Kupiga Miayo katikati ya maombi ni dalili ya shambulizi la kiroho kupitia mhuri wa moto•Mch.Katekela

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 сен 2024
  • JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.Kama uko tayari kuwa mchangiaji jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp....
    PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO SIYO LAZIMA KUCHANGIA BALI NI YA KUPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
    1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp....
    2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp....
    Namba za mawasiliano na kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 jina ni Jacktan Msafiri
    #ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV

Комментарии • 70

  • @user-rv3ck4wb7t
    @user-rv3ck4wb7t Месяц назад +6

    Barikiwa sana Mchungaji Katekela, mahubiri yako ni mema sana yanagusa maisha ya watu. Nimepokea maombi uliyoyaomba pamoja nasi. Bwana YESU ametenda.

  • @aframhenga8705
    @aframhenga8705 19 дней назад +2

    Mungu niguse niponyee

  • @JenifaIzengo
    @JenifaIzengo Месяц назад +4

    kwa mafundisho haya, mungu yu pamoja nasi hakika anatupenda, kakuleta tupate maarifa tusiangamie tena ktk jina la yesu kristo.

  • @TeclaEstevao
    @TeclaEstevao 17 дней назад +1

    Mungu saída mume wangu

  • @nursechunga4470
    @nursechunga4470 Месяц назад +3

    Yesu akutunze mtumishi wa Mungu, naimani kupitia somo hili na maombi haya nitakuja na ushuhuda🙏

  • @utawalarecordstudiosnairob5929
    @utawalarecordstudiosnairob5929 11 дней назад +1

    Mtumishi wa MUNGU mbona hayo yote yamenipta mpaka nimeacha kulima nyumbani.. nimemwachia mama yangu mzazi shamba nae pia nayapitia hayo hayo tu. Nitashukuru sana sana MUNGU wa mbinguni akutie nguvu

  • @phinescah7353
    @phinescah7353 2 месяца назад +4

    Amen amen ,amiel kwa ufafanuzi wa leo wa undani nime soma mengi kuhusu huu mhuri ubarikiwe mtumishi

  • @user-cq8nd4ek8w
    @user-cq8nd4ek8w 2 месяца назад +3

    Barikiwa sana Mtumishi wa BWANA YESU KRISTO! Yaan mafundisho Yako, yamenifunza sana

  • @CatherineDavid-bl1jc
    @CatherineDavid-bl1jc 2 месяца назад +5

    Amen

  • @princessprecious6995
    @princessprecious6995 Месяц назад +2

    Mungu akutunze mtumishi wa Mungu katakela

  • @RubenMtuwaMungu-bz8ee
    @RubenMtuwaMungu-bz8ee 2 месяца назад +5

    Mimi nikiomba napata miayo mfululizo nachukizwa sana na hali hii Yesu nakuomba uniponye

  • @agnesmagehema576
    @agnesmagehema576 Месяц назад +1

    Hakika Mungu wa mbingu na nchi akufunike kwa Damu ya Yesu kila ukanyagapo na ulalapo na ulapo....
    Mihayo imekuwa ikinitokea wakati ninapoanza kuomba tu na hata nikitaka kusoma neno ghafla najikia kuchoka na napitiwa na usingizi mpk asbh ...
    Asante kwa ufumbuzi huu Vita ni vya Bwana Atanitendea tu

  • @user-hz3rb7vc1x
    @user-hz3rb7vc1x Месяц назад +2

    Asante sana mtumishi wa Mungu

  • @user-os1sr3fy6q
    @user-os1sr3fy6q 2 месяца назад +2

    Hakika Mungu ni mwema kwa watu wake hata mm leo niliyefuatilia kipindi hiki leo nimefunguliwa milele nilikuwa sielewi sasa nimepata ufumbuzi, hawata nipata tena kwa jina la Yesu.

  • @CatherineDavid-bl1jc
    @CatherineDavid-bl1jc 2 месяца назад +13

    Ibarikiwe mtumishi kwamaan mm kila nikiomba lazima miayo ijee na kuna wakati inaambatana na miayo na machozi

    • @user-hc4jv8uz5b
      @user-hc4jv8uz5b 2 месяца назад +1

      Kweli kbxa hata mm

    • @user-ww7jr4vm5u
      @user-ww7jr4vm5u 2 месяца назад +1

      Hata mimi kweli Mungu atusaidie sana katika jina la yesu🎉

    • @JacquelineAron
      @JacquelineAron Месяц назад

      ❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉​@@user-ww7jr4vm5u

    • @Spark8Technoo
      @Spark8Technoo 22 дня назад

      Hata Mimi Niko hivo ila kwakuwa nimehijuwa kweli Leo najifunhuwa na Pepo hizo chafu Kwa jina la Bwana wetu yesu kristo

  • @CosterMachangu
    @CosterMachangu 2 месяца назад +2

    Mungu akubariki mtumishi wa mungu

  • @GraphixDesgner
    @GraphixDesgner 2 месяца назад +2

    Ahsante Sana mtumishi ubarokiwe,hata mm nasum buliwa kwenye. Eneo Hilo,

  • @janekhanjila3413
    @janekhanjila3413 Месяц назад +2

    Amen pastor,nasikia kutoka kitale , Kenya,ngombe yangu ilikufa kwa mafundo

  • @user-iw1yq3op8f
    @user-iw1yq3op8f 2 месяца назад +1

    Be blessed more pastor amiel katekela nakupendea ivyo kwa mafundisho mazuri ya mungu nakuongea ukweli aki nabarikiwa sana na neno zuri la mungu

  • @user-fu6fx8if6w
    @user-fu6fx8if6w 2 месяца назад +2

    Mwenyezi Mungu atulinde na mishale itokayo kwenye Giza.

  • @annissdaprincess3846
    @annissdaprincess3846 Месяц назад +1

    Amina mubarikiwe zaidi nazaidi watumishi wa MUNGU

  • @GraceMollel-u3l
    @GraceMollel-u3l Месяц назад +1

    Mwenyezi Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu nimejikuta siku hizi nikiwa naomba napiga miayo ikiambatana na machozi yaani mfano wako imejikuta imetoka kwangu

  • @angelinamussa7521
    @angelinamussa7521 Месяц назад +2

    Naamini nimepokea na nimepona

  • @RUTHKCHIKIRA
    @RUTHKCHIKIRA Месяц назад +1

    Amen mtumishi wa Mungu nimebarikiwa sana na mafundisho haya NAMI nimefunguliwa nasikiliza kutoka Nairobi Kenya.

    • @user-ye1dt2eb8u
      @user-ye1dt2eb8u Месяц назад

      Ruth nakujua nini,,majina kama yakutokea taita tavete...au

  • @MarakiPatrick
    @MarakiPatrick 2 месяца назад +2

    Amen mtumishi wa mungu.

  • @angelinamussa7521
    @angelinamussa7521 Месяц назад +1

    Amina nimepokea

  • @upendokikwelele620
    @upendokikwelele620 Месяц назад +1

    Hata Mimi huwa napiga mioyo wkt wa maombi

  • @ShallothMatowo
    @ShallothMatowo Месяц назад +1

    Mama mkwe aliniambia nitakufanya kitu ujute maisha yako yote.kisa kwanini naomba sana namharibia.fist bone wangu akafa .2bone kisukari wa miaka12uzazi umegoma .umri wangu umenitupa mkono

  • @user-qc6ns8fx6q
    @user-qc6ns8fx6q Месяц назад +1

    Asante Yesu napokea🎉

  • @GraphixDesgner
    @GraphixDesgner 2 месяца назад +2

    Napokea

  • @Spark8Technoo
    @Spark8Technoo 22 дня назад +1

    Mimi napata miayo na machozi yananitoka na hapo hapo napatwa na usingizi yesu kristo niokowe na hao pepo wa chafu

  • @ellenatilio5666
    @ellenatilio5666 Месяц назад +1

    Amen 🙌

  • @user-os1sr3fy6q
    @user-os1sr3fy6q 2 месяца назад +2

    Amina , hiyo nimeshuhudia kwenye shamba langu nililima miaka miwili nikaweka na mbolea na lilikuwa karibu ekari moja niliambulia kupata mahindi lita 10 miaka yote miwili yote.

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 Месяц назад

      lita 10 unapimaje??

    • @user-os1sr3fy6q
      @user-os1sr3fy6q Месяц назад

      ndoo ya lita kumi unaifahamu ndo yalijaa humo tu.​@@trophywilson7211

  • @NephiapiusiMbwelwa
    @NephiapiusiMbwelwa 25 дней назад +1

    Mchungaji tusaidie tnaangamia baba

  • @user-ud1bs8nt3e
    @user-ud1bs8nt3e 2 месяца назад +1

    Ubarikiwe pastor

  • @upendokikwelele620
    @upendokikwelele620 Месяц назад +1

    Asante Mtumishi

  • @EmmanuelyMafie
    @EmmanuelyMafie Месяц назад +1

    Be blessed pastor

  • @ayubumwalongo8267
    @ayubumwalongo8267 2 месяца назад +1

    Mbarikiwe sana

  • @denisbongore3098
    @denisbongore3098 2 месяца назад +1

    Mungu tusaidie

  • @lilianluhasi311
    @lilianluhasi311 Месяц назад

    Barikiwa

  • @user-wz6md5bl3s
    @user-wz6md5bl3s 2 месяца назад +1

    Ameeeeen

  • @maureennaliaka8936
    @maureennaliaka8936 Месяц назад +1

    Yani mchungaji vile niona tu haya maubiri miau ikakuta mara hiyo hiyo eee Mungu ninusuru

  • @AshilatAbas-qe4fh
    @AshilatAbas-qe4fh 2 месяца назад +1

    Nimekuelewa baba

  • @nisilas7411
    @nisilas7411 3 дня назад +1

    Wachawi wanacho kibarua

  • @violetnangila8021
    @violetnangila8021 Месяц назад

    Mimi kweli mtumishi miayo ndio Sana na machozi

  • @GraphixDesgner
    @GraphixDesgner 2 месяца назад +2

    Hata mimi nimefungwa nisaidie nitoke nimefungwa ni miaka kumi sasa nimelimitiwa ,kila nilichochuma

  • @nancykimaru8
    @nancykimaru8 Месяц назад

    Msafili plz tell mtumishi if he teaches hio mihuru,when we find tuko nayo, he should be given us solutions coz we can't all reach himcto pray for is,we are in kenya

  • @nancykimaru8
    @nancykimaru8 Месяц назад

    I mean kow to pray to break it

  • @mercykariithi7919
    @mercykariithi7919 2 месяца назад +2

    Lakini maombi ya nguvu za damu ya Yesu Christ inavunja hizo nguvu zoto za kichawi

  • @SaraAbudalla
    @SaraAbudalla Месяц назад

    Hello ❤❤❤❤❤❤

  • @UpendoChurch-u6c
    @UpendoChurch-u6c Месяц назад

    Iko wapi Kwa maandiko

  • @DANIELMWAKABUTA
    @DANIELMWAKABUTA Месяц назад

    Mtumishi uliwahi kuwa muslimu?

  • @trophywilson7211
    @trophywilson7211 Месяц назад

    Hauitwi Mrundi unaitwa Muundi

  • @NeemaSulle
    @NeemaSulle Месяц назад

    Mch KATEKELA NAOMBA NAMBA YAKO NI MUHIMU SANA.

  • @Frosita
    @Frosita 2 месяца назад

    Mtumishi hii ibada unaifanyia wapi?

  • @neemamassame8183
    @neemamassame8183 2 месяца назад

    Unapokuwa kwenye maombi ya vita halafu mtu anashikwa vichomi vikali mbavuni pande zote maana yake nini mchungaji?

    • @ivonaevarista4654
      @ivonaevarista4654 26 дней назад

      hiyo n mishale inayotumwa kwako unapokua kwenye vita,uichomoe kwa Imani nakuirudisha kwa aliekutumia au uiyeyushe kwajina la Yesu,,isaya 54:17

  • @user-os1sr3fy6q
    @user-os1sr3fy6q 2 месяца назад +3

    Hakika Mungu ni mwema kwa watu wake hata mm leo niliyefuatilia kipindi hiki leo nimefunguliwa milele nilikuwa sielewi sasa nimepata ufumbuzi, hawata nipata tena kwa jina la Yesu.

  • @ChristineDama-wf3sd
    @ChristineDama-wf3sd 2 месяца назад +2

    Amen

  • @sophiamakani6133
    @sophiamakani6133 2 месяца назад +1

    Amen