SIMBA SC WAPO KUNDI LA KIFO/ WANAWAKATI MGUMU SANA KUTOBOA FAINALI YA SHIRIKISHO
HTML-код
- Опубликовано: 6 окт 2024
- Hii ni CROWN MEDIA, 92.1 CROWN FM & CROWN TV
Follow us on Social Media Platforms
Instagram:
Crown FM - / crownfmtz
Crown TV - / crowntvtz
Twitter (X):
CROWN MEDIA SWAHILI: / crownmediatz
CROWN MEDIA ENGLISH: / crownmediaen
Facebook:
CROWN MEDIA: www.facebook.c...
TIKTOK:
www.tiktok.com...
SUBSCRIBE & WATCH OUR SHOWS: / @crownmediatz
😂😂napenda sana utangazaji wa JESCA uko vizuri mno Big up sana dada utafika mbali Dada, tambua kuwa Mimi ni Fans wako..Juma AYO wewe huna mpinzani nakufatilia Toka kitambo kwenye Host Interview zako..napenda una Maswali flani mwenye D1 hawezi kukuelewa.
Hakika mzee ❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Hans unefanya vizuri kukiri kuwa simba kimataifa acha ichese tuu maana anabadilika sema naona simba ya kapombe na shabalala hawa walikuwa chachu sn na mzamiru mkude kwenye mafanikio ya kimataifa miaka 6 hii sasa wanaenda kuchoka tuandae wengine kwa kweli wazawa wenye uchungu na timu ...
Hansi ameokoka leo umemkubali simba MUNGU azidi kukupa macho
Mwendaalifunga jumlasimbawalishindatatu Angola
Umkosea takwimu tuliwafunga. 3-1 nalo moja walifunga kwa penalty ss alifunga chama , mwenda na moses phiri la tatu wao wakaja wakapata moja kwa penalty ikawa 3-1 halafu wakaja kwa mkapa tuliwapiga moja zero.m
Hans bro waambie ukweli hapo mwarabu hayupo tuliozoea kuwaonea happ lupaso kiukweli yanga msimu huu wanahali ngumu hilo group walilopo ni gumu tunasema ukweli.. simba inatakiwa kati ya waaarabu hapa achukue point away maana wako gumu mno
Hivi nyie wachambuzi mnalinda pocho au Nini, hii crown mbona uchambuzi wenu uwa ahuheleweki
😂😂make apokwanza ncheke😅