Amina ww mwanamke wa kiislam sihishima kuvaa nguo nusu uchi malaika wamekuulaani. Wa Mungu. Omba msamaha kwa mola wako. Ni mm kama dadaako kukuambia hivyo. Shukrani
Naskia nyimbo za karomaindo walevi WA mnazi.How sweet kiba kaolewa Kenya...woishee atalijua Jiji,karibu Kenya yetu,But usithani utazima lights za mtaani juu uko around.....😂😂😂Good job Amina, tipi top
Alivyo vaa biharusi na madufu tofauti mtanisamehe kama nimewakwaza lakini ukweli ndio huo, kama mmeamua kuweka madufu kwanini avae hivyo wakati kuna upambaji wake, hivyo alivyo vaa saws kapendeza lakini ni mwendo wa seduce me au natamba, naombeni munisamehe nimeona niseme ukweli
SUBSCRIBE & Turn on Post Notification Maana huwezi kujutia kujiunga na Channel hii kama wewe kweli ni mpenzi wa Music wa Bongo Flava ile orgianl kabisa. Pia ni ruksa kurequest kwenye comment nyimbo ya zamani unayoitafuta bila mafanikio na sisi tutakuwekea hapa ili tufurahie wote kwa pa1 enzi muziki ulipo kuwa MZIKI..
Kujifanya anajua kumbe kumbe 0 kutusema vibaya wanawake wa tz yaani nimemaindi kinomanoma yaani alikuwa shabiki wangu lakini ss sitaki hata kumsikia kaswida na mavazi hayo wapi na wapi tena kapuyanga kweli uzalilishaji wa dini huu
mh ayanihusu but nimaonioni yangu tu bint mwenye madiri nakuijuwa dini asinge vyaa ivyo kunashera nzur zakustri mhhh🙈🙈🙈🙈🙈 upo uchi kwa bint ajuwa maadiri yadini
Jasmine Majidy .angekuwa anajua Dini asingekubali kuolewa na msanii,hapo wamekutana mfuniko na chupa,hakuna hata wa kumuelekeza mwenzie Allah anantaka nini,Na Allah ataki nini?Allah awaongoze
Jasmine Majidy .ni msiba mkubwa SNA Sasa hapo ukumbini wapi hao wapiga dufu wanajiita masheikh huo mchanganyiko ni halam ,na wao wamealikwa wamekuja njaa mbaya SNA eaeiyoa njaa tumboni wamepeleka kichwani,Kiongozi wa Dini anaejitambua huwezi kumkita sehemu kama hiyo mfano Sheikh Ponda,Mselem Ally,Faridi.uwezi ukawakuta sehemu kma hizi.Hawa masheikh Ubwabwa waantualibia Dini,na ndio wanachangia huu upuuzibkuendelea kwa sababu hawasemi hakh
LANATULLAHI HARUSI BATILI HII NA MWANAMKE UKOUCHI NAVANANUKA KULIKO UCHAFU WENYEWE HARAMU TUPU NA MNAZINI HUJAMUOWA HUYU HUWEZI KUOWA MWANAMKE YOKO UCHI MCHAFU 👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹😇😇😇😇😇😇😇😇IBILISI 💒💒💒💒💒💒💒🐖🐖🐖🐖🐖🐖🐖🐖🐖🐖🐖
Ali hiji iddi ,ndio kweli wamekosea lakini upaswi kuwahukumu wewe kwani hata wewe pia una mapungufu yako usiyajadili ya mwezio ukajiona weww msafi usimuite muislamu mwenzio ibilisi cha muhimu ni kumuelekeza tu ni hayo tu kaka angu
Any Kenyan wishing amina a happy marriage love life Kenyans we are hard-working ladies with no drama
saw king,, ngong like kam we team kba
Hongera sana Ally kiba & u'r young brother we love you so much, be blessed zaid na zaid
Mashallah shemeji yetu kiba kenya twakupenda😘😘😘😘
hakuna binadamu asiekua na mapungufu kiba na mkeo mmependeza na nikupe hongera kwa kukamilisha sherehe yako ya harusi safi sana big up
Na harusi imependeza mashalla 😍 hongereni sana kiba family na biharusi zao family m.mungu awaongoze mema ktk ndoa zenu. Amin yarab 🌹 😘
Amina ww mwanamke wa kiislam sihishima kuvaa nguo nusu uchi malaika wamekuulaani. Wa Mungu. Omba msamaha kwa mola wako. Ni mm kama dadaako kukuambia hivyo. Shukrani
Hongera kaka alkiba na abdukiba
Naskia nyimbo za karomaindo walevi WA mnazi.How sweet kiba kaolewa Kenya...woishee atalijua Jiji,karibu Kenya yetu,But usithani utazima lights za mtaani juu uko around.....😂😂😂Good job Amina, tipi top
Hongera King Kiba
Khery insha'Allah mkae muelewane
Ma shaa Allah TabarakAllah
hongera alikiba na abdukiba mlitisha sana na suti zenu
Masha allah Allah awajalie maelewano daima Amiin👏
Wow!Amina amependeza tu sana
Mke wa Abdu kiba nimempenda buleeee mana si kwatabasam ilo 😙😙
Mashallah, cute
Congratulations
maashaalahu!
Ma sha Allah marrahellua
hongera sana my kaka
Mashaallah mmependeza mno
Mashallah
mashaallaah
Safi sanaaaaaa
Mashaallah
Mashallah mabruk mashallah
Good kijana kwa kulifanya la buxara
Mashaa Allah
Masha Allah so cute...+973
umependa sana
Hongera king kiba
Masha'allah
King
Kiba !!!!Mombasa ulivaa kanzu na kuimba bongoflava, leo umevaa suti na dufu,yaani du,hainuhusu lakini mpangilio sio poa
Mohamed. Hassani
Fanya yko tuone
+Salehe Malekela Mimi mwaka 12 nipo kwenye ndoa ,nipe dada ako kama unataka uone ndoa yangu ,nyengine,
🔥🔥✔
Inapendez sana
WCB FANS TV
daaaaäh mambö nî..... 🔥🔥💫
Mashallah💏💏💏💏
Nampenda mke wa Abduu msheshi huyu amina Jeuri sipendi
Fgjj Gbnko makubwa we umejuaje wabongo bwana😂😂😂
Fgjj Gbnko uyo wako mchangamfu yuko wapi watu wengine midomo tu na yeye ndivyo alivyo umbwa hvyo kama uwez ku comenf acha kuliko kaundk stupid things
Fgjj Gbnko hapo umesema kweli daa hata juzi mke w abdu kiba alikua anafurahz kwenye arusi ya zabibu wifi yakee
Mesalim Muna jamani mbona hivyo we ushakaa nae ukamjua ama kumuona 2 ndio unamsimanga hivyo
Kawaida sana
Ahijapendeza ata kidogo
Amazing God bless you guys
Ukumbi umepooza mnooo
Alf Mabrouk
Alivyo vaa biharusi na madufu tofauti mtanisamehe kama nimewakwaza lakini ukweli ndio huo, kama mmeamua kuweka madufu kwanini avae hivyo wakati kuna upambaji wake, hivyo alivyo vaa saws kapendeza lakini ni mwendo wa seduce me au natamba, naombeni munisamehe nimeona niseme ukweli
Rihana Kiunguli kwakweli
Rihana Kiunguli tatari asha maliza take sasa tungojee ya chubu na hamisa or another woman we dont know.
Rihana Kiunguli kweli kabisa
Rihana Kiunguli kabisa Dada angy👏👏👏 udharirishaj dini huo
Rihana Kiunguli eti ovyo kweli bado wanasema tz hatujistiri
nice
Maulid ujistir
Mnatisha kabisa
Jamani hiyo ni sherehe
Umependeza kiba
Waoooow mumependeza walai maisha mema
marriam marango mapungufu yakufanya kitu makusudi tutakuwa tunayilenga mipaka ya Allah kisha eti binadamu anamapungufu Allah Akbar
marriam marango mapungufu yakufanya kitu makusudi tutakuwa tunayilenga mipaka ya Allah kisha eti binadamu anamapungufu Allah Akbar
nic
Tofaut mwenzie kidog afadhali
da brozs
Wapi diamond platnumZ
Congratulations Guy's
Mungu awasaidie muishi maisha mema ali na abdu kwenye ndoa yenu
Ali kiba nyce walk to stage
Imepoozaaa mbonaaa
SUBSCRIBE & Turn on Post Notification
Maana huwezi kujutia kujiunga na Channel hii kama wewe kweli ni mpenzi wa Music wa Bongo Flava ile orgianl kabisa.
Pia ni ruksa kurequest kwenye comment nyimbo ya zamani unayoitafuta bila mafanikio na sisi tutakuwekea hapa ili tufurahie wote kwa pa1 enzi muziki ulipo kuwa MZIKI..
Wamependeza
she's so cute
nice
Jamani rusha live basi wengine tuko mbaliiiii
Haya jamani. Sisi yetu macho tu.
Watu kwa kutoa kasorooo...mh...mmenogaaaaa
Aah waimbaji masikio yanatuziba sauti zao bora dj uchangamfu ziada
Ila Ayo mnaboa sana jifunze kuunganisha tukio zima,sio vipandex2
Naona vijjana wamechukua vyombo
haya tushaona
Pesa inatupoteza b harus yko uchi na mashekhe wanamwaga sifa msiba hu
yaani walivovaa ma bi harusi na maulidi ni vitu viwili tofauti,ila wamependeza
Mfalme
Kutuima live mlitaka tuje kutoka marekani mpaka uko mgetuma kadi basi kwamimi mmeniboa sana ila powa kwakuwa nikipenzi cha watu ainashida
Mke ni mzuri mashaallah lakini sio maadili ya kiislaslam mwanake Nywele kuwa wazi au nakosea jamani?
Kweli haujakosea haifai kwa muonekano huo.
Ww uko sawa na yy kukaa kichwa wazi yuko sawa kututambia mwaraa wa Muscat nywele hana 😆😆😆😆😆au mwara koko huyo
jamani silalileo
Amina Rashid 😂😂😂😂atarii
+Sofia Yusufu mpaka kieleweke apa
Mnakiuka maadili ya kiislam munaiga mambo hayapo kabisa ktk dini yetu harafu wengine wanapongeza
Yaani watu wanapotea nyie mnasapoti ATI NINI mimi sijapenda kabisa
Mbinu za wadada sasahivi picha kamili tazama mke wa kiba eti mwanadini pyuuuu dini mchezo nini
Kujifanya anajua kumbe kumbe 0 kutusema vibaya wanawake wa tz yaani nimemaindi kinomanoma yaani alikuwa shabiki wangu lakini ss sitaki hata kumsikia kaswida na mavazi hayo wapi na wapi tena kapuyanga kweli uzalilishaji wa dini huu
sio kwa tabasam hlo kiba hongera sana 👑
Hahahaha
Hapo hakuna harusi mwanamke wa kiislam hairuhusiwi kuwa kichwa wazi harusi hakuna hapo harafu eti mke wa kiba fulu uislam hivo hamjawajua
kama n kutembea taratbu hv sjui mm sku ya ndoa yng itakuaje mana mm nko jesh nshazoea kutembea mara moja atua 3tyu mm nmefka
mh ayanihusu but nimaonioni yangu tu bint mwenye madiri nakuijuwa dini asinge vyaa ivyo kunashera nzur zakustri mhhh🙈🙈🙈🙈🙈 upo uchi kwa bint ajuwa maadiri yadini
but tukaetukijuwa kiama kipo
Jasmine Majidy umesama ukweli
Jasmine Majidy .angekuwa anajua Dini asingekubali kuolewa na msanii,hapo wamekutana mfuniko na chupa,hakuna hata wa kumuelekeza mwenzie Allah anantaka nini,Na Allah ataki nini?Allah awaongoze
Allah atunusuru jamani maana mh sokwamba twamtusi bari ajafuata maadiri yadini kabisa msiba huu jamani
Jasmine Majidy .ni msiba mkubwa SNA Sasa hapo ukumbini wapi hao wapiga dufu wanajiita masheikh huo mchanganyiko ni halam ,na wao wamealikwa wamekuja njaa mbaya SNA eaeiyoa njaa tumboni wamepeleka kichwani,Kiongozi wa Dini anaejitambua huwezi kumkita sehemu kama hiyo mfano Sheikh Ponda,Mselem Ally,Faridi.uwezi ukawakuta sehemu kma hizi.Hawa masheikh Ubwabwa waantualibia Dini,na ndio wanachangia huu upuuzibkuendelea kwa sababu hawasemi hakh
mbona shera yake inavimba sana hana shepu nini ndio maana wanamshonea masindelela ile ya Mombasa hivyohivyo
Wakosoaji kazi kwenu ila harusi tiali imefanyika 😁😁😁😁
Ndio harusi za kisanii au za kisasa alikiba wewe ni muislam na huyo mke tumepata sifa zake ni mtu aliebobea kwenye uislam kwahiyo
Mwanamke wa kiislam hapaswi kuweka kichwa yake wazi tena hadharani ikiwa ndo bi harusi hapo ndo mmeivunja shelia kabisa
Eeh adi modi akiona ii anamua n hamisa bb bora ashdane na kiba hahaaaa modi ata uoe hamisa ugali utaoa tena cna ubaya mm
Wacheni unafiki, samependeza, dini mnaijua nyie peke yenu?
Mlitaka avae nn mshindwe
LANATULLAHI HARUSI BATILI HII NA MWANAMKE UKOUCHI NAVANANUKA KULIKO UCHAFU WENYEWE HARAMU TUPU NA MNAZINI HUJAMUOWA HUYU HUWEZI KUOWA MWANAMKE YOKO UCHI MCHAFU 👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹😇😇😇😇😇😇😇😇IBILISI 💒💒💒💒💒💒💒🐖🐖🐖🐖🐖🐖🐖🐖🐖🐖🐖
mbona umekandia sana??? kwani kafunga mdogo wako 😬😬😬...
Acha wivu... funga yako iliyo safi tuone
Ali hiji iddi ,ndio kweli wamekosea lakini upaswi kuwahukumu wewe kwani hata wewe pia una mapungufu yako usiyajadili ya mwezio ukajiona weww msafi usimuite muislamu mwenzio ibilisi cha muhimu ni kumuelekeza tu ni hayo tu kaka angu
Naam Swadakta Umeongea Ukweli, Akejelitu Madada Wa Kibongo Na Amefanya Zinaa Mda Wte Huo
Mashaallah mmependeza mno
mashaallah
Mashaallah