Tunahitaji tasis za dini zilipe Kodi watu wengi wanakwepa Kodi wakiweka hisa zao kwenye miradi ya Taasis za dini ili zikwepe Kodi ni lazima Sasa Taasis za dini zilipe Kodi
Taasisi za kidini haitokaa itokee zilipe kodi. Siku zinalipa kodi basi hazitokuwa taasisi za kidini tena. Na zikibadilika hatari yake hakuna mwenye ubavu wa kuimudu.
Makao makuu ya kikristo ni roma kwahiyo kama kanisa hatutaunga mkono swala hilo.maaskofu wetu wamesoma na wanajua wanachokiongea kwaajili ya kulitetea taifa hili mungu awasaidie wasirudi nyuma kuhusu mkataba huo feki.mungu awalinde sana 🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻
yesu kazaliwa nazareti Israel kaishi huko,na hija mnaenda Isrel lkn makao makuu ni Italia ilikuwaje?hpo mlipigwa na ki2 kizito halaf mnajiltia mna akili nawasomi kumbe vilaza tu wafata upepo
@@popekatalango9409 Maaskofu wa katoliki ni vichwa vya masters na PhD tu. Hauwezi linganisha na baraza la mawaziri lililojaa vyeti feki. Tukiwapa TEC waongoze nchi hii kwa miezi sita tu nchi itapiga hatua saana sana. Jamaa wanajua sana.
Element mkataba na dining nivitu tofauti huu sio wakati wakujukombo kumekuwepo natatizo la ugovi wa madaraka ktk kanisa la kkkt hivyo basi watu wanashidwa judavua vitu
Tunahitaji tasis za dini zilipe Kodi na kanda ya kaskazin ijengwe hospital ya Kanda ya kaskazin ijengwe Arusha tuache kutumia KCMC ili zilipe Kodi na hospital ya Kanda ya ziwa ijengwe mwanza tuachane na Bugando zilipe Kodi
Ni ndoto zako lakini taasisi za kidini haitokaa itokee zilipe kodi kwa namna unayotaka. Siku zinalipa kodi basi hazitokuwa taasisi za kidini tena. Na zikibadilika na kutokuwa taasisi za kidini hatari yake hakuna mwenye ubavu wa kuimudu. Kuwa mpole tu.
Ivi askofu umeusoma mkataba au unaongea mambo ya kiutawara utuereze mkataba umeusoma na unamanufaa Gani kwa taifa usifuaye bendea upepo angaria haki bira haki taifa ritakua kupata shida
Alishasema kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake sasa wewe unalalamika nini? Yeye mwenyewe anakula kwa urefu wa kamba yake. Unataka maji hamia mtoni ama ziwani.
Dini na siasa zinachanganyika pale ambapo dini inakemea ulaji wa wanasiasa. Wanasiasa hawataki kukemewa na viongozi wa dini pale wanapofanya michongo yao ya uizi.
@@jumakapilima7295 Upuuzwe sababu haujielewi. Hili la mkataba ni jambo la kitaifa. Haukumsikia raisi akisema kila mtu ale usawa wa kamba yake lakini watu wasipitilize? Ile ni ruhusa ya kula rushwa. Ukitoka viongozi wa dini watoe waraka wa kukemea wanandoa kuwa na michepuko? Makanisani unajua wanakemea mangapi? Serekali uliisikia ikikemea ufisadi uliogunduliwa na CAG? Sababu raisi mwenyewe fisadi tu.
Ww ndo tatizo kwenye familia yako nchi inatatizo gan au kisa mama kawapa uhuru wa kuongea ndo mnaropokwa mbn awamu ya tano mlikaa kimya pumbu zikawashuka na ukiongea unapotea au unajizima data
Kikwete katokea kusema tusichanganye dini na siasa akiwa kama mwanasiasa akuhutubia kusanyiko la dini; leo Samia amehutubia kusanyiko la dini huku yeye ni mwanasiasa. Mbona hamuishi matakwa yenu wenyewe?
@@Mumewangu Kama ni dhaifu hiyo ni juu yake. Hatutaki unafiki unaoliangamiza taifa. Mambo ya Magu yamepitwa na wakati na tunaye mtu tofauti anayeongoza sasa.
@@Kijana-wa-Tanzania duh. Umekosea sana sana kama hukumuomba M/mungu msamaha nakuhesabia siku saba zijazo utapata Balaa . kwa kusema mambo ya mungu yamepitwa na wakati. Dah nakuonea huruma.
asante Mungu kwa wazee wetu mtumishi lutabingwa na mzee wetu mtumishi mchungaji Mwanga Mungu awabariki na awape maisha yenye furaha
Ingekua yupo ms8kitini na mashekhe mngesema mama ana UDINI bt yuko.namaskofu kimyaaa hskuna mtu.anenai.udini
Hahaha tuwachukulie tu
Tunahitaji tasis za dini zilipe Kodi watu wengi wanakwepa Kodi wakiweka hisa zao kwenye miradi ya Taasis za dini ili zikwepe Kodi ni lazima Sasa Taasis za dini zilipe Kodi
Taasisi za kidini haitokaa itokee zilipe kodi. Siku zinalipa kodi basi hazitokuwa taasisi za kidini tena. Na zikibadilika hatari yake hakuna mwenye ubavu wa kuimudu.
Tuanze na ccm kwanza!
Makao makuu ya kikristo ni roma kwahiyo kama kanisa hatutaunga mkono swala hilo.maaskofu wetu wamesoma na wanajua wanachokiongea kwaajili ya kulitetea taifa hili mungu awasaidie wasirudi nyuma kuhusu mkataba huo feki.mungu awalinde sana 🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Wakatoliki wanajulikana kwa vurugu dunia nzima
yesu kazaliwa nazareti Israel kaishi huko,na hija mnaenda Isrel lkn makao makuu ni Italia ilikuwaje?hpo mlipigwa na ki2 kizito halaf mnajiltia mna akili nawasomi kumbe vilaza tu wafata upepo
@@popekatalango9409 Maaskofu wa katoliki ni vichwa vya masters na PhD tu. Hauwezi linganisha na baraza la mawaziri lililojaa vyeti feki. Tukiwapa TEC waongoze nchi hii kwa miezi sita tu nchi itapiga hatua saana sana. Jamaa wanajua sana.
Element mkataba na dining nivitu tofauti huu sio wakati wakujukombo kumekuwepo natatizo la ugovi wa madaraka ktk kanisa la kkkt hivyo basi watu wanashidwa judavua vitu
Tunahitaji tasis za dini zilipe Kodi na kanda ya kaskazin ijengwe hospital ya Kanda ya kaskazin ijengwe Arusha tuache kutumia KCMC ili zilipe Kodi na hospital ya Kanda ya ziwa ijengwe mwanza tuachane na Bugando zilipe Kodi
eeeh
Ni ndoto zako lakini taasisi za kidini haitokaa itokee zilipe kodi kwa namna unayotaka. Siku zinalipa kodi basi hazitokuwa taasisi za kidini tena. Na zikibadilika na kutokuwa taasisi za kidini hatari yake hakuna mwenye ubavu wa kuimudu.
Kuwa mpole tu.
ccm ianze kulipa kodi kwanza.
Ivi askofu umeusoma mkataba au unaongea mambo ya kiutawara utuereze mkataba umeusoma na unamanufaa Gani kwa taifa usifuaye bendea upepo angaria haki bira haki taifa ritakua kupata shida
Kumbe Askofu Malasusa. Anawakilisha Kanisa la Kilutheri la Uzaramo na Uluguru? . Kinachosemwa hapa na uhalisia sawa?. Ni sauti ya mpita njia tu.
Kwenye kuwapa mkono wazee ni kuuvunja protoko
Hii ngoma nzito
Hakuna uzito wowote
@@jumakapilima7295 ukiongea na kipofu awezi Ona chochote maana kapofuka macho
Mama maji ni ya shida Dodoma fukuza watendaji wanaokuhujum kunakero sana
Alishasema kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake sasa wewe unalalamika nini? Yeye mwenyewe anakula kwa urefu wa kamba yake.
Unataka maji hamia mtoni ama ziwani.
Ago ni ya kwel
Kanisani hakuna Protoko.
Ikifika hapo tusiambiwe tunachanganya dini na siasa ✍️✍️✍️
Usipotoshe maneno!!
@@jumakapilima7295 kama hujaelewa tulia
Dini na siasa zinachanganyika pale ambapo dini inakemea ulaji wa wanasiasa. Wanasiasa hawataki kukemewa na viongozi wa dini pale wanapofanya michongo yao ya uizi.
@@Kijana-wa-Tanzania usipotoshe, wanaume wanafirwa mbona hatuoni kanisa kutoa waraka?
@@jumakapilima7295 Upuuzwe sababu haujielewi. Hili la mkataba ni jambo la kitaifa. Haukumsikia raisi akisema kila mtu ale usawa wa kamba yake lakini watu wasipitilize? Ile ni ruhusa ya kula rushwa.
Ukitoka viongozi wa dini watoe waraka wa kukemea wanandoa kuwa na michepuko?
Makanisani unajua wanakemea mangapi?
Serekali uliisikia ikikemea ufisadi uliogunduliwa na CAG? Sababu raisi mwenyewe fisadi tu.
Ivi Kwann watanzania baadh wanafki sana nchi hii inavyokwenda Kila seem tatizo alaf mtu usemi ukweli unasifia tu au unapingatu
Ww ndo tatizo kwenye familia yako nchi inatatizo gan au kisa mama kawapa uhuru wa kuongea ndo mnaropokwa mbn awamu ya tano mlikaa kimya pumbu zikawashuka na ukiongea unapotea au unajizima data
@@husseinissa7118 Mbona haulinganishi na awamu ya nne? Huo ndio unafiki unaozungumziwa sasa.
Kikwete katokea kusema tusichanganye dini na siasa akiwa kama mwanasiasa akuhutubia kusanyiko la dini; leo Samia amehutubia kusanyiko la dini huku yeye ni mwanasiasa.
Mbona hamuishi matakwa yenu wenyewe?
Huyu ni Rais wa wananchi wote haangalii udini
@@Mumewangu Raisi wa wote akikosea atakosolewa na wote pasipo kuleta udini.
@@Kijana-wa-Tanzania mnamuona dhaivu magu alipokuwepo nani alijaribu kuinuwa mdomo wake? Wewe uliufyata.
@@Mumewangu Kama ni dhaifu hiyo ni juu yake. Hatutaki unafiki unaoliangamiza taifa. Mambo ya Magu yamepitwa na wakati na tunaye mtu tofauti anayeongoza sasa.
@@Kijana-wa-Tanzania duh. Umekosea sana sana kama hukumuomba M/mungu msamaha nakuhesabia siku saba zijazo utapata Balaa . kwa kusema mambo ya mungu yamepitwa na wakati. Dah nakuonea huruma.
Hawa wazungu msiwamini sana kanisani niwatu wamchongo sana
Sio tusiwaamini sana, tusithubutu kuwaamini kabisa. Ni majambazi yanayojificha nyuma ya mgongo wa dini.
Kwahiyo.maskofu.pia waendesha nchi???kazikwel8lweli.wsmeshindwa na waumini.wataweza wananchi??
Waumini wamewashinda vipi?
Arudishe ndege yetu yenye aende kutumikia utumwa Kwa dubai
Mtateseka sana mwaka huu, mama Yuko kazini, kkkt tayari wamemuelewa!!