Jamani na ww siuweke nyimbo zingine za wakerewe Mbona ni hii tu moja tu hiii Duuh wengine tupo mbali so hapa RUclips ndio sehemu yetu yakujidai maana nilikuwa napata nyimbo kwenye chaneli ya sijui Anaitwa josefu gembe na yy sijui Kauza chanel yake au sijui kaifuta sahivi sizioni tena hata chanel yake haipo
❤❤❤❤❤ duu had machoz yamepita nimefurah kusikia nyimb Za nyumbn
naipenda sana
Home sweet home duh
Namkumbuka jamaa alikuwa anaitwa semeni na mmoja wa Msozi anayepiga lugozya🔥🔥
Daaah, nmekumbka dogori Niko mkoan pwani mkuranga kwa sasa😁😁😁🔥🔥🔥
Game
Hauna ile ya “john john mzanaki john wa mara “
nimekumbuka sana nyumbani
Nasikia sauti ya zembwela he yumo huko?
Mbona hawa jamaa wako kimya sasa ivi ama hawapo tena???
mko vizur, nakumbuka mbal sana
Mambo ya dogoli hayo
ukerewe moja hiyo
edith makene Duhh
Mbe naga embunu
Saf
Wekeni wimbo wa shida haina adabu
Jamani na ww siuweke nyimbo zingine za wakerewe Mbona ni hii tu moja tu hiii Duuh wengine tupo mbali so hapa RUclips ndio sehemu yetu yakujidai maana nilikuwa napata nyimbo kwenye chaneli ya sijui Anaitwa josefu gembe na yy sijui Kauza chanel yake au sijui kaifuta sahivi sizioni tena hata chanel yake haipo