News:Shajara ya Kibaki
HTML-код
- Опубликовано: 17 окт 2024
- Kwa miaka miwili alikuwa akiandika katika mchanga, manaake alikuwa hana kitabu wala kalamu. Na wengi hawakubaini kwamba kijana huyo kutoka eneo la Gatuyaini, Othaya ambaye alifanikiwa kupelekwa shule kwa sababu alikuwa kitinda mimba katika familia yake- atatawala Kenya kwa miaka kumi. Shajara ya rais Kibaki ina mengi, lakini sio mengi katika ujana wake wanayafahamu wakenya. Na ili kufahamu mengi zaidi kuhusu huyu Emilio Mwai Kibaki, Carol Nderi alizuru eneo la Gatuyaini na kukutana na ndugu zake rais Mwai Kibaki,dadake Esther Waitherero na kakake Benard Ndiritu Kibaki
Watch KTN Streaming LIVE from Kenya 24/7 on www.ktnkenya.tv
may God do a miracle and touch the hearts of well wishes do something good for this Cucu. its is good to lift members of the family
Haki this is shameful,after serving the government for around 50 years, your family, your own blood live in such a state.This is a real economist.
aki !
This is so shameful to him,,,charity begins at home,,I can't blve his sister leaving in such house ,,,Aibu sana tena sana ,,,
This man hako na roo ngumu
Very unique family. Humble humility and down to earth family. It's a one in a million family.
Wacha niwache comment hapa that will be read in future.
He was a great president lakini angesaidia familia bana
May he rip
What's the point of being a Minister, VP and finally President of Kenya, amass KSh 150 Billion wealth and die without putting a smile on his siblings faces. Look at the way they are living in abject poverty! Surely this is immoral.
Every individual must fight their own fight
Kibaki fulfilled the saying " mtegemea cha nduguye hufa maskini" watu wasiregerege watu wafanye kazi 🤣🤣 Hata hivyo, you are too mean prezzo. Even your own blood, a big shame.
So shameful
The Bible says you should help your family. Hapo alianguka. But many people when blessed they forget the siblings. God forbid
I can't believe kibakis elder sister lives in such a house 😭😭😭
Sad
SHAME so sad
Don't judge Kibaki or his sister. Most of these elderly people are content with what they have.
A big shame haki hii kenya yetu sijui
People are different! Armed with my 70K payslip, atleast I'm building a house for my mom. A whole President! Sad!
Mtegemea cha nduguye ufa masikini.pray 4 good health, n peace. Amelaniwa anaye mtazamia binadamu. Evn so they're not complng.
Oh is good help your family
Wenye tumetoka group Kenya pitieni hapa
Turudi sasa tushaona
That was Toooooooo bad of him just cried for the sister and his brother they look more poor Woi wish Jimmy and other kibaki's children could help their families.There will be no blessings when this people are sad.They paved away for their father to go to school so what did they gain?
Jimmy do something, this bad ...shameful being in government.. half.century
Kibaki bb alimdanganya
Hta kma mbona hakumdanga kwa ktofanya kaz Othaya
Good, God's doing humble beginnings raise great leaders. Glory to God
When I first watched this clip i judged Kibaki wrong i was pissed and thought he was a mean person but i was wrong....families are complicated people now i know...by the way where did this reporter go? She was gifted reporting in both Swahili and English
I thought too,,kumbe my thoughts were wrong
It's a shame I love kibaki,he failed terribly. Family comes first
Watu wangu please please ukiomoka usisahau jamii yako
Woooooooooh. WOOOI. !!!!!! KABA. HE. NGAI. WOY. KWELIII. !!!
Uhuru ameinua watu wao
HII NI AIBU KUBWA.CHARITY START AT HOME.USIPOJALI NDUGUZO WA DAMU WAKATI MUNGU AMEKUPA NAFASI NI LAANA.SHAME ON HIM
We hve lost a great son of kenya and africa at large trully speaking he should be ragarded as hustler 001 alitoka mbali kuwa prezzzzo na sio prezo bt the best we hve ever had
What can say , he knows the reason, anyway its better that life they're living if its peaceful than mansions of stress
Kama walisomeshwa kibaki was expecting his family to upgrade themselves...apo anasema wanakula pole... Kuna key...
I personally nimeenda urabuni Kwa miaka I tried my best to help my family lakini bure tu u give them money to upgrade themselves wanakula mpaka zangu.... Familia ni nzito Sana at tyms...
Kila mtegemeae binadamu amelaaniwa Bt am sure Kuna wenye they made good use of kibaki na wako mbele
Kama nan sasa kando na watoto wke?
@@eliudoginia7720 watch that video vizuri...amesomesha huyo kijana wa sistake ameshasema...
@@missnellytv2149 He was about to say though he didn't say he did.
Usichoke kusaidia watu wenu..hutaishiwa
Ata kama angewanjengea nyumba hawangembomoa mbali na kuwapea pesa
Aaaiii siwezi Kaa hivo mtu wetu akiwa president...kukka ni Karen ama runda kikula ni intercon na kuoga ni sun n sand msa.
Gari ni ikitoka nko nayo,watoto wasomee st.marys.
Heheeee easier said bro..
Very very humbled family, a good example to others.
😭😭Kweli
OH GOD IS ABLE
So sad jamaa alisahau familia yake hakuweza hata kuwajengea nyumba ya maana bure kabisa
Imagn,,,actually it's so shameful to him ,
LUCY NDIYE ALIPIGA MALI YA KIBAKI
Fare thee well Mwarì wa Maitù
Rst in pease and shem on yu kibake
Haki kibaki ulifanya vibaya sana. unge jengea watu wenu nyumba unge walinda wakae maisha ya kifahari. Ona hiyo aibu dunia mzima ina ona kwa dadako na nduguyo oh baba si unge guzwa tu utende mema vile dadako alikutendea?
OMG this is unbelievable and only God knows why 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭 let's mind our own business 🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Hakuna vle utasaidia mtu wa nje na jamaa zako wanateseka,,no blessing hapo ata useme nn
This is where Moi did better
I will forever thank moi for building his entire home
Lkn hakjukumika kbsa kwa familia ya kwke
Love Kibaki. Watu wafanye kazi sio kutegemea wengine.
Utu muhimu bro
Bure kabsa wewe
kibaki was serving othaya people and Kenyans people as whole.stop criticism.he was the best Head of state.an iconic leader.
This is bullshit
Kibaki's left family should do something to Kibaki's sisy Thier gland . It samefull even in the eyes of God.
This is not African.The african philosophy of existence revolves around -I am because we are, therefore i'm. kibakis seems to be different.Its apparent his is 'I am because i am'.Honestly Mr kibaki should have made an attempt of breaking the apparent poverty circle within the family.This is a big shame.I should not have voted for this guy any given time.
This is where Kibaki failed!
You are right bro. 30yrs in Government mp plus President of the republic you can't even build a house your sisters and brother
Kabisa
Yes kila mtu afanye kazi asitegemee mtu
Unbelievable
only his salary for one month could make his family rich
Imagine..ajinyime one month
Half of it dya ,,this is so shameful
Don’t judge!
Ndanangenia mwena wa family
Me too no good
I would buy the kiondo carol where can I get where she sells her Wear.
haibu kubwa sana,ndugu za tumbo moja?kuna haja gani kusaidia wengine na unatupa jamaa zako,,asante KTN na Carol nderi kwa kufichua hypocrasy ya ajabu
christian wambuku amen
Nimestajabika sana, siamini aii ata kuwachagia Lifestyle tu kidogo, angalau wafulahie, jameni!
Madness
So sad. .ndio maana ata kifo chake hakina huzuni sana kama ya wengine..aibu sana
He lived his full life at 90
alafu mbna family ina ka maskini
Kusema ukweli mbele ya mwenyezi mungu kibaki haku saidia watu wake bure kabisa
Live kibaki to rest in peace guys....ukisaidia watu wenu ...umeiba...usipowasaidia ....you don't care......you can't satisfy
peoples expections....he deserves sainthood...
Eeeeeexactly
I don't know why iam surprised
I will tell you hatuamini macho zetu haki, the Bible says, Tha niigatoria ciira wa Ngai uria utaiguanagira Tha, Onake ndakaiguirwo.
Aibu Aibu kubwa sana mr kibaki jengea hii familia yako nyumba
You'll never know what they did to him. Maybe they left him with trauma, lifetime.
Mtegemea Cha nduguye hufa maskini🤪
Kweli undugu ni kufaana siyokufanana
😅😅😅
Ama kweli hakuna aliye zaliwa akijua ya kesho no mungu tu
At least angekumbuka they sacrifice d for him to go to school but world is hard let him rest where God sees ana fit
Surely hio ni nini.ni vibaya sana mtu akiwa president na sister yake anateseka huko ushago.
Bad. Honestly bad.
😭😭😭😭
Wala msishangae life is like that. This prominent pple dont help their families. Hav really been touchd by the lite of retired prezo kibaki.
Jehovah can't believe uwa own blood ,and Obama all the way frm kenya come to see his own distance relative its shameful, ni kama hata sabuni hawana, and that why I teach my kids to b brothers keep.jehovah hata hao watoto wa kibaki they can't stand with their uncles and aunties,sasa he will b buried with what great shame.
1st,.Mzee Kibaki believed in hardwork & self reliance,.no need for handouts..2nd, He wasn't greedy (Thief) to use public resources to benefits his immediate family like rest of politicians, 3rd We African we need to reset our beliefs & culture,... whatever you parents or siblings possess it's not your entitlement to inherit them or given .Work on own way up!!..
Absolutely . i agree .Africans need to wake up and get away from some of the retrogressive beliefs ad culture .
Lemme leave a comment here that will be read in future.
I know people will flood here when his time to rest with angles comes. Anyway LONG LIVE KIBAKI
And it has come. May he rest well
mkunwa
And hear we are?
Am here✋
Tumekuja kumzika
Kwa blood yke bure kbsa
kila kitu huanziya nyumbani na hakuna kuwasaidia watu wa nje kabla ya ndani no blessing laana tupu retired president kibaki.
Lakini jameni hiyo ni nyumba ya sister ya president ,wakikuyu tuko na shinda
People castigating Kibaki here ....Tenda wema nenda zako
Very sad to see them like this yet someone from his family is rich n can help them lakini relatives au mandugu dont help each other ni jambo la kawaida kenya we r used to them only God can help us be someone
Kibaki may have left an unmatched legacy bt he did wrong in this part... anyways no one is perfect n that's the bottom line
No just call a spade,a spade
@@eliudoginia7720 what exactly are you Insinuating by that saying..I didn't refuse that he made a mistake over that matter
Amekua kwa government over 35 years na hasaidii hadi watoto walizaliwa tumbo moja
Kuna sababu sio bure I heard Kuna story they are hiding
Sad indeed
Ok walimkosea ama nini?
Hta kma walmkosea
Guys r fighting coz of politicians , I f kibaki couldn't help his blood sisters !!!!!! Sasa mwenye hajui una exist?
Kibaki angenjengea watu wake tunýumba
I miss my former president
Bado anakula tobbaco
Bure kabisa
Other Families are Country Looters... 21 days bado hazijafika
Kibaki fulfield the prophecy of "mtegemea Cha nduguye hufa maskini"
Hakuna haha ee!
Huyu ni Lucy na wambui walifanya kibaki asahau Watoto wao
Really,kissing,hugging,caressing can sometimes make a man to go crazy and think that he owns the whole world and end up forgetting everything
U can't even build a hut for ua siblings we kibaki? Heh
Waaahhh kikuyus roho ngumu kama mawe ...Soo sad, hii kibaki ni bure kabisa.
Umejengea mamako
@@KevoMazziwa soo sad
Not only kikuyus..
This has nothing to do with Kikuyu's.its individual ukabila Mwingi ni ujinga
Haki kibaki bona hakusaidia family yake wako chini sana Uhuru aingilie awapatie kazi