DUNIA MAPITO version 2

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 окт 2024

Комментарии • 55

  • @vitalresgalus8460
    @vitalresgalus8460 4 года назад +8

    wabongo wenye roho mbaya utawaona tu nyimbo yenye ujumbe uwezi sikia wakisikiliza lakini za mapezi utasikia kaka umefanya kitu kizuli sana ebu tubadilike paga like kama ngoma umeilewa kama Mimi

  • @wasafitvofficial5217
    @wasafitvofficial5217 4 года назад +8

    Mwanangu jichunge Sana mana inaweza kuwa Mwisho Mm na ww kuonana

    • @musafadhil5645
      @musafadhil5645 4 года назад

      That script left me crying mum plz R.I.p

  • @keptenpojos821
    @keptenpojos821 4 года назад +6

    We miss u Tonya time .. generation yako bado tupo Ila umeamua kutupotezeaaa....

  • @swalehemkwango9518
    @swalehemkwango9518 4 года назад +7

    Daaah Tonya time yako ss kaliiii zaidi ya saaaana nice voice

  • @mudybestmusic3889
    @mudybestmusic3889 4 года назад +7

    Nakubari tonya ngoma kali

  • @mohamedymngongo5829
    @mohamedymngongo5829 3 года назад +2

    Yap hakuna kufeli,ngoma kali sana,sijui watu wanapinga nn

  • @talazain1017
    @talazain1017 4 года назад +7

    Kama umesikia kinanda cha wema umeniponza ya ferouz gonga like

  • @allannittah126
    @allannittah126 4 года назад +7

    Please Matonya come back tena zaidi...hiyo lyrics Iko sawa

  • @martinmasaga5591
    @martinmasaga5591 4 года назад +6

    Nyimbo IPO safi kulingana na time tunayopitia now (Covic 19).

  • @mpundempunde1722
    @mpundempunde1722 4 года назад +4

    Dah jamaa kadhihrisha yeye ni mkongwe na anajua nini maana ya mziki hapa ndo unatofatisha mwanamuziki na msanii big up bro unajua Adi unakera 100% ngoma inaongelea corona lakini hakuna hata sehemu moja kataja neno corona aisee ubunifu 100% ngoma itaisha milele gonjwa lolote hatari likitokea itawakisha pia matonya ni fundiiiiiii

  • @fredoginga456
    @fredoginga456 3 года назад +2

    Napenda sana hii ngoma waah.tamu sana

  • @mutukusol5447
    @mutukusol5447 4 года назад +6

    Moja safii hii kaka

  • @kingkongmadiba3174
    @kingkongmadiba3174 4 года назад +4

    Big up sana kwa Matonya. Kazi nzuri sana...

  • @OfficialGraddo
    @OfficialGraddo 4 года назад +3

    Hello matonya am Graddo k from Kenya me msanii wa mziki wa lavidavi me fun wako mkubwa sana natamani unisaini kwa studio yako tafadhali matonya

  • @gazaboy2354
    @gazaboy2354 3 года назад +2

    Ahsante matonya wimbo wako mzuri umejitahidi umeeazidi WCB Wasafi💔😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @maikokipusa1495
    @maikokipusa1495 4 года назад +6

    Ni kwel

  • @lubavaclassic7048
    @lubavaclassic7048 4 года назад +7

    Nice vocal ..but ushauri wangu kwako rudi kaombe msamaha kwa Tunda Man aendelee kukupa Mashairi..maana utunzi wako toka mmegombana na Tunda enzi za Anita aujawai kutoa hit song mbaka Leo...!!

  • @evodykalala509
    @evodykalala509 4 года назад +4

    Tisha mzaziii

  • @Ibn_Arabi_Sultan
    @Ibn_Arabi_Sultan 4 года назад +2

    Tonya nimekufeel sanaaaaa🙏

  • @abdiaziz2978
    @abdiaziz2978 4 года назад +1

    #Right Song at the #Right time. Big up bro... Very sad and touching #Song

  • @saidnduti5615
    @saidnduti5615 4 года назад +2

    Tonya 2 big up broo

  • @mackladislaus474
    @mackladislaus474 4 года назад +4

    Love you msambaaa

  • @vitalresgalus8460
    @vitalresgalus8460 4 года назад +1

    umetuletaa ujumbe mzuli sana Kaka kila nikitulia kwenye kiboda boda changu uwa tunasikiliza ii nyimbo imetuingia sana

  • @zachaliaagustino8546
    @zachaliaagustino8546 4 года назад +3

    Uko vizuli sana kiongozi

  • @fdboykenya6314
    @fdboykenya6314 4 года назад +5

    💯

  • @abdallasalim2830
    @abdallasalim2830 4 года назад

    Anajua huyu jamaa hajawahi kosea kabisa 🔥🔥🔥🔥

  • @khalfanabdallahuzuriuzuri7114
    @khalfanabdallahuzuriuzuri7114 4 года назад +4

    😭😭😭😭😭😭😭😭😭🙏🙏🙏🙏 baba na mama

  • @vitalresgalus8460
    @vitalresgalus8460 4 года назад +1

    kizanzi sana Tisha broo nakubali 100😂😂😂😂😂

  • @pendonyakibokelo4558
    @pendonyakibokelo4558 4 года назад +1

    Yap Bro salute for you

  • @eliasgembe934
    @eliasgembe934 4 года назад

    Nyimbo itishi milele ngoma Kali sanaaa

  • @goldengodfrey6051
    @goldengodfrey6051 4 года назад +2

    Good job

  • @ramadhanathuman940
    @ramadhanathuman940 4 года назад +1

    🔥🔥🔥

  • @kibonaamenye6878
    @kibonaamenye6878 4 года назад +1

    bado hujasahaurika karibu tonya

  • @babloomkisauji2818
    @babloomkisauji2818 4 года назад +3

    🤝😊😊😊😊🤲

  • @ramadhankayanda4056
    @ramadhankayanda4056 4 года назад +3

    Hakuna dawa,dawa ni ww Mola

  • @rayRay-uc6gk
    @rayRay-uc6gk 4 года назад

    Uko pow sana kaka

  • @williamubethod1955
    @williamubethod1955 4 года назад +4

    Mbona naitaji kuidownload aipatkani

  • @mrcaroucyempendaatashikaje4875
    @mrcaroucyempendaatashikaje4875 4 года назад +1

    Noma

  • @mohdkhatib8128
    @mohdkhatib8128 4 года назад

    Matonya noma anajuwa

  • @felixmoindi3290
    @felixmoindi3290 4 года назад

    Very creative. Come back kwa kishindo Tonya

  • @ismailhamad7313
    @ismailhamad7313 4 года назад +7

    Umezingua kinoma noma em kua serious mzee yani kututoa kote kule insta ndo nyimboo yenyewe hii, mi siajelewa content za nyimbo kbsa naona umelia lia tu, yani hakuna kitu bro, huyu sio tonya yule. Hakuna kitu babu hapi siwezi kusema nyimbo mbaya wala nzuri yani hujaeleweka kbsa mzee baba.

    • @lubavaclassic7048
      @lubavaclassic7048 4 года назад

      Usisaau kuwa zile hit songs alikuwa anaandikiwa na Tunda Man akaja kumletea zarau Tunda akaamua kuanza kuimba mwenyewe tangia hapo Matonya anatapatapa kufamaji mbaka Leo..!!

  • @josephpesa5192
    @josephpesa5192 4 года назад +6

    Nyimbo mbovu naweza hata kutapika

  • @Kantimorro
    @Kantimorro 4 года назад +9

    Yani matonya sijui nani kakushauri ufanye huu utopolo😂 nibora usingeuhusisha huu wimbo na ile Ngoma Yako classic ya DUNIA MAPITO maaana unaishusha hadhi Huwezi na hautaweza kuandika tena ngoma kama ile..so tunaomba uiche kama ilivyo manake ile ngoma inaishi na itaishi miaka yote. Kwa sasa kitu ambacho ulitakiwa ukifanye kwenye ile ngoma labda ungeifanyia video tu na sio kuleta utopolo na kusema hii ni version 2 ya dunia mapito

    • @dvjtwentyfivedecember4398
      @dvjtwentyfivedecember4398 4 года назад +1

      upo sahihi kabisaa siwez kukupinga.

    • @westonchibwete3006
      @westonchibwete3006 4 года назад +2

      Dj Eskoti unajua nini wewe mtoto mdogo tulia home wakubwa zako tukiwa bize na hizii jumbe.....bila shaka umenielewa.

    • @mpundempunde1722
      @mpundempunde1722 4 года назад

      Dah we kweli ni kiazi hii ngoma unaanzaje kuiitaje utopolo?? Sikiliza kwa umakini tena

    • @laurentkijika1298
      @laurentkijika1298 4 года назад

      Mpumbavu unamjibu kulingana na upumbavu wake... Hujui lolote wewe mziki wenyewe umeujua juzi tyuu

    • @seifmbaruku8449
      @seifmbaruku8449 4 года назад

      Inaonyesha kijana wenzako wanakupelekea bomba la mavi

  • @Gnmakalmg
    @Gnmakalmg 4 года назад +4

    💯

  • @eastlule2081
    @eastlule2081 4 года назад

    🔥🔥