@@kidatokassim7616 mm mtz Kenya wapo vizuri sema jamaa hapo juu uelewa wake mdogo anataka polisi wakenya wapige wananchi wake kama wanapgana na al shabab. huwezi kusema Kenya wanajeshi bovu wale ni wananchi wakenya kwahiyo huwenzi kutreat ndugu zako kama utakavyo mtreat adui kutoka nje
@@kidatokassim7616 apana kwakweli na kataaa kabisa wanajeshi wabovu wakenya kabisa mafuzo ziro kabisa yani wametia aibu kabisa wameshindwa kuwazibiti raiya mabomu yana waripukia mikononi loh
😂😂😂😂😂😂😂😂Tanzania pekee ndio inchi mkiitisha maandamano wanajeshi wao wanatangaza siku ya usafi wa jiji yaani inabidi maandamano yawe ya amani sababu mnaandamana na wajeda wapo pembeni yako sasa jitie wazimu utaona show utayopewa tuliosoma cuba hiyo tunaijua sana😅😅😅andamana jeshi tufanye usafi basi😅😅
BIG UP SANA WAKENYA
Tukipewa silaha tunaingia state house
Nawapenda wakenya tupo pamoja❤
Jamaaa sauti IP chini sana mamae
JIDANGANYE
Me nisha mwambia mala kibao, wkt anatangaza anabana sana sauti kiasi kwamba anacho kiongea nivigumu kumuelewa.
Hii ni kweli huyu jamaa anazingua saana afu hata hajirekebishi , sijui nan kamdanganya
Jeshi haliwezi kuua watu ambao hawana silaha, kwa mujibu ya kanuni zao, wala haliwezi kupewa amri na wakuu wa polisi.
Kenya wanaua.
Jidanganye halafu ujichanganye.. utajikuta chumba cha maiti😂😂😂
Chezea africa ww
Waambie, mgunguko wao katika ikulu sio tishio
😂😂😂
Tuko under martial law jeshi ndiyo yenye inchi Kwa siku kumi na nne. Msicheze vijana hatutaki maafa zaidi.
Leo zakayo ameshuka😂🎉
Chezea GZ
Hivi wakienda lundo la watu wataweza kuuwa wakenya na risasi. Nguvu ya umma ni balaa kabisa.
Ruto ashuke tu chini. Awasikilize wananchi.
Huyu dhahiri hakushinda u Raisi
Absolutely 💯
Kesho tunaingia uko 😂😂😂😂
Bora mkalale tu. Manake unaona iyo Bundukiee
Utajuaje hao waandamanaji Leo Kama wanajipanga silaha
Taarifa za jana
Simulizi na sauti, jeshi kulizunguka ikulu isingetushtua ole wake kama asingetii sheria tungelifika huko
Ndugu zetu Kenya kusanyeni Mawe tu...Wakirusha Risasi wamiminieni Mawe😅😅😅
Tuwaoombee
😂😂Kumbe Zakayo muoga nyoooko
😂😂😂😂😂
😂😂😂
Alipeleka waanajeshi HAITI wakati kulinda nchi yake waandamanaji changamoto😅
Huyo sio lazuma wamfuate state House watampata tu sehemu nyingine
Tanzania vip 😊😊😊
Jarib Tz
Sauti yako irekebishe haipendezi
Kenya wamemchaguwa mweu Sasa anacho kijuwa yeye kumfuraisha marekani tu
Kesho sasa itakua aje
Sauti mzee iko chini sana
sijui ni simu yako 😅😅😅 mimi iko vizuli
@@user-fy9pw2zr8l hapana asee jamaa ana sauti ndogo mpaka uongeze sana
Tuwaombee tu wakenya maana kesho inaweza kuwa ni siku ya historia
Sauti kidogo iboreshwe
SEMA IKULU NDONGO YA NAKURU
Wakenya wanaumoja sanaaa walio London,USA wote,UK wameandamana ni wito Rais asikilize wananchi wake
🎉🎉
Wakubali kufa na kupona wawaponde mawe waingie😅😅
Zakayo hiyo hatari
Rais wao alisema Putin kavamia Ukraine sasa yeye ndo kavamiwa huyu ,,mzee wangu putin yuko north Korea 😂😂
jamaaa halijui kuongeaa litanganza kama anasoma imla
Nenda kafirwe huko uliekua hujui kutangaza niww uliepakata matako acha majungu muache mwenzako afanye kazi watu km nyinyi ndio mnaorejesha nyuma watu
Basi usitukane...poaa
@@husseinmkungu1166 unamtetea sana huyu jamaa Kila comment aliambiwa ajirekebishe, vipi ni shogaako nini😂
Hii ishu ishakua serious
Ruto achiya madaraka
Mtangazaji.ongea.kwasauti
Saut Gani unayoitaka ww baba au kiziwi ww
😂😂😂@@husseinmkungu1166
CIA OYEEEEEEEEEE. ONGEZENI KAMBI ZA KIJESHI WA KIGENI MTAYAONA ZAIDI KILIKO HAYO, MSITIE AKILI TU.
Sasa Ww unasema nn
Wakiamua hata ikulu wamwagwe askari. Hawa askari hawawezi kuuwa wananchi. Watakachofanya ni kumtorosha rais kumpeleka mbali.
Wanaosema wanajeshi ni wabovu wacha nikwambie. Hakuna watu duniani woga kama tz huwa wakiona demonstration wanajificha mivunguni hasa kwa wanawake.
Kenya wana jeshi bovu sana
Kenya has top 10 ranked military in Africa sijui Tanzania Iko wapi
@@kidatokassim7616 mm mtz Kenya wapo vizuri sema jamaa hapo juu uelewa wake mdogo anataka polisi wakenya wapige wananchi wake kama wanapgana na al shabab. huwezi kusema Kenya wanajeshi bovu wale ni wananchi wakenya kwahiyo huwenzi kutreat ndugu zako kama utakavyo mtreat adui kutoka nje
Watu hawajui, wanajeshi wapo kibaruani, ila sio kama wao maisha hayo hayawagusi, kwa hiyo msishangae hao wanasomesha watoto pia, wanabiashara zao.
@@kidatokassim7616 apana kwakweli na kataaa kabisa wanajeshi wabovu wakenya kabisa mafuzo ziro kabisa yani wametia aibu kabisa wameshindwa kuwazibiti raiya mabomu yana waripukia mikononi loh
Wanajeshi ni kama pia wamechoshwa na uyu ruto ju familia zao haziko mbinguni ziko apa Kenya..
Sisi tumeamuwa hatumtaki hata alete ndege za vita hatumtaki
Wakenya ni waoga sana
Ubarikiwe
😂😂😂😂😂😂😂😂Tanzania pekee ndio inchi mkiitisha maandamano wanajeshi wao wanatangaza siku ya usafi wa jiji yaani inabidi maandamano yawe ya amani sababu mnaandamana na wajeda wapo pembeni yako sasa jitie wazimu utaona show utayopewa tuliosoma cuba hiyo tunaijua sana😅😅😅andamana jeshi tufanye usafi basi😅😅
Nipe namba nikutumie bando
😂😂😂😂😂😂
Ila wewe...
Mfumo wa Bongo upo kivyake
Huyu mtangazaji vp kwan amekabwa au
Kesho tunaingia uko 😂😂😂😂