Размер видео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показать панель управления
Автовоспроизведение
Автоповтор
Kazi nzuri hiyo ramani nimeipenda.
@@oswardpeter6179 karibu sana inapatikana
mupo vizuri raman
@@GibonSadoki Ahsante karibu
Habari mkuu ramani zako zimegongwa kabisa mihuri ama bado?
@@StellaJulius-w1y ukihitaji muhuri nakugongea kabisa
natakiwa niwe na shingapi nyumba ikamilike kwa ramani hiyo
Hi hii nyumba imechukuwa tofali ngapi?
Tofari 3000
Naomba kufahamu gharama zake
Gharama ipi unayoitaka? Ya material au ya ramani?
@@ramanizanyumbamwanzatz zote inbrefre toauli kiasi gani na famani bei gani
Tafadhali upload gorofa vyumba 6
Gorofa 1
Sawa chukuwa namba yangu ya whatsapp hiyo kwa maelezo zaidi, 0674420404
Iko good
Ahsante sana
Inatumia bat ngap hiyo
@@VeronicaTimoth-pw5jt Inatumia bati 86
@@VeronicaTimoth-pw5jt inatumia bati 86
Mmb raman iii beiii ganiii
Foundation hiii inagharimu shilling ngapi ? Na nahitaji kujua je nyinyi munashighulika na nn kutoa ushauri au ni wajenzi
Sisi tunachora ramani na tunashughulika na ujenzi pia.
Inaweza kukaa kwenye kiwanja cha ukubwa gani pamoja na chemba
Kiwanja cha mita 20 kwa mita 20 na kuendelea inatosha kabisa
Namba yangu ya whatsapp hiyo kwa maelezo zaidi. 0674420404
Bei gani raman
Bei yake 150,000
@@ramanizanyumbamwanzatz kama nipo mkoaniii naipataje
@@roseleonc6512 tuna njia mbili ya kwanza tunakutumia kwa whatsapp unaprint mwenyewe. Njia ya pili tunakutumia kwa njia ya bus.
Kiwanja kinatakiwa kiwe na ukubwa gani kupata nyumba namna hii
Kuanzia 20 kwa 20 na kuendelea
Kazi nzuri hiyo ramani nimeipenda.
@@oswardpeter6179 karibu sana inapatikana
mupo vizuri raman
@@GibonSadoki Ahsante karibu
Habari mkuu ramani zako zimegongwa kabisa mihuri ama bado?
@@StellaJulius-w1y ukihitaji muhuri nakugongea kabisa
natakiwa niwe na shingapi nyumba ikamilike kwa ramani hiyo
Hi hii nyumba imechukuwa tofali ngapi?
Tofari 3000
Naomba kufahamu gharama zake
Gharama ipi unayoitaka? Ya material au ya ramani?
@@ramanizanyumbamwanzatz zote inbrefre toauli kiasi gani na famani bei gani
Tafadhali upload gorofa vyumba 6
Gorofa 1
Sawa chukuwa namba yangu ya whatsapp hiyo kwa maelezo zaidi, 0674420404
Iko good
Ahsante sana
Inatumia bat ngap hiyo
@@VeronicaTimoth-pw5jt Inatumia bati 86
@@VeronicaTimoth-pw5jt inatumia bati 86
Mmb raman iii beiii ganiii
Foundation hiii inagharimu shilling ngapi ? Na nahitaji kujua je nyinyi munashighulika na nn kutoa ushauri au ni wajenzi
Sisi tunachora ramani na tunashughulika na ujenzi pia.
Inaweza kukaa kwenye kiwanja cha ukubwa gani pamoja na chemba
Kiwanja cha mita 20 kwa mita 20 na kuendelea inatosha kabisa
Namba yangu ya whatsapp hiyo kwa maelezo zaidi. 0674420404
Bei gani raman
Bei yake 150,000
@@ramanizanyumbamwanzatz kama nipo mkoaniii naipataje
@@roseleonc6512 tuna njia mbili ya kwanza tunakutumia kwa whatsapp unaprint mwenyewe. Njia ya pili tunakutumia kwa njia ya bus.
Kiwanja kinatakiwa kiwe na ukubwa gani kupata nyumba namna hii
Kuanzia 20 kwa 20 na kuendelea