JohMakini ft Fundi Samweli - Nikumbatie
HTML-код
- Опубликовано: 5 сен 2024
- #JohMakini #Nikumbatie #FundiSamweli #Slidedigital
(C) Slide Digital
Joh Makini Songs OUT WORLDWIDE ON MAJOR DIGITAL STORES:
Written & Performed by Joh Makini
Follow Joh Makini on:
/ johmakinitz
/ johmakini.tz.1
/ johmakini
/ johmakini
Joh Makini is a top Tanzania Bongo Hiphop artist.His witty ryhmes and wordplay have made him into a household name in Tanzania and Africa,He is a renowned rapper known for his skillful use of metaphors, wordplay, and freestyle abilities.
Born as John Simon Mseke in Arusha, Tanzania on August 27th, 1980, he began his career as part of the River Camp group and released his first hit, "Chochote Popote," in 2006. The following year, he released his debut album titled "Zamu Yangu."
He has collaborated with many international artists, including the late AKA, Davido from Nigeria, and Navio. His talent has earned him the Best Hip-Hop Artist award at the Tanzania Music Awards in 2012.
Get a taste of Joh Makini's unparalleled lyrical prowess now !
For bookings and inquiries johmakini@gmail.com
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: slidedigitaltz
2024 am still here for this master piece ❤ @JohMakini🌟
2024 anyone??
I'm ready to fly joh makini ft fundi samweli, nyimbo kubwa sanaaaa hii dah, l am crazy about this song 😂😂😂❤❤❤
wenye ngoma kali hawapati hizo like nyingi sasa music kama huu ni mzuri sana
2024 LIKE HAPA🤝
Wimbo kama dawa siachi kuitumia pale ninapoumwa
Tiba kamili na inaponya Bonge La nyimbo nimda sasa unaenda toka itoke hii nyimbo but still hit
Sio mia kwa mia ila umenitosha vigezo,,,2019 who else?
This is 2023 bro 🙏🏽
2023 still the best bang
Joh makini,
Mwamba wa kaskazini
Mtoto wa Simon
Nimekuita mara 3🙏
Hii ngoja fanya mpango wa video kwa kweli, ifanyie haki
Ngoma inaishi, mziki mzuri 🎶👍
2023 🔥🔥
Still I’m flying 2022 🔥
Mwanamke wandoto zangu ulee familiar yangu who?? 2021
Niliumia sana kutokutia video ya hii ngoma nisawa na ngoma ya linex mahakama ya mapenzi na yenyewe video haikutoa ila poa tu mangoma ni yaukwel yana nikumbusha enzi sina familia nilikuwa mimi na mziki tena fiester ilikuwa noma sana nilikuwa na jaama yangu kila goma likiwekwa tunaluka nalo hatuna habari ya kumsogelea msanii
Vitamin Music ❤❤2024
John Simon Mseke
2023🔥
Naomba huu wimbo uje uchezwe kwenye harusi yangu siku naoa DJ aje kuwa makin kucheza huu wimbo.
Realy song nimeielewa....Jamaa umetembea na biti..Pachi za hatari...good
Huu wimbo haukupata heshima unao stahili kwa kipindi kile
Makini Joh kwa hizi Flows ni SOMO #2022
nataka umreplace mama angu mwanamke wa ndoto zangu ulee familia yangu
🐐
Brother Joh Makini, kama jina lako uko makini, ; kwa nini bablai hutoi vitu kama hivi siku hizi? Kama mafanikio naamini ushafanikiwa kwa maisha ya kawaida i.e hela ya basic needs...house kali etc...
Basi kaka tufurahishe mashabiki wako kwa vitu mfano wa hivi...tunakuelewa kinomaaa...
The best hip hop love song of all time period
My all time favorite song from Joh Makini…
2022 bado tunaishi nayo
2023 Leo hii nimekumbuka hii Ngoma..❤️❤️
2023 I'm here
atar man inanikumbusha 2013 nikiwa MSANGENI SEKONDARI .Muziki sio uhuni
2023 still ❤❤❤
''NIKUPELEKE MOUNT KILIMANJARO LETS GOD DEEP DOWN AND NGORONGORO DELTA ,SIKU MBILI TATU PALE MTO WA MBU PICHA NZURI ZA MBUGAN KAMA KUMBUKUMBU,KISHA NIKUMILIKI SHOWRY HU NDO MPANGO WANGU ........'' Da HIP HOP JUUUU makini unawakilisha for REAL.
athuman gullam safi sana
Ah hihop iz knowledge
athuman gullam iko pw
Hip hop sio uhuni mzeeee
Wale wadada wa bobeaa wanangekaaa na kwenyee movie ya hii ingekuwaa kubwaa sanaa mwambaa
#Legendary anayeishi #KING A-town we proud to have u 2023🔥🔥
Joh makin anavo kata mawimbi
ngoma ipo vizur sana big up joh na fund samwel
One of my favourite songs from John makini
Daah!!!!Bonge La Heat....Mwambaaaa.....
John saimon ur de best hip hop all de time
Nimebaki kuskliza ngoma zako za kitambo tu Joh
hujawahi kuniangusha joh hii inanikumbusha 2015 ilikua aitoki kwenye pray list yangu
Mpaka sasa 2023 bado ngoma kali sana na haijawai chuja
oooooooi wewe ni kwereeeeeee aaaasaeeeee
Nataka umreplace mama yangu!
Joh sikuwahi kukubali kazi yako yoyote.Samahani huo ndio ukweli.Ila kwa hii kazi pokea salute kubwa This is one of best song kwenye Tanzania Music industry ..Big up urself Joh an samweli
Mkubali mtu abatekuburudisha mziki mgumu jombiii
2022 we here nigga 💚💚💚
nakukubali xana kaka hasa katika ngoma zako big up broh HIP HOP FOR LIFE LIKE KILIMANJARO.
MUNGU AKUBARIKI XANA BROH.
Nakubali toka kitambo had leo joh na fund samweli hii mlitisha,,
sio kilev sio tamaa ni mapenz kweLI, MI nnakustahili usijione zaLI,......
Ni tamu sana ongeza sauti ya redio
2023 listening to this hot chorus
Shinda siri za jeshi kwa hii serikali nikutunze.
you did bigg makinii
Joh kama VIP hii ngoma tuitolee video buda nafkiri itahit ile mbaya
2022 keep it og
Jana nlkuwa nacheki Washa kideo ndio nkakumbuka hii ngoma Dah hii ni ngoma kalii ya wakati wote
✌
Mwamba wa kaskazini #2019
Mziki unaishi sana,FundiSamweli kuna kazi bado inamwitaji kukamilisha
Nawakujali saana kazeni buti
nce sna cha Arusha
The best fundi ever
Dhe best song 1111 ever joh
iko poa sanaaaaaaa joh una jua sana, nyeusiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
safi sanaaaaaaaaa
2021 and it still bangs
This is Perfect Joh.
That good man...............big up
hi ngoma ni kwere big up
2021 bado nausikiliza huu wimbo ambao hauchuji
2024
Ngoma fresh sana
Mi penda wewe sana Joh
so far 100 comments
Till now namic sanaaaa duh! Mko juu
uwiii kama kawa nzr xana
ww
There should be a video of this song
Nammiss joh huyu
Nime-Play Nyimbo za WEUSI for more than 12 hours na bado sijazimaliza kusikiliza zote. na hizi ni zile walizo uploud you tube tu zijui zilizopo kwenye platform nyingine na zile ambazo hawajaziuploud popote
My song
nice as usually
replacé mama
Uko vizur kka! Mm lov da song
🔥🔥🔥
2020 who else ?
nice song
Jo mwamba
2020 hii ngoma inanikumbusha mbal
2020 gud music alive
2022💯💯💯💯
Who's here 2020
2022 again
2018 gonga likes
killin me this song
Good songs
big up?
very good
Joh
2020 kipindi cha Corona
Oh
Excellent
#jayzBONGO