News:Shajara ya Kibaki

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 17 окт 2024
  • Kwa miaka miwili alikuwa akiandika katika mchanga, manaake alikuwa hana kitabu wala kalamu. Na wengi hawakubaini kwamba kijana huyo kutoka eneo la Gatuyaini, Othaya ambaye alifanikiwa kupelekwa shule kwa sababu alikuwa kitinda mimba katika familia yake- atatawala Kenya kwa miaka kumi. Shajara ya rais Kibaki ina mengi, lakini sio mengi katika ujana wake wanayafahamu wakenya. Na ili kufahamu mengi zaidi kuhusu huyu Emilio Mwai Kibaki, Carol Nderi alizuru eneo la Gatuyaini na kukutana na ndugu zake rais Mwai Kibaki,dadake Esther Waitherero na kakake Benard Ndiritu Kibaki
    Watch KTN Streaming LIVE from Kenya 24/7 on www.ktnkenya.tv

Комментарии • 145

  • @marymungai4429
    @marymungai4429 3 года назад +9

    may God do a miracle and touch the hearts of well wishes do something good for this Cucu. its is good to lift members of the family

  • @amosoluoch9770
    @amosoluoch9770 2 года назад +19

    Haki this is shameful,after serving the government for around 50 years, your family, your own blood live in such a state.This is a real economist.

  • @esnathnyaboke3147
    @esnathnyaboke3147 2 года назад +12

    This is so shameful to him,,,charity begins at home,,I can't blve his sister leaving in such house ,,,Aibu sana tena sana ,,,

  • @davidgithiomi4071
    @davidgithiomi4071 4 года назад +9

    Very unique family. Humble humility and down to earth family. It's a one in a million family.

  • @alexmwaniki5747
    @alexmwaniki5747 3 года назад +6

    Wacha niwache comment hapa that will be read in future.
    He was a great president lakini angesaidia familia bana

  • @petermalaki5498
    @petermalaki5498 2 года назад +10

    What's the point of being a Minister, VP and finally President of Kenya, amass KSh 150 Billion wealth and die without putting a smile on his siblings faces. Look at the way they are living in abject poverty! Surely this is immoral.

    • @linpoetry8332
      @linpoetry8332 2 года назад

      Every individual must fight their own fight

  • @amosoluoch9770
    @amosoluoch9770 3 года назад +16

    Kibaki fulfilled the saying " mtegemea cha nduguye hufa maskini" watu wasiregerege watu wafanye kazi 🤣🤣 Hata hivyo, you are too mean prezzo. Even your own blood, a big shame.

  • @rosegathonimwangi7121
    @rosegathonimwangi7121 2 года назад +8

    The Bible says you should help your family. Hapo alianguka. But many people when blessed they forget the siblings. God forbid

  • @Malcolmkathurima
    @Malcolmkathurima 2 года назад +11

    I can't believe kibakis elder sister lives in such a house 😭😭😭

    • @georgekibet01
      @georgekibet01 2 года назад +1

      Sad

    • @halimawarfa435
      @halimawarfa435 2 года назад +2

      SHAME so sad

    • @linpoetry8332
      @linpoetry8332 2 года назад +3

      Don't judge Kibaki or his sister. Most of these elderly people are content with what they have.

    • @kensiele8447
      @kensiele8447 2 года назад +1

      A big shame haki hii kenya yetu sijui

  • @Syuu_jr
    @Syuu_jr 5 лет назад +12

    People are different! Armed with my 70K payslip, atleast I'm building a house for my mom. A whole President! Sad!

  • @kathambijanoh5247
    @kathambijanoh5247 11 лет назад +7

    Mtegemea cha nduguye ufa masikini.pray 4 good health, n peace. Amelaniwa anaye mtazamia binadamu. Evn so they're not complng.

  • @marykaranja1587
    @marykaranja1587 2 года назад +1

    Oh is good help your family

  • @naominyambura3665
    @naominyambura3665 5 лет назад +6

    Wenye tumetoka group Kenya pitieni hapa

  • @velmaomuyoma1449
    @velmaomuyoma1449 2 года назад +3

    That was Toooooooo bad of him just cried for the sister and his brother they look more poor Woi wish Jimmy and other kibaki's children could help their families.There will be no blessings when this people are sad.They paved away for their father to go to school so what did they gain?

    • @jackomondi848
      @jackomondi848 2 года назад

      Jimmy do something, this bad ...shameful being in government.. half.century

  • @mdalamgir-gu9hu
    @mdalamgir-gu9hu 3 года назад +4

    Kibaki bb alimdanganya

    • @eliudoginia7720
      @eliudoginia7720 2 года назад

      Hta kma mbona hakumdanga kwa ktofanya kaz Othaya

  • @annevilembwa4950
    @annevilembwa4950 2 года назад

    Good, God's doing humble beginnings raise great leaders. Glory to God

  • @muziki79
    @muziki79 4 года назад +5

    When I first watched this clip i judged Kibaki wrong i was pissed and thought he was a mean person but i was wrong....families are complicated people now i know...by the way where did this reporter go? She was gifted reporting in both Swahili and English

  • @melvinmugambi5701
    @melvinmugambi5701 2 года назад

    It's a shame I love kibaki,he failed terribly. Family comes first

  • @mufush
    @mufush 2 года назад +1

    Watu wangu please please ukiomoka usisahau jamii yako

  • @cristinanagelanagela9420
    @cristinanagelanagela9420 6 лет назад +1

    Woooooooooh. WOOOI. !!!!!! KABA. HE. NGAI. WOY. KWELIII. !!!

  • @metalyardhardware133
    @metalyardhardware133 2 года назад +1

    Uhuru ameinua watu wao

  • @happinessmwenda2773
    @happinessmwenda2773 2 года назад +5

    HII NI AIBU KUBWA.CHARITY START AT HOME.USIPOJALI NDUGUZO WA DAMU WAKATI MUNGU AMEKUPA NAFASI NI LAANA.SHAME ON HIM

  • @patrickgacheru8789
    @patrickgacheru8789 2 года назад +5

    We hve lost a great son of kenya and africa at large trully speaking he should be ragarded as hustler 001 alitoka mbali kuwa prezzzzo na sio prezo bt the best we hve ever had

  • @carolk5913
    @carolk5913 4 года назад +5

    What can say , he knows the reason, anyway its better that life they're living if its peaceful than mansions of stress

  • @missnellytv2149
    @missnellytv2149 2 года назад +3

    Kama walisomeshwa kibaki was expecting his family to upgrade themselves...apo anasema wanakula pole... Kuna key...
    I personally nimeenda urabuni Kwa miaka I tried my best to help my family lakini bure tu u give them money to upgrade themselves wanakula mpaka zangu.... Familia ni nzito Sana at tyms...
    Kila mtegemeae binadamu amelaaniwa Bt am sure Kuna wenye they made good use of kibaki na wako mbele

    • @eliudoginia7720
      @eliudoginia7720 2 года назад +1

      Kama nan sasa kando na watoto wke?

    • @missnellytv2149
      @missnellytv2149 2 года назад

      @@eliudoginia7720 watch that video vizuri...amesomesha huyo kijana wa sistake ameshasema...

    • @elishasturmisch2521
      @elishasturmisch2521 2 года назад

      @@missnellytv2149 He was about to say though he didn't say he did.

    • @evalinewandera3625
      @evalinewandera3625 2 года назад

      Usichoke kusaidia watu wenu..hutaishiwa

    • @beththetallest5729
      @beththetallest5729 2 года назад

      Ata kama angewanjengea nyumba hawangembomoa mbali na kuwapea pesa

  • @kamnayemukabete.4983
    @kamnayemukabete.4983 2 года назад +2

    Aaaiii siwezi Kaa hivo mtu wetu akiwa president...kukka ni Karen ama runda kikula ni intercon na kuoga ni sun n sand msa.
    Gari ni ikitoka nko nayo,watoto wasomee st.marys.

    • @timtimc2012
      @timtimc2012 2 года назад

      Heheeee easier said bro..

  • @onlygodcansave7443
    @onlygodcansave7443 2 года назад +3

    Very very humbled family, a good example to others.

  • @xelatech.1
    @xelatech.1 2 года назад

    😭😭Kweli

  • @marywangui2310
    @marywangui2310 8 лет назад +1

    OH GOD IS ABLE

  • @ahmedfarah3663
    @ahmedfarah3663 5 лет назад +13

    So sad jamaa alisahau familia yake hakuweza hata kuwajengea nyumba ya maana bure kabisa

  • @tonnie7079
    @tonnie7079 2 года назад

    Fare thee well Mwarì wa Maitù

  • @StarBoy-zy2tl
    @StarBoy-zy2tl 2 года назад +3

    Rst in pease and shem on yu kibake

  • @alhandroraj8009
    @alhandroraj8009 5 лет назад +5

    Haki kibaki ulifanya vibaya sana. unge jengea watu wenu nyumba unge walinda wakae maisha ya kifahari. Ona hiyo aibu dunia mzima ina ona kwa dadako na nduguyo oh baba si unge guzwa tu utende mema vile dadako alikutendea?

  • @wanguibundi4017
    @wanguibundi4017 2 года назад

    OMG this is unbelievable and only God knows why 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭 let's mind our own business 🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻

  • @eunicekanini9363
    @eunicekanini9363 2 года назад +3

    Hakuna vle utasaidia mtu wa nje na jamaa zako wanateseka,,no blessing hapo ata useme nn

  • @jamesandare230
    @jamesandare230 5 лет назад +4

    This is where Moi did better

  • @eliudoginia7720
    @eliudoginia7720 2 года назад +2

    Lkn hakjukumika kbsa kwa familia ya kwke

  • @johnnjenga4169
    @johnnjenga4169 5 лет назад +1

    Love Kibaki. Watu wafanye kazi sio kutegemea wengine.

  • @johnmbuvi5146
    @johnmbuvi5146 2 года назад +4

    kibaki was serving othaya people and Kenyans people as whole.stop criticism.he was the best Head of state.an iconic leader.

  • @geraldmaingi509
    @geraldmaingi509 2 года назад

    Kibaki's left family should do something to Kibaki's sisy Thier gland . It samefull even in the eyes of God.

  • @henrykariuki461
    @henrykariuki461 11 лет назад +7

    This is not African.The african philosophy of existence revolves around -I am because we are, therefore i'm. kibakis seems to be different.Its apparent his is 'I am because i am'.Honestly Mr kibaki should have made an attempt of breaking the apparent poverty circle within the family.This is a big shame.I should not have voted for this guy any given time.

  • @miltonm.muriungi203
    @miltonm.muriungi203 6 лет назад +11

    This is where Kibaki failed!

    • @douglasoranga5572
      @douglasoranga5572 2 года назад

      You are right bro. 30yrs in Government mp plus President of the republic you can't even build a house your sisters and brother

    • @phylliskamau2925
      @phylliskamau2925 2 года назад +1

      Kabisa

  • @mugobeatrice5397
    @mugobeatrice5397 2 года назад

    Yes kila mtu afanye kazi asitegemee mtu

  • @rosemaryoselu1230
    @rosemaryoselu1230 5 лет назад +3

    Unbelievable

  • @samuelnyaga3125
    @samuelnyaga3125 6 лет назад +5

    only his salary for one month could make his family rich

  • @nancyochieng4067
    @nancyochieng4067 2 года назад

    Don’t judge!

  • @rosegathonimwangi7121
    @rosegathonimwangi7121 2 года назад

    Ndanangenia mwena wa family

  • @janekibanya6058
    @janekibanya6058 2 года назад

    I would buy the kiondo carol where can I get where she sells her Wear.

  • @christianwambuku9891
    @christianwambuku9891 11 лет назад +4

    haibu kubwa sana,ndugu za tumbo moja?kuna haja gani kusaidia wengine na unatupa jamaa zako,,asante KTN na Carol nderi kwa kufichua hypocrasy ya ajabu

    • @rudibamps1226
      @rudibamps1226 7 лет назад

      christian wambuku amen

    • @janenganga9642
      @janenganga9642 2 года назад

      Nimestajabika sana, siamini aii ata kuwachagia Lifestyle tu kidogo, angalau wafulahie, jameni!

  • @meseltunes
    @meseltunes 2 года назад

    Madness

  • @beththetallest5729
    @beththetallest5729 2 года назад +1

    So sad. .ndio maana ata kifo chake hakina huzuni sana kama ya wengine..aibu sana

    • @timtimc2012
      @timtimc2012 2 года назад

      He lived his full life at 90

  • @husseinabdullah6518
    @husseinabdullah6518 2 года назад

    alafu mbna family ina ka maskini

  • @mauriceabiha674
    @mauriceabiha674 2 года назад +1

    Kusema ukweli mbele ya mwenyezi mungu kibaki haku saidia watu wake bure kabisa

  • @hadassahessie6868
    @hadassahessie6868 2 года назад +1

    Live kibaki to rest in peace guys....ukisaidia watu wenu ...umeiba...usipowasaidia ....you don't care......you can't satisfy
    peoples expections....he deserves sainthood...

  • @bonifacekorir4393
    @bonifacekorir4393 2 года назад +1

    I don't know why iam surprised

    • @janenganga9642
      @janenganga9642 2 года назад

      I will tell you hatuamini macho zetu haki, the Bible says, Tha niigatoria ciira wa Ngai uria utaiguanagira Tha, Onake ndakaiguirwo.

  • @janetkairu1950
    @janetkairu1950 11 лет назад +1

    Aibu Aibu kubwa sana mr kibaki jengea hii familia yako nyumba

    • @Missmucheche
      @Missmucheche 4 года назад

      You'll never know what they did to him. Maybe they left him with trauma, lifetime.

  • @jimlewisnjeru1100
    @jimlewisnjeru1100 2 года назад +2

    Mtegemea Cha nduguye hufa maskini🤪

  • @aminakasim1198
    @aminakasim1198 2 года назад +2

    Kweli undugu ni kufaana siyokufanana

  • @sofianelima8520
    @sofianelima8520 2 года назад

    Ama kweli hakuna aliye zaliwa akijua ya kesho no mungu tu

  • @estawanjero256
    @estawanjero256 2 года назад +1

    At least angekumbuka they sacrifice d for him to go to school but world is hard let him rest where God sees ana fit

  • @paulndiba8215
    @paulndiba8215 2 года назад

    Surely hio ni nini.ni vibaya sana mtu akiwa president na sister yake anateseka huko ushago.

  • @naomirutto351
    @naomirutto351 6 лет назад +1

    Bad. Honestly bad.

  • @joycenjoki3756
    @joycenjoki3756 2 года назад

    😭😭😭😭

  • @naomirutto351
    @naomirutto351 6 лет назад +3

    Wala msishangae life is like that. This prominent pple dont help their families. Hav really been touchd by the lite of retired prezo kibaki.

    • @rejinarejina7263
      @rejinarejina7263 2 года назад

      Jehovah can't believe uwa own blood ,and Obama all the way frm kenya come to see his own distance relative its shameful, ni kama hata sabuni hawana, and that why I teach my kids to b brothers keep.jehovah hata hao watoto wa kibaki they can't stand with their uncles and aunties,sasa he will b buried with what great shame.

  • @simtich2869
    @simtich2869 2 года назад

    1st,.Mzee Kibaki believed in hardwork & self reliance,.no need for handouts..2nd, He wasn't greedy (Thief) to use public resources to benefits his immediate family like rest of politicians, 3rd We African we need to reset our beliefs & culture,... whatever you parents or siblings possess it's not your entitlement to inherit them or given .Work on own way up!!..

    • @timtimc2012
      @timtimc2012 2 года назад

      Absolutely . i agree .Africans need to wake up and get away from some of the retrogressive beliefs ad culture .

  • @alexmwaniki5747
    @alexmwaniki5747 3 года назад +4

    Lemme leave a comment here that will be read in future.
    I know people will flood here when his time to rest with angles comes. Anyway LONG LIVE KIBAKI

  • @lawrencewachira4255
    @lawrencewachira4255 2 года назад

    Kwa blood yke bure kbsa

  • @zuhrahalima5987
    @zuhrahalima5987 8 лет назад +3

    kila kitu huanziya nyumbani na hakuna kuwasaidia watu wa nje kabla ya ndani no blessing laana tupu retired president kibaki.

    • @stacyiwe3606
      @stacyiwe3606 5 лет назад

      Lakini jameni hiyo ni nyumba ya sister ya president ,wakikuyu tuko na shinda

  • @timtimc2012
    @timtimc2012 2 года назад

    People castigating Kibaki here ....Tenda wema nenda zako

  • @kensiele8447
    @kensiele8447 2 года назад

    Very sad to see them like this yet someone from his family is rich n can help them lakini relatives au mandugu dont help each other ni jambo la kawaida kenya we r used to them only God can help us be someone

  • @filoh5146
    @filoh5146 2 года назад +4

    Kibaki may have left an unmatched legacy bt he did wrong in this part... anyways no one is perfect n that's the bottom line

    • @eliudoginia7720
      @eliudoginia7720 2 года назад

      No just call a spade,a spade

    • @filoh5146
      @filoh5146 2 года назад

      @@eliudoginia7720 what exactly are you Insinuating by that saying..I didn't refuse that he made a mistake over that matter

  • @isaacobwocha633
    @isaacobwocha633 4 года назад +3

    Amekua kwa government over 35 years na hasaidii hadi watoto walizaliwa tumbo moja

    • @ednakawira4413
      @ednakawira4413 2 года назад

      Kuna sababu sio bure I heard Kuna story they are hiding

    • @kensiele8447
      @kensiele8447 2 года назад

      Sad indeed

  • @xavierjerrynato2467
    @xavierjerrynato2467 11 лет назад +2

    Ok walimkosea ama nini?

  • @beatrice1093
    @beatrice1093 2 года назад

    Guys r fighting coz of politicians , I f kibaki couldn't help his blood sisters !!!!!! Sasa mwenye hajui una exist?

  • @lucynjoks7942
    @lucynjoks7942 2 года назад +1

    Kibaki angenjengea watu wake tunýumba

  • @blessdmum.7380
    @blessdmum.7380 6 лет назад +1

    I miss my former president

  • @gaboonviper9705
    @gaboonviper9705 5 лет назад

    Bado anakula tobbaco

  • @gracechege514
    @gracechege514 2 года назад

    Bure kabisa

  • @abdul-majidndegwa6607
    @abdul-majidndegwa6607 2 года назад

    Other Families are Country Looters... 21 days bado hazijafika

  • @peterkiruthu748
    @peterkiruthu748 2 года назад

    Kibaki fulfield the prophecy of "mtegemea Cha nduguye hufa maskini"

  • @fanueltarimo509
    @fanueltarimo509 3 года назад +1

    Hakuna haha ee!

  • @gracengari3547
    @gracengari3547 2 года назад +1

    Huyu ni Lucy na wambui walifanya kibaki asahau Watoto wao

    • @benson6704
      @benson6704 2 года назад

      Really,kissing,hugging,caressing can sometimes make a man to go crazy and think that he owns the whole world and end up forgetting everything

  • @najmataaj5181
    @najmataaj5181 5 лет назад +1

    U can't even build a hut for ua siblings we kibaki? Heh

  • @winniengesa9421
    @winniengesa9421 5 лет назад +1

    Waaahhh kikuyus roho ngumu kama mawe ...Soo sad, hii kibaki ni bure kabisa.