NASH MC : GODZILLAH ALIKUA MKIMYA SANA/ NIKKI MBISHI ALIMWAMBIA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024

Комментарии • 62

  • @everesternest2489
    @everesternest2489 5 лет назад +6

    Nash mc best mentor of all the time 🎶🎵🎹🎺💣

  • @alphoncemnyambwa9720
    @alphoncemnyambwa9720 5 лет назад +14

    Kwa mala ya kwanza namuona zuzu..anafaanyiwia interview

  • @ramadhanmbunda5583
    @ramadhanmbunda5583 5 лет назад +8

    Nash guevara

  • @velaalberto7766
    @velaalberto7766 5 лет назад +9

    Huyu nash ndio kwanza leo namuona kwenye interview... sijutii kumfahamu🔥🔥🔥

  • @kibwamoko8767
    @kibwamoko8767 5 лет назад +8

    Zuzu.
    Mpalestina chizi
    Hahaha
    Safi sana Nash

  • @jamesmushi2552
    @jamesmushi2552 5 лет назад +5

    Duuuu leo mwana kaonekanika media 💪💪

  • @homan_nkwama
    @homan_nkwama 5 лет назад +12

    Sio siri mtangazaji huyu atafika mbali sanaaa,HONGERA SANA NASH EMCEE

  • @ratifahabibu7003
    @ratifahabibu7003 5 лет назад +4

    Chafu moja respect for hipop mr king and king manking nas amc

  • @jumachillo
    @jumachillo 5 лет назад +5

    Nash Mc is so real since day one. #respect

  • @johnsonmarick45
    @johnsonmarick45 5 лет назад +10

    Wewe wakupe tu uprofessa wa Hip hop😎

  • @shabanomary6958
    @shabanomary6958 5 лет назад +6

    Mjomba nash salute

  • @kastorymalila1109
    @kastorymalila1109 5 лет назад +10

    Fact Nash

  • @dicksonkeneth6162
    @dicksonkeneth6162 5 лет назад +14

    Mtangazaji nakushauli kwa jinsi ulivyo smart kiakili jitahidi kua smart hata kimuonekano leo ndio kwa mala ya kwanza namuona mtangazaji ambae kanyoa kiduku lakini kwa anavyo hoji ana hoji kiakili

  • @ibrahimsangondo7914
    @ibrahimsangondo7914 5 лет назад +5

    Maarim nash

  • @aloysfussi3900
    @aloysfussi3900 3 года назад +2

    Presenter Big up

  • @nyotamy3678
    @nyotamy3678 5 лет назад +5

    Facts

  • @nicksonpesha4439
    @nicksonpesha4439 5 лет назад +6

    Namkubari sana uyo mwamba

  • @joshmangi
    @joshmangi 5 лет назад +5

    Nash Mc ameonyesha jinsi alivyo na ufahamu wa kutosha kuhusu anachofanya, pia mtangazaji amejitahidi sana kuongoza mahojiano.

  • @isackahmed2563
    @isackahmed2563 2 года назад +1

    🔥🔥🔥

  • @agun_machine
    @agun_machine 5 лет назад +27

    Kama unafanya hip hop na aumkubali huyu mwamba kafanye tu mambo mengine

  • @makantaafrika
    @makantaafrika 5 лет назад +7

    HAHAHAHAH SAFIII

  • @primitivetv7008
    @primitivetv7008 5 лет назад +9

    Mshkaji anajua maswali..kama ivo ndo inavotakiwa siyo mtangazaji unaoji maswali yasiyo na kichwa wala miguu

  • @edwardcharles1066
    @edwardcharles1066 5 лет назад +4

    maalimu hyo mtangazaji anakusmbua naye ndo walewale uliowachana wanaua game au wenye maswali ya kiwaki

  • @tamimukombo3097
    @tamimukombo3097 5 лет назад +7

    Fact

  • @nathanaeljimmy5393
    @nathanaeljimmy5393 11 месяцев назад

    Mtangazaji uko Smart kichwani sana unauliza mambo yenye Tija

  • @pmt79
    @pmt79 5 лет назад +4

    🔥🔥🔥🔥

  • @moziidavchonchi3338
    @moziidavchonchi3338 5 лет назад +11

    NASHI MC MCHIZ ANAJUA KISHENZ

  • @poolboypoolboymanstrong8570
    @poolboypoolboymanstrong8570 5 лет назад +6

    kaka nac sio utani %100

  • @shadiluck9015
    @shadiluck9015 5 лет назад +4

    ZUZU namkubali sana huyu bwana ...

  • @mohamedmbuzu5524
    @mohamedmbuzu5524 5 лет назад +7

    Ulamaa Nash, mtangazaji umekutana Mhariri🤣

  • @kombozuberi3143
    @kombozuberi3143 5 лет назад +5

    Zuzu#maalimnashi

  • @jangajr6504
    @jangajr6504 5 лет назад +6

    😂😂 konki liquid faya

  • @raginauthor1881
    @raginauthor1881 5 лет назад +5

    HONGERA MWANANGU

  • @flolafaustine3791
    @flolafaustine3791 2 года назад +1

    NashMc Zuzu

  • @manwoka4078
    @manwoka4078 5 лет назад +5

    Wanyooshe MC Nash

  • @nasdogomaishagani9267
    @nasdogomaishagani9267 2 года назад +1

    Nash hata ukikutana nae na kuongea nae ni ka’ interview tu jamaa ka’ hashim dogo ma Mc wa kweli na wanaofata misingi ya HIP HOP utawajua hawapindishi wala kumung’unya maneno ka’ ni nyeus n nyeus na wala hawadiss diss wengine ili watrend Salut Nash Mc #HIP_HOP ‘s consious

  • @aloysfussi3900
    @aloysfussi3900 3 года назад +1

    Nakubali Nash

  • @mugadimon3563
    @mugadimon3563 5 лет назад +8

    Nash mc anaongea ukweli

  • @kaskaziniansgang1288
    @kaskaziniansgang1288 4 года назад +2

    Shout out to presenter

  • @kaskaziniansgang1288
    @kaskaziniansgang1288 4 года назад +2

    Mzuzu mkali wetu, wasomi tunakuelewa

  • @innowatamaduni9248
    @innowatamaduni9248 5 лет назад +8

    Nash unaongea ukwel kabisaa yan

  • @lazarokisenya5457
    @lazarokisenya5457 3 года назад +1

    Haipewi nafasi kwa sababu ya ukweli uliomo ndani yake na ukweli bongo haukubalikubaliki pili hip hop ni shule na wabongo wengi hawana shule

  • @Relis_talkswisdom.
    @Relis_talkswisdom. 5 лет назад

    Mtangazaji upo vizuri kaka utafika mbali sna

  • @brianmass-6038
    @brianmass-6038 5 лет назад +5

    Eminem ndo aliyezidi mauzo wasanii wote sio tupac mzee uchebe..

    • @mugadimon3563
      @mugadimon3563 5 лет назад

      2 PAC mpaka sasa record cell album haijavunjwa na alishakufa 23 yrs now

  • @deogratiusmathias2
    @deogratiusmathias2 5 лет назад +1

    umeonekana Leo kwenye media

  • @ibrahimkanuto3514
    @ibrahimkanuto3514 4 года назад +1

    nash

  • @neko9869
    @neko9869 5 лет назад +5

    Uko sahihi Nash mc

  • @seifsalim1349
    @seifsalim1349 4 года назад

    Kaka nash

  • @johnsonmarick45
    @johnsonmarick45 5 лет назад +1

    Watu wanataka kukata mauno tuu💏👨‍❤️‍💋‍👨, hawataki consciousness from #Hiphop

  • @abdulissakara5995
    @abdulissakara5995 4 года назад +1

    Shujaa

  • @abdulissakara5995
    @abdulissakara5995 4 года назад +1

  • @micochaznduki4275
    @micochaznduki4275 5 лет назад +3

    Nash mtu konk makini

  • @cosmasambrose3081
    @cosmasambrose3081 5 лет назад +1

    Amani kwako mc zuzu, kwa love uliyoonesha kwa zizi

  • @andrewkitaly6003
    @andrewkitaly6003 5 лет назад +1

    media za bongo zinatakiwa zibadilike ziache ubaguz

  • @lazarokisenya5457
    @lazarokisenya5457 3 года назад +1

    Haipewi nafasi kwa sababu ya ukweli uliomo ndani yake na ukweli bongo haukubalikubaliki pili hip hop ni shule na wabongo wengi hawana shule