JINSI YA KUIWEKEA ZUIO MIUNGU ISIKUTESE WALA ISITESE UZAO WAKO.BY BISHOP FJ KATUNZI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • Endelea kufuatilia vipindi mbalimbali na Mahubiri kutoka kwa Mtumishi wa Mungu Bishop fj katunzi ambae ni Mwalimu wa Neno la Mungu, Mhubiri wa Injili, Mwandishi wa vitabu na mtafiti wa historia ya Kanisa. Pia amekua akiongoza safari za mafunzo katika nchi za ki-Biblia Israel, Misri, Uturuki na Jordani.
    ⚫️ SIKILIZA MARANATHA GOSPEL RADIO: mixlr.com/mara...
    ⚫️ VISIT LIVE IBADA: www.youtube.co....
    ⚫️ WASILIANA NA MARANATHA ONLINE TV: ( +255 754 367 826 )
    ⚫️ Email: faithtrustees40@gmail.com
    *** OUR PLAYLISTS***
    ⚫️ HABARI MCHANGANYIKO: www.youtube.co....
    ⚫️ BISHOP FJ KATUNZI IBADA: www.youtube.co....
    ⚫️ MAFUNDISHO: www.youtube.co....
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: www.youtube.co....
    ⚫️ UCHUMI: www.youtube.co....
    ⚫️ IJUE ISRAEL NA KANISA: www.youtube.co....
    ⚫️ SIMULIZI ZA KUFUNGULIWA: www.youtube.co....
    ⚫️ IFAHAMU CITY CENTER CHURCH: www.youtube.co... SIKILIZA MARANATHA GOSPEL RADIO: mixlr.com/mara...
    ⚫️ VISIT LIVE IBADA: www.youtube.co....

Комментарии • 34

  • @StoneNestory-j5r
    @StoneNestory-j5r 9 дней назад +1

    Napenda sana mafundisho yako🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @DicksonMarcel
    @DicksonMarcel Месяц назад +1

    Ubarikiwe

  • @emasonnziliye8635
    @emasonnziliye8635 10 месяцев назад +1

    Blessed

  • @JosephineKaupya
    @JosephineKaupya Месяц назад

    Ubarkiwe san

  • @mathewlive77
    @mathewlive77 5 месяцев назад +2

    My best pastor ever, Nakuombea sana Ufungue Redio yako ili tukupate 24Hrs. Umenivusha sana🙏🙏

  • @alexngumba3581
    @alexngumba3581 27 дней назад

    Amen amen

  • @MarcoPeter-y5n
    @MarcoPeter-y5n Месяц назад

    Amen

  • @sayunisamwel4700
    @sayunisamwel4700 4 месяца назад +1

    Mungu azidi kukuweka ufungue makabira ,mataifa

  • @neemakamgisha2951
    @neemakamgisha2951 3 месяца назад +1

    Mara nyingi mafundisho ni mazungumzo ya Mungu na mwanadamu pindi Mungu akitaka kukutoa kwenye shida lazima akufundishe utokeje kulingana na tatizo na wewe unaweza kufundisha wengine wenye shida kama yako

  • @HellenMarco-f6m
    @HellenMarco-f6m 8 месяцев назад +1

    Neno La MUNGU Ni Zuri Sana ukilielewa. Asante Mtumishi Nimebarikiwa Na YESU Amina

  • @arubalydia224
    @arubalydia224 Год назад +1

    Nakuelewanga baba 🤔🇰🇪🇸🇦🎤

  • @luhamba6852
    @luhamba6852 Год назад +2

    Barikiwa sana mtumish wa Bwana

  • @hilarycharles2077
    @hilarycharles2077 Год назад +1

    AMEN Baba mchungaji imetutesa Sana hii miungu

  • @newhopeonline5818
    @newhopeonline5818 Год назад

    Nimekuelewa mtumishi

  • @eliasmhagama4978
    @eliasmhagama4978 Год назад

    BWANA YESU akutunze Bishop

  • @ChristopherGambi
    @ChristopherGambi 10 месяцев назад

    Ubalikiwe mtumishi

  • @ChristinaSamson-x8v
    @ChristinaSamson-x8v 10 месяцев назад

    Ubalikiwe sana

  • @agnesstryphon3860
    @agnesstryphon3860 Год назад

    Ameeen Mtumishi WA Mungu.

  • @ErickMacha-sb2ot
    @ErickMacha-sb2ot 4 месяца назад

    Ahimidiwe MUNGU wa Israeli aliyependezwa nawewe ilitufundishe rehema nakweli zikae nawewe

  • @eliamtinda7222
    @eliamtinda7222 Год назад +1

    Ujumbe unachanganya kweli kweli!
    Hawa wanaohubiriwa ni watu waliokoka au wapagani?
    Cause aliyeokoka Yuko Ndani ya YESU,maisha yake yamefichwa Ndani ya YESU hiyo miungu(mapeoo,mizimu) inapita wapi?
    MTU aliyeokoka ameketi pamoja na Kristo juu Sana MBINGUNI.
    Hiyo miungu ama mizimu inatokea wapi?
    Kolosai 1:13 MTU aliyeokoka amehamisha kwenye ufalme wa giza( miungu) na kuingizwa katika Ufalme wa Mungu.
    Sasa hiyo miungu inatokea wapi?
    Matendo 1:28,Kolosai 3:1-3,Efeso 2:1-6.
    MTU aliyeokoka ameketi pamoja na Kristo,maisha yake yamefichwa Ndani ya Kristo,Ndani yake tunaisha na kuwa na Uhai wetu that is why YESU alisema KAENI NDANI YANGU John 15:4
    Kupitia msalaba,Miungu yote ilihukumiwa,Kutoka 12:12
    John 19:30 hili Neno IMEKWISHA Lina maana ya SHETANI NA MIUNGU YOTE IMEPIGWA NA HAITAINUKA TENA.
    Kama kuna maagano yalifanyika na mababu zetu,MTU anapookoka anaingia AGANO JIPYA LA DAMU YA YESU LILE LA MIUNGU LINAONDOLEWA AMA LINAFUTWA,huyu MTU anakuwa kiumbe kipya, Maisha mapya NDANI YA YESU KRISTO. 1kor 5:17
    Hebr 7:22, 8:10, 8:13,9:15
    Naomba kuwasilisha!
    Blessings, blessings kwa wote!

    • @SARAHHALIFA-wm2kg
      @SARAHHALIFA-wm2kg Год назад

      Acha kujidanganya mjomba

    • @hassanbukambu931
      @hassanbukambu931 Год назад

      @@SARAHHALIFA-wm2kg adanganyi ni kweli Labda ka umtambui Yesu Kristo na Damu yake ila ka unaitambua shetani hawezi fanikiwa chochote kuanzia kukujaribu utende dhambi Sababu Roho Mtakatifu anakuwa Ndani Yako na pia matokeo ya shetani hayatatokea Kwako, kitendo Cha kumkiri Kristo Kwa Imani na kubatizwa Roho Mtakatifu anaingia ndani Yako shetani hawezi kukufanya chochote

    • @arubalydia224
      @arubalydia224 Год назад +1

      Ile kwamba umeokoka haina maana miungu imekuachia.. ndio maana kuna familia watu wameokoka Sana Ila bado kuna magonjwa yanawatesa .I mean Kuna tofauti ya kuokoka na kukombolewa

    • @EliciaRunobo-nl3tk
      @EliciaRunobo-nl3tk Год назад

      Ndugu hata mie nilikuwa mbishi Kama wewe na nimezaliwa ktk pentekoste church, na msimo ni kuwa Yesu amemaliza Kila kitu msalabani, Kuna vitu vimenitesa mpaka Mungu akaamua kunifunulia mwenyewe Jambo HILI, Gideon aliambiwa abebe sadaka akaiangushe miungu ya baba yake ili Mungu aweze kuambatana nao Tena, Omba mafunuo ya Roho mt

    • @eliamtinda7222
      @eliamtinda7222 Год назад

      @@arubalydia224Hivi kuna tofauti gani kati ya kuomoka na kukombolewa?
      Je ni nani anyeokoa na ni nani anayekomboa?
      Ngoja nikufunze kijana!
      Kuokoka ni Kitendo Cha KUOKOLEWA Yaani YESU KUTUOKOA ndio maan Aya Yesu kuitwa Mwokozi Yaani Muokoaji.
      Sasa Yesu kama Mwokozi ametuokoa kwenye Nini?
      Kweli Ufalme wa giza Yaani miungu,mizimu,mashetani na takataka zote za ufalme wa giza!
      Kolosai 1:13-
      KUKOMBOLEWA maana yake ni KULIPIWA Neno la kiingereza REDEEM akimaanisha Malipo/manunuzi yanayofanyika kwa mabadilishano ya kitu au MTU.
      Kwahiyo YESU ALITUKOMBOA/ALITULIPIA/ALITUNUNUA kwa malio ya DAMU yake.
      So unapompokea Yesu,anakuokoa,anakukomboa,anakununua unakuwa mali yake,ankuhamisha na kukuingiza kwenye UFALME WAKE ,unakuwamali ya Mungu,UFUNUO 5:9
      1Petro 2:9,10.
      1Petr 1:18,19 Inasema kuna mwenendo tuliurithi Toka kwa Baba zetu lakini Sasa tufahamu TULIKOMBOLEWA KWA DAMU YA YESU TUKAHAMISHWA NA KUINGIZWA KATIKA NURU YAKE YA AJABU.
      Nakuuliza tena,Biblia Inasema tumeketi pamoja Kristo juu Sana katika kiti Cha Enzi huko Mbinguni,Je huko miungu/mizimu inatokea wapi?
      Matendo 17:28 NDANI YAKE TUNAISHI,TUNAENENDA NA KUWA NA UHAI WETU,Je Ndani ya YESU MIzimu/miungu inatokea wapi?

  • @ChristinaSamson-x8v
    @ChristinaSamson-x8v 10 месяцев назад

    Ubalikiwe sana

  • @ImanJuma-mo5ch
    @ImanJuma-mo5ch 5 месяцев назад

    Amen

  • @PeterMatiko-u8s
    @PeterMatiko-u8s 9 месяцев назад

    Amen