Mnang'ang'ana kusema ni makosa mwajuwaje kama Mungu hajamwambia achome gari mwanadamu ni Nani apinge kama ni mipango ya Mungu kufungwa atafungwa kama si mipango ya Mungu mtampeleka na atarudi kumtumikia Mungu bado
Goolack mungu akutie nguvu sana hata mimi sielewani na ndugu zangu ni matajiri sana kwa sababu ya kutumikia mungu wa kweli hakika mwenye wa mungu hajawahi kuachwa hata siku moja tusikate tamaa wapendwa mungu atupiganie ktk jina la yesu kristo ameeni
Wataaluma wa vyanzo vya uhalifu na pia wataalama wa teologia ya kikrosto ndiyo pekee wana umahiri wa kusikiliza na kuchangia mada ya sheria zenye kutendea haki Goodluck.
Pastor wote zi wabaya but huyu na wengine nawajua na wauwaji wanatumia majini kupata pesa na kunyonya waumini.pia kuchukua nyota za watu wameteka akili za wanawake sana.254
Ila hata ukifwatilia maandiko matakatifu ya mungu katika mathayo tunaona kwamba biblia imeandika yakwamba watajitokeza manabii wauongo watakao Kuja kwa jina langu sasa sisi wanadam hatueliwi lakini tumeona yakwamba maandiko yanasema mtu atakayeona anaaone lakini tusimlaumu godlak labda yeye Kuna mambo ameyaona
Gari simamishatu bari zawadi pia inaweza kuku tesa au kukutokea piani hivyo kama SHERIA itamufikisha mahakamani atajiereza nasisi ndiyo tutajua kiricho tokea.
Sheria ya kitumwa , ifutwe mara Moja kama IPO kweli haifai, mtu achome mali yake halafu afunguliwe mashitaka kivipi kaua mtu? Hii Sheria kama IPO imepitwa na wakati, Leo nchi zingine wanatekeleza magari Kila siku na hafungwi mtu
Good luck huenda ulicho Fanya ni sahihi lkn hii ishu ni Yako ww na Mungu usingeleta social media kama kunamtu mwingine ambaye pengine ni mwema anataka kukubariki huoni kua umeufunga mlango lkn pia aliekupa hii gari huenda anakutazama huoni kua umejitengenezea uadui bibilia inasema enendeni Kwa hekima kati Yao walio nje, watu wangu wanaangamizwa Kwa kukosa maarifa Daudi alijifanya chizi mbele ya mfalme kuokoa uhai wake
Williamkivugo ww unataka wote wawe kama ww ambaye Ni muasi Na mtenda mchukizo kwa Mungu wako Mungu anaisikia Sauti YA watoto wake Na watoto nao huisikia Sauti YA baba Yao Yani Mungu wao ww cyo Mtoto kwake unataka uijue hiyo Siri ya kusikia saut ya Mungu ata Mungu akiongea Na ww utajua kama Ni yy hivyo wakristo wanaisikia Sauti YA Mungu kwa sababu Mungu ni Baba Yao Na wao Ni watoto kwake
Ulokole ni kuwa na akili za kiroho na kimwili huu wa sasa wa kuchanganya imani na ushirikina ni wazimu na ujinga na uchanga wa kiroho wa kutomjua MUNGU, vizuri namiaka karibu 30 ndani ya imani iknow what Iam say
Asinge posti hii, ndo makosa ya kutaka hata mambo yako ya siri unataka dunia yote ijuwe. Kuna mengine syo lazima, tafuta kujulikana na Mungu syo wanadamu.
Waaibike na bado album ingine inakuja atubu Baraka mana mauti ipo dirishani Ole wenye kuwapotosha na kuwaungamanisha na kuzimu Yesu atadili na nyie tubu wewe unaejiita nabii mkuu utaumbuka sana mwaka huu
Mbona wenzio waliopewa magari hawajachoma moto, Hawezi tajiri kufanyia uchawi maskini, 😅😅😅 Utakuwa una matatizo ya akili😅😅😅. Unatakiwa ushtakiwe kwa kuchoma mali kwa makusudi?, si ungerudisha sasa. Wewe unaweza choma Hadi fedha za serikali.
...ehh..kifungo hakifai hata kidogo...maana hakuhatarisha maisha ya mtu yeyote..... ...kile ambao angefanya ni: angepeana gari liuzwe na hela kusaidia maskini... ..lakini limekua ilivyokua... ..aachwe huru bila swali... ...wote wamkumbuke magufuli alichokisema...hata pesa chafuu hatutaki...
Pata hizi nyepesi nyepesi Konde Gang yataka kumsaini Msanii mpya anaeitwa Hamy Love anaetamba kwa wimbo wake wa Subira andika Subira by Hamy Love ukaone utamu wa huyo mwamba
Bro Ukiwa na imani ya kiroho ndio unaweza elewa, hivi ulishawahi kutaka kwenda safari ukaghairi kwemda ila kunaroho unavutana nayo inakwambia usiemde na nyengine inakwambia uende tu, halafu usipoemda unaambiwa gari ulilotakiwa kusafiri au ndege hakuna alietoka wamekufa wote, sasa hiyo ndiyo tunaita roho ya ki Mungu waliokufa maana zao zilikamilika walitakiwa kufa hivyo, ila ungelazimisha kwenda na ukaenda uka nawewe basi tunasema roho ya mauti ilikutanda, so yakikukita ndio utaelewa vizuri, binafsi kala yangu nilimuota usiku wa saa tisa kuwa amepata ajali ya na amefariki nikawa nalia usingizini mwenzangu akanisha vipi mbona unalia unanini? Nilistuka sana sana nikawa sielewi nikweli au nilikuwa ndotoni maana nilikuwa na machozi kweli ikabidi nimpigie cm na akapokea ila sikumwambia ndoto niliyomuota hivyo yukaagana nikamuahidi nitampigia cm siku ya off yangu na yeye pia anakiwa off ili niweze kumwambia juu ya ndoto niliyomuota anapaswa afanye ibada sana sio nzuri hata haikufika siku ya off yetu nikapigiwa cm amefariki niliumia sana nilipoelezea watu wa imani tena kwa dini zote walinibia nilikosea sana nilipaswa kumuombea na hata kufunga kwa ajili yake maana roho ya mauti ilisha mvaa tooa siku nilipoota. Mambo ya kiroho ni wito sio kila mmoja anaweza akaelewa maana, Sasa wewe kama unataka kuwa kama Nabii Musa alikuwa akisikia sauti tu ya Mungu mwishoe akamwambia Mungu nataka nikuone😂 kishindo kimoja tu alifunga macho na kughairi kumuona Mungu, Mungu huonekana kwemye ibada ya kweli na sio za kinafiki, na haijalishi mkristo wala Muislam, ukiwa mcha Mungu kweli ukawa msafi mwilini kila wakati moyo wako mwema heshima kwa wakubwa na wadogo busara na hekima kusaidia masikini mafukara mayatima wajane wagonjwa kufanya kazi kwa bidii kutokuwa mvivu kufikiria cha kuongea kwanza kabla ya kutamka tu kutokuwa na tamaa za aina zote, haya ni baadhi ya kuyazingatia ukiyazingatia haya nayo ni sehemu ya kusema na Mungu ukamsikia na ukatekeleza maana ameagiza haya kwenye Kuruani na Bibilia
Najiluliza nabii mkuu anaongea na Mungu ambaye anashutumiwa kwa uchawi, Good luck naye anaongea na Mungu Tena, khhaa!! Kwahiyo kumbe ht ukiwa mchawi unaongea na Mungu.@@AgnesNjige
Afungwe Kabisa Mpuzi huyu anaishi na Mke bila Ndoa Kuna usherani uliozidi huo huyu ni Mpuzi POLICE Kamatenii Mpuzi huyu MARAMOJA anakesi ya Kujibu Mjinga huyu.
Unaye Mungu, wewe ni wa Mungu kweli. Safi sana Goodluck
Pongezi Kaka. Usimsahau Mungu kwa wakati wowote
Nyie hamuoni vya rohon mwache good luck mungu kamponya
Giza na Nuru avichangamani. Bora ulivyotii sauti ya MUNGU
Angeludxha
Kama kwer alisikia saut y mung asa kwa nin angemuliz ko niludish kw nabii au
Usisikilize maneno ya watu kakaangu iyo nimaisha yako na Mungu wako fata sauti ya Mungu wala siya mwanadamu🙏
We are praying for u GoodLuck.Every evil Agenda that they are planning after this,Let it be broken in Jesus name.
Kitanda usicholala hujui kunguni wake. Binadamu anapitia mengi.
Mnang'ang'ana kusema ni makosa mwajuwaje kama Mungu hajamwambia achome gari mwanadamu ni Nani apinge kama ni mipango ya Mungu kufungwa atafungwa kama si mipango ya Mungu mtampeleka na atarudi kumtumikia Mungu bado
Goolack mungu akutie nguvu sana hata mimi sielewani na ndugu zangu ni matajiri sana kwa sababu ya kutumikia mungu wa kweli hakika mwenye wa mungu hajawahi kuachwa hata siku moja tusikate tamaa wapendwa mungu atupiganie ktk jina la yesu kristo ameeni
Yafaa sana kumkiliza Mungu
Angeichoma kimya kimya......unaleta kelele upande wa wa kristo nawengine hawatakuja kwa Yesu
Hata akifungwa Mungu atampigania .
😢😢😢😢 maskini ,umemdhalilisha baba wa watu😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
Na good luck Mungu atapigania
maono aliyopata kapewa yeye sisi wengini tukishadadia tunajua kilicho mtokea? lazima tukubaliane na maamuzi yake.
Kweli kabisa
Angerudisha hilo gari tu jamani likasaidia wengine
NIKO NA GOOD LUCK KWELI IMAAN IPO KAKA
Wataaluma wa vyanzo vya uhalifu na pia wataalama wa teologia ya kikrosto ndiyo pekee wana umahiri wa kusikiliza na kuchangia mada ya sheria zenye kutendea haki Goodluck.
God is there for you brother nothing will happen in your life....God fights for his people 🙏🙏
Waa mungu baba tusaidie😢 sana sisi wanao🙏🙏
Hangelichoma na kama ni Mungu alimwambia asiendeshe nadhani angeendelea kuomba apate maelekezo ya atalipeleka wapi
Point
Mungu ampe mwelekeo gani mwingine mbali nahuu. Acheni tamaa nyie
Mambo ya MUNGU hayaelewek kwa watu ila kwa mtu aliekusudiwa,,,endelea mbele kaka
Je angeli fariki !!!
Pastor wote zi wabaya but huyu na wengine nawajua na wauwaji wanatumia majini kupata pesa na kunyonya waumini.pia kuchukua nyota za watu wameteka akili za wanawake sana.254
Ila hata ukifwatilia maandiko matakatifu ya mungu katika mathayo tunaona kwamba biblia imeandika yakwamba watajitokeza manabii wauongo watakao Kuja kwa jina langu sasa sisi wanadam hatueliwi lakini tumeona yakwamba maandiko yanasema mtu atakayeona anaaone lakini tusimlaumu godlak labda yeye Kuna mambo ameyaona
Mungu ni mkubwa " Mwabudu Mungu peke yake
Mungu akulinde kijana mcha Mungu
Gari simamishatu bari zawadi pia inaweza kuku tesa au kukutokea piani hivyo kama SHERIA itamufikisha mahakamani atajiereza nasisi ndiyo tutajua kiricho tokea.
Sheria ya kitumwa , ifutwe mara Moja kama IPO kweli haifai, mtu achome mali yake halafu afunguliwe mashitaka kivipi kaua mtu? Hii Sheria kama IPO imepitwa na wakati, Leo nchi zingine wanatekeleza magari Kila siku na hafungwi mtu
Haya ni mageni, ati mtu ateketeze gari lake halafu ati afungwe? Daaaah
Mungu anachukia kuchoma Mali ambayo Mungu amekufanya upewe
We unajuwaj lilikuwa ni gari? We nawe akili yako ipo matakoni kama ya huyo mtowa gari😏
Good luck huenda ulicho Fanya ni sahihi lkn hii ishu ni Yako ww na Mungu usingeleta social media kama kunamtu mwingine ambaye pengine ni mwema anataka kukubariki huoni kua umeufunga mlango lkn pia aliekupa hii gari huenda anakutazama huoni kua umejitengenezea uadui bibilia inasema enendeni Kwa hekima kati Yao walio nje, watu wangu wanaangamizwa Kwa kukosa maarifa Daudi alijifanya chizi mbele ya mfalme kuokoa uhai wake
Vile alivyofanya si vizuri angetafuta msaada vile angesaidiwa kisaikologia,heri angeiuza.
Si angeirudisha tu kwa mwenye alimpa badala ya kuchoma
Kwani gari si alisha pewa. Sasa ukipewa si la kwake. Akichoma ndio lenu.
Williamkivugo ww unataka wote wawe kama ww ambaye Ni muasi Na mtenda mchukizo kwa Mungu wako Mungu anaisikia Sauti YA watoto wake Na watoto nao huisikia Sauti YA baba Yao Yani Mungu wao ww cyo Mtoto kwake unataka uijue hiyo Siri ya kusikia saut ya Mungu ata Mungu akiongea Na ww utajua kama Ni yy hivyo wakristo wanaisikia Sauti YA Mungu kwa sababu Mungu ni Baba Yao Na wao Ni watoto kwake
Sheria kaen mbali na hili maana hli n jambo LA kiroho mbna huwa hatambui ushirikina mnasema serkar haiamn ushirikina mwachen bahna
Yuko sahihi sisi hatujui yaliyomtokea huyo kijana Janani msibeze hii Dunia kuna mambo mengi
Kwer nimeamin masikini akipata ana kuwa jeuli Leo huyo nae niwakuchoma Gali kwer mungu ana kuoona
Ulokole ni kuwa na akili za kiroho na kimwili huu wa sasa wa kuchanganya imani na ushirikina ni wazimu na ujinga na uchanga wa kiroho wa kutomjua MUNGU, vizuri namiaka karibu 30 ndani ya imani iknow what Iam say
May God fight for you in Jesus name
Wasio na macho ya Rohoni ndiyo wanaosema hamjui huyo kijana mauzauza Gani yalimtokea kuhusu hiyo gari
Pole sana
Si angerudisha kwa mwenyewe kuliko kuchoma,
hata mkimfunga MUNGU aliyemtoa hapo atamtoa tu.
Amina mungu hajawah shindwa hat hv atasimam kwajil yake
Hana Mungu kijana
Huwez kujuwa mtu vita aliyonayo nyie mnaotukana hamjui mlitendalo
1:49 1:49 1:50 1:50 1:50
Asinge posti hii, ndo makosa ya kutaka hata mambo yako ya siri unataka dunia yote ijuwe. Kuna mengine syo lazima, tafuta kujulikana na Mungu syo wanadamu.
Acha awaaibishe mashetan😏
Waaibike na bado album ingine inakuja atubu Baraka mana mauti ipo dirishani Ole wenye kuwapotosha na kuwaungamanisha na kuzimu Yesu atadili na nyie tubu wewe unaejiita nabii mkuu utaumbuka sana mwaka huu
Mbona wenzio waliopewa magari hawajachoma moto,
Hawezi tajiri kufanyia uchawi maskini, 😅😅😅
Utakuwa una matatizo ya akili😅😅😅. Unatakiwa ushtakiwe kwa kuchoma mali kwa makusudi?, si ungerudisha sasa. Wewe unaweza choma Hadi fedha za serikali.
Kaweka mtandaoni si kwa kutajana umarufu Bali ili sotetujifunze kitu kupitia hili
Kwa nini ampe gari kwani Gudluck hakuwa na uwezo wa kununua gari?uchawi wa saa nne asubuhi huu,Mwenye haki ataishi
Jamani ungenipa mm bc mwenzio cna ht troli
😂😂😂😂
Angenipa hata mimi jaman nikosa kubwa kuchoma gari wakati sisi wengine tunatamani kupata hilo gari
Ungepata ajali na wenda ungekuwa icu sahivi
Anguko hiloooo, maana aliànza kiroho anamaliza kimwili
I'vi uyo mungu unamchkuliaje kama mshikaji wako au mbona nyie wakilisto manakuwa na akili kama kismvu kilicho twangwa😊😅
Ni kwann alikubali kulipokea akalichome c bora angerikataa tu,
Mungu alimwambia uchomwe gari tu pesa je
Pesa alishatumia mwanzo
Silver ni fedha na sio shaba. Mwandishi asiyo msomi.
Ukome kama ulivyokoma kunyonya mshenzi wewe wakristo wamekukosea nn taja mtu husika nyoko wewe.
Kwani ukipata zawadi kama umechoka nayo aliyetoa inamuusunini apo😂😂😂
Wajinga wanao mfuatilia mlitaka afe binadamu wengi sio waelewa mtu akifa Shelia inaongozwa na nanani muache ni halaka sana
...ehh..kifungo hakifai hata kidogo...maana hakuhatarisha maisha ya mtu yeyote.....
...kile ambao angefanya ni: angepeana gari liuzwe na hela kusaidia maskini...
..lakini limekua ilivyokua...
..aachwe huru bila swali...
...wote wamkumbuke magufuli alichokisema...hata pesa chafuu hatutaki...
Huyo kisaikolojia hayuko sawa hueenda kaweuka
Pengine aliona ajali mbele yake. Lakini hawa watu wa dini nao ni kama wehu
Shelia ifuatwe
imani ndogo
Tenda wema nenda zako
KIKI izi mtochoma adi wake zenu akili amna ujinga tupu
Huyu jamaa muacheni mbona hofu nyingi hivo Kama hamuamini Mungu
Yan watangazaji kitawaramba na nyie mbona hamsemi pale aliposema Nabii Mkuu hausiki????wanaotaka kumuua si aliyempa gar??
Naomba kujua ni section ip ya kweny penal code inatoa adhabu kwa kosa kama hilii
mungu huwa anaongea na mtu mmoja huwa haongei na kundi la watu
You are right, kila mtu in His own dimension
Mbn afafan naistoshe sumesha mpatia ssa ya nni udis tena au ulimtunzisha
Wewe michael suala la ndoa ya gozbert linakuhusu nini?pia gari halikuhusu .yeye ndiye anajua magumu anayoyapitia msipende kurahisisha mambo.YESU amemuokoa.dezo ina gharama zake.
achame nicheke kasikia saut yamungu hahaha!!watuniwajinga waiman
Xaxa hyo c u ngempa m2 hata zawad
sikia vizuri amesema kuwa haikustahili kupatiaaaa hata mwingine kabisa
Kama ndivyo hakupaswa kulekodi au kuipost hiyo video ya kulichoma moto😢
Hamna lolote Kuna jambo la kisiasa wanataka tu watu wajikite huku tu
Pata hizi nyepesi nyepesi Konde Gang yataka kumsaini Msanii mpya anaeitwa Hamy Love anaetamba kwa wimbo wake wa Subira andika Subira by Hamy Love ukaone utamu wa huyo mwamba
Sasa wewe ni mlokole unamuomba mungu Sasa umeshindwa kumuomba akusaidie? Au mungu hakuamini wewe ni mlokole feki
Wakristo hawajawahi kuwa na akili yani jitu kabisa linadiriki kusema eti lilisikia sauti ya Mungu ivi Mungu mnamchukuliaje nyie wakristo
Bro Ukiwa na imani ya kiroho ndio unaweza elewa, hivi ulishawahi kutaka kwenda safari ukaghairi kwemda ila kunaroho unavutana nayo inakwambia usiemde na nyengine inakwambia uende tu, halafu usipoemda unaambiwa gari ulilotakiwa kusafiri au ndege hakuna alietoka wamekufa wote, sasa hiyo ndiyo tunaita roho ya ki Mungu waliokufa maana zao zilikamilika walitakiwa kufa hivyo, ila ungelazimisha kwenda na ukaenda uka nawewe basi tunasema roho ya mauti ilikutanda, so yakikukita ndio utaelewa vizuri, binafsi kala yangu nilimuota usiku wa saa tisa kuwa amepata ajali ya na amefariki nikawa nalia usingizini mwenzangu akanisha vipi mbona unalia unanini? Nilistuka sana sana nikawa sielewi nikweli au nilikuwa ndotoni maana nilikuwa na machozi kweli ikabidi nimpigie cm na akapokea ila sikumwambia ndoto niliyomuota hivyo yukaagana nikamuahidi nitampigia cm siku ya off yangu na yeye pia anakiwa off ili niweze kumwambia juu ya ndoto niliyomuota anapaswa afanye ibada sana sio nzuri hata haikufika siku ya off yetu nikapigiwa cm amefariki niliumia sana nilipoelezea watu wa imani tena kwa dini zote walinibia nilikosea sana nilipaswa kumuombea na hata kufunga kwa ajili yake maana roho ya mauti ilisha mvaa tooa siku nilipoota. Mambo ya kiroho ni wito sio kila mmoja anaweza akaelewa maana, Sasa wewe kama unataka kuwa kama Nabii Musa alikuwa akisikia sauti tu ya Mungu mwishoe akamwambia Mungu nataka nikuone😂 kishindo kimoja tu alifunga macho na kughairi kumuona Mungu, Mungu huonekana kwemye ibada ya kweli na sio za kinafiki, na haijalishi mkristo wala Muislam, ukiwa mcha Mungu kweli ukawa msafi mwilini kila wakati moyo wako mwema heshima kwa wakubwa na wadogo busara na hekima kusaidia masikini mafukara mayatima wajane wagonjwa kufanya kazi kwa bidii kutokuwa mvivu kufikiria cha kuongea kwanza kabla ya kutamka tu kutokuwa na tamaa za aina zote, haya ni baadhi ya kuyazingatia ukiyazingatia haya nayo ni sehemu ya kusema na Mungu ukamsikia na ukatekeleza maana ameagiza haya kwenye Kuruani na Bibilia
Wew ndo huna akili
Najiluliza nabii mkuu anaongea na Mungu ambaye anashutumiwa kwa uchawi, Good luck naye anaongea na Mungu Tena, khhaa!! Kwahiyo kumbe ht ukiwa mchawi unaongea na Mungu.@@AgnesNjige
Plz reply hii comment yko kwangu ina kitu muhimu @@DavidCurtis-e4c
Weee.ndo jinga
Kiki aliyokuwa anaitafuta kashaipata
Ni wivu tu huo
Spiritual confusion and mental disorder. It simply doesn't add up.
Afungwe Kabisa Mpuzi huyu anaishi na Mke bila Ndoa Kuna usherani uliozidi huo huyu ni Mpuzi POLICE Kamatenii Mpuzi huyu MARAMOJA anakesi ya Kujibu Mjinga huyu.
Si angemrudishia mwenyewe kwanini achome
Hajafanya poa kuchoma anafaa achukuliwe hatua
Kichaa wewe una choma gari acha ujinga wewe
Watu mshakuwa wapumbavu sana mnawaza vitu tu na sio uhai wa mtu