Mtangazaji nakushauli kwa jinsi ulivyo smart kiakili jitahidi kua smart hata kimuonekano leo ndio kwa mala ya kwanza namuona mtangazaji ambae kanyoa kiduku lakini kwa anavyo hoji ana hoji kiakili
Nash hata ukikutana nae na kuongea nae ni ka’ interview tu jamaa ka’ hashim dogo ma Mc wa kweli na wanaofata misingi ya HIP HOP utawajua hawapindishi wala kumung’unya maneno ka’ ni nyeus n nyeus na wala hawadiss diss wengine ili watrend Salut Nash Mc #HIP_HOP ‘s consious
Nash mc best mentor of all the time 🎶🎵🎹🎺💣
Kwa mala ya kwanza namuona zuzu..anafaanyiwia interview
Nash guevara
Huyu nash ndio kwanza leo namuona kwenye interview... sijutii kumfahamu🔥🔥🔥
Zuzu.
Mpalestina chizi
Hahaha
Safi sana Nash
Duuuu leo mwana kaonekanika media 💪💪
Sio siri mtangazaji huyu atafika mbali sanaaa,HONGERA SANA NASH EMCEE
Chafu moja respect for hipop mr king and king manking nas amc
Nash Mc is so real since day one. #respect
S
Wewe wakupe tu uprofessa wa Hip hop😎
Mjomba nash salute
Fact Nash
Mtangazaji nakushauli kwa jinsi ulivyo smart kiakili jitahidi kua smart hata kimuonekano leo ndio kwa mala ya kwanza namuona mtangazaji ambae kanyoa kiduku lakini kwa anavyo hoji ana hoji kiakili
Maarim nash
Presenter Big up
Facts
Namkubari sana uyo mwamba
Nash Mc ameonyesha jinsi alivyo na ufahamu wa kutosha kuhusu anachofanya, pia mtangazaji amejitahidi sana kuongoza mahojiano.
🔥🔥🔥
Kama unafanya hip hop na aumkubali huyu mwamba kafanye tu mambo mengine
Hahaha au vp e
HAHAHAHAH SAFIII
Mshkaji anajua maswali..kama ivo ndo inavotakiwa siyo mtangazaji unaoji maswali yasiyo na kichwa wala miguu
maalimu hyo mtangazaji anakusmbua naye ndo walewale uliowachana wanaua game au wenye maswali ya kiwaki
Fact
Mtangazaji uko Smart kichwani sana unauliza mambo yenye Tija
🔥🔥🔥🔥
NASHI MC MCHIZ ANAJUA KISHENZ
kaka nac sio utani %100
ZUZU namkubali sana huyu bwana ...
Ulamaa Nash, mtangazaji umekutana Mhariri🤣
Zuzu#maalimnashi
😂😂 konki liquid faya
HONGERA MWANANGU
Big up nash
NashMc Zuzu
Wanyooshe MC Nash
Nash hata ukikutana nae na kuongea nae ni ka’ interview tu jamaa ka’ hashim dogo ma Mc wa kweli na wanaofata misingi ya HIP HOP utawajua hawapindishi wala kumung’unya maneno ka’ ni nyeus n nyeus na wala hawadiss diss wengine ili watrend Salut Nash Mc #HIP_HOP ‘s consious
Nakubali Nash
Nash mc anaongea ukweli
Shout out to presenter
Mzuzu mkali wetu, wasomi tunakuelewa
Nash unaongea ukwel kabisaa yan
Haipewi nafasi kwa sababu ya ukweli uliomo ndani yake na ukweli bongo haukubalikubaliki pili hip hop ni shule na wabongo wengi hawana shule
Mtangazaji upo vizuri kaka utafika mbali sna
Eminem ndo aliyezidi mauzo wasanii wote sio tupac mzee uchebe..
2 PAC mpaka sasa record cell album haijavunjwa na alishakufa 23 yrs now
umeonekana Leo kwenye media
nash
Uko sahihi Nash mc
Kaka nash
Watu wanataka kukata mauno tuu💏👨❤️💋👨, hawataki consciousness from #Hiphop
Shujaa
✌
Nash mtu konk makini
Amani kwako mc zuzu, kwa love uliyoonesha kwa zizi
media za bongo zinatakiwa zibadilike ziache ubaguz
Haipewi nafasi kwa sababu ya ukweli uliomo ndani yake na ukweli bongo haukubalikubaliki pili hip hop ni shule na wabongo wengi hawana shule