Ndioo kweli Eliza alikosea Ila makosa haya yapo sana Sana Kwa Wana ndoa wengi na nitatizo kubwa mno mno maana kama kuna kitu chakuheshimika katika maisha ya ndoa ni heshima na majukumu ya ndoa yenyewe haswa Kwa upande watendo la ndoa lenyewe maana hapa ndipo penye mitihani mkubwa maana manunguniko yatakuwepo na mabadiliko yakosekane kitakacho fuata hapo baada ya uzalendo kumshida mlalamishi matokeo yake ni usaliti ,mwisho tendo lile likiwa halimridhishi mmoja wapo wa wanandoa shida na usaliti zinakuwa rafiki wa ndoa ille na mwisho wake matokeo yake ndio nimakubwa na yenye kuisababisha hasara na pia kuacha maumivu mengi Kwa wanafamilia na jamii pia na hata hasara Kwa nchi maana matokeo yake hayatatamanika kabisaa Ila kama wanandoa wangezipatia shughuli ,kazi, majukumu nafasi na mda wake mzurii wakutosha Ili pia kuzipatia ndoa nafasi nzuri na mda mzuri tuu wakutosha sioni kama usaliti ungepatikana katika ndoa nyingi maana ukiona maamuzi haya hayakuwa rahisi maana kama huyu Eliza hizj tabia alikuwa nazo tangu mwanzo tungesema zilikuwa ndizo tabia zake Ila pale alipo fanyiwa kilekitendo cha kutumiwa bila rubusa yake na huyo rafikie hapo ndipo alianza kuupima uwezo wake huyu daktari na mmewe na kuona kuwa hatamwacha mmewe Ila atakuwa na Yule rafikiye Ili kumpunguzia shida zake mwenyewe maana mmewe hamwezi Ila hakujuwa kama matokeo ama hasara itakayo zaliwa pale itakuwa vipi na ukubwa wake utagharimu nini katika hatima ya maisha ya wote watu na hili kosa sio la Eliza tuu lipo kote duniani maana waume wengi hawana mda na wake zao na haya ndio matokeo yake sisemi eti hakuna wanawake wenye kuwa na ubanifu wa Mda Kwa waume wao wapo Sana haswa wafanyi biasha za kutoka sehemu mbali na nyumbani kwao na kutumia siku nyingi pia walio waajiriwa maofisini mtu anatoka asubuhi akirudi hata hawezi lo lote eti amechoka hata pia majukumu ya watoto na majukumu yake kama mama wenye nyumba na waumee wao pia na kuwapa house girls na hapo ndipo utakuta house girl kama yeye akishawishiwa na kukubaliana na boss wakiume unakuta anakuwa mama watoto na mama watoto anabakia kuwa mgeni wanyumba yake mwishowe kilio Kwa mama na Baba mwenye nyumba baada ya mambo kuharibika mwishowe talaka Kwa wingi .wanandoa wangalie wanakofeli Ili kuziokoa na kuzijenga ndoa zao vyema Ila bila hivyo singles mother's hawatapunguwa na wanaume kuoa Leo nakesho
Jamani!! Duh! I'm no.1 thanks Smix kwa kibao chengine ndani ya nyumba 🙏🏻
Jmn mimi naomba impindiselo plz😥pia naomba kujuwa jogoo poll kaenda wapi na bwana edgar mbogo plz wako wapi
Yan wanaake ni 🔥🤭😂🤣🤣
🤷😢
Huyu mwanamke kwa kweli ni pumbavu sana😮😅 yaani anaudhi
Hasira hasara samusoni arifanyiwa unyama mubaya sana kagauzwa fara kwahio Allah mwenyewe tunashukur kwamafunzo wenye kucepuka mazahara niao
Hivi ni kweli kwa msemo usemwao mke mwema si sura Wala umbo bali ni tabia tu
Ndioo kweli Eliza alikosea Ila makosa haya yapo sana Sana Kwa Wana ndoa wengi na nitatizo kubwa mno mno maana kama kuna kitu chakuheshimika katika maisha ya ndoa ni heshima na majukumu ya ndoa yenyewe haswa Kwa upande watendo la ndoa lenyewe maana hapa ndipo penye mitihani mkubwa maana manunguniko yatakuwepo na mabadiliko yakosekane kitakacho fuata hapo baada ya uzalendo kumshida mlalamishi matokeo yake ni usaliti ,mwisho tendo lile likiwa halimridhishi mmoja wapo wa wanandoa shida na usaliti zinakuwa rafiki wa ndoa ille na mwisho wake matokeo yake ndio nimakubwa na yenye kuisababisha hasara na pia kuacha maumivu mengi Kwa wanafamilia na jamii pia na hata hasara Kwa nchi maana matokeo yake hayatatamanika kabisaa Ila kama wanandoa wangezipatia shughuli ,kazi, majukumu nafasi na mda wake mzurii wakutosha Ili pia kuzipatia ndoa nafasi nzuri na mda mzuri tuu wakutosha sioni kama usaliti ungepatikana katika ndoa nyingi maana ukiona maamuzi haya hayakuwa rahisi maana kama huyu Eliza hizj tabia alikuwa nazo tangu mwanzo tungesema zilikuwa ndizo tabia zake Ila pale alipo fanyiwa kilekitendo cha kutumiwa bila rubusa yake na huyo rafikie hapo ndipo alianza kuupima uwezo wake huyu daktari na mmewe na kuona kuwa hatamwacha mmewe Ila atakuwa na Yule rafikiye Ili kumpunguzia shida zake mwenyewe maana mmewe hamwezi Ila hakujuwa kama matokeo ama hasara itakayo zaliwa pale itakuwa vipi na ukubwa wake utagharimu nini katika hatima ya maisha ya wote watu na hili kosa sio la Eliza tuu lipo kote duniani maana waume wengi hawana mda na wake zao na haya ndio matokeo yake sisemi eti hakuna wanawake wenye kuwa na ubanifu wa Mda Kwa waume wao wapo Sana haswa wafanyi biasha za kutoka sehemu mbali na nyumbani kwao na kutumia siku nyingi pia walio waajiriwa maofisini mtu anatoka asubuhi akirudi hata hawezi lo lote eti amechoka hata pia majukumu ya watoto na majukumu yake kama mama wenye nyumba na waumee wao pia na kuwapa house girls na hapo ndipo utakuta house girl kama yeye akishawishiwa na kukubaliana na boss wakiume unakuta anakuwa mama watoto na mama watoto anabakia kuwa mgeni wanyumba yake mwishowe kilio Kwa mama na Baba mwenye nyumba baada ya mambo kuharibika mwishowe talaka Kwa wingi .wanandoa wangalie wanakofeli Ili kuziokoa na kuzijenga ndoa zao vyema Ila bila hivyo singles mother's hawatapunguwa na wanaume kuoa Leo nakesho
Napenda kuzikiza simulizi
Wanawake jamani Erizabeti utauona mwoto😭😭😭😭😭😭😭
Asante dada Vicky na Simulizi mix Kwa ujumla. 🥰🥰🥰🥰
Nimekuwa wa pili😊
SmixApp mnajua san aixe
😍😍😍😍