Ip MAN umetisha sana asee big up mazee mmewakilisha vyema sana.. zombie rasta umeuwa sana sana umenikumbusha crazy monkey wa wrath of vajra movie ya shi yanneng k29... 🔥 🔥
Aiseee nmeziona Volley boxes za mtaalamu Don yen duuh mkimtumia Don yen hiyo wenda ikawa shavu kwenu. Mmeupiga mwingi sana action bomba kinyama yaani unyama mwingi. Naikumbuka IP man 3 hahhahah
Kuna watu wanajua kukosoa tu...ivi mnajua shida wanazotumia kufanya kitu Kama hiki... saw copy ila tunaitaji kuwatengeneza wabongo kuwa tunaweza IP MAN umeua
Wafanya vizuri, ila Action yao na story ipo tofauti kabisa na kile walicho kicheza humu ndani, story imeenda kivyake, na action ipo kivyake ni kama vile tumeonyeshwa movie mbili kwa wakati mmoja. Kuna vitu vingi vya kuvifanya kazi humu ndani.
Umejitahidi some how Kuna blocking za wing chung basically lakin footsteps mbovu inahitaji training kazana kujifunza form zote uzijue then ndio ushoot movie
Hahahahahahahahahaha, duh kumbe hata bongo tunaziweza. IP MAN bado unakitu cha kufanya zaidi ya hapo. Kuna ngumi nyepesi sana unaziruhusu kukufikia. Kuvaa uhusika wa mtu mwingine ni kazi sana, hongera lkn imejitahidi sana.
Mumejaribu inaonesha mtaweza ila ktk swala la makeup bado,na pia action part bado pia mnafanya action sehem moja huo ni udhaifu film inakua haina mvuto angalieni movi z kizungu zinavokua.ila mnaonesha kuelekeza
Unajua gaharama ya hivyo vitu au una ongea tu, wacha wacheze hizhzi za bei nafuu wakipata pesa watafanya hizo makeup na location vina gaharama kubwa sana.
Mmejitahidi sana MUNGU awabariki muongeze Ubunifu zaid mtafika mbali mi nawaombea
Ip MAN umetisha sana asee big up mazee mmewakilisha vyema sana.. zombie rasta umeuwa sana sana umenikumbusha crazy monkey wa wrath of vajra movie ya shi yanneng k29... 🔥 🔥
Mmetisha sana, keep moving 🔥🔥🔥
Mmetixha mkifa amuozi mnapoa tu cz xio pw balaa la umu ndani big up tz
Nzitii😊😊😊
From 254,nmekubali kazi yenu jamaa
Need a translated into
254 nakubali nice movie TZ mnaweza
Kazi nzuri sana🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Nice fight scenes for a low budget movie ...Good choreographers 👍. I wish it was translated in English. Commenting from Nigeria🇳🇬
thanks
good Job wazeee... Zombie rasta ni Kwereeee... IP Man amevaa uhalisia
Hatari sana mnajua
Sawia sana mmefanya vizuri
Kazi safi😂😂sana
Mimi nadai sehemu ya pili
Aiseee nmeziona Volley boxes za mtaalamu Don yen duuh mkimtumia Don yen hiyo wenda ikawa shavu kwenu. Mmeupiga mwingi sana action bomba kinyama yaani unyama mwingi. Naikumbuka IP man 3 hahhahah
Kereeen
Aku suka😂😂
Actuon mzuri sana, lakin story sio mzuri
Hi! A like the way you do, am from Rwanda and am actor in action movie,I would like to join you if possible.TZD on top❤❤
Kali sana 🔥🔥
Diuuh wabongo mmenishinda tabia eee😆😆😆😆
LA PELICULA ES MUY BUENA CON TODO RESPETO ME QUEDO CON LA ORIGINAL DE IP MAN WING CHUN
Anafanana na Donnie yen😂 na wing chun iko sawa. Amazing
very impressive soon mtakuwa Hollywood
sempoi & terbaik
Two paf 🚭🚭 from +243 iyi kazi ni kali manze mmejitaidi saaana tanaitaji nyingine zaidi minishabiki wenyu from☝☝
Napenda duhh!!
Kuna watu wanajua kukosoa tu...ivi mnajua shida wanazotumia kufanya kitu Kama hiki... saw copy ila tunaitaji kuwatengeneza wabongo kuwa tunaweza
IP MAN umeua
0mulimu omulunge
Good job ip man wa tz 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Jaman nımependa sana hııı km kwel❤❤
Motoo haha
Huyu anajua wingchu mwogope anaweza 😂😂😂
Nakubali 😮
Movie kali ila sema kitu kimoja mkikabiziwa vifaa HD 4k qwerty mnaweza mkafanya makubwa sana
Kazi nzuri sana mazee ila siku nyingine msitumie saundtrack Za online sina copyright 😢😢 nmawapa watu faida za bure
Kazi nzuri mjo ila ninahitaji mawasiliano yenu tuonge vyema
Safi Ip man wa Tz🇹🇿 kama mwenyewe
Msipotesana ndugu zangu nakubari kazi zenu
ebanae mmetisha nataman san kufanya kazi kam hiz
Bruh metisha sana
From Côte d'Ivoire i follow!
Mais il manque d'originalité !
ribot
Ila mungu anawaona IP MAN 😂😂😂😂😂😂dahhhh
😅😅😅😅😂😂😂😂
Sheheeh wa msikiti Ni ip man😅
Nice work done. keep it up
I have a movie of my own can you guys help me out
❤❤❤kazi nzuri sana
Babu upo sawa ila ongeza juhudi tanzania nayo itajike zaidi kuwa inavipaji ila naomba namba yako nataka nikutafute
Good Job Tanzanian
Noma na nusu 😂 from congo 🇨🇩
Mashaallah IP man 💪
Bhsa ap itu mereka ya
Mmejitahidy😂😂
legal ip man da África
Version française 🇲🇱
❤❤❤🎉🎉🎉 Nice Action
Nimeikubali Sana.
❤️❤️❤️❤️
Tatzo movie mmeifanya kbongo bongo sana
Tisha xna
Ila mi sijapenda alivyokuwa anapigana bila Joo lake😂
Noma sana
Mike Tyson Vs Donnie yen
Duuu Zombie marasta Yuko poa🤣
Kusoligwa😁😁😁
Hahahaha..ume TUsi weye.. jamaaa...
Movie ikosawa lakini sauti ndo ikochini sana
Saf sana nawa kubali
Nimeipenda movie yenu jmn hongera
Inaitwaje mkuu?
Nice movie
Wafanya vizuri, ila Action yao na story ipo tofauti kabisa na kile walicho kicheza humu ndani, story imeenda kivyake, na action ipo kivyake ni kama vile tumeonyeshwa movie mbili kwa wakati mmoja. Kuna vitu vingi vya kuvifanya kazi humu ndani.
apeman
not ipman
Excellente présentation bravo
Good job
Thanks
اسم الفيلم
👊🏾😎👍🏼
duh kumbe kuna vitu vitamu huku alafu hamsemi😊
Love improvement of kung fu Tz
Ip man he's really fantastic
Daah huyu ipi man😅
Kazi pendwa king media
Lete mzigo huo
Umejitahidi some how Kuna blocking za wing chung basically lakin footsteps mbovu inahitaji training kazana kujifunza form zote uzijue then ndio ushoot movie
Da Iko p San Ongeren
Rasi zombie hatar
j,adore ses films excellents
Hii nchii uru umezidi ngumi gani izo kama unapigakiroba😂😂😂
Tanzania noma abarikiwe Kwa kipaji ya vijana
level
Better than expected
thanks
Hii mashine 👊👊👊
😂😂😂😂 hiyo hodi imeharibu kila kitu nilitamani nione mtu atolewe kijiji na kidevu
Mmekwama shambani bila vtendea kaz?
Hahahahahahahahahaha, duh kumbe hata bongo tunaziweza. IP MAN bado unakitu cha kufanya zaidi ya hapo. Kuna ngumi nyepesi sana unaziruhusu kukufikia. Kuvaa uhusika wa mtu mwingine ni kazi sana, hongera lkn imejitahidi sana.
Yes ni tamu sana aise mchawi location tu hapo
😢😢😢😢 weeee zombies bnazikuwa rahisi lkn Iko poa 49:09 49:10 49:11 49:11 49:15 49:15 49:15
Mumejaribu inaonesha mtaweza ila ktk swala la makeup bado,na pia action part bado pia mnafanya action sehem moja huo ni udhaifu film inakua haina mvuto angalieni movi z kizungu zinavokua.ila mnaonesha kuelekeza
Unajua gaharama ya hivyo vitu au una ongea tu, wacha wacheze hizhzi za bei nafuu wakipata pesa watafanya hizo makeup na location vina gaharama kubwa sana.
😎😎
❤
Duh on 🔥
Huyu zombie Rasta man hajacheza movie kweli???
Hilo tukio la kwanza mme kopi kabisa
💯🇹🇿
hi nchi 😁😁😁😁😁😂😂😂
Kwani hii movie ilianzaje na inastory gani mbona sielewi
Story imekaa hovyo atuelewi mjomba mjini imekuwaje