Jinsi vijana wa Mulot wanashiriki wizi wa pesa kupitia mtandao
HTML-код
- Опубликовано: 5 июл 2024
- Mji wa Mulot katika kaunti ya Bomet unajulikana kuwa na wezi wa pesa mtandaoni kupitia simu,wahusika wengi wakiwa vijana wanaokosa ajira wenye umri kati ya miaka 14 na 35. Ili kubaini kiini cha uhalifu huo, mwanahabari wetu Aron kipkoech alitagusana na wakazi wa eneo hilo na kutuandalia taarifa hii.
They learnt from their master...
he went upto form 2 and lacked school fees yet Ruto has reduced school fees Capation from 22K to 12k, making Education for the rich only
Kenyan Yahoo boys?
Ruto backyard
Shenzi wewe mwizi ni mwizi
Si wakipelekewa ICT ndiye maarifa itazidi kupita kipimo.
Wakiwa hawana masomo ya ict Wana uwezo wa vunja pesa ya Kwa simu ya wenyewe.
JE' wakipata shahada ya ict la zaidi si watavunja hata mabenki Kwa taaluma ya wahuni walio nayo.
Heri maarifa cache, shida chache 😅
Kenya Kwanza… what happened to free education??
Ruto aliwambia kuna kazi mtandaoni
Shenzi
mwizi @@user-ch9ei7hp4c
@@user-ch9ei7hp4cWatoto wa Zakayo na Wheelbarrow wanateseka 😂😂😂😂😂😂
@@user-ch9ei7hp4cmwizi wewe
😂😂taptengele ndio hiyo sasa bt this people has been with this manners seens then kama sio kuiba ngombe NI wizi WA kimabafu ,na sai wako na jemedari ruto
President Mwizi watu wake watupore pia 😢
Ata wewe ni mwizi tu😊
They are following Ruto footsteps
The same serikali mlipigoa kura ahsubuhi na mapema!!!
Nipewe connection sasa
nikufinya to laptop na kutoa Dollar🤣🤣🤣
My home town, na nimesota hivi? Who be witched me😭
Hii ndio wanaita online jobs. Pamoja na scamming foreigners
Wajiga sana
Digital jobs😂😂😂😂
Wapelekwe ISHT
Wanafinya tu zikitoka. System ya majambazi.
Kalenjins ni wezi
Taptengelei apa unafinya computer dolar😂😂
Kaptengelei 😅
Hiyo nikazi ruto alisema iko kwamtadao
Focus on the main theif .. hizi ni side quests
Kwendeni huko
Wanatoa pesa juu...hewani. Wueh
🤣🤣
Mulot sounds nice for yahoo boys network.,...not good
waizi kama Ruto
He's their role model
Ruto ni President.
@@harrynjengankt
@@wycliffepoet5201 Zoea! For 3 more years.
Watu ya pomet mtatuonesha mambo
Swabers😢
Taptap
😢my home
Wako sawa
Kama si mashamba ni mtandaoni.
GEN Z 😢
Mulot thieves year in year out. Keani hawashikwi?🤔
Muajane na mulot😂😂
Ok. Tumewaona
Wakienda prison wakitoka wanaja na ujuzi zaidi
Bora kazi ,,
Bonface nakuona 👍
Sasa mmetangaza nini. Mkona evidence?
😂😂akili mkuu
Kazi ni kazi
Effects of unemployment
Inaitwa kufinya na kutoa dollar
The new yahoo boys of kenya😂😂
Big shout out to mulot🎉
Shida.ni.serikali.bona.uja.fatiliwa.hiyo.majengo.ili.izaide.vijana.manye.ku.anza.na.kuwacha.indie.ame.tegeneza.mahali.ya.jijifija.badala.ya.kuji.funza.mafanikio.maisha.
Wewe ulisomea wapi hata kuandika hujui
We need jobs 😭😭
mboka ni mboka what did you expect Kenya KWanza motto
KOROM😅
Most of those guys have a strong kale accent😂
Ghasia nyinyi
Huko ndio naenda kuishi
But hamjasema wanaiba aje?
Did I see moi.? 😂
How can a man present news with his wife???
😂😂😂😂 mulot
🌇 sunset😂😂😂
Ni ujanja gani wanatumia. Mtu anichanue vile wanafanya
Sim swap
Useless
😂😂😂😂😂
The zero click 😂
Ict experts ...Ukipita hapo weka flight mode