Это видео недоступно.
Сожалеем об этом.

Dunia Wiki Hii: Starmer achaguliwa rasmi kuwa Waziri Mkuu mpya wa uingereza - 13th July 2024

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 июл 2024
  • Katika makala ya juma hili,
    -Starmer achaguliwa rasmi kuwa waziri mkuu mpya wa uingereza huku chama cha Labour kikishinda viti vingi bungeni.
    - Viongozi wa shirika la NATO wakutana nchini marekani kufuatia wasiwasi wa kisiasa.
    - Marais wa misri na Syria wapinga majaribio yoyote a kuwaondoa wapalestina kwenye eneo lao huku Israel ikisema itapeleka ujumbe kwenye mashauriano ya kukomesha vita huko Gaza.
    Connect with KBC Online;
    Subscribe to our channel: t.ly/86BKN
    Follow us on Twitter: / kbcchannel1
    Find us on Facebook: / kbcchannel1tv
    Check our website: www.kbc.co.ke/
    #KBCchannel1 #Kenya #News

Комментарии • 1