KENYA VS TANZANIA|U20 HIGHLIGHTS
HTML-код
- Опубликовано: 9 окт 2024
- KENYA VS TANZANIA|U20 HIGHLIGHTS KENYA VS TANZANIA|U20 HIGHLIGHTS KENYA VS TANZANIA|U20 HIGHLIGHTKENYA VS TANZANIA|U20 HIGHLIGHTS KENYA VS TANZANIA|U20 HIGHLIGHTS KENYA VS TANZANIA|U20 HIGHLIGHTS S KENYA VS TANZANIA|U20 HIGHLIGHTS KENYA VS TANZANIA|U20 HIGKENYA VS TANZANIA|U20 HIGHLIGHTS KENYA VS TANZANIA|U20 HIGHLIGHTS KENYA VS TANZANIA|U20 HIGHLIGHTS HLIGHTS KENKENYA VS TANZANIA|U20 HIGHLIGHTS KENYA VS TANZANIA|U20 HIGHLIGHTS KENYA VS TANZANIA|U20 HIGHLIGHTS YA VS TANZANIA|U20 HIGHLIGHTS
Tanzania ni chakula cha wakenya siku zote😂😂
Sio kweli.
Kenya❤❤❤
Ati u20 ,Hawa wazee😂
Freekick kali sana na hata pia mbao la pili 💥💥💥
Super free kick executed by Kelvin Wangaya
Wacha video ikaonekane clearer yanini unaweka maandishi katikati ya video?
Huwezi elewa hata ukiambiwa😂😂
Wanachojua ni uyanga na simba.
Nawana jigamba eti wanacheza tangu nizaliwe sijai ona tz imepiga Kenya 😂😂😂 lakini kwa mdomo 1
Nice performance but huyu goal keeper huwa anafungwa simple sana should improve
East Africans we need style up. It's bulshit and backwards thinking when others always talk negative. We are all brothers and sisters, let's impress the spirit of sportsmanship. Ufala hatutaki na hizo comments za kijinga.
juu mmepigwa umejuaa unity😅
I m Kenyan , we shld behave civilized.
@@seafordindasio6792 Sasa unataka kulia? Piga mayowe basi!
Small brain
Hua najiuliza na sipati majbu mbna Wakenya hupenda kuleta ushindan juu ya Tanzania katika kila kitu wakati kihalisia hua haiko hivyo mfano kushinda mechi ya jana co kwamba wako bora sana mfano ligi ya Tanzania kwa sasa ni ya sita kwa ubora je Kenya ni ya ngap nipen majibu?
Hata wewe Bado unaleta ushindani ambao haupo kama ni clubs ni clubs na kama ni timu za taifa acheni ibaki kuwa hivyo Kuna mwengine atataja fifa ranking wakati wa ligi
leteni wachezaji wa ligi hapa😅
Ushindani??? Kuna tofauti ya ligi ya huko bongo lala na kimataifa ebu angalia takwimu za fifa uone Kenya namba ngapi na tz namba ngapi alafu uje u comment ligi ya tz na wachezaji wengi niwa kigeni??? Potelea pote
Tz mdomo tu bila akili... ati ligi iko juu.. when 90% of the players are foreign...huko bongo lala hamna wachezaji wanoweza shinda kenya.. from soccer, basketball, athletics, technology, education and economy. so tz wapeane kenya heshima yao.. we are the big brothers.. be humble tutawaoshesha siri yetu kama wa kenya...
Wambie walete na team zao CAF CHAMPIONS LEAGUE
Viwete nyinyi,kufeni na uyanga na simba na wachezaji wote wazuri ni wa kigeni😂.
Tanzanian football in the way of finding young people to make the best teams for the future is very bad... THEY BRING BROTHERHOOD AND NOT LOOKING FOR FOOTBALL TALENTS
Super William Gitama
❤❤❤❤
Wabongo ni kenge kama kenge wengine. Piga wao kabisa.
Wamuite diamond aje acheze
Kumbe ndugu zetu Tanzania nikiswahili2 wanajua ata mpira imewashinda😅😅
Kwani kizungu kimekuletea sima Kwa NYUMBA?
Unga unao?
@@ahamadarashid8797 huwa mnasema wakenya hawana chakula Sasa Leo imekua aje mnapigwa na watu wako njaa
Ligi Yao imeshinda yetu kwa mbali.
Ukitoa yanga na simba hawana kitu ingine @@felixmakinda7689