MITIMINGI # 366 UKILA ZAKA (FUNGU LA KUMI) UMEKULA SUMU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 фев 2025
  • SOMO: Siri iliyomo ndani ya fungu la Kumi
    Mch na Mwl. Dr. MITIMINGI p. Senior Pastor #WCC +255 713 18 39 39

Комментарии • 13

  • @mtanzaniahalisimungunimwem673
    @mtanzaniahalisimungunimwem673 4 года назад +4

    Yesu alikuja duniani kwa ajili ya wenye dhambi na wenye dhambi wakapata Milki mpya kwa njia ya ukombozi. Na fungu la kumi ilikuwa ktk agano la kale. Jipya Ni matoleo au sadaka Ni zaidi ya fungu la kumi.ni kutoa kwa moyo wa kupenda bila sheria, yaani torati. Mungu tusaidie sana

  • @Leonard-jl8gt
    @Leonard-jl8gt 6 месяцев назад

    Sauti ingali ikinena asante yesu kwa zawadi hii

  • @tegemeamtui3515
    @tegemeamtui3515 4 года назад +1

    Barikiwa sana mrumishi kwa ujumbe wako...naomba kuuliza ivi nikatenga zaka yangu ila sijaipeleka madhabahuni nikawapatia watu wenye shida katika jamii kama vile watoto yatima au watu wanaoishi katika mazingira magumu ni nitakua niko nimefanya sawa sawa.????

  • @modecayvalerian9554
    @modecayvalerian9554 3 года назад +1

    Nime barikiwa sana kunzia leo natoa fungu la kumi

  • @emmanueltwaha1489
    @emmanueltwaha1489 6 лет назад +2

    Asante Mtumishi kwa kutuwekea somo zuri, Barikiwa na BWANA

  • @patricelias8545
    @patricelias8545 6 лет назад +1

    Somo zuri sana ZAKA

  • @judithnjunwa6668
    @judithnjunwa6668 5 лет назад

    somo zuri

  • @johnny.j.nyondo
    @johnny.j.nyondo 5 лет назад +1

    Hili fundisho linaua kanisa
    Na kuliweka kanisa kwenye laana ya TORATI
    Na hiyo kumbukumbu hajaimalizia maana haijaagiza kutoa hela
    Alafu hilo suala la hela kuwa jiwe na kujikwaa na kuwa kikwazo na wewe mtumishi unalo ndomaana unalifundisha

  • @jenipherminja3144
    @jenipherminja3144 6 лет назад +1

    mtumishi naomba kuuliza ukiwa unafanya kazi utatoa fungu la kumi kwenye gross salary au ile net salary??

  • @johnny.j.nyondo
    @johnny.j.nyondo 5 лет назад +1

    Waliobarikiwa na MUNGU mtu asiwaite mwizi
    Aisee MUNGU tuokoe

  • @judithnjunwa6668
    @judithnjunwa6668 5 лет назад

    haha pastor unachekesha ila unasema kweli tupu ya MUNGU BABA ni kweli ukila fungu la MUNGU ni balaa,mimi namshukuru MUNGU natoa tena kamili,hata watoto wangu MUNGU aliotupa nawatolea zaka. kwa hapo jamani siyo mwizi kabisa.