MJINI SKONGA (SEHEMU YA NNE)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024

Комментарии • 288

  • @zubaidaalsalhi3242
    @zubaidaalsalhi3242 3 года назад +56

    Weuweeeeeeeeeeeee 😅🤣🤣🤣😅😅😅
    Usipo wapa LIKE Zao MRS na MR zumooo basi ujue UNABIFU NAO 😜😜😜
    Hongera kwao Watuchekesha bila kutaka kwakweli 😍😍😘😘😘💞💞♥️♥️♥️💋💋💋💋💋💯

  • @jsteven7660
    @jsteven7660 3 года назад +90

    Leo naomba like moja tu mana cjawahipata like

    • @mtumakin5488
      @mtumakin5488 3 года назад

      Nc

    • @queenelenst329
      @queenelenst329 3 года назад

      Nice

    • @ramaramadhan8125
      @ramaramadhan8125 3 года назад

      @@mtumakin5488 +/-/++//++/+/++/+/*))*))*))*))(*))**(qqqqqq/+*)(*(-())*))Aq**)*+/+///++/+/+/)-((-(-(-(-/+//+//////+/*/+(***/////*/+///+/)*+//+/*)))qQ+/+(

    • @ramaramadhan8125
      @ramaramadhan8125 3 года назад

      @@mtumakin5488 Q we

    • @ramaramadhan8125
      @ramaramadhan8125 3 года назад

      @@mtumakin5488 qa(/*

  • @halimomar1617
    @halimomar1617 3 года назад +24

    Dah nmkupenda bure habiba zumo

  • @hajjauriyahajj3267
    @hajjauriyahajj3267 3 года назад +15

    Nimeiwai leo anko zumo ee alfu nime subscribe na ni me clike button ya 👍🏼

  • @mwengatv3058
    @mwengatv3058 3 года назад +11

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂
    Hiyo tembea ya Mama my imeniuwa mbavu
    Dadeeeekiiiiii😁😁

  • @gatantz9761
    @gatantz9761 2 года назад +1

    Tuna omba sapoti yako
    Ss
    the sun dom group

  • @Soccer_Life2
    @Soccer_Life2 3 года назад +25

    Wakwanza kwa episode ya Nne

  • @salumuseremani4475
    @salumuseremani4475 3 года назад +1

    But I don't understood the language

  • @milamila5594
    @milamila5594 3 года назад +8

    Ancle zumo 😂😂 jamani vile unaigiza na mama mai, Aise! Napenda👍🤣🤣

  • @khadeejaabdullah7083
    @khadeejaabdullah7083 3 года назад +6

    Habiba hizo mbio ni wewe daah umeuwa

  • @madamzuwena9384
    @madamzuwena9384 3 года назад +6

    Heeee!!! Mama mai maa shaa Allah cyo kwa kuruka huko kwa geti

  • @mebakaribakari7827
    @mebakaribakari7827 3 года назад +1

    Jamani mama mai umenifurasha

  • @sarahpeter1186
    @sarahpeter1186 3 года назад +1

    Mmeuwa

  • @aminaibrahimu5195
    @aminaibrahimu5195 3 года назад +6

    Ila zumo waibieni tu watu cku ya kubiwa nyie msilie😂😂😂

  • @braisonwillibard7444
    @braisonwillibard7444 3 года назад +1

    🤣🤣🤣🤣habibaaaaa

  • @sesiliayusuph3463
    @sesiliayusuph3463 3 года назад +4

    🤔😄😄😄😄😄
    𝙅𝙤𝙢𝙤𝙣𝙞 𝙝𝙞𝙞 𝙠𝙪𝙗𝙬𝙖 𝙠𝙪𝙡𝙞𝙠𝙤

  • @abdulrahmanawadh9547
    @abdulrahmanawadh9547 3 года назад +1

    Unazoezi mama

  • @twahakassimtk4313
    @twahakassimtk4313 3 года назад +4

    Hii Couple ni ya Hatare...,Nipeni IDEA namim mwakani nataka kuoa😁😁😁

  • @joanmagana3682
    @joanmagana3682 3 года назад +1

    Nyie MTU na mkewe mnaenda less hatare na nusu

  • @halimasuleiman2713
    @halimasuleiman2713 3 года назад +8

    Nimewahi leo👌

  • @abdulrahmanawadh9547
    @abdulrahmanawadh9547 3 года назад +1

    Habiba uko juu mama

  • @petermaina7111
    @petermaina7111 3 года назад +3

    Mjini skonga kweli....chali ya chuga utalijua jiji....
    Hapa Habib umecheza kihollywood....

  • @catholicvibemusic3151
    @catholicvibemusic3151 3 года назад

    AFYA YA MTOTO KAMA NI MZAZI.
    habari ya muda nimeona wazazi wengi wanaangaika na changamoto mbalimbali za afya ya mtoto.
    Je?mtoto wako ana changamoto hizi.
    1.mtoto hapendi kula/hana hamu ya kula
    2.mtoto anachagua chakula
    3.mtoto wako anaumwa homa Mara kwa Mara
    4.mtoto amepoa hajachangamka
    5.Mtoto anachelewa kukua
    6.Mtoto hapati choo
    7.mtoto ana upungufu wa madini na vitamin
    8.mtoto mwenye upungufu wa akili au kusahau sahau kutofanya vizuri darasani
    Tucheki whtsp 0719174248 / call 0622945360 📞

  • @haimahaima9473
    @haimahaima9473 3 года назад +6

    Habiba 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @ajmilee4204
    @ajmilee4204 3 года назад +1

    Mama Mai karuka ukuta kuna mwanae yule Bonge kashindwa kuruka.. Dah nimecheka kwel😀😁😁😁😆

  • @fatmaadam7749
    @fatmaadam7749 3 года назад +3

    Habiba upo swa kwa mbio

  • @aminaibrahimu5195
    @aminaibrahimu5195 3 года назад +5

    Daaaa chali hajui km mjini skonga nini😂😂🏃🏃

  • @pelesiabuhaga2120
    @pelesiabuhaga2120 3 года назад +2

    Ankoo zumo mmeniacha hoi sana hahahaaa

  • @nurafedrick378
    @nurafedrick378 3 года назад

    😄😄😂😂😂😂😂😂😂duuu hixo mbio wacha tuu kumbe mwajitafutia Haha

  • @abdulraufmohammedsalum6806
    @abdulraufmohammedsalum6806 3 года назад +2

    Mumenimaliza apo mwisho mlivokua mnatembea😂😂😂

  • @nabagalahadijjah1074
    @nabagalahadijjah1074 3 года назад +5

    Nmependa

  • @thelioness4259
    @thelioness4259 3 года назад

    ha😂ha 😂 ha 😂 ha 😂 ha 😂 ha 😂 ha 😂 ha 😂 ha 😂 ha 😂 ha 😂 ha 😂 ha 😂 ha 😂 ha 😂 ha 😂 ha 😂 ha 😂 ha 😂 ha 😂 ha 😂 ha 😂 ha 😂 ha 😂 ha 😂 ha 😂 ha 😂 ha 😂 ha 😂 ha 😂 ha 😂 ha 😂 ha 😂 ha 😂 ha 😂 Machizi freshi wamepatana Plus Watoto 😂ha 😂 ha 😂 ha 😂 ha 😂 ha 😂 ha 😂 Mungu awalinde Mzidi kutuchekesha

  • @happyrichard3188
    @happyrichard3188 3 года назад +5

    🤣🤣🤣🤣🤣 mungu awajalie Tena na Tena na Tena 🥰🥰🥰

  • @innomchaga
    @innomchaga 3 года назад +6

    Nimependa ubunifu wenu🔥🔥🔥

  • @sirbinladen786
    @sirbinladen786 3 года назад +1

    Abar naomba nikukarbishen katika masomo yetu yanayohusu tiba za maradhi mbali kila Alhamisi bila malipo yoyote karbuun

  • @saudambinga3832
    @saudambinga3832 3 года назад

    🇴🇲Mnajua kuzitafuta pesa jmn, pamba neni Mai asome🤣🤣🤣

  • @shamimmbilinyi9440
    @shamimmbilinyi9440 3 года назад +3

    Daaaah ni nima sana kila siku ubunifu mpya napenda kazi zenu

  • @allymahamudu9492
    @allymahamudu9492 3 года назад +2

    Sconga iyo kwiyo

  • @mastermfaume
    @mastermfaume 3 года назад

    Dadaaadeeki

  • @zuleikhasuleiman4634
    @zuleikhasuleiman4634 3 года назад

    Habiba uko vizr hongra saw kwa Kua strong nimeipand

  • @omymcatalunya2331
    @omymcatalunya2331 3 года назад +6

    Hii couple 👊🙌

  • @gahimbarebella8652
    @gahimbarebella8652 3 года назад +2

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣jamani mbavu zangu mimi🤣🤣🤣

  • @aminajuma
    @aminajuma 3 года назад +3

    😂😂😂😂😂mama mai jamani yaani umefanana mwizi wa mia 30 😂😂😂😂 big up saaana nimefurahi saana kuona unaruka upango 😂😂😂

  • @sirbinladen786
    @sirbinladen786 3 года назад

    Mvuto wa kupendwa na watu kwa kutumia miti shamba
    ruclips.net/video/rdBBJqLQ8GE/видео.html

  • @fatmamohammed2397
    @fatmamohammed2397 3 года назад +5

    Big up anco zumo, habiba si kwa mbio hizo inshaallah mtafika kwa uwezo wa Allay.

  • @salhaayoob2504
    @salhaayoob2504 3 года назад

    Hahahahahahahaha nmecheka jaman😁😁😁😁😁😁😁😁

  • @rehemasalim4590
    @rehemasalim4590 3 года назад +2

    Sikucheka tu kuna somo pia habiba umeweza😝😃🤣😃

  • @wendylightness1897
    @wendylightness1897 3 года назад

    😀😀😀😀 anko zumo mahali yako inaenda kuliuhali kabsa

  • @ramadhanikizingq8972
    @ramadhanikizingq8972 3 года назад +2

    Nimechekatu nilivyo muon habiba zumo

  • @bettymwas1492
    @bettymwas1492 3 года назад +1

    Wakenya wako huku good job ma mai

  • @salamahamadisudi1912
    @salamahamadisudi1912 3 года назад

    Anaruka mikuta kweli kweli😳😳waaaaa nimekuaminia

  • @bnbnbnbbnvbn9006
    @bnbnbnbbnvbn9006 3 года назад +4

    Mwendelezo 🤣🤣🤣🤣

  • @zubeirsalum128
    @zubeirsalum128 3 года назад +4

    Uncle zumo big up

  • @annmawalla7905
    @annmawalla7905 3 года назад

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @realgreyman_
    @realgreyman_ 3 года назад +1

    😂😂ruclips.net/video/A9KINnKEFZU/видео.html
    Noma sana usisahau kulike,kucomment na kusubscribe 🙏☺️

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 2 года назад

    Mtu na mume wake wezi hao.😁😁😁😁😁👍👍👍

  • @sufanny924
    @sufanny924 3 года назад +3

    Kumbe mama mai anaweza kbsa nawapenda from 🇧🇮

  • @kimarohuba7441
    @kimarohuba7441 3 года назад +1

    Zumoo umenichekesha mpk nimepaliwa 😘😍😁😂😂

  • @shredor9986
    @shredor9986 3 года назад

    Lakini iyipici siniile umewai kumleteya

  • @harounali9057
    @harounali9057 3 года назад

    Uncle Zumo usha ishiwa sasa una fundisha kuiba.

  • @marymamntine1909
    @marymamntine1909 3 года назад +2

    Habiba hizo nguo za anko zumo nishawahi kumuona kavaa etiii 😂😂😂😂

  • @faidhahamis7887
    @faidhahamis7887 3 года назад

    Khaaah kweli vya kurithi vinazidi 😄

  • @kevenkeven7381
    @kevenkeven7381 2 года назад

    Yani iyimojakali😂😂😂🥰🥰🥰

  • @nasrababy4209
    @nasrababy4209 3 года назад +1

    🤣 🤣 🤣 Nime cheka sana

  • @fatmamshangama9824
    @fatmamshangama9824 3 года назад

    Duuuh mama mai umejua kunifurahisha kwel ww kibaka

  • @samiaarimkonekonko5096
    @samiaarimkonekonko5096 3 года назад

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣👆🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @pendohillrey1164
    @pendohillrey1164 3 года назад

    Wee akh mama mai uko pow pongezi kwako dadangu umeweza 2 sana

  • @pendondossy4181
    @pendondossy4181 3 года назад

    Habiba umefanya kweli maana Co kwa mbio hizo

  • @munasaid6388
    @munasaid6388 3 года назад +7

    Wow!...mama mai umeweza....nawapnda bure🇰🇪#🇸🇦

  • @bonykimario8649
    @bonykimario8649 3 года назад

    Hii familia naipend bure inaendana kila kitu

  • @faidasalvador9148
    @faidasalvador9148 3 года назад +2

    Wao🤣🤣🤣🤣😂🤣😂😂😂

  • @capteinchuimchafu7894
    @capteinchuimchafu7894 3 года назад

    Kwakwel mnafanya Kaz nzuri sana

  • @khadijaa815
    @khadijaa815 3 года назад

    Sijaona kuna mafunzo gani ndani ya zote

  • @prisilaathuman2868
    @prisilaathuman2868 3 года назад

    Mamai umetishisha mama la mama

  • @amaniseeb1208
    @amaniseeb1208 3 года назад

    😆😆😆😆duh hii kali 😆😆😆😆😆

  • @khdigahk4246
    @khdigahk4246 3 года назад

    Mama maiiii😅😅😅🙏🙌🙌🙌🙌🙌

  • @nivaeliud579
    @nivaeliud579 3 года назад

    Daah hapa mama amejua kucheza kawa muhuni kinyama

  • @echamwashamba8554
    @echamwashamba8554 3 года назад

    Abiba umenicjekesha

  • @zhangshadow5080
    @zhangshadow5080 3 года назад +2

    yaap this is another level ckutegemea km mnaaidia nyingi kias hcho

  • @chussetz
    @chussetz 9 месяцев назад

    Huna baya brother

  • @iddijuma7628
    @iddijuma7628 3 года назад

    mshaniharibia MB zangu

  • @abdulazizijuma226
    @abdulazizijuma226 3 года назад

    😅😅😅😅 mama mai anatembea duuh

  • @fatumamwantumu4081
    @fatumamwantumu4081 3 года назад

    Wakumi leo ahsante

  • @sitimlole6777
    @sitimlole6777 3 года назад +1

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @hillarymjanja3871
    @hillarymjanja3871 3 года назад

    habiba una mbio kwelkwel

  • @issammalinda5466
    @issammalinda5466 3 года назад

    Imetisha ankoo zumoo

  • @ashaali7154
    @ashaali7154 3 года назад

    Duuh lakini kwa mbio hizo wizi ni zaidi ya kazi🤦🤷

  • @comedyentertainments1961
    @comedyentertainments1961 3 года назад

    Mmetisha aiseeee😅😅😅😅

  • @saadamande3093
    @saadamande3093 3 года назад

    Habib sio kwa kunesa huko

  • @rehemshehoz8704
    @rehemshehoz8704 3 года назад

    Episode y leo nom

  • @sarahsarah4919
    @sarahsarah4919 3 года назад

    Jamani leo nimecheka balaa

  • @tvrepairtz
    @tvrepairtz 3 года назад +10

    nahisi zinachelewa nataman uwe unaachia episode mbili kabisa (:

  • @soleilinzeza6897
    @soleilinzeza6897 3 года назад

    Nyiy viboko yao😂😂😂😂

  • @Tatuabdi123
    @Tatuabdi123 3 года назад

    Hhhhhhhh hbiba nmkpnd

  • @officalhellen691
    @officalhellen691 3 года назад +1

    Loveeitt

  • @hamidondaclassic8313
    @hamidondaclassic8313 3 года назад

    Mamá Mai sio kwa kuruka huko

  • @hafswamaryam7169
    @hafswamaryam7169 3 года назад

    Nimeipenda bure

  • @شكران-ل6ظ
    @شكران-ل6ظ 3 года назад

    😃😃😃😃😃😃😃😄😄😄😄😄😄

  • @muhamedwardah5144
    @muhamedwardah5144 3 года назад

    Tuna subiri na ya tano

  • @ashajabiri3035
    @ashajabiri3035 2 года назад

    Siyo kwa mbio hizo mama mai