Solomon Mkubwa Nimewasamehe Official Video

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 сен 2024
  • Solomon Mkubwa Nimewasamehe

Комментарии • 404

  • @queenafyshebah9698
    @queenafyshebah9698 6 лет назад +1

    Nimewasamehe wote,pia na Mimi naomba wote niliowakosea wanisamehe.

  • @esterntemi1200
    @esterntemi1200 8 лет назад +1

    Nimewasamehe nakuwaachilia wote kutoka moyoni mwangu na wao naomba wanisame!

  • @AliM-di8dz
    @AliM-di8dz 6 лет назад +1

    Inatakiwa kusamehe kutoka moyoni ili nawe usamehewe na mungu Wako sababu hayupo aliekamilika

  • @ndaizeyeespoir8526
    @ndaizeyeespoir8526 6 лет назад +1

    huu ni wimbo ambao hautavutikaka kichwani mwangu. Wanao nifahamu wanajuwa naongea nini. Mungu akubariki salomon.

  • @winnieshinga8035
    @winnieshinga8035 5 лет назад

    Nimewasamehe Wote walio nikosea....Bwana naomba unitumie, nitume nami nitakwenda. Naskia Niko huru katika jina la Yesu

  • @hsinvasion9465
    @hsinvasion9465 7 лет назад +2

    wimbo huyu hua sipendi kuusikia sio kwa nia mbaya,bali hua unaniliza sana,ubarikiwe solomon mukubwa.

  • @estherbenedictekitenge9738
    @estherbenedictekitenge9738 6 лет назад +1

    Musamaha inafungua, Kutokusamehe ni kujifunga mwenyewe, Samehe ili Mungu naye akusamehe kwani sisi sote tuna koseya na kukusewa.
    Asante kwa ujumbe.

  • @saidakasamani1756
    @saidakasamani1756 6 лет назад +1

    Ihave kept pple in my heart but iwill try to forgive hata mimi mkono wangu God will heal me one day hii wimbo napenda sana

  • @victorsudi2687
    @victorsudi2687 4 года назад

    My brother alinikosea nikasema sitawai msamehe but because of this song nimepigia simu na kumsamehe nimemsamehe kabisa

  • @mamaishimwejoshua5818
    @mamaishimwejoshua5818 6 лет назад +1

    Mungu wangu nitawasamehe aje? It's too much na ni wengi sana.Solomon,Salomon as-tu écrit un livre sur comment tu as perdu ton bras et comment tu es venu leur pardonner? J'aimerais que vous le fassiez, je le lirais, j'ai eu du mal à pardonner et même maintenant que j'écris ceci, j'ai une prière dans mon cœur que Jésus m'aiderait à leur pardonner. Vous dites que le cœur n'est pas une prison. ... libérez-les libérez-les ... Oh mon Dieu, aidez-moi ... c'est si dur

  • @dennisojuma9606
    @dennisojuma9606 6 лет назад +1

    nimewasamehe wote asante yesu

  • @chloerugendo2840
    @chloerugendo2840 5 лет назад +1

    Nimewasamehe wote waliohusika kuniangusha,sina kinyongo nanyi tena,

  • @evarlynkavaya1604
    @evarlynkavaya1604 8 лет назад +1

    nyimbo za solomon zinanitia roho kabisa

  • @joycendolojp1905
    @joycendolojp1905 3 года назад

    Kunaye mwenye kulipa kisasi
    Nimewasamehe wote 🙏

  • @jayrabut4304
    @jayrabut4304 5 лет назад +18

    For 5yrs have not been talking to my own blood brother...had hold that grudge nd swear not to forgive him,but when i heard this song frequently i feel released and forgive him....thank you mtumishi for this song...it blessed me daily🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻

  • @toshafidele5881
    @toshafidele5881 6 лет назад +3

    Nimewasamee wote walionivika taji la miba. Nimewasamee bure.😭

  • @rosechristian5086
    @rosechristian5086 6 лет назад +1

    Umenibarki na Nyimbo hii leo Katika Tamasha Twende zetu Arusha, ,,Hakika Mungu ni mwema tusahau ili baraka zetu Zitujilie

  • @emmanuelwafula9859
    @emmanuelwafula9859 27 дней назад

    Thank you God because this song never go old amen❤❤❤

  • @apolinanunda1603
    @apolinanunda1603 8 лет назад +1

    nikweli iyo... dunia iyi iko na mambo mengi, nyimbo iyi INA nigusa sana.......nikuwasamehe tu..

  • @angekalonda6258
    @angekalonda6258 9 лет назад +1

    Asante Mungu kutufunza msamaa, iyi wimbo inatufunza mingi ubarikiwe Salomon, atatukiwa na moyo mgumu kufatana nanyimboiyi tunasamehe waadui wetu

  • @bettysifuna2488
    @bettysifuna2488 5 лет назад +1

    Charles jaloka nimekusamehe pamoja na mamako for what you made me go through. how i wish my deceased dota could be around to forgive you too. rip toto and please forgive your father for everything. AMEN.

  • @luckpopulargoodluck5025
    @luckpopulargoodluck5025 6 лет назад +1

    kusamehe ni ngumu MUNGU anisaidie.
    hongera kaka Kwa kunywa damu ya YESU

  • @rhodaayuma240
    @rhodaayuma240 5 лет назад

    Hakuna mwanadamu aliye mkamili hapa duniani....Nmewasame wote walio nikosea,,ntazidi kuwasamehe siku zote za maisha yangu(nawaombea heri na fanaka kwa kila jambo wanalofanya)

  • @masumbukomagumba598
    @masumbukomagumba598 8 лет назад +1

    naupenda sana huu wimbo nazani nimejifunza mengi sana kuusu namna ya kusamehe I love Solomon mkubwa

  • @absonemlumbe5247
    @absonemlumbe5247 2 года назад

    Mungu akulinde uishi mipaka mingi solomoni nimesameha

  • @paulodiwuor8399
    @paulodiwuor8399 5 лет назад

    nilifanya kazi siaya miaka 7 saba iliopita katika shirika moja la SMEP DTM,lakini katika ufanyakazi wangu bora katika hilo shirika baadaya ya kuwaingizia zaida kubwa ya mamilioni ya pesa walinifungulia mashtaka kortini kwa uwezo wa mungu hakukuwa na ushaidi wowote nikaachiliwa huru ,huu wimbo ulinitia moyo sana nikaachilia yote yaliokuwa moyoni mwangu ijapokuwa nilipitia machungu sana na familia yangu

  • @diananadia9528
    @diananadia9528 2 года назад +1

    Nimewasamehea wote walio nitendea mbaya

  • @scholahkio1616
    @scholahkio1616 9 лет назад +1

    it is not easy Solomon, but av forgiven them. ..from deep of my heart ,for Wat they did. ..jesus is my rock. ...b blessed brethren Solomon

  • @elizabethnashon2016
    @elizabethnashon2016 9 лет назад +2

    Hujambo Solomon, napenda nyimbo zako, kwa message zinazo, zina hudumia maisha yangu.. Asante kwa kunibariki pia kwa Big Testimony truth fm, Mungu akuzidishie neema na Utukufu wake uthihirike katika maisha yako na familia.. Barikiwa!

  • @munjalwinking
    @munjalwinking 6 лет назад +3

    Listening to this song for the first time today . I forgive all who wronged me because JESUS CHRIST forgave me . God bless you man of GOD Evangelist Solomon Mukubwa plus your family and ministry in Jesus name Amen. Glory to GOD.

  • @jemmimahngasi5580
    @jemmimahngasi5580 7 лет назад

    Nimewasemehe wote toka moyoni mwangu!

  • @janetsada2514
    @janetsada2514 5 месяцев назад

    thx kwa hii nyimbo even was too hard bt nmesamehe mungu azidi kunitumia nione baraka

  • @mamaishimwejoshua5818
    @mamaishimwejoshua5818 6 лет назад +2

    S'il te plaît, parle-nous de ton voyage. Salomon, regarde tous ces commentaires ... chaque fois que j'écoute ta chanson, je pleure et quand je rencontre la plupart de ceux qui m'ont fait du tort, je ne dis même jamais bonjour. Mon coeur est une prison et je veux que Dieu m'aide à leur pardonner. Comment les affrontez-vous? quand vous les rencontrez, vous ne ressentez pas la colère et la douleur, je veux que Dieu me donne cette grâce extraordinaire ...

    • @janetschubert166
      @janetschubert166 Год назад

      God loves u so much. Forgiving is one of the most important thing. After Forgiving ,there is peace,healing,joyness in your heart. May God help u to Forgive and forget

  • @jaqueeen1
    @jaqueeen1 8 лет назад +1

    nimewasamehe Mungu nisamehe mimi pia,,,,,,,, nimeumia sana lakini nimesamehe kupitia wimba wako na niawaachilia wote kutoka moyoni mwangu.

  • @hamidakassam5543
    @hamidakassam5543 9 лет назад +1

    uuuuwiii nikusamehe tu na kuachilia,Mungu analipa kwa kadri ya matendo yako, asante bro solo ni funzo kwangu

  • @soffiahnginyi1547
    @soffiahnginyi1547 7 лет назад +2

    Lord in Jesus Name I have forgiven all those who have wronged me in Jesus Name so that I can also be forgiven

  • @elizabethkiula7200
    @elizabethkiula7200 6 лет назад

    nilishindwa kbx kusamehe kw kilichtokea ktk maish yng kiliniumz san lkn nnamshukuru mungu nmemsahehe na nimewasameh waliosababsh jeraha katika maisha yng...kwakwel nimeachilia moyo wang...frgv and 4get...ingawaj n vgumu na inachukua muda ila nimewasamehe na kuachilia moyo wang

  • @ndatabayechimanuka6122
    @ndatabayechimanuka6122 5 лет назад

    Amen MUNGU akubariki na akuogezeye miaka

  • @eliyajd8649
    @eliyajd8649 2 года назад

    Everything about this song it’s all about my life 😔😭

  • @diananadia9528
    @diananadia9528 2 года назад +1

    I feel released when I listen this song

  • @rmshiko4927
    @rmshiko4927 6 лет назад

    Nimewasamehe wote walionikosea in Jesus nane

  • @sonnieprecious1971
    @sonnieprecious1971 8 лет назад +21

    I couldn't help it. .. I cried my heart out after watching this song. Lord I forgive all of them. Thanks Solomon the song has really touched my heart. God bless you.

  • @rosechristian5086
    @rosechristian5086 6 лет назад +2

    Mungu ni Mwema Azidi kukutunza katkat Mikon yake Salam, ,

  • @fidelicechepngetich5549
    @fidelicechepngetich5549 5 лет назад +7

    Their is power in forgiveness..Today i forgive all those who have wronged me oh God help me forgive each one of them and forgive me too.Amen.Great song it is to God be the glory and honour now and forever more.Amen.Amen

  • @benignendayizigiye224
    @benignendayizigiye224 5 лет назад

    Mungu aendelee kukubariki mtumishi wa Mungu. Kwanzia leo najisikia kuwasamehe watu wote walio nikosea....Mungua aendelee kukubariki salomoni. Nakupenda sana. Nyimbo zako zinanibariki sana na huaga najikuta nazisikiliza nikiwa kwenye kipindi kigumu ambacho nahitaji kufarijika....na Mungu hua ananifariji kupitia nyimbo zako. Ubarikiwe sana

  • @davidkaraini3187
    @davidkaraini3187 7 лет назад +1

    Nimewasamehe wote kutoka moyoni mwangu!

  • @mamaaminasalim627
    @mamaaminasalim627 6 лет назад +1

    This song needs million views its touching

  • @eunicekiilu7485
    @eunicekiilu7485 Год назад +1

    Kazi nzuri kaka mungu akuzidishie kipaji na umri umuabudu

  • @ventojose
    @ventojose 6 лет назад

    For real you are man of God, hii nyimbo imenigusa nami nmewasamehe wote walio Nipa uchungu moyon

  • @rachealwafula2529
    @rachealwafula2529 Год назад

    Oooh God I forgive all of them deeply from heart.

  • @violetbruno9268
    @violetbruno9268 7 лет назад +1

    mungu akutangulie songa mbele baba yangu

  • @neemacriss2397
    @neemacriss2397 8 лет назад +9

    huu wimbo umenifanya niwasamehe woote nlikuwa na hasira nao but nlpouckilza wimbo huu nmewaachilia wote now npo free namshukuru Mungu

  • @faithmshana4031
    @faithmshana4031 7 лет назад +2

    nimewasamehe wote na kuwaachilia wote kwa Jina la Yesu Kristo

  • @anastanciaakinyi4836
    @anastanciaakinyi4836 6 лет назад +1

    God help me to forgive my enemies. Nimewasehe wote in jesus name b blessed Solomon

  • @aishahermis4548
    @aishahermis4548 9 лет назад +1

    Ahsante Mungu weweni Mungu wa maajabu

  • @user-ld5dt8ov5i
    @user-ld5dt8ov5i 8 лет назад

    Minnisor Naomi
    be blessed brother Solomon this song nimewasamehe imanibadilisha nilikuwa na kisasi lkn sai nimetubilia mbalia praise God

  • @margaretchege4691
    @margaretchege4691 7 лет назад +6

    This song has just changed my mind.I will now forgive my in laws and my x hubby.may God help me to withdraw everything and start new life.thanx for my friend she told me to listen this song cz she new what and how I was planing to revenge.bt from now nmewasamehe wote and nmewaachilia wote. God give me strength. Amen

  • @belindamercy3147
    @belindamercy3147 8 лет назад +1

    #nimewasamehe wote... this song is a dope 😘

  • @fadhilimorris2380
    @fadhilimorris2380 6 лет назад +1

    Wooooou umenigusa sana,,,,,,

  • @millicentminayo1412
    @millicentminayo1412 6 лет назад +1

    Much in pain this song has encouraged me l Will forgive

  • @maureenlucinde548
    @maureenlucinde548 9 лет назад +1

    ubarikiwe ndugu!! kila tym nikiskiza hii song nafeel ka nimebarikiwa, inanipa nguvu ya kufanya kazi kwa hii country ya waarabu!! thanks tu sana

  • @Qriztein1516
    @Qriztein1516 8 лет назад +1

    I've 4given them all, God 4give me too, thanx Solo for the touching song.

  • @biattakafisho1378
    @biattakafisho1378 5 лет назад

    Usijiwekee vikwazo maisha ni mafupi

  • @kephakepha5688
    @kephakepha5688 8 лет назад +1

    Hata mimi nimewasamehe wotewalionimosea

  • @naomimbiya1898
    @naomimbiya1898 6 лет назад +1

    Asante Yesu

  • @zipporahsimiyu6541
    @zipporahsimiyu6541 8 лет назад +2

    kweli wimbo huu ulinisaidia sanaa kwa kuwasamehe wote kutoka moyoni mwangu am new now.God bless u Solomon na akutumie zaidi na zaidi

  • @reginarhina6837
    @reginarhina6837 8 лет назад

    I forgive all they have done wrong to me. nimewasemehe yote kabisa Amen.

  • @clarissesimpenzwe6176
    @clarissesimpenzwe6176 7 лет назад +1

    le pardon est une puissance qui libere. nimewasamehe wote,nimewachilia wote kutoka moyoni mwangu

  • @mtafutajihachoki5937
    @mtafutajihachoki5937 6 лет назад +4

    Nimewasamehe bure Wote Walionikosea Leo Nahata siku Zingne Nitazid kuwasamehe

  • @bettyangano6339
    @bettyangano6339 8 лет назад +1

    Nices song na sikiza nikiwa Lebanon be blessed Solomon

  • @samsonsoinkei8234
    @samsonsoinkei8234 8 лет назад

    Naipenda xana hiyo wimbo, inanikumbusha mbali, Solomon Mungu akuzidishie miaka uendeleze injili

  • @aureliaregina4008
    @aureliaregina4008 4 месяца назад

    May God give me the grace to forgive

  • @marywaplmedia3534
    @marywaplmedia3534 8 лет назад +29

    This song really changed me. I'm now a new person. I forgive and forget.

  • @_SANNYB
    @_SANNYB 9 лет назад

    It is a Touching song Brother @Solomon,usife Moyo MOLA yu pamoja nawe.

  • @djgatoy6146
    @djgatoy6146 7 лет назад +1

    i forgive dem mimi ..nimewaachilia wote walionisemea

  • @rosemiriamngara1276
    @rosemiriamngara1276 8 лет назад +1

    nimewasamehe wote kwa jina la yesu

  • @katanakahindi7292
    @katanakahindi7292 9 лет назад +1

    GOD BLESS YOU SOLOMON MUKUBWA, YOU HELP ME TO MOVE ON

  • @joyjerusa6606
    @joyjerusa6606 8 лет назад

    Nimewasamehe wote.Thanx Solomon for reming me about forgiveness.

    • @leandryjilani948
      @leandryjilani948 6 лет назад

      Thank God for this powerful song. Forgiveness is for my own benefit. I have forgiven them all

  • @carolynemunyokho3178
    @carolynemunyokho3178 Год назад

    Amen Amen our hero keep it up man of God 🙏🙏🙏🙏

  • @hellenkibutu8863
    @hellenkibutu8863 Год назад

    Jesus is Lord, I have forgiven all those have Wronged me, God bless you, man of God

  • @joankinyua6843
    @joankinyua6843 Год назад

    Ooh very true 2days ago I talked to my friend ❤️❤️❤️❤️
    whom have not talked to for the last 10 years...I just forgave her I realized life is very short to keep grudges.

  • @nelsonsande5765
    @nelsonsande5765 9 лет назад +1

    wimbo wa kubariki ndugu.am blessed alot

  • @christineamuku1254
    @christineamuku1254 2 года назад

    Huu wimbo umenifanya nikavunjika moyo wangu hakika kila ninaposikiza l feel released each and every day

  • @queenafyshebah9698
    @queenafyshebah9698 5 лет назад +1

    Huu wimbo unanifanya nisamehe ata kama ni ngumu aje,asante Solomon 2019 nime wachilia wote power in the music

  • @ruhashaisaac9313
    @ruhashaisaac9313 8 лет назад +1

    Nimewasamehe wote walionikosea

  • @edathmugisha4937
    @edathmugisha4937 6 лет назад +1

    good massage bro l 4give all

  • @silvesterkondowe3256
    @silvesterkondowe3256 8 лет назад +17

    Seriously, God is using you to bless us with His teaching through your songs. I'm proud of you sir!!

    • @amosmatimbai4554
      @amosmatimbai4554 6 лет назад +1

      Praise God....this song has it all to greatness in the spiritual rhiam

  • @florrybenjamin7372
    @florrybenjamin7372 7 лет назад +1

    mtumishi hata mm nimewasamehe bureee na mungu awabadilishe mioyo yao.ata mm nliteswa sana baada ya wazazi wangu kuaga lkn ashukuriwe mungu maana yalipita.

  • @valentinev8363
    @valentinev8363 8 лет назад +16

    Forgiveness refreshes ones heart.open your heart and forgive.very strong word,God bless you Solomon.

  • @slooom4006
    @slooom4006 8 лет назад +7

    hilda N chepkemboi
    dunia hii tunapitia dharau mingi,kuchukiwa bure,kutengwa ata na walio karibu nawee bure,lakini kupitia hoi wimbo i had to find a place in my heart to fogive everything n start a new lyf ya kusamehe walio kukosea

  • @Christine-js3tj
    @Christine-js3tj 11 месяцев назад

    Nimewasamehe wote understand watu just life ppl r ppl

  • @erickmomanyi5001
    @erickmomanyi5001 6 лет назад +1

    so touching. i forgive them all

  • @geofreykinotimajira4603
    @geofreykinotimajira4603 5 лет назад +5

    Lord of Lords I'm very thankful because of this great men of God who are touching my life.amen

  • @evawayesu7848
    @evawayesu7848 7 лет назад +2

    iyi wimbo ninapo isikiliza inabaliki nafusi yangu ubarikiwe sana Papa merci nimimi maman Eva Canada Edmonton

  • @getrudagerod2532
    @getrudagerod2532 7 лет назад +4

    Mungu akuinue zaidi, maana huduma yako ni njema. umeimba vizuri sana nyimbo zako huwa zinanibariki sana

  • @seminiceboy7570
    @seminiceboy7570 6 лет назад +1

    Amen pastor

  • @faithtimamu9832
    @faithtimamu9832 2 года назад

    Mungu akubariki uendelee nakazi ya mungu

  • @Rejynkins
    @Rejynkins 8 лет назад +1

    very very inspiring song keep up the good work

  • @lydiaayuma6935
    @lydiaayuma6935 7 лет назад +1

    I forgive all my enemies from now in Jesus name

  • @rosecherono3272
    @rosecherono3272 6 лет назад +2

    Wow,Amen,can't get enough of this Song,,,thanks Solomon,strong word of forgiveness...