EXCLUSIVE: "UAMINIFU, KUFANYA KAZI KWA BIDII NA KUHESHIMU RIKA ZOTE" SALAAH MOHAMED

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 ноя 2019
  • Salaah Mohamed ni Mtanzania anaeishi China kwa zaidi ya miaka 10 pia ndie Mkurugenzi Mkuu Mtendaji wa Kampuni ya SILENT OCEAN kwenye mahojiano na AyoTV na millardayo.com anasema ili uweze kufikia malengo kwenye maisha unapaswa kuwa muaminifu, kufanya kazi kwa juhudi na kuheshimu rika zote.

Комментарии • 18

  • @gasparlubaga5866
    @gasparlubaga5866 4 года назад +1

    Mnafanyakazi nzuri sana, Im real interested with what silent ocean is doing.

  • @raphaelamour385
    @raphaelamour385 Год назад +1

    Tajiri mtata Kama salaah✊

  • @surusuru1994
    @surusuru1994 Год назад

    Mashaallah wallah allah awabariki jomn nawapeda saaaan 👏👏👏❤️🔥

  • @lujainamahir6266
    @lujainamahir6266 3 года назад

    Kazi nzuri mie nauliza zanzibar mnayo ofisi

  • @abdulkadirali3330
    @abdulkadirali3330 4 года назад +1

    Kazi nzuri sana

  • @upendowakwelinaamani1060
    @upendowakwelinaamani1060 4 года назад +3

    Nikazi nzuri sana kaka mm nauliza kupitia kmpuni hii ya kitanzania maana naita hivi maana wamiliki wa kampuni hii ni wa Tz wenzetu. Ss ukiwa unamzigo wako kutokea nchi ya Indonesia je wanafika na huko kwa huduma hii au ni china na Dubai.

  • @carlosmzena548
    @carlosmzena548 4 года назад +1

    Tajiri mtata Kama Salah big up brother

  • @nathanaelboay1313
    @nathanaelboay1313 3 года назад

    Habari za Leo, kaka nakupongeza ,nakuomba mawasiliano, tufanye kazi ya biashara ,Niko Tz

  • @allymakangana6450
    @allymakangana6450 2 года назад

    Flana za silent ocean zingekua jezi ya mpira ni uzi mkali sana

  • @hemedbakari8997
    @hemedbakari8997 2 года назад

    Mdogo wake GSM

  • @pickmaxtv7689
    @pickmaxtv7689 4 года назад

    ruclips.net/video/UusPzvFhHHw/видео.html gusa link kutizama maajabu ya Juventus dhidi ya inter Milan mechi imechezwa Jana jumla ya magoli 11 yalifungwa

  • @clementalu3925
    @clementalu3925 4 месяца назад

    Nina furaiya uduma yao naomba namba

  • @mariamndimbo8833
    @mariamndimbo8833 2 года назад

    Nina laki 5 naweza kuagiza mzigo china

  • @maumaulid1452
    @maumaulid1452 3 года назад

    Kwa sasa nauza viatu vya kinamama najichanga changa ili niweze kuchukua mzigo kupitia kammpuni yako mzeee

  • @Edumastermind01
    @Edumastermind01 2 месяца назад

    Anaongea kama vile akumzingua mwenez

  • @maumaulid1452
    @maumaulid1452 3 года назад

    Mzee tajiri mtata salaah unanishawishi nizamie uko China ivi munakaa mtaa gani hapo China tajiri