UGONJWA USIOJULIKANA WAIBUKA MBEYA “WANATAPIKA DAMU, ZAIDI YA WATU 15 WAMEFARIKI”

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 фев 2021
  • Watu zaidi ya 15 wamefariki na zaidi ya 50 ni Wagonjwa kwenye Kata ya Ifumbo Chunya, Mkoani Mbeya na hiyo ni kutokana na kuugua ugonjwa ambao bado haujafahamika ni ugonjwa gani.
    Mganga Mkuu wa Wilaya Chunya amethibitisha taarifa hizo.

Комментарии • 267

  • @jenelizajoseph6488
    @jenelizajoseph6488 3 года назад +2

    Ee baba wa mbinguni shuka utuokoe nyosha mkono wako wa kuume Tanzania yetu tuokoe tunakuomba baba wa mbinguni tunakuomba🙏🙏🇹🇿 YESU YESU tuokoe ulitukomboa kwa damu yako ulichukuwa mizigo zetu zambi mangojwa tunakuita YESU tuokoe na kwaanzia Sasa MDA yako ikanene mema juu ya hawo wagonjwa jina lako linanguvu kupita majina yote 🙏🇹🇿naachilia damu ya YESU hapo chunya na waliopo hospital wapone kwa jina la YESU wanyanyuke🙏🇹🇿 Roho mtakatifu unatukinga kwa Atali za Roho na mwili tuokoe MUNGU wetu nimwingi wa Rehema🙏🇹🇿🇹🇿😍

  • @ferouzmasoud4741
    @ferouzmasoud4741 3 года назад +30

    Mw/MUNGU 🙏 tunakuomba utujalie Afya njema Tuepushe na Magonjwa Viumbe Wako 🙏

  • @omaryrjohn65
    @omaryrjohn65 3 года назад +1

    Eeeeh Mwenyezi Mungu tunusulu tumekukosea babaa,kwamawazo,kwamaneno,kwavitendo nakwakutotimiza wajibu,tumekosa babaaa tuhurumie sisi wanawako.
    Tunaomba haya kwanjia ya bwanawetu yesu kristo aaamina.
    God is good poleni nduguzangu wa ifumbo Mungu atawasaidia.

  • @bintmuhammed..7941
    @bintmuhammed..7941 3 года назад +3

    Subhanna Allah.... Yaa ALLAH tunakuomba utukinge na maradh haya na tunakuomba utufanyie wepes wa kupata dawa/ufumbuz wa ugonjwa huu... Yaaraby

  • @halimayusuph4931
    @halimayusuph4931 3 года назад +2

    Ewe Mola tuondolee haya magonjwa kwakweli huu ni mtihani wa mwenyezi mungu

  • @johnmziray1712
    @johnmziray1712 3 года назад +31

    Kama kawaida Tumtangulize Mungu huku tafit zaid zikifanyika mambo saiv hayaeleweki, EE MWENYEZI MUNGU SAIDIA.

  • @mouwanahamisi8216
    @mouwanahamisi8216 3 года назад +12

    Subhanallah 😭😭ya Allah tusamehe waja wako

  • @omaryrjohn65
    @omaryrjohn65 3 года назад +1

    Proud to see my loved teacher Mr.Weston mpyira.Mungu awatangulie kakaaa tusiacha kumuomba

  • @witneskilinda5034
    @witneskilinda5034 3 года назад +3

    Magonjwa yakitokea watu wengi huanza kumtambua Mungu! hizi ni nyakati za mwisho Mungu ndo siluhixho

  • @jenynaafya
    @jenynaafya 3 года назад

    FAHAMU DALILI ZA UGONJWA WA TEZI DUME
    0655523211
    1.Kukojoa mara kwa mara hasa wakati wa usiku
    2.mkojo kutoka kisiri siri
    3.mkojo kutoka bila nguvu na kutokuruka mbali.
    4.kukosa hamu ya tendo la ndoa na kuishiwa nguvu za kiume.
    5.kupata ugumu na maumivu wakati wa kukojoa.
    Tezi dume isipotibiwa mapema huleta madhara mbalimbali kama
    🔸 Upungufu wa nguvu za kiume
    🔸 Saratani ya tezi dume
    🔸Figo kufeli
    🔸Mawe kwenye figo
    🔸Kifo
    Kwa ushauri na tiba 0655523211.

  • @sadasaid4408
    @sadasaid4408 3 года назад +18

    Karne hii yarab tunusuru, Wewe ndio muweza wa yote

  • @ireneassey753
    @ireneassey753 3 года назад

    Mungu atusimamie serikali ichukue hatua na itupe taarif za kweli

  • @mwanaidimunga9099
    @mwanaidimunga9099 3 года назад +2

    Subhanallah nyakati za mwisho hizi

  • @mwanaamasanja7629
    @mwanaamasanja7629 3 года назад +4

    Mwenyez mungu tusimamie

  • @jenyyusuph4973
    @jenyyusuph4973 3 года назад +9

    EE mungu tusamehe hakika tumekukosea

  • @aishafrancis7714
    @aishafrancis7714 3 года назад +8

    MUNGU BABA tusaidie 🤲

  • @anithajoachimu4467
    @anithajoachimu4467 3 года назад +3

    Mungu atuponye

  • @chrisskihwele1795
    @chrisskihwele1795 3 года назад +24

    Allah atunusuru dunia imefikia kikomo😭😭😭

    • @miriamsaidtindwa1447
      @miriamsaidtindwa1447 3 года назад +1

      Amin

    • @abednego3876
      @abednego3876 3 года назад +1

      Shambulio wazungu wamepandikiza hili

    • @crayonmaze9970
      @crayonmaze9970 3 года назад +2

      @@abednego3876 acheni kusingizia kila kitu wazungu

    • @martinkipenya4592
      @martinkipenya4592 3 года назад +1

      @@crayonmaze9970 ni ndugu zako?

    • @mchezakamaliog265
      @mchezakamaliog265 3 года назад +1

      @@crayonmaze9970 kwan ni uongo? Anaetengeneza dawa ndie anetengeneza ugonjwa usibishebishe ndugu

  • @gwajetheentertainer363
    @gwajetheentertainer363 3 года назад +25

    Kama ni kijiji wwangalie pia mboga kama nyama nk huenda ikawa na sumu

  • @benedictanicet5543
    @benedictanicet5543 3 года назад +8

    Mungu tunusuru 🙏🙏

  • @namirihamisi3899
    @namirihamisi3899 3 года назад +1

    Na hili swala hatuelewi kwa kweli sababu waziri wa Afya ngwajma amekanusha jambo hili na amesema hakuna hivyo vifo vya watu 15 sasa tushike lipi na huyo mganga mkuu inasemekana amesimamishwa kazi sasa hatujapata uhakika kati ya waziri na wanakijiji pamoja na halimashauri ya chunya yipi ana ukweli zaidi.

  • @nyambegamatoro6817
    @nyambegamatoro6817 3 года назад +5

    Mmh, makubwa, jamani wizara iunde timu ya flying doctors ikaokoe watu huko

  • @andulilemwakihabha2048
    @andulilemwakihabha2048 3 года назад +6

    Eee Mwenyezi tunusuru watu wako Mungu ibariki Tanzania 🙏🙏🙏

  • @deboramwafilombe7477
    @deboramwafilombe7477 3 года назад +3

    Mungu atusaidie

  • @yohanekasonkwa2612
    @yohanekasonkwa2612 3 года назад

    Mungu wetu atuhurie atuokoe

  • @mamawa3mamawa321
    @mamawa3mamawa321 3 года назад +4

    Allah atulinde waja wake

  • @fredychachamkome6829
    @fredychachamkome6829 3 года назад +4

    Eeeeeee mwenyezi Mungu muweza wa yote tunakuomba utunusuru
    Nyoosha mkono wako usiopungukiwa na kitu

  • @braystuskibassa3077
    @braystuskibassa3077 3 года назад +4

    Mmmh inaumiza tuwe makini sana kumbe tatizo ni la muda aisee tufanye tathimini kwa haraka

  • @oliverben8010
    @oliverben8010 3 года назад

    Subhanallah, , ee mwenyez mungu tuepushe

  • @biddii1972
    @biddii1972 3 года назад

    Mungu atasimama nasisi litakwisha

  • @lucyjeremia1381
    @lucyjeremia1381 3 года назад +1

    Mungu tusaidie baba

  • @rahmaramadhan9773
    @rahmaramadhan9773 3 года назад

    Subhannallah jamaniii tukesheni tukiomba hatujui siku wala saaaa Eemungu tusimamie yaarab🤲🤲🤲🤲

  • @novatiwoisso8072
    @novatiwoisso8072 3 года назад

    Mungu tusaidie kwa hili

  • @georgembunda9233
    @georgembunda9233 3 года назад +13

    tafiti zifanyike haraka,huenda kuna vitu wanatumia,na hupelekea vifo hivyo

  • @mjukuuwakabonga2031
    @mjukuuwakabonga2031 3 года назад +3

    Mungu tusaidie, waja wako

  • @maloomaalmnsj5111
    @maloomaalmnsj5111 3 года назад

    Ata chakusema sina zaidi ya kumuomba allah kareem

  • @humaidabdullah9619
    @humaidabdullah9619 3 года назад +1

    Poleni Sana

  • @wardaheluwa734
    @wardaheluwa734 3 года назад +2

    Mungu tusaidie duh! mtihani huu

  • @edwinernestmbise8345
    @edwinernestmbise8345 3 года назад +6

    Mganga mkuu umelichukulia ili swala simple sana! Hii ni ishu kubwa kuwa serious chukua atua madhubuti na za araka!

  • @happysteven297
    @happysteven297 3 года назад +3

    Jamanii

  • @jordanmwaipopo7374
    @jordanmwaipopo7374 3 года назад +1

    Eeeh mwenyezi mungu tunusuru

  • @sarahamos8524
    @sarahamos8524 3 года назад +4

    Huenda ni mecyur zinawasumbuwa maana ni eneo la madini wataalam wachunguze zaid kwa makini

  • @kwandukanunda700
    @kwandukanunda700 3 года назад

    Mmmm mungu baba naomba. Uuuepushe huu ugonjwa

  • @lyilyanmussa5433
    @lyilyanmussa5433 3 года назад

    Mungu nusuru mbeya yetu na Tanzania kiujumla😭🙏

  • @himlayzer3543
    @himlayzer3543 3 года назад

    Duh poreni sana mnyezi mungu atunusuru atusamehe na makosa yetu

  • @cleofasladislaus2177
    @cleofasladislaus2177 3 года назад +3

    Hatari san

  • @osamashakeeb7194
    @osamashakeeb7194 3 года назад +6

    Subhanallah 😭😭

  • @masundelwa
    @masundelwa 3 года назад +8

    Watanzania tusiogope...

  • @tajimwambole3115
    @tajimwambole3115 3 года назад

    Jamani Mungu atusaidie maana Yaliyo tabiliwa yana timia. Dunia imefika mwisho

  • @gracemanase5142
    @gracemanase5142 3 года назад +2

    Hizi ni nyakati za Mwisho, Mungu aturehemu..!

  • @ashamwandu6572
    @ashamwandu6572 3 года назад

    Mungu wetu tunakuombakwa unyenyekevuu mkubwa wajawako,wewe ndio tunaekuabudu na wewe ndio tunaekuomba msamaaha.tusamehe,tuepushe na magonjwa yote yaraab,,wewe ni mjuzi aamina

  • @mwadiabulymoshabani6336
    @mwadiabulymoshabani6336 3 года назад +9

    Wameona corona imepita Sasa wanatutoa Damu kwa lazima. Eee Mungu muweza wa yote uturehemu

  • @birahmaahmad8855
    @birahmaahmad8855 3 года назад

    Hee yarabi tunusulu waja wako hazabu zako atuziwezi yarabi.

  • @ronaldmassanga8386
    @ronaldmassanga8386 3 года назад

    Mungu atusaidie maana Ni jambo lisilo la kawaida

  • @hamidshukra
    @hamidshukra 3 года назад +7

    May be Ebora second chapter

  • @tatuta6529
    @tatuta6529 3 года назад

    Ee mungu tunusuru na aya magonjwa

  • @tusubilegemtafya5532
    @tusubilegemtafya5532 3 года назад

    Ee Mungu tunusuru sisi

  • @GOLDENYERIKOTV
    @GOLDENYERIKOTV 3 года назад +1

    Duh

  • @nufaikafurnishers1384
    @nufaikafurnishers1384 3 года назад

    Wachunguze vizuri yawekua magonjwa yamlipuko yatokanayo ya wanyama kama kimeta(anthrax)

  • @namirihamisi3899
    @namirihamisi3899 3 года назад +1

    Waangalie pengine mboga zimemwagiwa dawa ya kuuwa wadudu halafu zikachumwa kwa siku ya pili sababu mboga zikimwagiwa dawa inabidi ziacjwe kwa siku sba ndio ziliwe.

  • @hansboy1443
    @hansboy1443 3 года назад

    Mungu tunusul###

  • @lucasfidely3920
    @lucasfidely3920 3 года назад +1

    Mungu tuokoe namagonjwa haya yaajabu😭😭😭

  • @frankemmanuel6029
    @frankemmanuel6029 3 года назад

    Hakika tumuombe mungu tu atulinde na kutupgania jaman EE MUNGU TUTETEE

  • @themessengertz1237
    @themessengertz1237 3 года назад

    kitajulikana tu ndani ya siku chache ,Serikali haijalala na Mungu hajawahi kulala.

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 3 года назад +2

    Mmmh nahisi ni sumu bwana si ugonjwa kuna kitu apo

  • @idonmwamwaja4376
    @idonmwamwaja4376 3 года назад

    Kama ishu Ni maji yachunguzwe..ee mungu tuepushe

  • @suitstv5889
    @suitstv5889 3 года назад

    Mungu tuhurumie sisi waja wako

  • @mambosasatv9717
    @mambosasatv9717 3 года назад +2

    Me nadhani dawa za kuulia wadudu mashambn pia Ni chanzo

  • @chikujumat.v1308
    @chikujumat.v1308 3 года назад

    Mungu tunusuru ,mayb Ebola maanake imeanza tena Congo😭

  • @najmaomary665
    @najmaomary665 3 года назад

    Mungu amsaidie jamani

  • @jonaspatrick2871
    @jonaspatrick2871 3 года назад

    Cha kuangalia ni Maji kwanza labda ni sumu au yana bacteria fulani ambao wanaleta hayo matatizo, maji kwenye yanatumika na watu wengi.

  • @zainabmohammed1305
    @zainabmohammed1305 3 года назад +6

    Subhana Allah😭😭

    • @asteriambwei3349
      @asteriambwei3349 3 года назад

      We mungu Baba turehemu tusamehe dhambi ambayo hatujaijua tusamehe Baba tunaomba rehema samehe taifa hili la tanzania

  • @verdianabanabi5943
    @verdianabanabi5943 3 года назад

    Tuendelee kumwomba mungu atupunguzie adhabu. Majanga yamezidi jamani.

  • @happysonrithe4884
    @happysonrithe4884 3 года назад +9

    HAYO MAJI YA KUNYWA YACHUNGUZWE HUWENDA YANASUMU

  • @Gwidohitila22
    @Gwidohitila22 3 года назад

    Ee Mungu tunaomba uturehem

  • @bahatischalwe2874
    @bahatischalwe2874 3 года назад

    Kwakwel utafiti ufanyike mapema wagonjwa wachunguzwe vizuri Tena watengwe na wazima huenda wakaambukizana, dah! huu ni mwisho wa dunia nin

  • @richardkaiza74
    @richardkaiza74 3 года назад

    Chunguzeni na viroba vya Konyagi, zingine wanazitoa hata kutoka Malawi. Na pombe za kienyeji ,uenda kuna vitu wanachanganyiwa kuongeza ukali. Hizo Pombe hazina vipimo lazima uchunguzi ufanyike. Na vyanzo via maji pia.

  • @pendael02
    @pendael02 3 года назад +3

    Angalieni GMO na weed killer pamoja na usalama Kama wanapulizia mahindi wanavuta hewa ya dawa

  • @alhaddajmohammed4768
    @alhaddajmohammed4768 3 года назад +3

    Wapimwe Ngurue maana wakazi wa huko hwajambo kwa kufuga, kuuza na kula Nguruwe. Hivi mtu mpaka unakula nguruwe vitoweo vingine vimeisha?! Uchu ukizidi ni mtihan.

  • @salmaathuman9156
    @salmaathuman9156 3 года назад +11

    Ee mungu wangu 😭wametuletea ugonjwa mwingine tena kushinda corona ee mungu ibariki tanzania

  • @abasishabani1151
    @abasishabani1151 3 года назад

    Mmmmmmh tumekwisha

  • @saimonmatata9300
    @saimonmatata9300 3 года назад

    Mungu tuokoe

  • @naamohamed9964
    @naamohamed9964 3 года назад +2

    Mtihan

  • @husnamahadhi7437
    @husnamahadhi7437 3 года назад

    Au mbiga mboga zinaliwa imetoka kupigwa dawa, pombe hizo kijiji kizima?

  • @naomiamon6633
    @naomiamon6633 3 года назад

    Mwakaa huuu tutaona mengi kwakweli 😔😔😔

  • @yvonnemhadu3698
    @yvonnemhadu3698 3 года назад

    Week ilopita baba yangu alitoka tunduma Ila alipofika tu nyumban alikua hoi anatapika dam balaa Ila tunamshkuru Mungu asaiv hajambo🙏

  • @missamyner2955
    @missamyner2955 3 года назад

    Daaah ewe mwenyezimungu tunusuru nahaya maradhi

  • @ibnuqassim1614
    @ibnuqassim1614 3 года назад

    Rabbi salama

  • @muniraahmed624
    @muniraahmed624 3 года назад

    oooh me cry

  • @alhaddajmohammed4768
    @alhaddajmohammed4768 3 года назад +1

    Tatizo wana wa Adam tunajahau mno tunaikumbatia dunia wakti dunia ni mapito na starehe za muda!
    Maasi kila kukicha yamezidi ongezeka; riba, ushoga/riwati, kutembea uchi, pombe/ulevi, zinaa, kamali, uchawi/kurogana, mitume, manbii na masharifu wa uwongo kila kona.
    Wale wanaojinadi wanatowa huduma za maombezi na kufufua wafu wakowapi?!
    Tutumie vizuri akili zetu, tusirithishane kukariri uwongo wa Wapagani wa Antokia yukawacha imaan/dini ya haki na ya kweli tukaabudu viumbe!
    Tusome tupate kumwelewa na kumuabudu Mungu Mola Muumba (Mungu mmoja) pekee.
    Tuwaepuke walokuja na mpango mkakati (Wamissionary) lengo lao kuu aabudiwe shetani (freemasons), tunaiga mila na tamaduni zao na kusahu kuwa maovu tuyatendayo yanamchukiza Mungu Mola Muumba.
    Tunawaabudu viumbe na kumdharau Muimba!

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 2 года назад

    Maji machafu,vinywaji vikali nk

  • @jacobsafari700
    @jacobsafari700 3 года назад

    ist tansania vohen

  • @estereliasi924
    @estereliasi924 3 года назад

    Naona viongozi mnachuklia simpo tu wakati wa2 wanakufa apo maji inayokumbwa n ya mto zila na huo mto una maplant mengi ko muangalie Dana kuhusu hilo

  • @appie1276
    @appie1276 3 года назад

    Eeeeeh Mungu inusuru Tanzania🤲🤲🤲🤲🛐🛐🙏🙏

  • @houseofjudah7470
    @houseofjudah7470 3 года назад

    NI TATIZO LA MUDA MREFU, TUACHIE WATAALAMU WA EPIDERMIOLOGIA WATATOA MAJIBU

  • @deborahgervas4330
    @deborahgervas4330 3 года назад

    Tutubu ufalme wa Mungu umekaribiaa

  • @afmabeat9567
    @afmabeat9567 3 года назад

    Tunaomba mwongozo tafadhali. Na huu nao tujifukize?

  • @pendael02
    @pendael02 3 года назад +3

    Angalieni maji wanayotumia

  • @kashambaadfouce1593
    @kashambaadfouce1593 3 года назад

    dar jamani

  • @rosemrimbo4644
    @rosemrimbo4644 Год назад

    Sio mbeya tu hata morogoro