Siku zote anae jua anajua tu huyu jamaa ni Mara ya pili ss kuja kweny dakika10 za maangamizi hi I tote kwa sabubu ya talented yke.....tukiweka ujinga, roho mbaya na usenge kando jamaa ni pure talented anafiti kwenye_freestyle,uandishi,flow...,punch line....ana sifa zote za kuitwa 'emcee'🔥🔥🔥🔥🔥#jacojeezzy
Watatu leo😀 uyu ndo fund sasa nmeendelea kumsikiliza bila kuhofia mb zangu gonga like twende sawa
Nlikuwa nasikia kila siku mlete jaco jeezy 💪
Nimekubali Sana jaco jeezy 👍👍👍👍👍
Vichwa kama hivi muwe mnavipa dak 20 ili maisha yaendele maana mmezingua vya kutosha
Uyu ni mwanba sanaaaa....kila nikipita huku lazima nimcheki uyu jamaa ni 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Bado d1 mwanangu usikondeee,mc nawatia makonde.......fireeee.
super talented... kama unakubali weka like kwa comment hii
Dahhh Leo ndo Mara yangu ya kwnza kucommnt nikawa kwnye top 10 ya watu wa mwanzooo kbssss
Huyu jamaaa arudushwe yena daaaaa hizi flow ni noma
Wanaotaka stan rhymes arudi gonga like hapa
Umeuaaa Homeboy..Kihesahood
Siku zote anae jua anajua tu huyu jamaa ni Mara ya pili ss kuja kweny dakika10 za maangamizi hi I tote kwa sabubu ya talented yke.....tukiweka ujinga, roho mbaya na usenge kando jamaa ni pure talented anafiti kwenye_freestyle,uandishi,flow...,punch line....ana sifa zote za kuitwa 'emcee'🔥🔥🔥🔥🔥#jacojeezzy
Gonga like kama tuko p1🔥
Ayeeeee,,kwa niaba ya wanaaaa,,,mi naona kwenye izi dakika kumi za maa gamizi muwe mnamuachia Dj Dea maana anapangilia biti ile laana ,,,,Ayeeeee
Nakubal jamaa anajua sana
Katika rappers walionifurahisha huyu ni mmoja wapo.
watu mtaani mnaa hasiraa hadi mnakelaaa. .maninaa
Wazee Planet Bongo juma 3 mnaweka video leo!! Mnazingua bhana!!! Daaah!! Walahu mngeweka hata juma nne!!! 😢😢😢😢😎😎😎
Mleteni tena boshoo ninja
"Mimi ndio nzi wa pori nakula mpk kinyesi cha simba" teh teh teh dogo mkali sana aisee...
Jako n jizeee sanaaaaaa
Jamaa anajua sanaa ila kado kitengo nomaa sanaaa
Uyu jamaa fundii aisee
Haha bonge ndo kmpa bonge la idea 😅😅..... jeezy anajua 👏
Mamaeeee mwana wa CRB pale micasa awajawai kukosea bado fundi m1 mzeee wa Ayeeeeeee
cjawai kuacha kumchek uyu mchizi coz ni konk fire
UMESHINDIKANA JACO JEEZY NIMEKUFATILIA MPKA KWENYE ZILE CRB - MIKASA NI SHIDA MZEE
Nakubale sana we ni hatare
Tunamtaka mbeya Boy chuma
Ni Zaidi Ya Kutisha Upo Gud
Jaco Geezy nakukubali mwamba
Kijana Jaco jeez ni balaaaaa sanaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Huyu jaco namuelewa kabla ya kuwasha data Mb zangu zinatumika kwahaki. ..
Hip hop halis means halis jaco Dah mkush umezaliwa studio wasenge awawez miziki yako atar
Xma DJ waga ng'ombe kwel,
Freestyle Aslimia 70 we ni kwere that's Real Hip Hop
This guy dope brain....freestyler
aisee jamaa n moto wa kuukalia mbali aisee n bora ukutane na pepo utatobowa km uyu jamaa, duh! anajuwa mpaka basi...
Jeezy on d mic
"Cado kitengo" pia.....nae aje aweke baraka zake haoa...
Kado ni moto mwingine chek kumi za maangamiz zake yan km dk 2 tu nltaman aendelee
wa kawaida sana
Mhmh naqbal Broo
Noma sana
Noma sana mzee, umetuwakilisha vema watu wa Iringa..
"Km mdudu parata..." Ha ha ha haa najua umewaacha watu hapo
Waaa jamaaa kaumiza kwa hilo beat na la n2n jamaa kafoka kama ibra da husla
Omg ameuwa tena ivi kweri Canada kuna anaye fwata dakika 10?awo ni mimi peke hahaha this show it's my drug i fuckin really love it
Uyu jaaa different kbisa👊👊
mwiteni dizasta tena mazeee
Big up King...!!!
Huyu ni moja kati yawana hip hop hari sanaaaa
Beats kama kazitengeneza , Aiseee we ni Mbaya Jombaa. Salutee
Daaah hyu jamaa ni nouma sana, thi's hip hop.. Gud sana
🔥 🔥 jamaaa ni wa hatareeeeee
Ebwana eeeee tuna msubili kwa hamu cado nondo( kitengo)
n noma jaco..VP nyenza mbona amuweiweki
Iringa stand up... #StonyTown
Shot'out kwa #JacoJeezy 🔥🔥🔥
Guuuud
jamaa anajua kwel
uko vizuri sana dakika 10 kwako chache sana
Jaco Geezy MARADONA
Wapili leo
Jamaa katisha mrudisheni na Stan
@planetbongo. Kuna jamaa anaitwa mbeya boy chuma alifanya dk 10 zake na anaviewers wengi saana, mrudisheni afanye tena aisee.
Eehhh acha tule burudani. Tuwekeeni zingineeee
Awa jamaa wanatupotezea mizuka,leo diku ys 5 hamna mpya waliyopost aisee
We mbayaaaaaaa... . 💥💥
We chalii wamoto sana
Bado CADO NONDOOO
huyu jamaa mwamba
Nooma
Blessed
Ir...Nomaaa
baada ya gwea bas n huyu Jamaa, n htr
MRUDISHENI CADO KITENGO NI HABARI NYINGINE
Muite Stan rhymes Mara ya pili
Makini sana
Massive bro
Kuna MTEGANDA na CADO KITENGO /(NONDO) PIA TUNA WAHITAJI WA ANGAMIZE
Hii ndo maana ya dakika kumi za maangamiz jaco jeezy kaangamiza mbaya...Mleteni cado nondo nae aangamize
Dah jacoo amazing
mchizi anajua mpaka anakera yan nimekuelewa kuliko unavyojielewa
Sema geezus on the miiiiiic 💥💥💥
nimekubal
Jacoo nomar
Best of all
Jamaa kaua
Ninjah langu Jacoo
Hatar sana
Moto wa kuotea mbali
noma sana
nm sn jaco jeezy
IringA( FrelmO B👊)
Mleten kado nondo
nice
Kajitaidi...
🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Yes
Nice
Kidoogo amejitahid
Jaco jeezy
Mbeya Boy chuma mtuletee tena yule ndo mnyama
Nic
Tunamtaka na Nyenza the mc
Fundiiiii
kama kawaida apo kakosa fify tu hii iwe keki
dj amejaribu kuchengea mabeat lakn jamaa hapotei kwenye key