HOUSE GIRL EP 01 || love story💕💞

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 6 фев 2025

Комментарии • 1,2 тыс.

  • @busatitv
    @busatitv  8 месяцев назад +122

    Bonyeza link kujiunga group la WhatsApp
    chat.whatsapp.com/JyrN7hIxoagKiVTISAAdm0

  • @kathyrndavid8935
    @kathyrndavid8935 8 месяцев назад +51

    Nimetoka mbali kweli mpaka kufika huku kuja kuiona iyo movi ya zuu ilivyozur 🔥

    • @busatitv
      @busatitv  8 месяцев назад +1

      Asante sana na karibu mnoo

    • @Tedymrosso
      @Tedymrosso 7 месяцев назад

      Kama mimi tu dah

    • @YonaFare
      @YonaFare 6 месяцев назад

      Nand

  • @tamtamtz
    @tamtamtz 8 месяцев назад +185

    Tuilotoka TikTok Tujuane hapaa 🤣🤣🤣

    • @busatitv
      @busatitv  8 месяцев назад +1

      🤣🤣🤣 Mliotoka Tik Tok karibuni sana kwenye familia ya BUSATI TV

    • @nasrachimamy
      @nasrachimamy 8 месяцев назад +1

      Aloo tupo wengi

    • @GeorgeCharo-b3k
      @GeorgeCharo-b3k 8 месяцев назад +2

      Tupo😂😂😂😂 kwaajili ya Cady

    • @nillanbrand7425
      @nillanbrand7425 8 месяцев назад

      ahahahahaha | ila baba revo

    • @renathakalamage4931
      @renathakalamage4931 8 месяцев назад

      Nipo

  • @machataisthebest1691
    @machataisthebest1691 8 месяцев назад +7

    Kuna mahali house garl mazoea na boss yamezidi[baba mwenye nyumba]

  • @harokai4310
    @harokai4310 8 месяцев назад +16

    This will be one of the best series in Tanzania. It has a lot of life lessons. BIG UP guys

  • @MWANAKOMBONGANGAKARISA
    @MWANAKOMBONGANGAKARISA 8 месяцев назад +10

    Safi xn wana busati Masha'Allah kitu kizito iki cha msingi apa nmejifunza kua heshima kitu muhimu hata kam mtu humjui asnteni xn mzidi kutufunza❤❤

    • @busatitv
      @busatitv  8 месяцев назад

      Asante sana kwa kujifunza

    • @Frola-r9z
      @Frola-r9z 4 месяца назад

      Heshima nikitu Cha muhimu sana

  • @AGAPPEHHAPPY
    @AGAPPEHHAPPY 5 месяцев назад +10

    Daah aisee naangalia hii muvie had machozi yanayotok hapa maana hata mimi ni dadah wa kazi naomba sana MUNGU atusaidie sis wadada wa kazi maana sio kwamba tunapenda ila daah.Naomba kila dada wa kazi anayesoma hii comment MUNGU amsaidie apate mume bora na maisha mazuri.

    • @Daima-ik1cf
      @Daima-ik1cf 5 месяцев назад +1

      Pole habibty hata mm n mfanyakazi lakin nipo oman kaza moyo 😢😢

    • @odethakilumile4763
      @odethakilumile4763 4 месяца назад +1

      Kucha zabandia hatali sana😭😭😭😭😭

    • @MaliakiKisarika
      @MaliakiKisarika 4 месяца назад

      Pole da da a unaitwa nan tujuane apa

    • @خديجه-ه3ف
      @خديجه-ه3ف 17 дней назад

      Ata mimi ni mdada wakazi Ila kazi bana inaitaji subra😢😢😢

  • @maryammaryam7354
    @maryammaryam7354 8 месяцев назад +4

    Jaman eshimuni waume zenu ❤❤❤❤❤❤❤,utalaumu ooo bwanangu ameenda na msichana wakaz 😂penda bire nyote

    • @busatitv
      @busatitv  8 месяцев назад

      Umeona eeeh

  • @MaheriChristopher
    @MaheriChristopher 8 месяцев назад +54

    Bonge la move aisee nimependa mdada wa kazi heshima kwake jamani daaah!! 🌹🌹🌹yake

  • @RukiaMbarak-s2k
    @RukiaMbarak-s2k 8 месяцев назад +24

    Daa Zuu kweli wastahili kuwa mke wa boss wako nidhamu nzuri sana

    • @busatitv
      @busatitv  8 месяцев назад +1

      Kabisaa 🙏🙏

  • @MrsMariam-x2s
    @MrsMariam-x2s 8 месяцев назад +5

    Hii Kali kuliko daa inatufaa siye wafanyakazi wa warabuni daaa mh Hadi chupi zandani Yani hivo hivo hhhhhhh Yani mmenifurahisha Leo sana keyi

  • @fatmahaji7661
    @fatmahaji7661 8 месяцев назад +11

    Movie tam ajabuuu... hongereni sanaaaaaaa, kila mtu ka play vzr part yake

    • @busatitv
      @busatitv  8 месяцев назад

      Asante sanaaa

  • @officialmamutz26
    @officialmamutz26 8 месяцев назад +3

    Jmn jmn waooo busati tunashukuru kwakutuletea ktu kizur sana pongez sana busati tv

  • @marymwendia5012
    @marymwendia5012 8 месяцев назад +9

    Wow nzuri sana zuu ni mke na nusu kweli

  • @Mathias-yi5bo
    @Mathias-yi5bo 8 месяцев назад +4

    Dah vijana kuweni makini sana msikosee kuona maana huu ndo uhalisia wawake wasku iz❤❤❤❤❤❤❤

    • @busatitv
      @busatitv  8 месяцев назад

      Kabisaaa

    • @Mathias-yi5bo
      @Mathias-yi5bo 8 месяцев назад

      💖💖💖💖🙏🙏🙏

    • @MICHAELMATANILA
      @MICHAELMATANILA 6 месяцев назад

      Nuebdjgue mdhfithfgbckgiry🎉hdbxcw❤ehdgbxgdgeywbz​@@busatitv

    • @MICHAELMATANILA
      @MICHAELMATANILA 6 месяцев назад

      Mnxkdirybdglajdgeitjfhsbzxv❤lkdnxvdheworlawp

    • @MICHAELMATANILA
      @MICHAELMATANILA 6 месяцев назад

      Zmnxvorjfhsnxkepqjdbxv❤kruegdksbxceotuehs

  • @shadyazitueni5338
    @shadyazitueni5338 8 месяцев назад +3

    Mamb ni 🔥🔥🔥busat nawaaminia kadri siku zinavyozid kwenda mnazid kutisha mashaallah

    • @busatitv
      @busatitv  8 месяцев назад

      Asante sana 🙏🙏

  • @FattyDapetty-tj9vr
    @FattyDapetty-tj9vr 8 месяцев назад +3

    Tunawapenda sana sna sana kaz nzuri Allah awasimamie🎉

    • @busatitv
      @busatitv  8 месяцев назад +1

      Asante sana🙏

  • @harokai4310
    @harokai4310 8 месяцев назад +10

    Movies with a lot of life lessons are the movies we would wish to watch, am impressed guys. Am your fun from KENYA.

    • @busatitv
      @busatitv  8 месяцев назад

      We Love You 😘😘

  • @Mwana85Mwana85-wz1ol
    @Mwana85Mwana85-wz1ol 8 месяцев назад +4

    Wap bust tv na kazi zako zuri San np hap kutoka omani waif zabure za warabu lete vitu una baya dj wetu huu 🔥🔥🔥🔥🔥 busat

  • @SalamahAa
    @SalamahAa 8 месяцев назад +6

    tuko hpa nampenda sana zuu

  • @petronillalukhobi1775
    @petronillalukhobi1775 8 месяцев назад +4

    Good work my dear friends. God the bless you

    • @busatitv
      @busatitv  8 месяцев назад

      Asante sana

  • @decoismail8211
    @decoismail8211 8 месяцев назад +7

    huyu dada boss yani kuiiigiisa bado sana yani kelele tu..

    • @busatitv
      @busatitv  8 месяцев назад

      🤣🤣🤣🤣

    • @NancyMutindi
      @NancyMutindi 8 месяцев назад

      Nkweli😂 Yuko Bado sana

  • @sofiakinyia2734
    @sofiakinyia2734 8 месяцев назад +4

    Mwisho ataachwa tu aolewe dada wa kazi🎉🎉🎉🎉

    • @busatitv
      @busatitv  8 месяцев назад

      🤣🤣🤣

  • @EsperanceMuzaneza
    @EsperanceMuzaneza 8 месяцев назад +4

    Muendelezo jamani kazi zuri sana nawapenda sana

    • @busatitv
      @busatitv  8 месяцев назад

      Asante sana 🙏🙏

  • @RoseWabis
    @RoseWabis 8 месяцев назад +6

    Huuuu nzuri san afu uyo mkeee laaa uuuu

    • @busatitv
      @busatitv  8 месяцев назад

      🙏🙏🙏

  • @فراحهكينيا
    @فراحهكينيا 8 месяцев назад +2

    Wow n nzur san💯 n kuna wengine tutajifunza kitu apa✅️🎉🎉

  • @MrsMariam-x2s
    @MrsMariam-x2s 8 месяцев назад +4

    Ivo ivo kwenye sim nakuitwa kama sio binadam alafu kila saa kwenye sim wawo siye shida maneno mongi jamani wallahi nimeipenda sana hii mie

    • @busatitv
      @busatitv  8 месяцев назад

      Asante sana Karibu Tunakupenda mno

  • @BahatiKadenge-n5r
    @BahatiKadenge-n5r 8 месяцев назад +3

    Dahhhhhh huyo mwanamke anadarau sana ningekuwa mimi ningemuoa mfanyi kazi

    • @busatitv
      @busatitv  8 месяцев назад

      🤣🤣🤣

    • @suzan2929
      @suzan2929 8 месяцев назад

      Ako na roho chafu

    • @B.M-ix4rz
      @B.M-ix4rz 8 месяцев назад

      Wanajifanya Hawajui majukumu yao kila kitu dada wa kaz na dharau pia ila watu km Hawa wapo wengi sana na hii hizi tabia zitaadhibu mbele ya mungu

  • @oman1oman179
    @oman1oman179 8 месяцев назад +23

    Kila kitu zuu ,kila kitu zuu aisse hi movie inafindisha

    • @busatitv
      @busatitv  8 месяцев назад

      Asante sana aisee !! Kuna baadhi ya Maboss ni shida

    • @priscilladama8686
      @priscilladama8686 8 месяцев назад

      Waarabu ndo tabia yao hio aki hii movie kali sn

    • @pendosuleiman7190
      @pendosuleiman7190 8 месяцев назад

      Wallai​@@priscilladama8686

    • @OlyUpowerfuljesus
      @OlyUpowerfuljesus 8 месяцев назад

      Niko hapa kuhudhuria ndoa ya zuu na bosi sio jingine kama haipo mnijulishe ila naiona mbeleeeni

  • @shabanjuma7102
    @shabanjuma7102 7 месяцев назад +1

    Hizi ndio muvie za kupewa tuzo, muvi inafundisha inatoa funzo, hongera sana mtunzi

  • @JullianaEmmanuel-tm5xg
    @JullianaEmmanuel-tm5xg 8 месяцев назад +3

    Zuu n bonge la mwanamke kwnz anaheshima, pia yupo vzr, karembo kanashepu,

  • @loreenkhalfan9750
    @loreenkhalfan9750 8 месяцев назад +2

    Mmeweza sana aiseee....kazi nzuri mnooooooo 🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @Tumasalo99
    @Tumasalo99 8 месяцев назад +337

    Nani mwengine tiktok imemleta huku😂

  • @LovenessShirima-hw7un
    @LovenessShirima-hw7un 8 месяцев назад +1

    Seen nzuli sana ii heshi kwako dada wakazi

    • @busatitv
      @busatitv  8 месяцев назад

      Asante sana🙏

  • @hlimaa5182
    @hlimaa5182 8 месяцев назад +14

    Movie nzuri sana ila huyo mke kai uuuuwiiiiiii hatari 😂😂😂maneno ya mtiririka kama upepo busati hambahatishi ❤❤❤❤❤❤❤❤

    • @busatitv
      @busatitv  8 месяцев назад

      Asante sanaaa 🙏🙏🥰🥰🥰

  • @VicenteBakali
    @VicenteBakali 8 месяцев назад +4

    Ayise hiiii movie nimeipenda ety dakika ngapotu nimeipenda ety

    • @busatitv
      @busatitv  8 месяцев назад

      Asante sanaa 🙏🙏🙏

  • @MugishaGretta
    @MugishaGretta 8 месяцев назад +20

    Mwanamke mjinga asiye fahamu umuhim wa Mme wake

    • @busatitv
      @busatitv  8 месяцев назад

      Nakubali

    • @JulistaHillary
      @JulistaHillary 7 месяцев назад

      Hatari sana

    • @samueljoel2622
      @samueljoel2622 7 месяцев назад

      Hii ni ng'ombe tu

    • @samueljoel2622
      @samueljoel2622 7 месяцев назад

      Kwani kila wakati ni zuu zuu zuu,,, ningekua zuu ningenyorosha aka kamama ki kweli kweli na nikatoe izo kucha

    • @Frola-r9z
      @Frola-r9z 4 месяца назад

      😅😅😅😅hatari sana

  • @Candyzw3jv
    @Candyzw3jv 8 месяцев назад +4

    Tunaomba mwendelezo jamni nzr inafundisha Sana Kwa Sisi wadada wa kazi

    • @busatitv
      @busatitv  8 месяцев назад

      Asante sana inakujaaa

  • @Feliznaghim
    @Feliznaghim 8 месяцев назад +5

    Kalii sna muendelezo usichelew jamn

  • @MpokigwaEdwin
    @MpokigwaEdwin 8 месяцев назад +1

    Kweli hii kali kabisaa,, imebidi nije huku baada ya kutoka tiktok

  • @Joyezrah
    @Joyezrah 8 месяцев назад +5

    Daaaaah😢😢😢hadi nimedodoka chozi... Jamani tuwe na heshima kwa kila mtu yule... Mdogo, mkubwa, maskini, tajiri..... Heshima tafadhali... You never know the plan of God 🙏

    • @busatitv
      @busatitv  8 месяцев назад

      Asante sana kama umeliona hili 🙏🙏

    • @neemamichael-iv3jp
      @neemamichael-iv3jp 8 месяцев назад

      Nawapewa wote😢🥰🥰

  • @officialmamutz26
    @officialmamutz26 8 месяцев назад +14

    Makopa kopa kwa busati tv❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @estherezzy136
    @estherezzy136 8 месяцев назад +3

    Kazi nzuri hatar ❤❤ila kaka mke hakufai🎉🎉🎉

    • @busatitv
      @busatitv  8 месяцев назад

      🤣🤣🤣

    • @estherezzy136
      @estherezzy136 8 месяцев назад

      @@busatitv mhh 🤭🤣🤣haya maliza kicheko halafu uniambie part 4ikowap

  • @BahatiKadenge-n5r
    @BahatiKadenge-n5r 8 месяцев назад +2

    😂😂😂😂❤❤❤❤❤ heshima si utumwa unaheshimiwa unaringa watu wengine bana

    • @busatitv
      @busatitv  8 месяцев назад

      Yani hana adabu

  • @AlylenShitamu-tc2ng
    @AlylenShitamu-tc2ng 8 месяцев назад +4

    Hii nayo ni tamu sana msichelewe na next part

    • @busatitv
      @busatitv  8 месяцев назад

      Episode ya pili tumeshapost

  • @nice7706
    @nice7706 8 месяцев назад +17

    Hii muvi nzuri sana makopa menginengi kwako muandaaji♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️

    • @busatitv
      @busatitv  8 месяцев назад +1

      Asante sanaaa

    • @busatitv
      @busatitv  8 месяцев назад +1

      Asante sana ubarikiwe

  • @husnabilali3099
    @husnabilali3099 8 месяцев назад +6

    Imeanza moto🎉🎉🎉🎉🎉❤❤

    • @busatitv
      @busatitv  8 месяцев назад +1

      Asante sanaaa

  • @aishaallyaishaally3220
    @aishaallyaishaally3220 8 месяцев назад +1

    Kali ak nimeangalia mara mbilimbili ❤❤❤❤❤❤

    • @busatitv
      @busatitv  8 месяцев назад

      Asante sana

  • @zainabmshanga932
    @zainabmshanga932 8 месяцев назад +5

    Wow nzuri sana lakini huyo mke sio kabisa

    • @busatitv
      @busatitv  8 месяцев назад

      Asante sana

  • @Nuryia-q8x
    @Nuryia-q8x 8 месяцев назад +1

    🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤ kanzi nzuri sana❤❤❤❤🎉🎉

    • @busatitv
      @busatitv  8 месяцев назад

      🙏🙏🥰🥰

  • @AzizahGideon
    @AzizahGideon 8 месяцев назад +10

    Mungu akubariki sana dada wa kaz Yan umetisha sana zuena wangu classmate wangu unajua ad kwigiza vizur hivo Wana mpuguso secondary oyeeeeeeeeee ❤❤❤ nakupenda sana best tukuyu Moja ushirika Moja move Kari sanaaaaaaaaa❤❤

    • @busatitv
      @busatitv  8 месяцев назад

      Watu wa Tukuyu oyeeeeee

    • @daudimdete8671
      @daudimdete8671 7 месяцев назад

      Ndomana nasema mbn kadada kaheshma kumbe n ss wa tukuyu aiseeh muje muoeee

  • @Tunusugar
    @Tunusugar 8 месяцев назад +1

    Waooh kazi nzur sana hii

    • @busatitv
      @busatitv  8 месяцев назад

      Asante sana

  • @Sofiashabani780
    @Sofiashabani780 8 месяцев назад +9

    Hii kali sana inaenda 💯

  • @tamtamtz
    @tamtamtz 8 месяцев назад +2

    Kazi Nzuri sana hii

    • @busatitv
      @busatitv  8 месяцев назад

      Asante sana

  • @SalymSalum
    @SalymSalum 8 месяцев назад +3

    Nimeipenda ni move nzuri

    • @busatitv
      @busatitv  8 месяцев назад

      Asante sana🙏

  • @JanethEmmanuel-mr5le
    @JanethEmmanuel-mr5le 8 месяцев назад +1

    Dada wakazi penda cna honger kwa kazi yak

    • @busatitv
      @busatitv  8 месяцев назад

      Asante sana

  • @phorahmahaza638
    @phorahmahaza638 8 месяцев назад +4

    Daaah nimejifunza kitu hapa jmn

    • @busatitv
      @busatitv  8 месяцев назад +1

      Asante sana kwa kijifunza

  • @RajabuMtemwa
    @RajabuMtemwa 8 месяцев назад +1

    Kazi bomba sana mumetisha wakubwa

    • @busatitv
      @busatitv  8 месяцев назад

      Asante sana 🙏🙏🙏

  • @juma3473
    @juma3473 8 месяцев назад +11

    Mwanamke mnyanyasaji ameweza

    • @busatitv
      @busatitv  8 месяцев назад

      Asante sana

  • @TantineZuzu
    @TantineZuzu 8 месяцев назад +1

    Iyi nayo ni moto 👌👌❤️❤️🇧🇮🇧🇮

    • @busatitv
      @busatitv  8 месяцев назад

      Asante sana🙏

  • @ashaali1343
    @ashaali1343 8 месяцев назад +7

    Wewe ati hutakuja kuonja ndoa nni kasema

  • @asyawaamidu2968
    @asyawaamidu2968 8 месяцев назад +1

    Nimeipenda bureee maa shaa Allah

    • @busatitv
      @busatitv  8 месяцев назад

      🙏🙏🙏

  • @JullianaEmmanuel-tm5xg
    @JullianaEmmanuel-tm5xg 8 месяцев назад +4

    Kaka mnzr sana huyu, lkn mke n bonge la jnga,

  • @sawaAsd-cp3dr
    @sawaAsd-cp3dr 8 месяцев назад +1

    🎉🎉🎉🎉🎉muvi Kali sana

    • @busatitv
      @busatitv  8 месяцев назад

      Asante sana

  • @Sofiashabani780
    @Sofiashabani780 8 месяцев назад +5

    Wakwaza nimewahi 🎉🎉🎉🎉

    • @busatitv
      @busatitv  8 месяцев назад +1

      Hongera sana

    • @Sofiashabani780
      @Sofiashabani780 8 месяцев назад

      @@busatitv Asante alafu huyo mzee mwafanana ywaka kama babako for real

  • @SomoeBatuli
    @SomoeBatuli 8 месяцев назад +1

    Safi sanaa kazi nzuri sanaa

  • @officialmamutz26
    @officialmamutz26 8 месяцев назад +4

    Mambo pambe jmn so poa wadada wa kaz tunpitia magum sana

    • @busatitv
      @busatitv  8 месяцев назад

      Kumekuchaa

  • @AngelSilas-yi3sd
    @AngelSilas-yi3sd 8 месяцев назад +1

    Dhaa iMovie kila siku nilikua naipita kumbe kali ivi kanzi nzuri Sana❤❤

  • @ZekaniS
    @ZekaniS 8 месяцев назад +5

    Madam wa namna hii lazima nikukomeshe lazima nipite na boss❤❤😂😂😂😂

    • @busatitv
      @busatitv  8 месяцев назад

      🥰🥰🥰🤣🤣🤣

    • @elizanyange2010
      @elizanyange2010 8 месяцев назад

      Yn umewaz kama mimi huyu na mkomesha mchana kweupe na makope yake kama fagio chelew

    • @AnithaMwijonge
      @AnithaMwijonge 7 месяцев назад

      😮😂😂😂😂😂😂😂

    • @maimuna9132
      @maimuna9132 7 месяцев назад

      Tena boss unampa mahaba yote😅😅😅😅

    • @MICHAELMATANILA
      @MICHAELMATANILA 6 месяцев назад

      Hlabxhdirebdkdhriwnewpryxvajdglavzbdgfkr​@@AnithaMwijonge

  • @MdMd-hz6lh
    @MdMd-hz6lh 8 месяцев назад +1

    Nzuriii sana❤❤❤❤❤❤❤❤❤

    • @busatitv
      @busatitv  8 месяцев назад

      😍😍🥰🥰

  • @mustaphamores7806
    @mustaphamores7806 8 месяцев назад +5

    Safii imetishaaa

    • @busatitv
      @busatitv  8 месяцев назад

      🙏🙏🙏

  • @Queengifton
    @Queengifton 7 месяцев назад +2

    Mimi nimechoka adi na marafiki kwenye WhatsApp, Facebook na ata tiktok so RUclips is the best💃💃 for now team strong wap likes jameni joto n kali 🙆‍♀️🙆‍♀️

  • @mariammuslim2987
    @mariammuslim2987 8 месяцев назад +3

    Dada wa kazi Masha Allah ❤❤❤ apewe boss bila tafrani

  • @JanetRiziki-ut2is
    @JanetRiziki-ut2is 8 месяцев назад

    Movie nzuri sana nmeipenda mno ❤❤❤❤

  • @Kai_bey_manyoya
    @Kai_bey_manyoya 8 месяцев назад +3

    Mmh Kweli Ndoa Ndoano🙌🏾🥺

    • @busatitv
      @busatitv  8 месяцев назад

      🙏🙏🙏

  • @BihusiIddi
    @BihusiIddi 8 месяцев назад +3

    Mkibiwa wanaume mwaza kulalamika majukumu yakupka nakumuandalia mume

    • @BihusiIddi
      @BihusiIddi 8 месяцев назад +1

      Mumewatakiwa umfulie mwenyewe why

    • @busatitv
      @busatitv  8 месяцев назад

      Umwona wwwh

  • @madamuvictory7296
    @madamuvictory7296 8 месяцев назад +2

    Hapo nikuandalie Chai au kahawa boss tunae kwa badae tutatamba nae😂😂😂

    • @busatitv
      @busatitv  8 месяцев назад

      Boss kashatekwa daaah

  • @Jishushe.na.ujikute5789
    @Jishushe.na.ujikute5789 8 месяцев назад +7

    Nnahitaji kufaham Kabila yahuyu dada wakazi tafadhalini nnawaombeni🙏🙏 please 😅

    • @busatitv
      @busatitv  8 месяцев назад +1

      🤣🤣🤣 una jambo lako eeeh

    • @Jishushe.na.ujikute5789
      @Jishushe.na.ujikute5789 8 месяцев назад +2

      ​@@busatitvno bro a'm seriously Wala sijambo langu mim niuhalisiya wangu nipo ready kufika sehem hiyo hata iwe naumbali kuasi gani so please let me know when they're 🙏🙏🤦🤦

    • @busatitv
      @busatitv  7 месяцев назад

      Mbeya Girl​@@Jishushe.na.ujikute5789

    • @TunuAdam-gc9rc
      @TunuAdam-gc9rc 7 месяцев назад

      Mbeya girl wte tukuje uku jmn

  • @SofiaKazungu
    @SofiaKazungu 8 месяцев назад +2

    Mashallah congratulations kazi nzur sana much love from saudia Arabia

    • @busatitv
      @busatitv  8 месяцев назад +1

      Asante sanaa

  • @HvgUgg-w1p
    @HvgUgg-w1p 8 месяцев назад +6

    Jamani tunatoa Waume zetu wenyewe eti mumeo afuliwe Nguo za ndani na house girl weee dada wewe

    • @busatitv
      @busatitv  8 месяцев назад

      Umeona eeeeh

  • @TumainiNzabonimpa
    @TumainiNzabonimpa 8 месяцев назад

    Nimafundisho Mazuri sana kuwanawake

  • @janethkimath5275
    @janethkimath5275 8 месяцев назад +3

    Kwan huyo dada hawez kuongea taratibu😂😂😂😂

  • @PriscaMeshaki
    @PriscaMeshaki 8 месяцев назад +1

    Mungu atusaidie sana wanawake jaman, mmmmmmmm

    • @busatitv
      @busatitv  8 месяцев назад

      🙏🙏🙏

  • @aaminaasljbgbvf745
    @aaminaasljbgbvf745 8 месяцев назад +5

    Mwarabu uyu madam 😂😂😂😂

    • @NoorPrince-v1v
      @NoorPrince-v1v 7 месяцев назад

      Shoga angu we achatu😂😂😂

    • @NoorPrince-v1v
      @NoorPrince-v1v 7 месяцев назад

      Huyu dada jau kweli😂😂😂

  • @abdallahassan6378
    @abdallahassan6378 8 месяцев назад

    🎉🎉🎉nzr sn jmn ,pia inatufunza hawa wanawake wazuri sio wanawake kbs

  • @ElkanaNakida
    @ElkanaNakida 7 месяцев назад +5

    Dada wa kazi ameolewa jamni mbona mim namtaka

    • @busatitv
      @busatitv  7 месяцев назад

      🤣

    • @MaryManyuka
      @MaryManyuka 6 месяцев назад +1

      Mimi hatakama mke nichizi ntamla ivoivo

    • @ElkanaNakida
      @ElkanaNakida 5 месяцев назад

      @@MaryManyuka hahahaaa

  • @Nisile-u3s
    @Nisile-u3s 8 месяцев назад +1

    ❤❤❤❤❤❤❤ nmeipenda buree

    • @busatitv
      @busatitv  8 месяцев назад

      ❤🥰🥰

  • @Rahima-v5j
    @Rahima-v5j 8 месяцев назад +5

    Zuuu kaza wanangu mume wako uyoo😂😂😂😂

  • @nahyatsaid
    @nahyatsaid 8 месяцев назад +1

    nzuri sanaaa jamani 😊❤ nawapenda sanaaa ❤❤❤

    • @busatitv
      @busatitv  8 месяцев назад

      🥰🥰🥰

  • @AminaAbdallah-kc2fs
    @AminaAbdallah-kc2fs 8 месяцев назад +8

    Yann mke kama huyu mm lazima niwenamyoa nywele kwajemb dah

  • @elizabethmahenzo7220
    @elizabethmahenzo7220 8 месяцев назад +1

    Kazi zuri sana❤❤❤❤❤

    • @busatitv
      @busatitv  8 месяцев назад

      🙏🙏🙏

  • @HawwahAbdulmajid-fo5wv
    @HawwahAbdulmajid-fo5wv 8 месяцев назад +4

    Tiktok imeniskuma nimedondokea uku😂😂😂

    • @busatitv
      @busatitv  8 месяцев назад +1

      Weee Karibu sana aisee

  • @AnnaDungu-wr4sk
    @AnnaDungu-wr4sk 8 месяцев назад

    Hongera sana kaka yangu Mungu akubariki sana kwa kz nzur

  • @Josephnyinge
    @Josephnyinge 7 месяцев назад +5

    Hii jamaa imevumilia kwa kipindi kikubwa huu ni ujunga. Huyu jamaa ange chukua huyu dada akamfanya mke wa nyumba

  • @AhmedChitema
    @AhmedChitema 8 месяцев назад +1

    Nice Drama,,,iko poa sana

    • @busatitv
      @busatitv  8 месяцев назад

      🙏🙏🙏

  • @RechoJuma-wk9yt
    @RechoJuma-wk9yt 8 месяцев назад +4

    Me siwezi kuweka mdada wa kazi mana kanz zote naweza

  • @RebecaMwakisole-sc3rz
    @RebecaMwakisole-sc3rz 8 месяцев назад +2

    Kwenye hii movie kuna funzo sana, ila nasubiri mapinduzi tu 😂😂

    • @busatitv
      @busatitv  8 месяцев назад

      😀😀😀

  • @AyshaAlly-xf2ju
    @AyshaAlly-xf2ju 8 месяцев назад +3

    Hahaha tupo wengi😂😂

    • @omarsaid_1607
      @omarsaid_1607 8 месяцев назад

      Mwataka mathna tu ndo dawa,, ama niowee huyo mfanyakazi

  • @zaitunimwandetele4400
    @zaitunimwandetele4400 8 месяцев назад +1

    Move hii nzuri jaman❤❤❤

    • @busatitv
      @busatitv  8 месяцев назад +1

      Asante sana 🙏🙏

  • @MARYNAGUJustin
    @MARYNAGUJustin 8 месяцев назад +6

    Move inafundisha Yani na ashum kama kwl

    • @busatitv
      @busatitv  8 месяцев назад

      Asante sana