Это видео недоступно.
Сожалеем об этом.

Rigathi Gachagua alazamisha rais Ruto kutangaza msimamo wake kuhusu vita dhid ya pombe haramu

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 июл 2024
  • Rais William Ruto Sasa Anasema Kati Ya Mabadiliko Yaliyofanywa Katika Idara Ya Polisi Yalinuia Kuwaondoa Maafisa Ambao Wamekuwa Wakishirikiana Na Wafanyabiashara Wanaolemaza Vita Dhidi Ya Vileo Ghushi. Ruto Amefichua Hili Alipozungumza Katika Ibada Ya Jumapili Eneo La Ndaragwa Kaunti Ya Nyandarua Baada Ya Naibu Rais Rigathi Gachagua Kumtaka Kutoa Msimamo Wake Kuhusu Swala Hili.

Комментарии • 103

  • @MuthamaSabastian
    @MuthamaSabastian Месяц назад +32

    Nani ameruhusu Tena hizi siasa Kwa kanisa........kanisa nyinyi...kanisa nyinyi...mmmmm....chungeni.

  • @oyay2821
    @oyay2821 Месяц назад +22

    Pombe yote ni haramu, hakuna siku ilikua halali

  • @Watt-er8or
    @Watt-er8or Месяц назад +20

    We had missed the days President and deputy president talked in one voice... The moment they started to talk in different languages, a group called GenZ was born.. As Rigathi said, unity is strength and it must start from bottom up... Your excellency Rigathi Gachagua, continue with your magnificent work of bringing together Mt. Kenya...

    • @kenmutwiri7561
      @kenmutwiri7561 Месяц назад

      And that's how they control you people wake up, these are two goons in disguise as leaders

    • @JacksonMutinda-jw5qw
      @JacksonMutinda-jw5qw Месяц назад +3

      Siasa kanisani,nonsense na tunawajua nwakora tuu,,hakuna kitu hapo

    • @stove7197
      @stove7197 Месяц назад +3

      Nonsense

    • @georgesalano5771
      @georgesalano5771 Месяц назад +5

      Stupid observation,who told you their so called working together matters to the cause of the gen Z and other many kenyans who are tired of all this politicians

    • @Watt-er8or
      @Watt-er8or Месяц назад +1

      @@georgesalano5771 GenZ became stronger when they realized that opposition was not powerful enough to take on the government.. But the ones you see today on twitter are Azimio people, most of them are Lips...

  • @peterkamotho5962
    @peterkamotho5962 Месяц назад +21

    Sasa watoto hawauliwi na pombe wanauliwa na risasi

    • @Watt-er8or
      @Watt-er8or Месяц назад

      Mmoja alienda kukunywa pombe,. Mwingine akaenda kuchoma bunge..

    • @irenenjoel
      @irenenjoel Месяц назад

      Wanauwawa na kuchinjwa vichwa.

    • @alextercisio
      @alextercisio Месяц назад

      Unaeda kuchoma Parliament MTU akiwa na akili ?

  • @jacksportman5181
    @jacksportman5181 Месяц назад +2

    Iv makanisa ya Kenya ni majukwaa ya siasa instead of kuabudu😢😢

  • @deeruta9894
    @deeruta9894 Месяц назад +16

    But ulitaka wa coast wakule goka 😢😢😢😢so sad

  • @Ndakui
    @Ndakui Месяц назад +11

    Pastor wa hii church ako sawa kweli

  • @user-sg6zh6mj1h
    @user-sg6zh6mj1h 28 дней назад

    I'm David Lukeine, from Narok . His Excellency DP please don't let it come back it's ruining life's of our young people. There'll be future for people - I support you Mia kwa Mia ( 100% )

  • @PrinceHendry-hp8vv
    @PrinceHendry-hp8vv Месяц назад +5

    Wakenya bana mnachanganya ibada na siasa kwann mkiwa ibadani msiabudu Mungu mambo ya siasa mfanye kwenye majukwaa yenu

  • @Flamingo9653
    @Flamingo9653 Месяц назад +9

    The reason the 2 goons are going to church in ndaragua is because people there are in the dark and dont know what is happening regards GenZs. Let him try Githurai

  • @Dymitri-Babushka.
    @Dymitri-Babushka. Месяц назад +8

    Watoto wetu wanauliwa na RISASI ZA SERIKALI NA SIO POMBE ANYMORE

    • @alextercisio
      @alextercisio Месяц назад

      Yess wakichoma Parliament hapo risasi lazima

  • @Vodka_c-zar
    @Vodka_c-zar Месяц назад +6

    Citizen mna tangaza ufala sana nyinyi.... Maumbwa

  • @aheudit
    @aheudit Месяц назад +7

    Lakini Polisi, wanaweza kuuwa bila kushtakiwa. Double standard.

  • @robertkimani2420
    @robertkimani2420 Месяц назад +2

    Ruto is akiller mambo ni matatu we remember

  • @rabeccamutindikivuu
    @rabeccamutindikivuu Месяц назад +6

    Lakini muguka mnaruhusu huko pwani,,

  • @froma3732
    @froma3732 Месяц назад +1

    Ok Pombe ni sumu Mungukaa iko Sawa

  • @Vodka_c-zar
    @Vodka_c-zar Месяц назад +4

    Mbona hamja ongea kuhusu Ruto ku enda kutoa pesa kanisani na ali sema hakuna iyo mambo tena.... Nyinyi mme nunuliwa mafala nyinyi nkt.

    • @NasimMaya-k3q
      @NasimMaya-k3q Месяц назад

      Kura zikiibiwa ni mlima.michango kanisani nyama na mchele ni Central yan hahafunguka akili ama niaje.wee hii upuz akuna kisumu

  • @robertkimani2420
    @robertkimani2420 Месяц назад +1

    Sasa president nikuja kanisani kusema stori za pombe wakati watu wanauliwa wakitetea haki zao tunaishi wapii

  • @nicholasrama5076
    @nicholasrama5076 Месяц назад

    What’s the use of City Halls 🤮
    Why can’t they just organize themselves to do their Speeches in City Hall,if they want to address the people ?

  • @jamalkhedira2398
    @jamalkhedira2398 Месяц назад

    Pombe irudi...tutawaletea from mombasa😂..tukufe sote

  • @alfanmwatamu9030
    @alfanmwatamu9030 25 дней назад

    Lakini mgoka mwataka uletwe pwani kumbe kwenu hamtaki watto wenu waaribike...acheni ukabila nyinyi

  • @grysonkavaya5131
    @grysonkavaya5131 Месяц назад

    Ruto haskii......
    Tulisema hakuna siasa kanisa

  • @JacksonMutinda-jw5qw
    @JacksonMutinda-jw5qw Месяц назад +1

    Hakuna kitu mtaezana nyinyi,midomo mitupu na hakuna kazi

  • @georgekamao6630
    @georgekamao6630 Месяц назад

    Thts very true..how soon did w forget kirinyaga??

  • @user-hr2hw9fc9q
    @user-hr2hw9fc9q Месяц назад

    Do Not deflect issues..
    Govrnt.officials looting infrastructure tax payers money which is supposed to create jobs for these jobless youths...
    Ruto n Riggy have the Audacity to complain in front of kenyans .They should Go after Government looters/Governors/Mcas !!

  • @abelmakori
    @abelmakori Месяц назад

    Hii siasa itaisha lini aki immediately after elections campaigns start again no time to work

  • @ppatop
    @ppatop Месяц назад

    Pombe itauzwa tuu kwa sababu Maisha lazima endelee

    • @jabezjedidiah1429
      @jabezjedidiah1429 Месяц назад

      Don't you see mlima ndio targeted na pombe sumu.

  • @jothammaweu3005
    @jothammaweu3005 Месяц назад

    And when coast counties ban Muguka same top leaders come out strongly to oppose. Conflict of interest

  • @GeorgeMaluki-jr7xi
    @GeorgeMaluki-jr7xi Месяц назад

    Sawa deputy

  • @user-sb6ek7vn8e
    @user-sb6ek7vn8e Месяц назад

    Ruto and Gachagua still attend church services to promote their selfish politics?

  • @GeorgeMaluki-jr7xi
    @GeorgeMaluki-jr7xi Месяц назад

    Tab 😮its wrong politics in church

  • @stephenthinguri3414
    @stephenthinguri3414 Месяц назад

    Pombe imeua wengi kweli lakini nyinyi hizi wiki zimepita mmeua wangapi mr deputy you dont get to have a moral high ground when in truth your actions have no morals...God is watching you liars....

  • @dennismutinda9875
    @dennismutinda9875 Месяц назад

    Hadithi za Abumwasi from the chief in comand of a state. Lets know what is happening in kware?

  • @wayando
    @wayando Месяц назад

    Politics in the churches is back ...

  • @hellenmaiyo2516
    @hellenmaiyo2516 Месяц назад

    Stop all the illicit brews and drugs.

  • @josephmuigai2074
    @josephmuigai2074 Месяц назад

    Ni nyumba ya mungu mmeifanya choo....😂😂 kila mtu akikula siasazake anaeda kukunia kanisa😂😂 simfanye makanisa zooote statehouses,

  • @astolafisto5660
    @astolafisto5660 Месяц назад

    Ghai wanabadilisha topic sai ili tusahau Nini inaendelea😂😂😂

  • @AppComs_Institute
    @AppComs_Institute Месяц назад

    poison business is a booming business

  • @janaleokesho8374
    @janaleokesho8374 Месяц назад

    Politics politics in church.nkt

  • @rihkaa6289
    @rihkaa6289 Месяц назад

    Pombe haramu isiruhusiwe kuuzwa kabisa.. This fight of illicit brew should not end until it ends

  • @70micgytred
    @70micgytred Месяц назад

    We are tired ruto liees must go

  • @patrickmurunga4820
    @patrickmurunga4820 Месяц назад

    Ooook hawo ndio waliendesha biashara

  • @aheudit
    @aheudit Месяц назад

    The thumbnail photo alafu the two radio presenters 🤔.

  • @mainakihurusia6380
    @mainakihurusia6380 Месяц назад

    Heri tuko na Rais anaeskiiiza

  • @babuuosama8752
    @babuuosama8752 Месяц назад

    RIGGY G HE IS BOSS THAN HIM EXTRACTION FROM RIGGY G NA SIO MAOMBI NI LAZIMA.

  • @anthonycnei8574
    @anthonycnei8574 Месяц назад

    So disgusting to see politics in church. Another reason to avoid churches that still welcome politicians.

  • @user-cs5bs8xd8r
    @user-cs5bs8xd8r Месяц назад

    Mjue more than 60 Genzs wako chini

  • @carolinechepcorir9239
    @carolinechepcorir9239 Месяц назад

    The way citizen TV twist things😂 They are thrive in chaos.

    • @briankwala7923
      @briankwala7923 Месяц назад +1

      you don’t like how they mention your master zakayo😂

  • @Josethekenyan
    @Josethekenyan Месяц назад

    Gachagua awache ujinga anapigana na pombe mt Kenya pekee

    • @jabezjedidiah1429
      @jabezjedidiah1429 Месяц назад

      Ni wapi kwingine umeona pombe sumu kama yenye iko mlimani. Its a plan to destroy males in particular. Blind people cannot see it.

    • @duhhuskie2698
      @duhhuskie2698 Месяц назад

      @@jabezjedidiah1429 The people making poison alcohol are your fellow Kikuyus. Even during Kibaki's time it was there. God is just punishing you guys for the crimes you have committed against other Kenyans. Infact I will vote for Ruto 2027 awafinye kabisa hii ukabila yenu iishe.

  • @augyking8010
    @augyking8010 Месяц назад

    Hawa wanapigana na pombe ,,pombe sio enemy, they're the enemy, zakayo and his puppets

  • @johnmbugua6499
    @johnmbugua6499 Месяц назад

    😂😂😂😂😂 asalalaaa 😂😂

  • @reubenabugah2137
    @reubenabugah2137 Месяц назад

    Siasa chafu😢

  • @mahmoodmohammed1679
    @mahmoodmohammed1679 Месяц назад

    Churches are not places of worship anymore...Sahi ni PLATFORM za siasa

  • @Uzuri-kenya
    @Uzuri-kenya Месяц назад

    Why do citizen tv twist news?

  • @josephonyango7888
    @josephonyango7888 Месяц назад

    Unatakia kampuni zako ndyo maana utaka kuuwa za wengine

  • @kwekwenyotakwekwenyota183
    @kwekwenyotakwekwenyota183 Месяц назад

    Reject mgokah mombasa

  • @DangotePatrick
    @DangotePatrick 29 дней назад

    Why don't you talk about peaple killed in kware pipeline mukuru kwa njenga your talking about alcohol 😂

  • @niominiomi3334
    @niominiomi3334 Месяц назад

    Please resign

  • @tobiasorimba176
    @tobiasorimba176 Месяц назад

    That's your government.

  • @KigodaChaMtemiMsarifu
    @KigodaChaMtemiMsarifu Месяц назад +1

    Makinikieni upakiaji wenu wa video na maelekezi.

    • @fahadfaraj6474
      @fahadfaraj6474 Месяц назад +2

      Mbona una madaha ya kuandika misamiati ilhali bado si sanifu

    • @josephkaruga5495
      @josephkaruga5495 Месяц назад

      ​@@fahadfaraj6474This comment though 😂😂

    • @fahadfaraj6474
      @fahadfaraj6474 Месяц назад

      @@josephkaruga5495 kaandika Maneno yanayofanana na kiswahili ila hayana usanifu

  • @japhetitharu118
    @japhetitharu118 Месяц назад

    Uongo umekuwa mwingi kwako

  • @SwalehSaleh
    @SwalehSaleh Месяц назад

    Siasa kanisani

  • @ibnuyussuf
    @ibnuyussuf Месяц назад

    Je mgoka naye

  • @vinreyal5627
    @vinreyal5627 Месяц назад

    Lies

  • @erickjuma7643
    @erickjuma7643 Месяц назад

    Isn't this just laughable?

  • @aheudit
    @aheudit Месяц назад

    Hawa watu seriously?

  • @lilyrunya9584
    @lilyrunya9584 Месяц назад

    Stupid talks. Why you want Muguka in Coast yet you dont let the pombe there. Are those more special than the others?

  • @cloudinhoabdi868
    @cloudinhoabdi868 Месяц назад

    So you have gone back to church again even after we warned you not to?

  • @FaithFay-mb1yt
    @FaithFay-mb1yt Месяц назад

    This guy is lieing at church

  • @charlyb3560
    @charlyb3560 Месяц назад

    Na hao watoto wetu ndo unaua..kigeugeu