UGONJWA USIOJULIKANA WAIBUKA MBEYA “WANATAPIKA DAMU, ZAIDI YA WATU 15 WAMEFARIKI”
HTML-код
- Опубликовано: 5 фев 2021
- Watu zaidi ya 15 wamefariki na zaidi ya 50 ni Wagonjwa kwenye Kata ya Ifumbo Chunya, Mkoani Mbeya na hiyo ni kutokana na kuugua ugonjwa ambao bado haujafahamika ni ugonjwa gani.
Mganga Mkuu wa Wilaya Chunya amethibitisha taarifa hizo.
Ee baba wa mbinguni shuka utuokoe nyosha mkono wako wa kuume Tanzania yetu tuokoe tunakuomba baba wa mbinguni tunakuomba🙏🙏🇹🇿 YESU YESU tuokoe ulitukomboa kwa damu yako ulichukuwa mizigo zetu zambi mangojwa tunakuita YESU tuokoe na kwaanzia Sasa MDA yako ikanene mema juu ya hawo wagonjwa jina lako linanguvu kupita majina yote 🙏🇹🇿naachilia damu ya YESU hapo chunya na waliopo hospital wapone kwa jina la YESU wanyanyuke🙏🇹🇿 Roho mtakatifu unatukinga kwa Atali za Roho na mwili tuokoe MUNGU wetu nimwingi wa Rehema🙏🇹🇿🇹🇿😍
Mw/MUNGU 🙏 tunakuomba utujalie Afya njema Tuepushe na Magonjwa Viumbe Wako 🙏
Ameen...
Khaaa tunaisha sasa mungu atuokoe amen
Ameen
@@aishakhamis2996Asante 🙏🙏🙏
@@victorakyoo2664 Asante 🙏🙏🙏
Eeeeh Mwenyezi Mungu tunusulu tumekukosea babaa,kwamawazo,kwamaneno,kwavitendo nakwakutotimiza wajibu,tumekosa babaaa tuhurumie sisi wanawako.
Tunaomba haya kwanjia ya bwanawetu yesu kristo aaamina.
God is good poleni nduguzangu wa ifumbo Mungu atawasaidia.
Subhanna Allah.... Yaa ALLAH tunakuomba utukinge na maradh haya na tunakuomba utufanyie wepes wa kupata dawa/ufumbuz wa ugonjwa huu... Yaaraby
Ewe Mola tuondolee haya magonjwa kwakweli huu ni mtihani wa mwenyezi mungu
Kama kawaida Tumtangulize Mungu huku tafit zaid zikifanyika mambo saiv hayaeleweki, EE MWENYEZI MUNGU SAIDIA.
Hamis nfkr umetafsr tofaut...GOD FIRST.
Amen 🙏 🇹🇿 Mungu ndye muweza atatusaidia
@@johnmziray1712 oh, samahani mkuu
@@johnmziray1712
Llll
L
Subhanallah 😭😭ya Allah tusamehe waja wako
Proud to see my loved teacher Mr.Weston mpyira.Mungu awatangulie kakaaa tusiacha kumuomba
Magonjwa yakitokea watu wengi huanza kumtambua Mungu! hizi ni nyakati za mwisho Mungu ndo siluhixho
FAHAMU DALILI ZA UGONJWA WA TEZI DUME
0655523211
1.Kukojoa mara kwa mara hasa wakati wa usiku
2.mkojo kutoka kisiri siri
3.mkojo kutoka bila nguvu na kutokuruka mbali.
4.kukosa hamu ya tendo la ndoa na kuishiwa nguvu za kiume.
5.kupata ugumu na maumivu wakati wa kukojoa.
Tezi dume isipotibiwa mapema huleta madhara mbalimbali kama
🔸 Upungufu wa nguvu za kiume
🔸 Saratani ya tezi dume
🔸Figo kufeli
🔸Mawe kwenye figo
🔸Kifo
Kwa ushauri na tiba 0655523211.
Karne hii yarab tunusuru, Wewe ndio muweza wa yote
Mungu atusimamie serikali ichukue hatua na itupe taarif za kweli
Subhanallah nyakati za mwisho hizi
Mwenyez mungu tusimamie
EE mungu tusamehe hakika tumekukosea
MUNGU BABA tusaidie 🤲
Mungu atuponye
Allah atunusuru dunia imefikia kikomo😭😭😭
Amin
Shambulio wazungu wamepandikiza hili
@@abednego3876 acheni kusingizia kila kitu wazungu
@@crayonmaze9970 ni ndugu zako?
@@crayonmaze9970 kwan ni uongo? Anaetengeneza dawa ndie anetengeneza ugonjwa usibishebishe ndugu
Kama ni kijiji wwangalie pia mboga kama nyama nk huenda ikawa na sumu
Uko FACT sana
Uko vzr xana
Mungu tunusuru 🙏🙏
Na hili swala hatuelewi kwa kweli sababu waziri wa Afya ngwajma amekanusha jambo hili na amesema hakuna hivyo vifo vya watu 15 sasa tushike lipi na huyo mganga mkuu inasemekana amesimamishwa kazi sasa hatujapata uhakika kati ya waziri na wanakijiji pamoja na halimashauri ya chunya yipi ana ukweli zaidi.
Mmh, makubwa, jamani wizara iunde timu ya flying doctors ikaokoe watu huko
Eee Mwenyezi tunusuru watu wako Mungu ibariki Tanzania 🙏🙏🙏
Mungu atusaidie
Mungu wetu atuhurie atuokoe
Allah atulinde waja wake
Eeeeeee mwenyezi Mungu muweza wa yote tunakuomba utunusuru
Nyoosha mkono wako usiopungukiwa na kitu
Mmmh inaumiza tuwe makini sana kumbe tatizo ni la muda aisee tufanye tathimini kwa haraka
Subhanallah, , ee mwenyez mungu tuepushe
Mungu atasimama nasisi litakwisha
Mungu tusaidie baba
Subhannallah jamaniii tukesheni tukiomba hatujui siku wala saaaa Eemungu tusimamie yaarab🤲🤲🤲🤲
Mungu tusaidie kwa hili
tafiti zifanyike haraka,huenda kuna vitu wanatumia,na hupelekea vifo hivyo
Mungu tusaidie, waja wako
Ata chakusema sina zaidi ya kumuomba allah kareem
Poleni Sana
Mungu tusaidie duh! mtihani huu
Mganga mkuu umelichukulia ili swala simple sana! Hii ni ishu kubwa kuwa serious chukua atua madhubuti na za araka!
Jamanii
Eeeh mwenyezi mungu tunusuru
Huenda ni mecyur zinawasumbuwa maana ni eneo la madini wataalam wachunguze zaid kwa makini
Madini gani yako eneo hilo?
@@kabhikachambala3392 Chunya
Inawezekana Mercury swachunguze kwa makini
Mmmm mungu baba naomba. Uuuepushe huu ugonjwa
Mungu nusuru mbeya yetu na Tanzania kiujumla😭🙏
Duh poreni sana mnyezi mungu atunusuru atusamehe na makosa yetu
Hatari san
Subhanallah 😭😭
Watanzania tusiogope...
kweli Mungu yupo
Jamani Mungu atusaidie maana Yaliyo tabiliwa yana timia. Dunia imefika mwisho
Hizi ni nyakati za Mwisho, Mungu aturehemu..!
Unapozuru wengine usitupite Bwana.
Mungu wetu tunakuombakwa unyenyekevuu mkubwa wajawako,wewe ndio tunaekuabudu na wewe ndio tunaekuomba msamaaha.tusamehe,tuepushe na magonjwa yote yaraab,,wewe ni mjuzi aamina
Wameona corona imepita Sasa wanatutoa Damu kwa lazima. Eee Mungu muweza wa yote uturehemu
Hee yarabi tunusulu waja wako hazabu zako atuziwezi yarabi.
Mungu atusaidie maana Ni jambo lisilo la kawaida
May be Ebora second chapter
Ee mungu tunusuru na aya magonjwa
Ee Mungu tunusuru sisi
Duh
Wachunguze vizuri yawekua magonjwa yamlipuko yatokanayo ya wanyama kama kimeta(anthrax)
Waangalie pengine mboga zimemwagiwa dawa ya kuuwa wadudu halafu zikachumwa kwa siku ya pili sababu mboga zikimwagiwa dawa inabidi ziacjwe kwa siku sba ndio ziliwe.
Mungu tunusul###
Mungu tuokoe namagonjwa haya yaajabu😭😭😭
Hakika tumuombe mungu tu atulinde na kutupgania jaman EE MUNGU TUTETEE
kitajulikana tu ndani ya siku chache ,Serikali haijalala na Mungu hajawahi kulala.
Mmmh nahisi ni sumu bwana si ugonjwa kuna kitu apo
Kama ishu Ni maji yachunguzwe..ee mungu tuepushe
Mungu tuhurumie sisi waja wako
Me nadhani dawa za kuulia wadudu mashambn pia Ni chanzo
Mungu tunusuru ,mayb Ebola maanake imeanza tena Congo😭
Mungu amsaidie jamani
Cha kuangalia ni Maji kwanza labda ni sumu au yana bacteria fulani ambao wanaleta hayo matatizo, maji kwenye yanatumika na watu wengi.
Subhana Allah😭😭
We mungu Baba turehemu tusamehe dhambi ambayo hatujaijua tusamehe Baba tunaomba rehema samehe taifa hili la tanzania
Tuendelee kumwomba mungu atupunguzie adhabu. Majanga yamezidi jamani.
HAYO MAJI YA KUNYWA YACHUNGUZWE HUWENDA YANASUMU
Eee mungu tunaomba tusamehe waja wako,,,mbona kazi..
Kweli jamani
Ee Mungu tunaomba uturehem
Kwakwel utafiti ufanyike mapema wagonjwa wachunguzwe vizuri Tena watengwe na wazima huenda wakaambukizana, dah! huu ni mwisho wa dunia nin
Chunguzeni na viroba vya Konyagi, zingine wanazitoa hata kutoka Malawi. Na pombe za kienyeji ,uenda kuna vitu wanachanganyiwa kuongeza ukali. Hizo Pombe hazina vipimo lazima uchunguzi ufanyike. Na vyanzo via maji pia.
Angalieni GMO na weed killer pamoja na usalama Kama wanapulizia mahindi wanavuta hewa ya dawa
Wapimwe Ngurue maana wakazi wa huko hwajambo kwa kufuga, kuuza na kula Nguruwe. Hivi mtu mpaka unakula nguruwe vitoweo vingine vimeisha?! Uchu ukizidi ni mtihan.
😁😁😁
Ww nae kitimoto ni kitoweo tamu sana
@@olilisaolivia808 mhhh
Ee mungu wangu 😭wametuletea ugonjwa mwingine tena kushinda corona ee mungu ibariki tanzania
Nani amekuletea sasa?
Mungu ndo alie leta ugonjwa sis sote ni wa mola na kwake tutarejea
@@atikimohamed6251😂😂😂😂
Nani kakuketea
@@princessgracpius3573 this people are crazy eeh wanaamini kila kitu wanachosema wanasiasa
Mmmmmmh tumekwisha
Mungu tuokoe
Mtihan
Au mbiga mboga zinaliwa imetoka kupigwa dawa, pombe hizo kijiji kizima?
Mwakaa huuu tutaona mengi kwakweli 😔😔😔
Week ilopita baba yangu alitoka tunduma Ila alipofika tu nyumban alikua hoi anatapika dam balaa Ila tunamshkuru Mungu asaiv hajambo🙏
Dah alitumia daw gani tujuze mpendwa
Daaah ewe mwenyezimungu tunusuru nahaya maradhi
Rabbi salama
oooh me cry
Tatizo wana wa Adam tunajahau mno tunaikumbatia dunia wakti dunia ni mapito na starehe za muda!
Maasi kila kukicha yamezidi ongezeka; riba, ushoga/riwati, kutembea uchi, pombe/ulevi, zinaa, kamali, uchawi/kurogana, mitume, manbii na masharifu wa uwongo kila kona.
Wale wanaojinadi wanatowa huduma za maombezi na kufufua wafu wakowapi?!
Tutumie vizuri akili zetu, tusirithishane kukariri uwongo wa Wapagani wa Antokia yukawacha imaan/dini ya haki na ya kweli tukaabudu viumbe!
Tusome tupate kumwelewa na kumuabudu Mungu Mola Muumba (Mungu mmoja) pekee.
Tuwaepuke walokuja na mpango mkakati (Wamissionary) lengo lao kuu aabudiwe shetani (freemasons), tunaiga mila na tamaduni zao na kusahu kuwa maovu tuyatendayo yanamchukiza Mungu Mola Muumba.
Tunawaabudu viumbe na kumdharau Muimba!
Maji machafu,vinywaji vikali nk
ist tansania vohen
Naona viongozi mnachuklia simpo tu wakati wa2 wanakufa apo maji inayokumbwa n ya mto zila na huo mto una maplant mengi ko muangalie Dana kuhusu hilo
Eeeeeh Mungu inusuru Tanzania🤲🤲🤲🤲🛐🛐🙏🙏
NI TATIZO LA MUDA MREFU, TUACHIE WATAALAMU WA EPIDERMIOLOGIA WATATOA MAJIBU
Tutubu ufalme wa Mungu umekaribiaa
Tunaomba mwongozo tafadhali. Na huu nao tujifukize?
Angalieni maji wanayotumia
dar jamani
Sio mbeya tu hata morogoro