Safina aamua kwenda sawa na Mumewake kwa kumpima uzito atokaponyumbani na arudipo, anaamini kwa kufanya hivyo hatokuwa anakula nje ya nyumbani, kilichomkuta Mkwere angalia mwenyewe
Ndugu zetu Mimi sumaku wa mizengwe kwaniaba ya wenzangu napenda kuwashukuru wote mnao tusapoti sisi tunawapenda sana bila nyinyi sisi hatupo asanteni sana
komedi pekee ambayo huogopi kuangalia ukiwa we na familia yako baba mama na watoto ni Mizengwe na hawatungi ila kutakuwa na funzo na burudani Hongera zenu + ITV
Asanteni sana Wazee wa Mizengwe yaani big up sana.Mim naishi inchini Marekani hata nikiwa kazini huaga nawa watch sana,yaani mnatisha kwa kuwa kwa mnaelimisha na pili mna chesha kinoma yaani,siku haiwezi pita bila kufidia saa moja kwa kuwaangalia,nina wapongezeni kwa juhudi na bidii zetu za kutuelimisha,mbarikiwe na msonge mbele na juu zaidi wazalendo wenzangu.Na kwa kumalizia ningependa nijue namna gani naweza kuwafikishia Zawadi nono wa kuwapongeza because you are always making my day😍😍😍😍🌺😂😂😂🌍🤗
Ndugu zetu Mimi sumaku wa mizengwe kwaniaba ya wenzangu napenda kuwashukuru wote mnao tusapoti sisi tunawapenda sana bila nyinyi sisi hatupo asanteni sana
looooh uwa na enjoy sana nikiangalia mizengwe
Hii ndo naipenda comedy comedy yangu 😃😃😃😃
jaman nimecheka sana ,kiukwel mnafurahisha sana,siyo kwa mabao hayo mliyompiga mwenzenu ,nimecheka sanaaa
Caren Daniel hawajamaa ninoumaaa
I
komedi pekee ambayo huogopi kuangalia ukiwa we na familia yako baba mama na watoto ni Mizengwe na hawatungi ila kutakuwa na funzo na burudani Hongera zenu + ITV
ibn Moses haswaa
ibn Moses
ibn Moses ni nzuri sana mizengwe kwa dunia hiii
Mnapendezzzxxxx
ibn Moses kiukwel mnajua jamen nafurahi nikiwa naona hiv
Jamani wew acha tu 😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😜😁😁😁😁😜😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😜😁😁😁😁😁😜😁😁😁😜😁😁
Pumzika kwa amani mzee matata
Ninawapata vizuri sana apa texas,usa
Mizengwe mpo vizuri,,, kipindi nakikubali
hawa jamaa wana talent sana, wanafundisha na kuburudisha
Ikopw sana
hii Kali sana kukiwa na wanawake kama mia hatari sana
Mizengwe jamani mko wapi nimewamiss Sana 😭😭😭😭😭😭😭😭
Africano Queen of
Sijutii MB zangu nimewakubali sana nyie Mizengwe
Nyie nawakubali sana mmekuwa watu wangu kwa muda mrefu sana dada yetu mnaish nae vizuri anakomaa mwanzo mwisho big up sana Mizengwe
Nakukubali sana mkwere
Hahahahaaah iko poa sanaaaa
Hhhahhhahhhahhhahhhhhhha mkwele ananichekesha sana jamni bonge la komed
nimeipenda hiii
Mkweleeeeee !!!! Ndoa unayo haswaaaaaaa
Appreciate you indeed. keep it up Mkwere with your cruel.
👍👍👍👍
pamoja Sana nawapata vizuri sAna haha kisiwani zazbr
Hahahahaaaaaah! So nice comedy.
😂😂😂😂😂😂
daah hii imenifurahisha sana
Chezea ubwabwa wew 😁😁😁😁😁😁
Tunawapenda xaaaaaana
Nawakubali sana wazee wa mizengwe comedy
nawakubali sana wadau wangu
Hongela sana
hongereni pigeni Kazi.
Wallah hua napenda mkongo anavyo ongea na kuchombeza
Hapa Kenya tuwanawapenda
mama fatuma nitaenda kumuambia maneno gan mimi😅😅😅😅
Nawapenda ❤❤❤😃😃😃🔥🔥🔥🔥
Hahahahahahah yan nimecheka mie jmn
nawapenda.sana.mwenyezi.mungu.awazidishie.mautundu
Khaa😅😅
😄 nyie mnasema ila matatiz ya ndoa yang nayajua mwenyew 😄😄😄😄
Unamatatizo gani my
Dar mpo nyie mko vizuri
hahahahahahahah... jamani mizengwe mnatisha....
WALII nunchaku
Da!..mmetisha
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
uuhhhh mbavu sang mim yanikutoka mpaka upimwe
Mizengwe safi kabisa nimecheka sana
Dah utafikiri unasoma gazette la sani
itabidhi pia mm nianze kumufanya mume wangu hivi dio mtanyooka😀😀😀😀
Abdallah Alwardi 😀😀😀😀😀😀😀
inn
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Binesi Haruni 😀😀😀😀😀 utauwa
Siue lkn nitakomesha sipendagi ujinga😀😀😀😀
Kali hyo kwenda job mpaka upime izito 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Nicksky mmmh Herman
nimeipend but ni ngumu kidogo
Kazi nzuri sana mizengwe
uuwiiiii😀😃😃😃
nakula kwa tyming hii noma saaaaaana hahahaaaaaaa
ll
Kachinja kanga Hahhahahahahaa
🤣🤣🤣🤣 this is serious ooooh.
Kukuwa na mke kama yule nitamuacha peke yake. Ana matatizo manyingi
Mizengwe raha sana
😂😂😂😂😂nomaaa sana
mmetisha mbaya
eti moja kwa sita 😂😂😂😂😂
duuh sanaa\aaaaaaa bongo lingo wp
noma hiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Nimecheka saaana😂
Na marafiki pia 😂 😂 😂
hahaha mzee sumaku majibu yake noma
Ismail Kalla
p
Asanteni sana Wazee wa Mizengwe yaani big up sana.Mim naishi inchini Marekani hata nikiwa kazini huaga nawa watch sana,yaani mnatisha kwa kuwa kwa mnaelimisha na pili mna chesha kinoma yaani,siku haiwezi pita bila kufidia saa moja kwa kuwaangalia,nina wapongezeni kwa juhudi na bidii zetu za kutuelimisha,mbarikiwe na msonge mbele na juu zaidi wazalendo wenzangu.Na kwa kumalizia ningependa nijue namna gani naweza kuwafikishia Zawadi nono wa kuwapongeza because you are always making my day😍😍😍😍🌺😂😂😂🌍🤗
kifupi mimi nawaela sana mnakubalika kijamii
Hahahaaaaa ole wake ale aongeze kilo
Nakubalj sana itv mpo vizuri
daaa wamenifurahisha sana
Hahahahahaha nzuriiiii sana
😂😂😂ladha eti😂😂😂😂
Mi naanzaga kuche kabla yakuangalia jmn mzee matat utaenda ambia nin bibi chanja nyumbani
😉😂😂kwakweli mmenichekesha sana yani na hivi nko mbali na home ndo najiona kama nko nyumbani vile bigup sana kwenu.
Nikweli kabisa nawapenda sana
upowapi
Habari mdogo ukowapi uko? Naomba Tuwasiriane Whatsapp no.+255621131072// +255718072046
Waooo safin
munaweza sana mpaka mbavu zina sheck
Nenda kapigwe😂😂😂😂😂😂
Hahhahhhha kwani naongea na mume wamtu apa
Hawa jamaa wamenivunja mbavu mm sikubali nikikutana nao lazima wanipe fidia
Hahaaaaaaaaaaaa
😅😂😂alaaa kumbe na mzee kwake anapimwa acha aanze kulia😂😂😂😂😂
martin ndone h
Hongera kwa wanakindi kufanya vzuri na kuwa na mshikamano.
pamoja Itv
duuuu
kula uongezeke uzito ukienda huko shuuli ipo
Mmmmmh guys max ndo tushamsahau mbn wengne kama akina kanumba wanaenziwa kwnn ishindikane kwa wasanii wengne??
nzuri kweli
hahahahaaaaaaaaa!
nimecheka ya sana
asanteni
Inapendeza shusheni ya kuvunja mwaka
bint hassan .
bint hassan
Mama kazngua
Show pekee ya comedy ya kibabe iliyobaki tz
Ilike
duh noma xna
Dah! wakubwa mko vizr sana nawapenda sana
Kapatikana
Me sina cha kusema jamani nawakubali sana mizengwe big up sana
Hatr san
Safina iyo kali
Jaman nyie mko poa tuekeen mpyaaa bhn za 2018
Ni sheeda
hakika watu wanafanana mkwere kafanana na mjomba wangu,bjapo katangulia mbele ya haki,napenda Dana kuangalia mizengwe mizengwe nomaaaaaa!!!!!!!!!!!!
Evarist Mawazo
Kula tongue saizi yako 😄😄 mzee matata
Vp
Ukowp
🤣🤣🤣🤣🤣 akome
Nimecheka sana 🇰🇪
Tatizo uzito hahahahahaa
Atari sana wanajua kazi 😀😀😀
Duu ndoa ndoano
Da nawapenda sanaaa
👍👍👍👍👍👍
Mizengwe mnatisha
Hahaha ndonili vyoo
Jamani mzee saa zote mwamkaba koo jamani
heheheee no nomaaaxana
😃😀🪘Hapo ni Kambi ya jeshi aise! Kapata mume mlaini sana.