KENYA VS TANZANIA|U20 HIGHLIGHTS

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 9 окт 2024
  • KENYA VS TANZANIA|U20 HIGHLIGHTS KENYA VS TANZANIA|U20 HIGHLIGHTS KENYA VS TANZANIA|U20 HIGHLIGHTKENYA VS TANZANIA|U20 HIGHLIGHTS KENYA VS TANZANIA|U20 HIGHLIGHTS KENYA VS TANZANIA|U20 HIGHLIGHTS S KENYA VS TANZANIA|U20 HIGHLIGHTS KENYA VS TANZANIA|U20 HIGKENYA VS TANZANIA|U20 HIGHLIGHTS KENYA VS TANZANIA|U20 HIGHLIGHTS KENYA VS TANZANIA|U20 HIGHLIGHTS HLIGHTS KENKENYA VS TANZANIA|U20 HIGHLIGHTS KENYA VS TANZANIA|U20 HIGHLIGHTS KENYA VS TANZANIA|U20 HIGHLIGHTS YA VS TANZANIA|U20 HIGHLIGHTS

Комментарии • 35

  • @ramadhanmusa2878
    @ramadhanmusa2878 3 дня назад +11

    Tanzania ni chakula cha wakenya siku zote😂😂

  • @Sam_endoh
    @Sam_endoh 3 дня назад +4

    Kenya❤❤❤

  • @IBRUAJey
    @IBRUAJey 7 часов назад

    Ati u20 ,Hawa wazee😂

  • @nashclien7688
    @nashclien7688 3 дня назад +2

    Freekick kali sana na hata pia mbao la pili 💥💥💥

  • @bonfaceandala5850
    @bonfaceandala5850 3 дня назад +1

    Super free kick executed by Kelvin Wangaya

  • @ericadi2547
    @ericadi2547 2 дня назад +1

    Wacha video ikaonekane clearer yanini unaweka maandishi katikati ya video?

    • @DLMEDIA-e6k
      @DLMEDIA-e6k 37 минут назад

      Huwezi elewa hata ukiambiwa😂😂

  • @nesbitmiriti4366
    @nesbitmiriti4366 День назад +1

    Wanachojua ni uyanga na simba.

  • @totodavis1949
    @totodavis1949 2 дня назад +2

    Nawana jigamba eti wanacheza tangu nizaliwe sijai ona tz imepiga Kenya 😂😂😂 lakini kwa mdomo 1

  • @MarkSimiyu-i1w
    @MarkSimiyu-i1w 2 дня назад

    Nice performance but huyu goal keeper huwa anafungwa simple sana should improve

  • @seafordindasio6792
    @seafordindasio6792 2 дня назад +2

    East Africans we need style up. It's bulshit and backwards thinking when others always talk negative. We are all brothers and sisters, let's impress the spirit of sportsmanship. Ufala hatutaki na hizo comments za kijinga.

  • @nelysonmarwa3347
    @nelysonmarwa3347 2 дня назад +2

    Hua najiuliza na sipati majbu mbna Wakenya hupenda kuleta ushindan juu ya Tanzania katika kila kitu wakati kihalisia hua haiko hivyo mfano kushinda mechi ya jana co kwamba wako bora sana mfano ligi ya Tanzania kwa sasa ni ya sita kwa ubora je Kenya ni ya ngap nipen majibu?

    • @Claris-b7z
      @Claris-b7z 2 дня назад +3

      Hata wewe Bado unaleta ushindani ambao haupo kama ni clubs ni clubs na kama ni timu za taifa acheni ibaki kuwa hivyo Kuna mwengine atataja fifa ranking wakati wa ligi

    • @samuelNgure-w8v
      @samuelNgure-w8v День назад +1

      leteni wachezaji wa ligi hapa😅

    • @DannyRose-gq3qe
      @DannyRose-gq3qe День назад +1

      Ushindani??? Kuna tofauti ya ligi ya huko bongo lala na kimataifa ebu angalia takwimu za fifa uone Kenya namba ngapi na tz namba ngapi alafu uje u comment ligi ya tz na wachezaji wengi niwa kigeni??? Potelea pote

    • @hillaryalloice4238
      @hillaryalloice4238 11 часов назад

      Tz mdomo tu bila akili... ati ligi iko juu.. when 90% of the players are foreign...huko bongo lala hamna wachezaji wanoweza shinda kenya.. from soccer, basketball, athletics, technology, education and economy. so tz wapeane kenya heshima yao.. we are the big brothers.. be humble tutawaoshesha siri yetu kama wa kenya...

  • @PineTree-n9y
    @PineTree-n9y 2 дня назад +1

    Wambie walete na team zao CAF CHAMPIONS LEAGUE

    • @nesbitmiriti4366
      @nesbitmiriti4366 День назад +2

      Viwete nyinyi,kufeni na uyanga na simba na wachezaji wote wazuri ni wa kigeni😂.

    • @saidikipegiye
      @saidikipegiye 21 час назад

      Tanzanian football in the way of finding young people to make the best teams for the future is very bad... THEY BRING BROTHERHOOD AND NOT LOOKING FOR FOOTBALL TALENTS

  • @Saidmuhammed-sf6dl
    @Saidmuhammed-sf6dl 3 дня назад

    Super William Gitama

  • @KENNEDYBlack50centt
    @KENNEDYBlack50centt День назад

    ❤❤❤❤

  • @josephmwangi5644
    @josephmwangi5644 День назад +1

    Wabongo ni kenge kama kenge wengine. Piga wao kabisa.

  • @Afreeqa_365
    @Afreeqa_365 3 дня назад

    Wamuite diamond aje acheze

  • @Kamalintel
    @Kamalintel 3 дня назад

    Kumbe ndugu zetu Tanzania nikiswahili2 wanajua ata mpira imewashinda😅😅

    • @ahamadarashid8797
      @ahamadarashid8797 3 дня назад

      Kwani kizungu kimekuletea sima Kwa NYUMBA?

    • @eliasaNgahehwa-l2f
      @eliasaNgahehwa-l2f 3 дня назад

      Unga unao?

    • @dancanonserio9778
      @dancanonserio9778 3 дня назад

      @@ahamadarashid8797 huwa mnasema wakenya hawana chakula Sasa Leo imekua aje mnapigwa na watu wako njaa

    • @felixmakinda7689
      @felixmakinda7689 2 дня назад

      Ligi Yao imeshinda yetu kwa mbali.

    • @malowmalo5871
      @malowmalo5871 2 дня назад

      Ukitoa yanga na simba hawana kitu ingine ​@@felixmakinda7689