SIMBA SC WAPO KUNDI LA KIFO/ WANAWAKATI MGUMU SANA KUTOBOA FAINALI YA SHIRIKISHO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 6 окт 2024
  • Hii ni CROWN MEDIA, 92.1 CROWN FM & CROWN TV
    Follow us on Social Media Platforms
    Instagram:
    Crown FM - / crownfmtz
    Crown TV - / crowntvtz
    Twitter (X):
    CROWN MEDIA SWAHILI: / crownmediatz
    CROWN MEDIA ENGLISH: / crownmediaen
    Facebook:
    CROWN MEDIA: www.facebook.c...
    TIKTOK:
    www.tiktok.com...
    SUBSCRIBE & WATCH OUR SHOWS: / @crownmediatz

Комментарии • 9

  • @angellomarcel5677
    @angellomarcel5677 6 часов назад +1

    😂😂napenda sana utangazaji wa JESCA uko vizuri mno Big up sana dada utafika mbali Dada, tambua kuwa Mimi ni Fans wako..Juma AYO wewe huna mpinzani nakufatilia Toka kitambo kwenye Host Interview zako..napenda una Maswali flani mwenye D1 hawezi kukuelewa.

  • @simonIbrahim-hc8vm
    @simonIbrahim-hc8vm 6 часов назад

    Hakika mzee ❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉

  • @faustinombilinyi9809
    @faustinombilinyi9809 5 часов назад

    Hans unefanya vizuri kukiri kuwa simba kimataifa acha ichese tuu maana anabadilika sema naona simba ya kapombe na shabalala hawa walikuwa chachu sn na mzamiru mkude kwenye mafanikio ya kimataifa miaka 6 hii sasa wanaenda kuchoka tuandae wengine kwa kweli wazawa wenye uchungu na timu ...

  • @boscoShama
    @boscoShama 7 часов назад

    Hansi ameokoka leo umemkubali simba MUNGU azidi kukupa macho

  • @omarmbega702
    @omarmbega702 7 часов назад

    Mwendaalifunga jumlasimbawalishindatatu Angola

  • @faustinombilinyi9809
    @faustinombilinyi9809 5 часов назад

    Umkosea takwimu tuliwafunga. 3-1 nalo moja walifunga kwa penalty ss alifunga chama , mwenda na moses phiri la tatu wao wakaja wakapata moja kwa penalty ikawa 3-1 halafu wakaja kwa mkapa tuliwapiga moja zero.m

  • @faustinombilinyi9809
    @faustinombilinyi9809 5 часов назад

    Hans bro waambie ukweli hapo mwarabu hayupo tuliozoea kuwaonea happ lupaso kiukweli yanga msimu huu wanahali ngumu hilo group walilopo ni gumu tunasema ukweli.. simba inatakiwa kati ya waaarabu hapa achukue point away maana wako gumu mno

  • @BideoMukambilwa
    @BideoMukambilwa 5 часов назад

    Hivi nyie wachambuzi mnalinda pocho au Nini, hii crown mbona uchambuzi wenu uwa ahuheleweki

  • @suleimanmkongwa9950
    @suleimanmkongwa9950 7 часов назад

    😂😂make apokwanza ncheke😅