DR. IPYANA KIBONA KUHUSU UBHAGILE/KUFANYA KAZI NA AMBWENE MWASONGWE/JE ANARINGA?

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • Kwenye #TheSoundOfGospel episode hii Mtangazaji wetu Mfinanga amepiga stori na #DrIpyanaKibona ambaye alikuwa anatambulisha wimbo wake mpya wa #Ubhagile aliofanya na Ambwene Mwasongwe lakini pia alipiga naye stori kuhusu mambo mengi yanayohusu huduma yake,Tazama kisha tueleze kipi kimekubamba kwenye maongezi haya.
    The Sound of Gospel is a radio and Online Program brought by SirMbezi In Association with Bethel Radio going live every Tuesday at 2PM On bethel Radio and later on In this You tube Channel.
    Executive Producers - SirMbezi & Ignas Yonah (Bethel Radio)
    Presenter - Gadielson Charles Mfinanga
    Cameras - Edward Fanuel, Hamid (Binam)
    Studio Set Up - Ignas Yona/Bethel Radio
    Photography - SirMbezi
    Editing - Sirmbezi,

Комментарии • 45

  • @shedrackmhehe
    @shedrackmhehe 4 года назад +3

    Mi binafsi nikuambie kitu bro mfinanga na ofisi nzima mnayofanya nayo kazi hi sio redio tu ila Ni Chuo kwangu

  • @sebonikegobi6244
    @sebonikegobi6244 2 года назад

    Kwakweli wimbo huu ubhagile nakupenda sana unanibariki ukizingatia ni wa lugha yangu

  • @naomimugambi6169
    @naomimugambi6169 4 года назад +3

    Am kenyan .. Ubhaghile still my favourite song

  • @uswegemwasanjala1465
    @uswegemwasanjala1465 2 месяца назад

    Amina ipyana

  • @raphaelgospelbytanzania504
    @raphaelgospelbytanzania504 2 года назад

    Amina iko poa Sana hyo nyimbo

  • @beatricecherdiel9299
    @beatricecherdiel9299 2 года назад

    The interview was a blessing. Dr Kibona Mungu azidi kukuinua unanibariki sana na nyimbo zako. I usually feel the presence of God in ur songs

  • @soniaseme4931
    @soniaseme4931 3 года назад

    Dr.Ipyana unajua tunamshukuru Mungu kwa kukuleta na kukupa kipawa hicho maana kupitia ww na nyimbo zako huwa napata amani moyoni,,Mungu azidi kukubariki sana

  • @uswegemwasanjala1465
    @uswegemwasanjala1465 2 месяца назад

    Nakubari

  • @madirishasimon9692
    @madirishasimon9692 2 года назад

    Mwanza yangu naipenda tunaomba neema ya Mungu wa Israel na Kanda ya ziwa vile vile

  • @rachelmlingwa8880
    @rachelmlingwa8880 3 года назад

    Kwa kweli dr mimi ninakukubali sana utukufu wa Mungu uko juu yako songa mbele handsome wa Yesu

  • @mozejcs9160
    @mozejcs9160 3 года назад +1

    The man was real genius at class, he was servant of God from the day I meet him at O-level may God bless u

  • @maryjoan4322
    @maryjoan4322 Год назад

    Very true in everything. Be blessed

  • @amenyemwansile631
    @amenyemwansile631 3 года назад

    Umenibariki Sana nkamu gwangu na wimbo wa ubhaghile nabarikiwa Sana na wimbo huu

  • @marymwasantaja1967
    @marymwasantaja1967 4 года назад +1

    Ubhaghile Kyala. MUNGU akutunze akuinue 🙏🏼

  • @venisiakasimba9254
    @venisiakasimba9254 3 года назад

    Nabarikiwa na channel yenu Mungu awabariki wote ipyana na muuliza maswali

  • @geofreylwinga2061
    @geofreylwinga2061 3 года назад

    Barikiwaa saana brow nazidi kujifunza Jambo kutoka kwako

  • @pudelwanzali955
    @pudelwanzali955 4 года назад +1

    Barikiwa Sana mtumishi wa Mungu naguswa na nymbo zako

  • @karensichali2637
    @karensichali2637 3 года назад

    Dr Ipyana, young man, You are a blessing I listen to your song Ubhaghile and I find it so comforting and peaceful.A good reminder that our Lord God is more than able I am Lambya and wish that this interview would also be done in English for those of us who are not Tanzanians...May the Lord bless you and your Gospel Music Ministry..

  • @elizabethtarmo7176
    @elizabethtarmo7176 4 года назад +2

    Dr.fanya Remix;.shirikishe Paul Mwangosi,hapo wimbo utabariki zaidi

  • @mbembelasaid5974
    @mbembelasaid5974 4 года назад

    kutenda haki na kumcha Mungu.. Ipyana Mungu akubariki bro I got something bro!!

  • @priscillahkirathe3638
    @priscillahkirathe3638 3 года назад

    I love the interview, Dkt I love the standards you have set in the music industry. I love it that ibada is a ministry for you. You bless my heart Man Of God.

  • @fabianimwaluko6468
    @fabianimwaluko6468 4 года назад +1

    Dr ipyana🙌🙌🙌

  • @cindymanguli4318
    @cindymanguli4318 4 года назад +1

    Nausubiri sana huu Mungu

  • @zephaniamugeta5834
    @zephaniamugeta5834 4 года назад

    Mungu Akubariki Sana Kaka

  • @tajieljuma9735
    @tajieljuma9735 4 года назад +1

    Wimbo mzuri sanaaaaa umenigusa

    • @marysuka7363
      @marysuka7363 3 года назад

      Unaweza mwana wa Mungu mjukuu wangu nilimsikia akiimba ana miaka 2 Mungu aendelee kukutumia

  • @mariamayoob8734
    @mariamayoob8734 3 года назад

    Hii youteb chanel inani bariki sana

  • @lovenessibrahimu6730
    @lovenessibrahimu6730 4 года назад

    Ameeeeen Ameeeeen Nice Song

  • @lydiamwakanyamale9958
    @lydiamwakanyamale9958 4 года назад

    Hakika mungu anaweza

  • @angelamwakisulu1539
    @angelamwakisulu1539 4 года назад

    Your so smart Dr. Ipyana mungu akupiganie. Nimekumbuka sunday school

    • @amosshija9458
      @amosshija9458 4 года назад

      Kaka Ipyana tunabarikiwa sana na huduma hii, Karibu tena Nkinga siku nyingine uje na Ambwene

    • @patiencewinga1335
      @patiencewinga1335 4 года назад

      Dr Ipyana Kyala akusaye fiyo, Ubhaghile ninyimbo iyi yikumpala Kyala fiyo, kuno ku Malawi, Karonga, tuhobwike ninyimbo iyi, God bless you abundantly.

  • @doraruffintemu6263
    @doraruffintemu6263 4 года назад +1

    Mimi nimechukua hii “walk with God don’t work with God”

  • @gladnessshola2718
    @gladnessshola2718 3 года назад

    Mfinanga you are a good presenter! and it is a good interview umefanya

  • @helenndekeja7083
    @helenndekeja7083 4 года назад

    Ameeen

  • @ericiradukunda753
    @ericiradukunda753 3 года назад

    Wao umemsema alivyo ! Ambwene yupo na upako wake! Yeahh hAna skendo kwa Sasa! Na tuzidi kumuombea ! Asibadirike! Namsikiliza nikiwa Moçambique

  • @viviandavid9974
    @viviandavid9974 4 года назад

    napenda sana but kiukweri naona kaubaguzi kidogo mbeya dini moshi/arusha bongo fleva jamani mbeya tuokoeni

  • @sebastianandester7630
    @sebastianandester7630 4 года назад

    Nawapongeza wote muuliza maswali na mjibu maswali, kuna nguvu ya Mungu ndani yake.

  • @lovenessibrahimu6730
    @lovenessibrahimu6730 4 года назад

    Kyara Nkoma Njoka Aseeee Ambwene Unanibariki

  • @jesusismyeverything1630
    @jesusismyeverything1630 4 года назад

    Waongo huyu ni mkimya sana haringi

  • @benidictwilliam4089
    @benidictwilliam4089 4 года назад +2

    Kyala akutule mkam gwangu dk ipyana

  • @ednagodson7540
    @ednagodson7540 4 года назад

    Natamani nikiolewa siku ya sendoff yangu kaka Gard umlete huyu jmn

  • @ednagodson7540
    @ednagodson7540 4 года назад

    Mimi sio mnyakyusa ila nauimba huu vzr n maneno natamka huyu kaka n neema tu inamkumbatiaa