wabongo wenye roho mbaya utawaona tu nyimbo yenye ujumbe uwezi sikia wakisikiliza lakini za mapezi utasikia kaka umefanya kitu kizuli sana ebu tubadilike paga like kama ngoma umeilewa kama Mimi
Dah jamaa kadhihrisha yeye ni mkongwe na anajua nini maana ya mziki hapa ndo unatofatisha mwanamuziki na msanii big up bro unajua Adi unakera 100% ngoma inaongelea corona lakini hakuna hata sehemu moja kataja neno corona aisee ubunifu 100% ngoma itaisha milele gonjwa lolote hatari likitokea itawakisha pia matonya ni fundiiiiiii
Nice vocal ..but ushauri wangu kwako rudi kaombe msamaha kwa Tunda Man aendelee kukupa Mashairi..maana utunzi wako toka mmegombana na Tunda enzi za Anita aujawai kutoa hit song mbaka Leo...!!
Umezingua kinoma noma em kua serious mzee yani kututoa kote kule insta ndo nyimboo yenyewe hii, mi siajelewa content za nyimbo kbsa naona umelia lia tu, yani hakuna kitu bro, huyu sio tonya yule. Hakuna kitu babu hapi siwezi kusema nyimbo mbaya wala nzuri yani hujaeleweka kbsa mzee baba.
Usisaau kuwa zile hit songs alikuwa anaandikiwa na Tunda Man akaja kumletea zarau Tunda akaamua kuanza kuimba mwenyewe tangia hapo Matonya anatapatapa kufamaji mbaka Leo..!!
Yani matonya sijui nani kakushauri ufanye huu utopolo😂 nibora usingeuhusisha huu wimbo na ile Ngoma Yako classic ya DUNIA MAPITO maaana unaishusha hadhi Huwezi na hautaweza kuandika tena ngoma kama ile..so tunaomba uiche kama ilivyo manake ile ngoma inaishi na itaishi miaka yote. Kwa sasa kitu ambacho ulitakiwa ukifanye kwenye ile ngoma labda ungeifanyia video tu na sio kuleta utopolo na kusema hii ni version 2 ya dunia mapito
wabongo wenye roho mbaya utawaona tu nyimbo yenye ujumbe uwezi sikia wakisikiliza lakini za mapezi utasikia kaka umefanya kitu kizuli sana ebu tubadilike paga like kama ngoma umeilewa kama Mimi
Mwanangu jichunge Sana mana inaweza kuwa Mwisho Mm na ww kuonana
That script left me crying mum plz R.I.p
We miss u Tonya time .. generation yako bado tupo Ila umeamua kutupotezeaaa....
Daaah Tonya time yako ss kaliiii zaidi ya saaaana nice voice
Nakubari tonya ngoma kali
Yap hakuna kufeli,ngoma kali sana,sijui watu wanapinga nn
Kama umesikia kinanda cha wema umeniponza ya ferouz gonga like
Please Matonya come back tena zaidi...hiyo lyrics Iko sawa
Nyimbo IPO safi kulingana na time tunayopitia now (Covic 19).
Dah jamaa kadhihrisha yeye ni mkongwe na anajua nini maana ya mziki hapa ndo unatofatisha mwanamuziki na msanii big up bro unajua Adi unakera 100% ngoma inaongelea corona lakini hakuna hata sehemu moja kataja neno corona aisee ubunifu 100% ngoma itaisha milele gonjwa lolote hatari likitokea itawakisha pia matonya ni fundiiiiiii
uwa namkubali sana Tonya anajua
Napenda sana hii ngoma waah.tamu sana
P6yq50q
Moja safii hii kaka
Big up sana kwa Matonya. Kazi nzuri sana...
Hello matonya am Graddo k from Kenya me msanii wa mziki wa lavidavi me fun wako mkubwa sana natamani unisaini kwa studio yako tafadhali matonya
Ahsante matonya wimbo wako mzuri umejitahidi umeeazidi WCB Wasafi💔😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Ni kwel
Nice vocal ..but ushauri wangu kwako rudi kaombe msamaha kwa Tunda Man aendelee kukupa Mashairi..maana utunzi wako toka mmegombana na Tunda enzi za Anita aujawai kutoa hit song mbaka Leo...!!
Tisha mzaziii
Tonya nimekufeel sanaaaaa🙏
#Right Song at the #Right time. Big up bro... Very sad and touching #Song
Tonya 2 big up broo
Love you msambaaa
umetuletaa ujumbe mzuli sana Kaka kila nikitulia kwenye kiboda boda changu uwa tunasikiliza ii nyimbo imetuingia sana
Uko vizuli sana kiongozi
💯
Anajua huyu jamaa hajawahi kosea kabisa 🔥🔥🔥🔥
😭😭😭😭😭😭😭😭😭🙏🙏🙏🙏 baba na mama
kizanzi sana Tisha broo nakubali 100😂😂😂😂😂
Yap Bro salute for you
Nyimbo itishi milele ngoma Kali sanaaa
Good job
🔥🔥🔥
bado hujasahaurika karibu tonya
🤝😊😊😊😊🤲
Hakuna dawa,dawa ni ww Mola
Uko pow sana kaka
Mbona naitaji kuidownload aipatkani
Noma
Matonya noma anajuwa
Very creative. Come back kwa kishindo Tonya
Umezingua kinoma noma em kua serious mzee yani kututoa kote kule insta ndo nyimboo yenyewe hii, mi siajelewa content za nyimbo kbsa naona umelia lia tu, yani hakuna kitu bro, huyu sio tonya yule. Hakuna kitu babu hapi siwezi kusema nyimbo mbaya wala nzuri yani hujaeleweka kbsa mzee baba.
Usisaau kuwa zile hit songs alikuwa anaandikiwa na Tunda Man akaja kumletea zarau Tunda akaamua kuanza kuimba mwenyewe tangia hapo Matonya anatapatapa kufamaji mbaka Leo..!!
Nyimbo mbovu naweza hata kutapika
Yani matonya sijui nani kakushauri ufanye huu utopolo😂 nibora usingeuhusisha huu wimbo na ile Ngoma Yako classic ya DUNIA MAPITO maaana unaishusha hadhi Huwezi na hautaweza kuandika tena ngoma kama ile..so tunaomba uiche kama ilivyo manake ile ngoma inaishi na itaishi miaka yote. Kwa sasa kitu ambacho ulitakiwa ukifanye kwenye ile ngoma labda ungeifanyia video tu na sio kuleta utopolo na kusema hii ni version 2 ya dunia mapito
upo sahihi kabisaa siwez kukupinga.
Dj Eskoti unajua nini wewe mtoto mdogo tulia home wakubwa zako tukiwa bize na hizii jumbe.....bila shaka umenielewa.
Dah we kweli ni kiazi hii ngoma unaanzaje kuiitaje utopolo?? Sikiliza kwa umakini tena
Mpumbavu unamjibu kulingana na upumbavu wake... Hujui lolote wewe mziki wenyewe umeujua juzi tyuu
Inaonyesha kijana wenzako wanakupelekea bomba la mavi
💯
🔥🔥