KUNA SIRI NZITO SHAMBULIO LA DONALD TRUMP LAKINI SIO SIRI TENAAAAAA!

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 сен 2024
  • KUNA SIRI NZITO SHAMBULIO LA DONALD TRUMP LAKINI SIO SIRI TENAAAAAA!
    Unaweza kutupata pia kwenye mitandao yetu ya kijamii
    Facebook
    / tricodmedia
    instagram
    www.instagram....
    twitter X
    x.com/tricodme...
    tiktok
    www.tiktok.com...
    #trendingnow #news #trending

Комментарии • 17

  • @michelinemapendo6652
    @michelinemapendo6652 Месяц назад +3

    WaKWAZA🥳🥳🥳🥳🥳🥳💃💃 from Europe 🥳🇬🇧🇬🇧🇬🇧

    • @TricodMedia
      @TricodMedia  Месяц назад +1

      We mtu nimekunyooshea mikono 😂😂😂😂😂😂😂😂❤🙌🙌🙌

  • @petrochimeledya9255
    @petrochimeledya9255 Месяц назад

    Dunia haitaki wasema kweli

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio4054 Месяц назад

    NIMEKUBALIANA NA WEWE MWAMBA WANGU NASUBILI MUENDELEZO JOSEPH ❤ 🇬🇷

  • @MelktsedekRimoy-yr7bd
    @MelktsedekRimoy-yr7bd Месяц назад

    Yani hii ukweli inakwa nyuma ya top 10 ya matajiri huko USA hao ndio wanaoshawishi maraisi kufanya mambo yasiyo faa kwakuwa ipo wazi matajiri wakubwa wanatumia nguvu za damu zawatu.mfano
    1.vita hapo wanakwa na tenda ya kuuza silaha
    2.kuzidhoodisha dini hii inasaidia kurahisisha hila zao mabalimbali yani ukitaka mtu akubaliane na wewe mfanye aone kumuua ndugu yake ndio kosa lakini kuwaua wengine ni dhambi za kawaida kabisa tena unapata na faida ya mali.
    3.mapenzi ya hinsia moja wanayataka kwa sababu mtuakijiingiza katika haya mapenzi huwa hapendagi amani zaidi ya kutaka habari za vita uasi nakutaka kilamtu awe kama wao ili hila zao zisizuilike. Yapo mengi sema kuyaandika hapa ndio tatizo na muda

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything Месяц назад

    👍👊✌️.

  • @manoahjoseph5283
    @manoahjoseph5283 Месяц назад

    Rudisha ule mziki wa zaman 2020 background music

  • @michelinemapendo6652
    @michelinemapendo6652 Месяц назад +3

    FBI and Government all the Frimason unaweza kuangaliya kwa makini JOE BIDEN wamesha mugeuza akili , kunamara hanakuwa nachanganikiwa 😢😢😢 siyokawaida

    • @saleemsuleiman2220
      @saleemsuleiman2220 Месяц назад +1

      Wamemfanyia kitu inaitwa CLONING angalia Kanye west matukio anayopiga yule sio yeye kufanyiwa cloning

    • @TricodMedia
      @TricodMedia  Месяц назад +2

      Kweli kabisa kuna kitu hakipo sawa kwa biden haha

    • @saleemsuleiman2220
      @saleemsuleiman2220 Месяц назад

      @@TricodMedia nasubiri hiyo story nyingine kaka sijui utamaliza linii

  • @F.DYoungDavo
    @F.DYoungDavo Месяц назад

    ❤❤❤🎉🎉

  • @abedymtore2707
    @abedymtore2707 Месяц назад

    U freemason wao ndo unawadatisha acha wauane

  • @billionairef897
    @billionairef897 Месяц назад

    Akirudi madarakani atajiunga na Rasha
    Kingini Donald yuko pale kutimiza yaliyo andikwa kwenye biblia takatifu

  • @thedriver.michael.3975
    @thedriver.michael.3975 Месяц назад

    Hii clip umeifanya chap kwa haraka kuliko zote zile umefanya I