Sasa maadamu na wewe unatupotezea mda sasa ulinzi wa nini mmoja akivua mwendo uleule safari hii mtajikuta mpo Ifakara , na kumekucha huko weeeee hamtaomba kurudi dar😂😂😂😂😂 weeeeeee
Shachelew kufika kwenye account ya mkojan be daruweshi stak like yamtu Tuchek kwanza unyama huu hapa wanangu tujitahid nakusapoty vya kwetu jamn sema Bado atujachelewa🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 mkojan mabegani
Jina ni MAZINGAOMBWE lakini kila episode zikiendelea story nyingiii episode nzima inaisha hamna mazingaombwe. Mazingaombwe yawe mengi zaidi kuliko story nyingiii episode 1 au 2 nzima story tuuu
😂😂🎉❤mkoja ukija ukimpoteza chandimu duu! Aisee! Utakua umepoteza watu muhimu sana dogo janja anajua
Mkojani ni mmoja wa wachekeshaji bora kabisa kuwahi kutokea Tanzania na East Africa mashariki kwa ujumla
Huyo sham ama mkojani soo kwa mbwembwe hizo 😂😂
Sio siri Shamila kuigiza anajua bhn😂😂😂🔥🔥🔥
Bushura mrembo 😊😊
Mbona munairejea stori ya jini mahaba bt so nice😊
Niliona pia but wakadelete😂
Mkojani kazi safi sana naagalia kutoka mombasa kenya
Kenya tupo,,,na huyu madam ni kitu yo😊😊😊😊
Mkojani we mwamba kweli lkn mnachelewa mnaachia kitu jioni 🇰🇪🇰🇪🇰🇪likes zianguke wanangu wa mkojani gang
Wa kwanza mie
Chandimu anahangaika jamani 😂😂😂😂
nakukubali mkojani
Kisoseji😂😂😂😂😂😂😂
Always number one mkojani, brother big up ✊😊
Ubaya ubwela unaendelea
Sijawayi.pata ata like 50 ndani Ya gang Ya mkojani namba Lîkê jameni
K
Za każ gan
Tununulie bando
Nimewahi nipewe like zangu 🇴🇲
😮k
Sasa maadamu na wewe unatupotezea mda sasa ulinzi wa nini mmoja akivua mwendo uleule safari hii mtajikuta mpo Ifakara , na kumekucha huko weeeee hamtaomba kurudi dar😂😂😂😂😂 weeeeeee
😂😅😅😂😂😂😂😂
😂😂😂
Hi kazi IPO kitoto sana....upgrade mazingaumbwe yapo
Mkojani epsode zako ni nzuri sema ni fupi fupi sana
Tuliza kipwito 😂😂😂😂😂😂 boss umezinguwa dah! Et Shamila punguza kipwitoooooo😂😂😂
Mimi nikuwapatu 🎉🎉🎉🎉🎉
Strong mkojani gang. Good job
Aluta continua .... mkojani gang for Life 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Kazi nzuri
Chandimu nakupenda san❤❤❤
Li chandimu lijinga mpaka linakela
😂😂😂 chandim wew ulipewa mke kwaajili ya unafiki
Tuna kubali sana kazi za Tanzânia from 🇲🇿🇲🇿
😂😂mkebe mweupe in the mix sasa leteni bi kauye🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣kazi murwa kabisa 🤣🤣🤣🤣🤣
Mwatuzinguwa bwan epison gan iyi na nyie mb zetu na sis zinatuumiz
Huyu watchiii ni mkamba 😅😅😅😅😂
🔥🔥🔥
Chandimu mweu
Wakwanza Mimi leoo
Mashallah ❤❤❤❤❤❤
Huto tumiguu twa kijiko😂😂😂😂
Leo wakwanza naomba like Zang jamn
Tafuta kazi ufanye
Ila shamila😂😂😂
Ivi ii movie mnaona itawai kwishaaa au? Kipande kimoja hua mnakitumia mda mwingi sana Yan mtu anaongea dk kibao unakuta epsode yote ni karata 3 tu du
❤❤❤❤gang
Chandim fara😂😂😂😂😂
Leo wa kwanza
Hii series mmevurunda wala hamana kitu kabisa.chumvinyingi anawaburuza na Ndupe walahi😂😂😂
Welcome white wanyarwanda kama mnapata burudanihii please like this video
Huyu mlinz kakamirisha sifa za kisa baa ni mashoga kama yeye mbwa awa
Uyo mama mjengo kwani ameteta na braa ama
Leo mbona nimewahii sana
Kisoseji 😅😅😅
Mkojan mov hii unafel unawek Dak chache San matangazo kibao badilik bas mashabiki zako unatuuzi atujakuzoea ivi kuwek tuvipand tufupi fup ivi
Mkojani muda mchache sana halafu unaweka na matangazo tena😢
🎉🎉
❤❤❤😂
Punguzen story
Shamila anajua mpk anakela
❤❤❤❤
Chandim kachomoa tena betri
😂😂😂
@@MaithamOmar mmmmmmh
@@MaithamOmar mambo
Kijiko ndo kuigiza gani et umelala
na mm jamani
Eti wee acha ashuooo 😂😂😂
Mnautowa vipande vidogo vidogo sana
acheni ujing
Kamhogicha vip aminjipata au vip mkonjan
Kamugisha ako wapi? Alafu mlitupostua jini mahaba kimakosa na mkadelete😂
😂😂😂😂😂kumbe na ww uliona
rafiki anayakenini
Dzaaaaamn eeeehh watu walilia likes je subscribers wako wpy😂😂😂napendah sanah
Ayo matangazo cku1 mtatoa episode ya matangazo matupu
kula chuma iko😂😂
Ila kisosejy sasa hv unanikosha saaana mdg wng😂😂😂😂😂😂 et nakupa kazi nyingine teeena???
Ongea dakika za muvi japo dakika 20
😂😂😂Tuliza kipwito
Huyu jama aliwazaga nini adi ateme kuni, Kwani alizilaga kuni au.
Eti utakipata cha “ mtema kuni “
nawafatilia kutokea ilala hapa
Shachelew kufika kwenye account ya mkojan be daruweshi stak like yamtu Tuchek kwanza unyama huu hapa wanangu tujitahid nakusapoty vya kwetu jamn sema Bado atujachelewa🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 mkojan mabegani
Alieona shape ya kisoseji tujuane apa😂😂😂😂
Nmeona 😂😂🎉
😂😂😂
Kamugisha yup wapi jamani
❤❤❤❤❤❤❤🇶🇦🇶🇦🇶🇦🇶🇦🇶🇦🇶🇦🇶🇦
😂😂🎉
In ubaya tulifika episode 4 tunataka muendelezo ahadi ni deni🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Tin White kashafanya yake😂😂
Jina ni MAZINGAOMBWE lakini kila episode zikiendelea story nyingiii episode nzima inaisha hamna mazingaombwe. Mazingaombwe yawe mengi zaidi kuliko story nyingiii episode 1 au 2 nzima story tuuu
NAOMBA subscribe
🔥🔥🔥
Shamila anajua mpk anakela
❤❤❤❤❤
❤❤❤
❤❤❤