''ULE JOHO WA ODM MWENYE ALIKUWA ANATUTUSI SAI AKO KWA SERIKALI''DP RIGATHI GACHAGUA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 24 окт 2024

Комментарии • 176

  • @ViceAdmiralVasilyArkhipov
    @ViceAdmiralVasilyArkhipov 2 месяца назад +20

    Gachagua is so proffesional deep in his heart he hates Ruto lakini anamsifu kabisaa

    • @wodnyaseje
      @wodnyaseje 2 месяца назад

      ..and Ruto knows that

    • @alfredagunda3699
      @alfredagunda3699 2 месяца назад

      Ruto Ni mjanja.mhe has held Gachagua upon his heaps to campaign for him.

    • @aaa64sa13
      @aaa64sa13 Месяц назад

      Kwani unaona Ruto ajui kama Gachagua ana mchimba chini kwa chini. Siku yake itafika tu...

  • @mosesogeta4406
    @mosesogeta4406 2 месяца назад +2

    Campaign oriented

  • @kibindankoi9824
    @kibindankoi9824 2 месяца назад +15

    All these people have nothing to do. They are idle. In Germany where i live, even if the Chancellor comes to a town, about a hundred people will turn up and mostly local politicians, the areas' companys' CEOs and like 50 Party supporters. Huu ujinga kama Kenya hakuna. Huu ujinga na ufala wa kuacha shughuli na kwenda kukusanyika kwa wana siasa ni upuuzi na ukosefu wa elimu.

    • @jav856
      @jav856 2 месяца назад

      Didn't bring Germany to Kenya

    • @mikemenza5186
      @mikemenza5186 2 месяца назад +3

      Well said, To They have nothing to do

    • @thekavilaful
      @thekavilaful 2 месяца назад

      Very much true. These people are the ones who make leaders not to deliver on their promises.
      Leaders keep on coming to manipulate their minds with promises while on the other end, they are looting and enriching themselves using tax payers money and foreign loans money..
      Kenyan will regret years to come......

    • @maimunahassan1910
      @maimunahassan1910 2 месяца назад

      Simply showing off that you are in Germany. Don't compare Kenyan politics to Germany

    • @faithwambuikogler4965
      @faithwambuikogler4965 2 месяца назад +1

      Ukweli wa uma😮

  • @brilexmedia6907
    @brilexmedia6907 2 месяца назад +11

    I love the way riggy g communicates he knows what the mountain is all about

  • @samuelbunja8395
    @samuelbunja8395 2 месяца назад +22

    Two years since you vote for this people they are still in campaign.

    • @styvoll2004
      @styvoll2004 2 месяца назад +2

      I'm telling you.. very funny individuals

    • @mozaytm8268
      @mozaytm8268 2 месяца назад

      I know 😂😂😂

    • @faithwambuikogler4965
      @faithwambuikogler4965 2 месяца назад

      True.
      God help our kenya

    • @jekamash
      @jekamash 2 месяца назад

      Kabisa. And they will be in campaign hadi 2027 with promises that are never fulfilled.

    • @KanaKamugo
      @KanaKamugo 2 месяца назад

      Mimi sioni Shinda. Hawa watu wanafanya kazi but wakenya wapendi ukweli. May God protect them🙏

  • @CHRISPYOWINY
    @CHRISPYOWINY 2 месяца назад +8

    Campaign eternally 😊😊

  • @nickmutegi1507
    @nickmutegi1507 2 месяца назад +13

    Riggy G akili yake haiko suitable to hold any office.

  • @scofield6490
    @scofield6490 2 месяца назад +15

    Hii ni campaign hakuna kazi hapa

    • @deeruta9894
      @deeruta9894 2 месяца назад

      Its so sad 😢😢 wtu hawana food cost of living is too high na watu hawaini kazi ni kampeni day by day 😢😢😢

    • @NancyNjeri-hx2qy
      @NancyNjeri-hx2qy 2 месяца назад

      😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @simonkariukikamata77
    @simonkariukikamata77 2 месяца назад +3

    Sasa ni siasa ama ni kazi

    • @NancyNjeri-hx2qy
      @NancyNjeri-hx2qy 2 месяца назад

      😂😂😂😂😂😂

    • @ValdSalim
      @ValdSalim 2 месяца назад

      Theres actually no separation or actually if there is, it's very insignificant between Development and Politics especially in Kenya. The two go hand in hand

  • @samuelmuthui857
    @samuelmuthui857 2 месяца назад

    Wow 👌 am happy

  • @CorolineKhaluhi
    @CorolineKhaluhi 2 месяца назад

    Good, bless, you, all❤❤❤

  • @danielmwaniki2063
    @danielmwaniki2063 2 месяца назад +2

    Gachagua should learn from his boss the president how he behaved when Uhuru started fighting him. He did not start opening his mouth singing "nyumba itu" but kept quiet this gave him all the credit.

  • @mainaben7445
    @mainaben7445 2 месяца назад +2

    Campaign reload the Head of state hard to come to smoothen the mp statu of the yes vote
    I wish GenZ would vote in 2027

  • @davidmasyukimunyalo6980
    @davidmasyukimunyalo6980 2 месяца назад +2

    No enemies in politics

  • @RamaChai-is6vl
    @RamaChai-is6vl 2 месяца назад +13

    Watu Wa Rigy G Tuko Juu

  • @nostarnoxx4191
    @nostarnoxx4191 2 месяца назад +3

    Watu ni wapumbavu sana hapa Kenya! Sasa hii ni Serikali ya kushangilia?

  • @awoweataro9932
    @awoweataro9932 2 месяца назад +2

    Sasa kwani lazima aongee lugha yake ya mama kwani huyu niwa village ama wa kenya

  • @samueldzombo3826
    @samueldzombo3826 2 месяца назад

    Riggy G,always about Mt Kenya.Kwani Kenya ni Mt Kenya pekee,wacha ukabila.

  • @Kenkennedymwilu
    @Kenkennedymwilu 2 месяца назад +16

    Sasa uyu Ruto si ni president....sasa anafanya nn juu ya gari surely?????

  • @albertmokua
    @albertmokua 2 месяца назад +6

    Aliacha ndege ucku na mchana sasa amerudi campaign

  • @carolinewangari5779
    @carolinewangari5779 2 месяца назад

    Kenya ni yenu

  • @peterkamotho5962
    @peterkamotho5962 2 месяца назад +2

    Kazi n abduction, kusubua wanjigi, kuibia wakenya, kuua watoto wetu, and destroying our economy......

  • @WanjalaShaban
    @WanjalaShaban 2 месяца назад +1

    Gachagua is so confused but he is just confusing Dr.ruto

  • @brayanwambua5084
    @brayanwambua5084 2 месяца назад +1

    Mnapanga mpaka lini

  • @chrispinuslumbasi954
    @chrispinuslumbasi954 2 месяца назад

    Riggy G has really matured in his political sense.
    Very keen n keeping his backyard intact 😅😅😅.

  • @wodnyaseje
    @wodnyaseje 2 месяца назад

    Sasa mbona anagombana why

  • @24.179
    @24.179 2 месяца назад

    You are the president again you are the MC of your rallies. Performers like Kibali never talked too much

  • @eugineowino5434
    @eugineowino5434 2 месяца назад +2

    Rigathi anaongea lugha gni

  • @mwendiadennis6638
    @mwendiadennis6638 2 месяца назад +2

    President na Deputy President wako juu ya gari

  • @gracealtarministries8642
    @gracealtarministries8642 2 месяца назад +2

    Gachagua is naturally loved in Mt Kenya ❤❤❤❤❤❤❤

  • @ericsangura864
    @ericsangura864 2 месяца назад +1

    Rigathi has now acknowledged that ODM has stabilized Rutos Government because for 2 years they were rudderless and were searching for networks until ODM joined

  • @snjau7613
    @snjau7613 2 месяца назад

    Tafadhali DP Gachagua acha hii mambo ya votes za 2022.
    Your battle for illicit brews is highly appreciated but the job isn’t done yet and if you support joho and oparanya in government,you have not listened to the ground

  • @obarelida
    @obarelida 2 месяца назад

    so what is the video all about😨

  • @douglasmongoi7142
    @douglasmongoi7142 2 месяца назад +2

    Riggy G thinks kikuyus are the only once residing in Kenya, someone tell him to wake up

    • @davidchai1990
      @davidchai1990 2 месяца назад

      He's such a tribalistic and confused dp kenya has ever had

  • @samuelgnganga670
    @samuelgnganga670 2 месяца назад

    Watu morima😂😂

  • @jothammuthamia6336
    @jothammuthamia6336 2 месяца назад

    Riggy G knows rutto is enjoying him

  • @Justusikaba685
    @Justusikaba685 2 месяца назад

    Riggy G to the world 😂

  • @bethuelkiriswa4054
    @bethuelkiriswa4054 2 месяца назад +1

    Whatever gachagua is saying he does not mean it.

  • @AndrewOchola-v4j
    @AndrewOchola-v4j 2 месяца назад +1

    The only problem with our president is early campaign

  • @froma3732
    @froma3732 2 месяца назад

    Vijana wa Mount Kenya wanaharibika kwa Pombe lkn vijana wa Coast kuharibaka kwa Majani ya sumu ni Biashara

  • @RamadhanWanga-t1q
    @RamadhanWanga-t1q 2 месяца назад +1

    Bado watu wako kwa siasa

  • @joansmith3436
    @joansmith3436 2 месяца назад

    Poor Rigathi, he's so upset 😂😂😂😂

  • @charlyb3560
    @charlyb3560 2 месяца назад +2

    Wale wenye usema raila betrayed us ona watu wenyu😅😅😅

  • @awerghai8736
    @awerghai8736 2 месяца назад +2

    Riggy G is really a villager.Very silly

  • @collinsoposh7835
    @collinsoposh7835 2 месяца назад +1

    Ati raila betrayed Kenyans???

  • @brianmutugi-t8c
    @brianmutugi-t8c 2 месяца назад +1

    I really wonder this people when will they stop campaigning.i remember uhuru saying kazi yake n kurandaranda tu kenya i know believe

  • @phyllismwakavi6624
    @phyllismwakavi6624 2 месяца назад

    Aliwatusi na nani. Nyinyi hamtusiani?

  • @smuthonimk7861
    @smuthonimk7861 2 месяца назад +1

    Even Gachagua ameanza tutafanya, tutatenga 😅

  • @mathewmutuku7342
    @mathewmutuku7342 2 месяца назад

    Yaani awa ni campaign tu Monday to Monday doing nothing, this people must go home

  • @AliceNduluMusau
    @AliceNduluMusau 2 месяца назад +1

    Mtakufa naumasikini ikiwa kasi dio hio yakudangany'wa.

    • @saraadamu7468
      @saraadamu7468 2 месяца назад

      Kabisa sijui watu wataamka lini ndio wajue viongozi wako kujitumikia wenyewe sio taifa wakitete ni kwa maslahi Yao si taifa

  • @robarobz8762
    @robarobz8762 2 месяца назад +2

    Ukabila Haiwezi ishaa eti serekali yenu halaf unaita watu wa odm muwafunze kazi kazi gani ya uwizi ama 😂😂

  • @DanAppNetwork
    @DanAppNetwork 2 месяца назад

    4:00

  • @Rodrigo2020h
    @Rodrigo2020h 2 месяца назад +1

    Ruto panga hawo wajinga wa mlima utapigiwa tena. Don’t forget kuwapatiya nyama na mchele 😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @BazooBarber
    @BazooBarber 2 месяца назад +3

    Ukabila haitawai Isha Kenya hii

  • @isaacotieno3598
    @isaacotieno3598 2 месяца назад

    Gchagua is a triboliser

  • @jamesgithui
    @jamesgithui 2 месяца назад +1

    Muko campagn

  • @lemmywanjeh4366
    @lemmywanjeh4366 2 месяца назад

    Hakuna kazi mmefanya 2yrs kupanga

  • @ccmda
    @ccmda 2 месяца назад

    Ruto has demoted himself to the role of MC... total loss

  • @AliceNduluMusau
    @AliceNduluMusau 2 месяца назад +2

    Hawa watu hajoki nakutanganywa

  • @MERCYLINEKATANA-v9o
    @MERCYLINEKATANA-v9o 2 месяца назад +1

    Hii siasa ya kenya ni ngumu surely😂😂😂 haina makasiko yaani ni ngumu kuisoma

    • @NassibUkasha
      @NassibUkasha 2 месяца назад

      Kabisa juu ukisikiza side hii inawaka Moto ukisia side ingine wako silent 😂😂

  • @KassimKhalaid
    @KassimKhalaid 2 месяца назад +1

    Nyie ni makila tu waizi akuna serikali katili kama yenu mashetani wakubwa

  • @simonomolo1016
    @simonomolo1016 2 месяца назад

    Uongo mingi hiko central

  • @bsobso7646
    @bsobso7646 2 месяца назад +1

    Kazi sijuu ya gari sikuzote.

  • @eduhscott5998
    @eduhscott5998 2 месяца назад

    Wakenya hamko serious nini hizi mnaskiza surely mzururo tu hakuna kazi manongwe

  • @starlife3550
    @starlife3550 2 месяца назад

    Kikuyu niwakabila mutakaa upinzani 100 years

  • @lemmywanjeh4366
    @lemmywanjeh4366 2 месяца назад

    So the video was not enough for you, now you are reading comments.😂😂😂😂

  • @BenKarioki
    @BenKarioki 2 месяца назад

    Wakae nyumbani😮

  • @alingoevans5026
    @alingoevans5026 2 месяца назад +1

    Wajinga waliisha kenya mtaona hivi karibuni

  • @abdimahmud9827
    @abdimahmud9827 2 месяца назад +1

    Tribal man Gachagua

  • @EllySichangi
    @EllySichangi 2 месяца назад

    Mlimchagua mkiwa na nani

  • @FestusPeter-mv9sv
    @FestusPeter-mv9sv 2 месяца назад +1

    Thz is a total confused element in kenya, thy want also to look for another confesed Kenyan to follow them.tukienda election watakuwa washaaingia box, baada ya election ndio wakuje kutafuta wajaluo twende maandamano tufufue nchi maana nchi ni yetu. You luo pple stop being misused by kikuyus,Genzs are Leaderless, faceless etc,here my problem is,,why many kikuyus are funding Genzs na hakuna luo anapata kitu kwa hizo pesa zinapeanwa za kufund Genz??? Bona mnakula pekee yenu na kwa fita mnamobulize vijana wauliwe peke yao?? Genzs ambieni vijana wachukue kura kwa wingi ndio 2027 tutoe ruto kwa pamoja,, pia Genz watuletee ni nani atamridhi ruto, hio tu.

  • @kanjiwilliams9363
    @kanjiwilliams9363 2 месяца назад

    Wewe, huthiiruo ucoke uki ringi kuuga kwina nduma.
    Umenye tubutetwo ithui othee.
    Mutumia wa maguta gwathiire atia?
    A kuria ni maracokio wira?
    Serikali yetu na tuutirii thiinie?
    Menyerera gukenio ni kiroo.

  • @amirmusa7015
    @amirmusa7015 2 месяца назад +1

    Umbwa na mbwa mwitu kakutana.

  • @Genz-24-27
    @Genz-24-27 2 месяца назад

    What are all this rally for now?????????

  • @saintpaddy
    @saintpaddy 2 месяца назад

    They know how easy it is to lie to the mountain people 😂😂😂

  • @Kipash
    @Kipash 2 месяца назад

    Does rubbish like this happen in UK and Germany where the PM goes to launch trenches and water projects?

  • @nyakoejob4470
    @nyakoejob4470 2 месяца назад

    Riggy G has sent a strong message to Ruto

  • @ViceAdmiralVasilyArkhipov
    @ViceAdmiralVasilyArkhipov 2 месяца назад +1

    Bado wako campaign waaah💀💀

  • @MossesiMosessilaizerlaizer
    @MossesiMosessilaizerlaizer 2 месяца назад +1

    hii ni camping akuna kufanya kazi

  • @nestagoldly7279
    @nestagoldly7279 2 месяца назад +2

    Mtu wa temetenga tutafanya back again on the car campaigning us usually 😂😂😂😂

  • @SamuelLetoo-e3l
    @SamuelLetoo-e3l 2 месяца назад

    Mzee wa kijiji

  • @kevinasuma4916
    @kevinasuma4916 2 месяца назад +4

    Campaign simeanza mapema before 2027 insteady mwingie kwa offices mwanze kufanyia watu kazi

    • @jjukoibra248
      @jjukoibra248 2 месяца назад

      You have destructed Ruto now badala ya kufanya kazi He is looking for reelection 😢

    • @mwendiadennis6638
      @mwendiadennis6638 2 месяца назад

      ​@@jjukoibra248
      Siku gani alifanya kazi.

  • @gideonanunda-mq6sz
    @gideonanunda-mq6sz 2 месяца назад

    Hii sio campaigns? We want 4milion job you promised us in every year, rudi kwa office toka juu ya magari tufanyie kazi.

  • @parto1820
    @parto1820 2 месяца назад

    Yaani Kalonzo should be very stupid if he doesn't take this opportunity he should be planning to go to every place these government goes.

  • @swesschao3095
    @swesschao3095 2 месяца назад

    Hao watu wa mrima celebrating gachagua and going back to sleep on hungry stomachs

  • @mosesasumba2799
    @mosesasumba2799 2 месяца назад +1

    Huyu mkabila Gachagua, hate him

  • @mikegitari7421
    @mikegitari7421 2 месяца назад

    Someone help me understand prs! A whole reigning president still adressing the pipo on vehicle roof-tops???...Why is a whole sitting president acting like was while campaigning???...Hunter is now huntee and is extremely scared

  • @calebsirma9476
    @calebsirma9476 2 месяца назад +5

    Please spare us this shameful politics. What have you Kenya kwanza achieved in the last 2 years? Very useless leadership!!!!!!

  • @bonifacewachira2080
    @bonifacewachira2080 2 месяца назад

    Hii kushangilia siasa ka mpira tutaacha

  • @MaryMuigai-zj8fz
    @MaryMuigai-zj8fz 2 месяца назад

    Menyererai mutigaite mukionoria kinyai kahora thi ni yene hoyai.mutegukoma.

  • @AliceNduluMusau
    @AliceNduluMusau 2 месяца назад

    Hawa ni kabeni au nini.

  • @cosmasnyabando7331
    @cosmasnyabando7331 2 месяца назад +1

    Mimi sisemi kitu

  • @miraculousgroupofworshping3328
    @miraculousgroupofworshping3328 2 месяца назад +1

    Gachagua my leader ❤

  • @wodnyaseje
    @wodnyaseje 2 месяца назад

    Mkabila

  • @DuncanOuma-vg9sn
    @DuncanOuma-vg9sn 2 месяца назад

    Wasting of time,

  • @josephngigi4779
    @josephngigi4779 2 месяца назад +1

    Mbona dp usiwe unaongea English ama swahili surely

    • @simonomolo1016
      @simonomolo1016 2 месяца назад

      Yeye anajua wakenya ni wakikuyu wote

  • @Josephodiwuor-oi2gg
    @Josephodiwuor-oi2gg 2 месяца назад

    riggy

  • @cuttingedgeConsistentTraders
    @cuttingedgeConsistentTraders 2 месяца назад

    Awa ata kulaunch choo they will shout all over like they made it. Kibaki was the opposite and they will never catch up

    • @eliudmathu8781
      @eliudmathu8781 2 месяца назад

      Which Kibaki?The one Kenyans accuse of rigging 2007 election 😮.Haki Wakenya 😅

  • @makembogeorge
    @makembogeorge 2 месяца назад +1

    People of mt Kenya are clever people, they can decide to beat Raila in his game, in 2027 support Ruto to a man even if he takes a person from ODM as a running mate, give him massive support so that the game of locking out mt Kenya from centre of power is defeated

    • @patrickuzukwu4977
      @patrickuzukwu4977 2 месяца назад

      Clown. Leave Raila out of your mouth. Live with the Ruto you created.

    • @charlyb3560
      @charlyb3560 2 месяца назад

      😅😅bado mnaongelelea raila,ona watu wenyu mlimani 😅

  • @TopgangCulture
    @TopgangCulture 2 месяца назад

    Prezzo ndo mc 😂😂😂, enyewe nowonder this government