio harusi za kisanii au za kisasa alikiba wewe ni muislam na huyo mke tumepata sifa zake ni mtu aliebobea kwenye uislam kwahiyo

  • @rehematawalani7472
    @rehematawalani7472 6 лет назад

    Mwanamke wa kiislam hapaswi kuweka kichwa yake wazi tena hadharani ikiwa ndo bi harusi hapo ndo mmeivunja shelia kabisa

  • @mirriam.mwangangi4614
    @mirriam.mwangangi4614 6 лет назад

    Eeh adi modi akiona ii anamua n hamisa bb bora ashdane na kiba hahaaaa modi ata uoe hamisa ugali utaoa tena cna ubaya mm

  • @artemisneoy9596
    @artemisneoy9596 6 лет назад

    Wacheni unafiki, samependeza, dini mnaijua nyie peke yenu?

  • @alihijiiddi8977
    @alihijiiddi8977 6 лет назад +2

    LANATULLAHI HARUSI BATILI HII NA MWANAMKE UKOUCHI NAVANANUKA KULIKO UCHAFU WENYEWE HARAMU TUPU NA MNAZINI HUJAMUOWA HUYU HUWEZI KUOWA MWANAMKE YOKO UCHI MCHAFU 👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹😇😇😇😇😇😇😇😇IBILISI 💒💒💒💒💒💒💒🐖🐖🐖🐖🐖🐖🐖🐖🐖🐖🐖

    • @catherinejoseph8897
      @catherinejoseph8897 6 лет назад +1

      mbona umekandia sana??? kwani kafunga mdogo wako 😬😬😬...
      Acha wivu... funga yako iliyo safi tuone

    • @mwanaherimohamedy6978
      @mwanaherimohamedy6978 6 лет назад +1

      Ali hiji iddi ,ndio kweli wamekosea lakini upaswi kuwahukumu wewe kwani hata wewe pia una mapungufu yako usiyajadili ya mwezio ukajiona weww msafi usimuite muislamu mwenzio ibilisi cha muhimu ni kumuelekeza tu ni hayo tu kaka angu

    • @nimamohamed509
      @nimamohamed509 6 лет назад

      Naam Swadakta Umeongea Ukweli, Akejelitu Madada Wa Kibongo Na Amefanya Zinaa Mda Wte Huo

  • @aminamrisho190
    @aminamrisho190 6 лет назад

    Mashaallah mmependeza mno

  • @asiahamza7343
    @asiahamza7343 6 лет назад

    mashaallah

  • @rukiarashid8222
    @rukiarashid8222 6 лет назад +2

    Mashaallah