Dakika 10 Za Maangamizi - Jaco Jeezy | Planet Bongo

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 окт 2024

Комментарии • 125

  • @tmahenge4074
    @tmahenge4074 5 лет назад +26

    Watatu leo😀 uyu ndo fund sasa nmeendelea kumsikiliza bila kuhofia mb zangu gonga like twende sawa
    Nlikuwa nasikia kila siku mlete jaco jeezy 💪

  • @shebynizedaudi336
    @shebynizedaudi336 4 года назад +1

    Nimekubali Sana jaco jeezy 👍👍👍👍👍

  • @mgayamgaya
    @mgayamgaya 5 лет назад +14

    Vichwa kama hivi muwe mnavipa dak 20 ili maisha yaendele maana mmezingua vya kutosha

  • @jonas006
    @jonas006 2 года назад

    Uyu ni mwanba sanaaaa....kila nikipita huku lazima nimcheki uyu jamaa ni 🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @sammymakuyya9905
    @sammymakuyya9905 4 года назад

    Bado d1 mwanangu usikondeee,mc nawatia makonde.......fireeee.

  • @KiooNetwork
    @KiooNetwork 5 лет назад +4

    super talented... kama unakubali weka like kwa comment hii

  • @ramahashabani1772
    @ramahashabani1772 5 лет назад +15

    Dahhh Leo ndo Mara yangu ya kwnza kucommnt nikawa kwnye top 10 ya watu wa mwanzooo kbssss

  • @cliffnyeusi
    @cliffnyeusi 5 лет назад +2

    Huyu jamaaa arudushwe yena daaaaa hizi flow ni noma

  • @emanuelgodwin4753
    @emanuelgodwin4753 5 лет назад +3

    Wanaotaka stan rhymes arudi gonga like hapa

  • @officer1208
    @officer1208 5 лет назад +5

    Umeuaaa Homeboy..Kihesahood

  • @mvungigaming
    @mvungigaming 5 лет назад +7

    Siku zote anae jua anajua tu huyu jamaa ni Mara ya pili ss kuja kweny dakika10 za maangamizi hi I tote kwa sabubu ya talented yke.....tukiweka ujinga, roho mbaya na usenge kando jamaa ni pure talented anafiti kwenye_freestyle,uandishi,flow...,punch line....ana sifa zote za kuitwa 'emcee'🔥🔥🔥🔥🔥#jacojeezzy

  • @nicholauserick7179
    @nicholauserick7179 5 лет назад +5

    Gonga like kama tuko p1🔥

  • @re_up_gang
    @re_up_gang 5 лет назад

    Ayeeeee,,kwa niaba ya wanaaaa,,,mi naona kwenye izi dakika kumi za maa gamizi muwe mnamuachia Dj Dea maana anapangilia biti ile laana ,,,,Ayeeeee

  • @ipher_h3753
    @ipher_h3753 4 года назад

    Nakubal jamaa anajua sana

  • @thomasnyakitagara5100
    @thomasnyakitagara5100 5 лет назад +7

    Katika rappers walionifurahisha huyu ni mmoja wapo.

  • @isayamlawa410
    @isayamlawa410 5 лет назад

    watu mtaani mnaa hasiraa hadi mnakelaaa. .maninaa

  • @ernestndauka9301
    @ernestndauka9301 5 лет назад +4

    Wazee Planet Bongo juma 3 mnaweka video leo!! Mnazingua bhana!!! Daaah!! Walahu mngeweka hata juma nne!!! 😢😢😢😢😎😎😎

  • @ihsayu9412
    @ihsayu9412 5 лет назад +1

    Mleteni tena boshoo ninja

  • @austindaud8926
    @austindaud8926 5 лет назад +4

    "Mimi ndio nzi wa pori nakula mpk kinyesi cha simba" teh teh teh dogo mkali sana aisee...

  • @erickbmasunga1879
    @erickbmasunga1879 4 года назад

    Jako n jizeee sanaaaaaa

  • @URRR.CRISTIANO
    @URRR.CRISTIANO 5 лет назад +2

    Jamaa anajua sanaa ila kado kitengo nomaa sanaaa

  • @bensonmwambete4223
    @bensonmwambete4223 5 лет назад

    Uyu jamaa fundii aisee

  • @noblenoble8940
    @noblenoble8940 5 лет назад +3

    Haha bonge ndo kmpa bonge la idea 😅😅..... jeezy anajua 👏

  • @johnsonmoding2458
    @johnsonmoding2458 5 лет назад +3

    Mamaeeee mwana wa CRB pale micasa awajawai kukosea bado fundi m1 mzeee wa Ayeeeeeee

  • @fadhilmohamoud
    @fadhilmohamoud 5 лет назад +2

    cjawai kuacha kumchek uyu mchizi coz ni konk fire

  • @motivationalimpactstories8102
    @motivationalimpactstories8102 5 лет назад +10

    UMESHINDIKANA JACO JEEZY NIMEKUFATILIA MPKA KWENYE ZILE CRB - MIKASA NI SHIDA MZEE

  • @hajuboy2882
    @hajuboy2882 5 лет назад

    Nakubale sana we ni hatare

  • @rahultv6173
    @rahultv6173 5 лет назад

    Tunamtaka mbeya Boy chuma

  • @deogratiuskombe5789
    @deogratiuskombe5789 5 лет назад

    Ni Zaidi Ya Kutisha Upo Gud

  • @almandowizzy1883
    @almandowizzy1883 5 лет назад +2

    Jaco Geezy nakukubali mwamba

  • @domydocta.
    @domydocta. 5 лет назад +1

    Kijana Jaco jeez ni balaaaaa sanaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

  • @timomgimba1988
    @timomgimba1988 5 лет назад +4

    Huyu jaco namuelewa kabla ya kuwasha data Mb zangu zinatumika kwahaki. ..

  • @yaedlifemedia3203
    @yaedlifemedia3203 5 лет назад

    Hip hop halis means halis jaco Dah mkush umezaliwa studio wasenge awawez miziki yako atar

  • @neltone
    @neltone 2 года назад

    Xma DJ waga ng'ombe kwel,

  • @almandowizzy1883
    @almandowizzy1883 5 лет назад +4

    Freestyle Aslimia 70 we ni kwere that's Real Hip Hop

    • @mvungigaming
      @mvungigaming 5 лет назад

      This guy dope brain....freestyler

  • @abdulmohd6880
    @abdulmohd6880 5 лет назад +3

    aisee jamaa n moto wa kuukalia mbali aisee n bora ukutane na pepo utatobowa km uyu jamaa, duh! anajuwa mpaka basi...

  • @alimaabadali5625
    @alimaabadali5625 5 лет назад +1

    Jeezy on d mic

  • @mvungigaming
    @mvungigaming 5 лет назад +11

    "Cado kitengo" pia.....nae aje aweke baraka zake haoa...

    • @abdulfrance1548
      @abdulfrance1548 5 лет назад +1

      Kado ni moto mwingine chek kumi za maangamiz zake yan km dk 2 tu nltaman aendelee

  • @jumamlanzi8200
    @jumamlanzi8200 4 года назад

    wa kawaida sana

  • @januarymasao9331
    @januarymasao9331 5 лет назад +1

    Mhmh naqbal Broo
    Noma sana

  • @odamanbarnaba6582
    @odamanbarnaba6582 5 лет назад +1

    Noma sana mzee, umetuwakilisha vema watu wa Iringa..
    "Km mdudu parata..." Ha ha ha haa najua umewaacha watu hapo

  • @stephenziro8530
    @stephenziro8530 5 лет назад

    Waaa jamaaa kaumiza kwa hilo beat na la n2n jamaa kafoka kama ibra da husla

  • @enockngendakuriyo6759
    @enockngendakuriyo6759 5 лет назад +1

    Omg ameuwa tena ivi kweri Canada kuna anaye fwata dakika 10?awo ni mimi peke hahaha this show it's my drug i fuckin really love it

  • @osteendicklack5579
    @osteendicklack5579 5 лет назад

    Uyu jaaa different kbisa👊👊

  • @zakarialimo2733
    @zakarialimo2733 5 лет назад

    mwiteni dizasta tena mazeee

  • @prof_ras
    @prof_ras 5 лет назад +2

    Big up King...!!!

  • @barakalayzer6846
    @barakalayzer6846 5 лет назад +1

    Huyu ni moja kati yawana hip hop hari sanaaaa

  • @elimukwetu6991
    @elimukwetu6991 5 лет назад

    Beats kama kazitengeneza , Aiseee we ni Mbaya Jombaa. Salutee

  • @dutchballaka3422
    @dutchballaka3422 5 лет назад

    Daaah hyu jamaa ni nouma sana, thi's hip hop.. Gud sana

  • @THEKUTAMANI
    @THEKUTAMANI 5 лет назад +1

    🔥 🔥 jamaaa ni wa hatareeeeee

  • @eliaslusana1908
    @eliaslusana1908 5 лет назад +2

    Ebwana eeeee tuna msubili kwa hamu cado nondo( kitengo)

  • @kaJEMBEvip
    @kaJEMBEvip 5 лет назад

    n noma jaco..VP nyenza mbona amuweiweki

  • @emmanuelskmtanzania24
    @emmanuelskmtanzania24 5 лет назад +1

    Iringa stand up... #StonyTown
    Shot'out kwa #JacoJeezy 🔥🔥🔥

  • @ibrahimkanuto3514
    @ibrahimkanuto3514 3 года назад

    Guuuud

  • @yohansiwale811
    @yohansiwale811 5 лет назад +1

    jamaa anajua kwel

  • @shebymnazi1175
    @shebymnazi1175 5 лет назад

    uko vizuri sana dakika 10 kwako chache sana

  • @daniikirunda7113
    @daniikirunda7113 5 лет назад +2

    Jaco Geezy MARADONA

  • @wafiq4
    @wafiq4 5 лет назад +3

    Wapili leo

  • @mussajoseph7746
    @mussajoseph7746 5 лет назад +1

    Jamaa katisha mrudisheni na Stan

  • @edsonnyamwela6669
    @edsonnyamwela6669 4 года назад

    @planetbongo. Kuna jamaa anaitwa mbeya boy chuma alifanya dk 10 zake na anaviewers wengi saana, mrudisheni afanye tena aisee.

  • @domydocta.
    @domydocta. 5 лет назад +3

    Eehhh acha tule burudani. Tuwekeeni zingineeee

    • @fredeezey9740
      @fredeezey9740 5 лет назад

      Awa jamaa wanatupotezea mizuka,leo diku ys 5 hamna mpya waliyopost aisee

  • @mohamedmlundi5637
    @mohamedmlundi5637 5 лет назад

    We mbayaaaaaaa... . 💥💥

  • @edwinlawi710
    @edwinlawi710 5 лет назад +1

    We chalii wamoto sana

  • @daniikirunda7113
    @daniikirunda7113 5 лет назад +5

    Bado CADO NONDOOO

  • @johnbahuta9220
    @johnbahuta9220 5 лет назад +4

    huyu jamaa mwamba

  • @deejaymatiangi5063
    @deejaymatiangi5063 3 года назад

    Blessed

  • @zackchriss10
    @zackchriss10 5 лет назад

    Ir...Nomaaa

  • @b9media144
    @b9media144 5 лет назад +2

    baada ya gwea bas n huyu Jamaa, n htr

  • @man-kereborbocrew8528
    @man-kereborbocrew8528 5 лет назад

    MRUDISHENI CADO KITENGO NI HABARI NYINGINE

  • @ibrahimkanuto3514
    @ibrahimkanuto3514 3 года назад

    Muite Stan rhymes Mara ya pili

  • @justinemalekela5269
    @justinemalekela5269 5 лет назад +1

    Makini sana

  • @hassanmasuke5078
    @hassanmasuke5078 5 лет назад

    Massive bro

  • @eliaslusana1908
    @eliaslusana1908 5 лет назад +3

    Kuna MTEGANDA na CADO KITENGO /(NONDO) PIA TUNA WAHITAJI WA ANGAMIZE

  • @josephkingumbi3827
    @josephkingumbi3827 5 лет назад +5

    Hii ndo maana ya dakika kumi za maangamiz jaco jeezy kaangamiza mbaya...Mleteni cado nondo nae aangamize

  • @yefterngabo341
    @yefterngabo341 5 лет назад

    Dah jacoo amazing

  • @sebachaz6483
    @sebachaz6483 5 лет назад +1

    mchizi anajua mpaka anakera yan nimekuelewa kuliko unavyojielewa

  • @fredeezey9740
    @fredeezey9740 5 лет назад

    Sema geezus on the miiiiiic 💥💥💥

  • @godlistenulomi9055
    @godlistenulomi9055 3 года назад

    nimekubal

  • @chikukomba8014
    @chikukomba8014 5 лет назад +1

    Jacoo nomar

  • @cdemido5608
    @cdemido5608 5 лет назад

    Best of all

  • @holymoko5058
    @holymoko5058 5 лет назад +1

    Jamaa kaua

  • @jifaqmoonwalker6032
    @jifaqmoonwalker6032 5 лет назад +1

    Ninjah langu Jacoo

  • @grjnr5089
    @grjnr5089 5 лет назад +1

    Hatar sana

  • @samsonaristarick4384
    @samsonaristarick4384 5 лет назад

    Moto wa kuotea mbali

  • @francisngonyani2755
    @francisngonyani2755 4 года назад

    noma sana

  • @aziziabdur3821
    @aziziabdur3821 5 лет назад

    nm sn jaco jeezy

  • @guccij3549
    @guccij3549 5 лет назад

    IringA( FrelmO B👊)

  • @isackmrutu5150
    @isackmrutu5150 5 лет назад +2

    Mleten kado nondo

  • @nuryaabdul0178
    @nuryaabdul0178 5 лет назад

    nice

  • @youngrappertz1735
    @youngrappertz1735 5 лет назад

    Kajitaidi...

  • @NEXTtz
    @NEXTtz 5 лет назад +1

    🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @yusuphpetro2639
    @yusuphpetro2639 4 года назад

    Yes

  • @KelvinEmersonSteven
    @KelvinEmersonSteven 5 лет назад +1

    Nice

  • @asiliyakechuma7335
    @asiliyakechuma7335 5 лет назад

    Kidoogo amejitahid

  • @alimaabadali5625
    @alimaabadali5625 5 лет назад

    Jaco jeezy

    • @rahultv6173
      @rahultv6173 5 лет назад

      Mbeya Boy chuma mtuletee tena yule ndo mnyama

  • @samwelkibe9917
    @samwelkibe9917 5 лет назад

    Nic

  • @nehemiaelias5535
    @nehemiaelias5535 5 лет назад +1

    Tunamtaka na Nyenza the mc

  • @raymondkundi8563
    @raymondkundi8563 3 года назад

    Fundiiiii

  • @mullerrbn4852
    @mullerrbn4852 5 лет назад

    kama kawaida apo kakosa fify tu hii iwe keki

  • @KiooNetwork
    @KiooNetwork 5 лет назад +1

    dj amejaribu kuchengea mabeat lakn jamaa hapotei kwenye key